Aban Beauty
SKIN AND HAIR PRODUCTS
A beauty brand tailored for your hair and skincare needs.
02/04/2024
Ondoa na Zuia chunusi na vipele kabisa kwa kutumia set yetu ambayo ina serum ya chunusi pamoja na Sabuni nzuri sana kwaajili ya kusawazisha ubora wa ngozi yako. Set ni 23,000Tu.
+255766941251
01/04/2024
Before and After ya mteja wetu. Hii set yetu inatibu chunusi, rashes na kulainisha ngozi yako, inatibu vipele pia.
Acne klear cleanser… 15,000tu
Glow Soap… 8,000tu
Set nzima… 23,000tu
Karibuni wateja wetu
01/04/2024
Ukitumia hizi serum mbili na sabuni..madoa na chunusi zote zinaisha kabisa.
Acne klear serum..15,000tsh
Pure Radiance Glow Serum..25,000tsh
Glow Soap…8,000tsh
☎️0766941251
📍Dodoma Mlimwa C
01/04/2024
Hii ni set kwaajili ya kutibu na kuzuia chunusi.
✨Inatibu chunusi, vipele, rashes usoni
✨ Inapunguza mafuta kwenye ngozi yako
✨Inapunguza madoa
✨Ina brighten ngozi yako
✨Inasafisha ngozi yako na kuuacha msafi kabisa
✨Inasaidia kukaza ngozi yako
BEI: Tshs. 23,000Tu
☎️: 0766941251
Bidha zetu hazichubui ngozi.
01/04/2024
RAPID HAIR GROWTH OIL
Faida
• Kusaidia kukua kwa nywele kwa haraka
• Kufanya nywele kujaa na kuzuia kukatika
• Kuondoa na kuzuia mba
• Kulainisha na kuzuia kushikamana kwa nywele
• Kuzuia kutokwa na mvi kabla ya muda
Bei. 20,000
Whatsapp / Call +255766941251 (Dodoma)
30/03/2024
PURE RADIANCE GLOW SERUM
Hii ni bidhaa ya Aban Beauty ambayo viambata vyake ni mahususi kwa ajili ya;
✨Kuondoa Madoa ya Chunusi.
✨Kutibu ngozi ilioungua kwa matumizi ya mafuta makali.
✨Kungarisha ngozi yako bila kuichubua na unabaki na rangi yako ya asili.
✨Kusawazisha ubora wa ngozi yako.
✨Kusaidia ngozi yako kutokauka.
🔥🔥HII NI NZURI SANA KUONDOA UWEUSI WA USONI, KWAPANI NA MAPAJANI🔥🔥
Bei; 25,000tsh
☎️;0766941251.
30/03/2024
GLOW SOAP
Hii sabuni ni nzuri sana
🔅Inakausha chunusi na vipele kwa haraka.
🔅Inapunguza mafuta yaliyozidi usoni
🔅Inasafisha ngozi 100%.
🔅Inakupatia glow nzuri bila kuchubua ngozi yako.
PRICE; 8,000tsh
☎️ +255 766 941 251
KWA MATOKEO MAZURI SANA TUMIA ASUBHI NA JIONI KILA SIKU.
30/03/2024
ACNE KLEAR SERUM
Hii Serum ni nzuri sana
✨Inatibu chunusi, vipele, rashes usoni
✨ Inapunguza mafuta kwenye ngozi yako
✨Inapunguza madoa
✨Ina brighten ngozi yako
✨Inasafisha ngozi yako na kuuacha msafi kabisa
✨Inasaidia kukaza ngozi yako
BEI: 15,000tsh
☎️: 0766941251
Bidha zetu hazichubui ngozi.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Address
Mlimwa C, Dodoma.
Dodoma