Afya kwanza

Afya kwanza

Share

Mtaalamu wa Tiba lishe magonjwa sugu k**a Pressure| Kisukari| Moyo | Stroke| miguu kuwaka moto |Ganzi |Tezi dume n.k
0620856971

04/02/2026

TEZI DUME NI NINI CHANZO DALILI NA TIBA BILA UPASUAJI (enlarge prostate)

Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la
kiume ambalo kila mwanaume analo,
tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo
na linazunguka njia ya mkojo toka
kwenye kibofu kwenda kwenye uume.
Jinsi umri unavyoongezeka tezi dume
nalo huongezeka ukubwa ambao
unaweza kuwa wa kawaida au
saratani.

KAZI YA TEZI DUME
Kutoa majimaji anayochanganyika na
mbegu za kiume (sperms) kutengeneza
manii (semen).

VYANZO VINAVYOPELEKEA TEZI DUME KUTANUKA
1- Ukosefu wa lishe kamili na Virutubisho muhimu mwilini.
2- Uwepo wa sumu nyingi mwilini.
3- Kutokufanya mazoezi.
4- Matumizi ya pombe kali, na uvutaji wa sigara.
5- Uzito mkubwa (uliopindukia, uliokithiri), na Kitambi.
6- Kutokukaa sawa kwa vichocheo vya mwili (Hormone Imbalance).
7- Msongo wa mawazo (Stress).
8- Magonjwa ya zinaa.
9- Umri mkubwa.
10- Upasuaji wa korodani, kuzaliwa na korodani moja.
11- Historia ya Familia (Kurithi).
12- Mazingira (Ethnicity).

DALILI ZA TEZI DUME
A-mkojo uliochanganyikana na damu
B-Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
C-Maumivu kwenye mfumo wa mkojo
D-Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
E-Kuhisi kibofu kimeja mkojo muda wote na ukienda kukojoa mkojo hautoki, lakini ukirudi kukaa unahisi kukojoa tena.
E-Kukojoa mara kwa mara wakati wa usiku

DALILI ZA MTU ALIYEATHIRIKA KWA MDA MREFU
X-Maumivu ya mifupa hasa chini ya mgongo, kiuno na mbavu
X-Miguu kuwa dhaifu
X-Kushindwa kumudu tendo la ndoa, au Kuhisi maumivu makali wakati unamaliza tendo la ndoa
X- Kushindwa kuzuia mkojo, pindi unapohisi kukojoa
X-Kushindwa kuzuia haja kubwa (kinyesi cha maji maji)
X-Tumbo kuja gesi mara kwa mara

MADHARA YA TEZI DUME KUTANUKA:
1-Kibofu cha mkojo kuuma: hivyo hupelekea mkojo kurudi juu, na kuharibu figo na Ini … … n.k.
2-Kufunga kwa njia ya mkojo kabisa
3-Figo kushindwa kufanya kazi (Kidney Failure)
4-Kushindwa kumudu tendo la ndoa (Ndoa zinavunjika)
5-Ugumba (Infertility, Frigidity for men)
6- Kutokea kwa majipu sehemu ya Tezi Dume

TIBA YAKE
Epuka madhara yasababishwayo na tezi dume kwa kutumia dawa ya baba care yenye uwezo mkubwa sana wa kutibu na kumaliza kabisa tezi dume bila operation... Tumia K**a tiba au kinga, Hii ni ya uhakika kabisa bora kwa afya yako!

KWA TIBA NA USHAURI WASILIANA NASI KWA 0620756971/ 0761759719.

24/09/2025
24/09/2025

Ijue Pressure

24/09/2025

Pima Vipimo mwili mzima Leo Tsh 30,000/= Tu
Kujua magonjwa yaliyojificha na utapata Ushauri wa Afya Bure.
Tupigie 0761759719.
Dodoma Huduma Clinic.

24/09/2025

Je umekuwa ukisumbuliwa na Changamoto mbalimbaliii za kiafya bila Kupata majibu?

Kwa Gharama ya Tsh 30,000/=TU utapima vipimo vyote na kupatiwa majibu na ushauri wa kitaalamu, fika sasa HUDUMA CLINIC 2nd floor Majengo sokoni Dodoma, kuipata Huduma hii bora ya kiafya.
0761759719

19/09/2025

Hizi ndio dalili kuu za Tezi dume, wasiliana nami kupata Tiba na Ushauri 🏥 0620856971

14/08/2025

Tezi dume ni kiungo cha mfumo wa uzazi wa kiume kinachozunguka sehemu ya juu ya mrija wa mkojo (urethra), chini ya kibofu cha mkojo. Kazi yake kuu ni kutengeneza na kutoa majimaji yanayochanganyika na mbegu za kiume wakati wa utoaji wa shahawa.

Kisababishi kikuu cha tezi dume kuvimba (prostate enlargement), au benign prostatic hyperplasia (BPH), ni mabadiliko ya homoni yanayotokea kadri mwanaume anavyozeeka. Kadri umri unavyoongezeka, tezi dume inaelekea kukua, jambo linaloweza kusababisha kuvimba kwa sababu ya mkusanyiko wa seli.

K**a una umri wa miaka 38 na kuaendelea inawezekana haya ndio mambo yanayokutesa na kukunyima raha . Hivyo ukiona haya jua uko kwenye hatari ya madhara ya tezi dume

1. Shida ya kuanza kukojoa. Unakojoa mkojo unatoka kwa shida

2. Kukojoa mara kwa mara, hasa nyakati za usiku.

3. Hisia ya kibofu kutokukamilisha kutoa mkojo.

4. Mkojo kuendelea kutoka ata baada ya kumaliza kukojoa.

5. Kudhoofika kwa nguvu ya mkojo au mkojo kutoka kwa taabu.

Iwapo kuvimba kwa tezi dume hakutibiwi, linaweza kusababisha shida k**a vile maambukizi ya mfumo wa mkojo (UTIs), kuathiri figo, au kuwa na matatizo ya kudumu ya kibofu.

Ila ondoa hofu tuna bidhaa bora za afya zilizotengenezwa kwa viambata vya asili ambazo zimewasaidia wengi kupona tatizo la tezi dume bila upasuaji. Karibu na wewe tumalize tatizo lako sasa na niko na ofa ya 20% kwa ajili yako .

Call / Whatsapp 0620856971

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dodoma