Ithamini AFYA YAKO.

Ithamini AFYA YAKO.

Share

NATOA USHAURI WA AFYA NA TIBA KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE

29/05/2026

*JE, NI WEWE UNATESEKA NA UGONJWA WA BAWASIRI NA UMEKOSA KABISA SULUHISHO KWA MUDA MREFU.....?*

_Bawasiri inajumuisha misuli, tissue na mishipa ya damu iliopo katika Eneo la njia ya haja kubwa ambapo kazi yake ni kuthibiti kinyesi lakini bawasiri inakua ugonjwa endapo (misuli,tissue na mishipa) kuvimba kwa ndani au kutokeza uvimbe/ vinyama nje ya tundu la haja kubwa_

🔸VISABABISHI VYA BAWASIRI.
1️⃣Ongezeko la shinikizo katika tumbo(shinikizo fubashi)
2️⃣Ukosefu wa vyakula vyenye nyasi(fibres)
3️⃣Uzee/umri mkubwa (miaka 45-65)
4️⃣Genetics (kurithi)
5️⃣Kufanya tendo la ndoa kinyume na maumbile
6️⃣Kukaa sana kitako kwa muda mrefu

🔆DALILI ZA BAWASIRI.
1️⃣Kuona damu katika choo
2️⃣Maumivu makali sana katika njia ya haja kubwa(kabla au wakati wa kujisaidia haja kubwa)
3️⃣Uvimbe katika sehemu ya haja kubwa
4️⃣Mwili kuchoka na maumivu ya kichwa

🌼NJIA ZA KUFANYA ILI KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI.
1️⃣kula vyakula vyenye nyuzi (fibres). Mfano mbogamboga,matunda,mahindi yasiyokobolewa n.k
2️⃣Kupunguza shinikizo fubashi.

29/05/2026

0782 505 396

29/05/2026

_Hongera kwa kuendelea na matibabu dada Aisha kutoka Nachingwea,Allah awe msimamizi na mponyaji wako,,,,_

13/05/2026

*_Popote ulipo huduma yangu unaipata_*

13/05/2026

*😋😋😋Jaribu kutengeneza hii na uitumie*

13/05/2026

_Alhamdulillah,,,Tunaendelea kuifikisha huduma yetu mbali zaidi_
Ahsante kwa kuniamini

*from: TANZANIA 🇹🇿 to USA 🇺🇸*
Na Mwenyezi Mungu akutangulie upone soon utapata bidhaa zako.

+255 0782 505 396

05/05/2026

*Unapolipia Bidhaa kwa _Abdulaziz Health Solution_ unapata Kwa wakati*

04/05/2026

_FEM care 😘💃💃💃_

_Hapo ndipo furaha ya mwanamke ilipo,,,_
_Linda afya ya uke kwa kuiepusha na changamoto mbalimbali za kiafya_

04/05/2026

ALHAMDULILLAH,,,
Kwangu umbali sio tatizo kabisaa,_Abdulaziz Health Solution_ nakufikia na nakutumia popote ulipo😊

01/05/2026

_🚨MADHARA YA BAWASIRI USIPOPATA TIBA MAPEMA_

🔴Maumivu makali
– Kujisaidia kunakuwa mateso kila siku

🔴Kutokwa damu mara kwa mara
– Hupelekea upungufu wa damu

🔴Uvimbe (vinyama) kutoka nje
– Hufanya kukaa au kutembea kuwa ngumu

🔴Kuwashwa na muwasho
– Usumbufu wa muda mrefu

🔴Kutokwa majimaji
– Husababisha unyevu na hali ya kutokaa vizuri

🔴Hatua ya upasuaji
– Wengi hufikia hapa wakichelewa

⚠ USISUBIRI IFIKE HAPO!
Afya yako ipo mikononi mwako

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Nkuhungu
Dodoma

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00