Afya na jahat

Afya na jahat

Share

Tunatibu changamoto ya U.T.I, PID na UZAZI

31/10/2023

PART 1:
SEHEMU YA KWANZA:
*P.I.D*
PID ni maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke, kwa kitaalamu tunaita *Pelvic Inflamatory Diseases* au kwa kifupi PID.

Ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake.

Kwa kawaida maambukizi haya uhusisha
1. Shingo Ya Kizazi (cervix) Hali ambayo hujulikana k**a *cervicitis*

2. Nyama Ya Mfuko Wa Uzazi (endometrium) Ambayo kitaalamu huitwa *endometritis*
NA

3. Mirija Ya Uzazi (fallopian tubes) hali ijulikanayo kitabibu k**a *salpingitis.*

29/10/2023

Nimefundisha sana kusisitiza sana kuhusu hili
MADHARA YAKE NI
1.Mirija kuziba
2.Maumivu wa kati wa tendo
3.Uke kulegea
4.Kuto kishika mimba kwa wakati
5.Kizazi kuwa naukungu au kujaa maji au kujaa uchafu
Msaada upo kupona ni uhakika

Wasiliana nasi kwa ushauri zaidi

29/10/2023

ILI MWANAMKE ASHIKE UJAUZITO UNASHAURIWA KUPATA HEDHI KWA WAKATI NA KUPATA UTE WA UZAZI SIKU ZA HATARI.
PIA ILI USHIKE UJAUZITO KUMBUKA KWAMBA USIWE PIA NA MAGONJWA HATARISHI K**A P.I.D SUGU,FANGUS SUGU NA U.T.I SUGU IKIWA UNAWEZA KUBEBA MIMBA IKATOKA AU UNAWEZA KUBEBA MIMBA NJE YA MJI WA MIMBA NA KUSABABISHA UJAUZITO KUTOKA.
KUNA AINA TATU ZA MIZUNGUKO YA HEDHI
HII HAPA 21,28 NA 35 NA SIKU ZA HEDHI NI 3,5 NA 7 JE UNAFAHAMU VIZURI NI SIKU GANI KWAKO YA HATARI ILI UPATE UJAUZITO?
CHUKUA TAHADHARI JUU YA HAYA MAGONJWA NA MADHARA YAKE. HUWA YANAHARIBU MFUMO WA UZAZI WA MWANAMKE. MATIBABU YAPO

-P.I.D SUGU
-FANGUS SUGU
-U.T.I SUGU
-HORMONE IMBALANCE
-MIWASHO UKENI
-KUPATA UKAVU UKENI
-KUPATA MICHUBUKO UKENI
-KUKOSA UTE WA UZAZI
-KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
-KUTOSHIKA UJAUZITO
-MIMBA KUHARIBIKA MARA KWA MARA
-MAUMIVU K**ALI YA HEDHI
-KUKOSA HEDHI KWA MUDA MREFU
-KUTOA HARUFU MBAYA UKENI

WANAWAKE PATA SULUHISHO LA HAYO MATATIZO YA UZAZI NA USHAURI

25/10/2023

DONDOO:
Kuna changamoto mbali mbali hujitokeza katika ukuaji wa watoto kutokana na 👇🏽

Kukosa lishe Bora kutoka kwa mama moja kwa moja kupitia maziwa yake

👉🏼Mama anaenyonyesha kushindwa kutoa maziwa yenye afya na virutubisho muhimu

👉🏼 Mama kumkatisha maziwa mapema mwanae

👉🏽Mama kutompatia mtoto vyakula sahihi

Wasiliana nasi kwa msaada zaidi juu ya ushauri utakaokusaidia kumpatia mtoto wako virutubisho sahihi kwa ukuaji wake

25/10/2023

Je wajua??

24/10/2023

Huo ni ushauri wa bure.....Msaidie mtoto wako aweze kupona tatizo hili💊

24/10/2023

Utajuaje una UTI sugu?👇🏼 karibu kwa ushauri zaidi suluhisho sahihi ndani ya siku 3 pekee💊

24/10/2023
23/10/2023

Kwe maisha yetu ya sasa tuko katika karne ya teknologia ambayo ina faida nyingi lakini pia ina hasara zake nyingi . Ina faida katika mambo ya kiuchumi na kiafya , lakinia pia ina hasara kiuchumi na kiafya kwa nchi na mtu mmoja mmoja .

Nitalenga kwenye upande wa afya zaidi kuona namna gani teknolojia imechangia athari katika swala la afya .

Kwa sasa tupo katika kipindi cha matumizi ya vitu vyenye sumu kwa kiasi kikubwa mno kwa upande wa vyakula , vinywaji na vivuto( hewa , sigara, sh**ha , tumbaku).

Imefikia mahali ili mazao yaweze kustawi vizuri shambani yanahitaji mbolea kuboresha hali ya uoteshwaji wa mazao kwa kuwa udongo hauna rutuba tena ya asili kwa sababu ya sumu za mbolea, lakini pia madawa ya kuulia wadudu au madawa ya kuweka kwenye vinywaji na vyakula vya viwandani kuzuia kuaribika na kutokuwa tayari kwa matumizi kwa muda fulani . Hii hali inapelekea kula vyakula na vinywaji vyenye sumu nyingi ndani yake na kusababisha kupungua kwa kinga za mwili na kufanya miili kuwa rahisi kupokea maradhi nyemelezi. Napia kuleta madhara kwenye ini ambalo ndio lina kazi kubwa ya kuchuja sumu mwilini .

Hivyo basi ili kuepuka haya madhara tunatakiwa kusafisha miili yetu kwa kuondoa sumu hizi zinazoingia mwilini na kufanya mili iwe na kinga na ulinzi dhidi ya maradhi mbalimblali, kwani ata magari huwa yanaondoa sumu kwa kufanya service kila baada ya muda fulani k**a vile kumwaga oil ili kulinda injini ambayo ndio roho ya gari.

Kwa kutambua hilo Bf SUMA imezalisha kirutubisho bora kabisa ambacho kitaenda kukusaidia wewe kuondoa sumu mwili za vyakula , vinywaji , hewa na vivuto vya aina nyingine kufanya mwili ubaki salama , lakini pia kirutubisho hiki kitakusaidia kupunguza kiwango cha mafuta mwilini , kukusaidia kutunza kumbukumbu na kukulinda dhidi ya changamoto ya kisukari .

Nakukaribisha kutumia kirutubisho hiki kwa ujenzi na ulinzi wa afya ya mwili wako .

Tumia DITOXILIVE sasa kuondoa sumu mwilini.

Njoo watsap

23/10/2023

Madhara ya kutokutibu tezi dume karibu kwa ushaur na tiba

23/10/2023

Njoo nikusaidie

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Dodoma