Hearth Care Eternal International

Hearth Care Eternal International

Share

Hearth Care and Hearth Consultancy

26/05/2026
24/11/2024

KWA MATIBABU NA USHAURI KUHUSU AFYA YAKO
Dr.Catherine
Call:0755775895
Whatsapp:0712286351
Hearth Care Eternal International

06/10/2024

๐Œ๐•๐”๐‘๐”๐†๐ˆ๐Š๐Ž ๐–๐€ ๐‡๐Ž๐Œ๐Ž๐๐ˆ ,(๐‡๐Ž๐‘๐Œ๐Ž๐๐„ ๐ˆ๐Œ๐๐€๐‹๐€๐๐‚๐„

*๐Ÿ”˜Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapo pata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika. Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya 80%*

๐•๐˜๐€๐๐™๐Ž ๐•๐˜๐€ ๐Œ๐•๐”๐‘๐”๐†๐ˆ๐Š๐Ž ๐–๐€ ๐‡๐Ž๐Œ๐Ž๐๐ˆ
*โบ๏ธUwepo wa sumu mwilini*
*โบ๏ธUnbalanced Lifestyle (mfumo mbovu wa maisha)*.
*โบ๏ธUmri ukienda sana Kukoma kwa hedhi*
*โบ๏ธUzito mkubwa na Uzito mdogo sana.*
*โบ๏ธMabadiliko ya mazingira*
*โบ๏ธMsongo wa mawazo*
*โบ๏ธUpungufu wa lishe mwilini*
*โบ๏ธMatumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango*.
*โบ๏ธUtoaji wa mimba*

*DALILI* ๐™๐€ ๐Œ๐•๐”๐‘๐”๐†๐ˆ๐Š๐Ž ๐–๐€ ๐‡๐Ž๐Œ๐Ž๐๐ˆ
โ–ถ๏ธUke kuwa mkavu
โ–ถ๏ธMaumivu wakati wa tendo la ndoa
โ–ถ๏ธMaumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi.
โ–ถ๏ธUpungufu wa hamu ya tendo la ndoa.
โ–ถ๏ธMabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja).
โ–ถ๏ธKukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.
โ–ถ๏ธUchovu wa mara kwa mara.
โ–ถ๏ธHoma za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara.
โ–ถ๏ธMzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula.
โ–ถ๏ธOngezeko la tumbo na nyama uzembe.
โ–ถ๏ธKuharibika kwa ngozi (chunusi, vipeleโ€ฆ n.k).
โ–ถ๏ธKupata hedhi wakati wa ujauzito
โ–ถ๏ธMwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi.
โ–ถ๏ธMaumivu ya kichwa mara kwa mara.

๐Œ๐€๐ƒ๐‡๐€๐‘๐€ ๐˜๐€ ๐Œ๐•๐”๐‘๐”๐†๐ˆ๐Š๐Ž ๐–๐€ ๐‡๐Ž๐ŒO๐๐ˆ
โžก๏ธKupatwa na maambukizi ukeni mara kwa mara
โžก๏ธKutoshika ujauzito kwa muda mrefu
โžก๏ธMimba kuharibika mara kwa mara
โžก๏ธKukosa mtoto au Ugumba.
โžก๏ธMaumivu wakati wa tendo la ndoa.
โžก๏ธKuwa na tabia na maumbile ya kiume
โžก๏ธUTI (Urinary Tract Infection) ya mara kwa mara.
โžก๏ธKuziba kwa mirija ya uzazi.
โžก๏ธkupatwa na saratani ya kizazi
โžก๏ธUvimbe kwenye kizazi mwanamke (Fibroids and ovarian cysts).

๐’๐”๐‹๐”๐‡๐ˆ๐’๐‡๐Ž/๐Œ๐€๐“๐ˆ๐๐€๐U

โžก๏ธWanawake wengi baada ya kujifahamu kuwa homoni zao haziko sawa huenda
mahospitalini ambako hupewa madawa (bioidentical or synthetic hormones) na
wengine hufanyiwa hormone replacement therapy.

โžก๏ธTiba hii huandaliwa kwa ajili ya kuzifanya homoni zifanye kazi zake k**a kawaida.
Lakini hupelekea madhara k**a: Kuongeza uwezekano wa shinikizo la damu,Madhara katika mfumo wa uzazi,Saratani na mengineyo.
โžก๏ธMvurugiko wa homoni unasababishwa na upungufu wa lishe, msongo wa mawazo, na uwepo wa sumu mwilini. Sumu zikizidi mwilini mwanamke huzeeka kabla ya wakati na kupatwa na changamoto mbalimbali za kiafya ikiwemo; vimbe zinazo jipachika kwenye uzazi wa mwanamke, vidonda vya tumbo, n.k.

๐Ÿ”˜Namna nzuri ya kutibu tatizo la homoni ni kutumia virutubisho lishe ,,๐Š๐€๐‘๐ˆ๐๐” TU๐Š๐”๐’A๐ƒ๐ˆ๐„ ๐๐ˆ๐†๐€ & ๐–๐‡๐€๐“๐’๐€๐๐ ๐Š๐€๐‘๐ˆ๐๐” ๐€๐’๐€๐๐“๐„.
255712286351 whatsapp.
255755775895 call.

โœ…โœ…HUDUMA ZETU NA TIBA ZITAKUFIKIA POPOTE ULIPO NA MKOA WOWOTE NCHINI TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

Hearth Care Eternal International

15/08/2024

Sababu 12 za mwanamke kutokupata Mimba

1. Ovaries kushindwa kutoa mayai
2. Kutokuwa na uwiano mzuri wa
homoni(Hormone Imbalance)
3. kuziba kwa mirija ya uzazi
4. mirija ya uzazi kujaa maji
5. Uvimbe katika kizazi
(uterine fibroids)
6. Magonjwa k**a vile pid, kisonono
,kisukari n.k
7. Kuwa na msongo wa mawazo
8. Utoaji wa mimba (Abortion)
9. Kuwa na uzito kupita kiasi
(over weight)
10.Matumizi ya pombe, bangi, sigara, ulevi kupindukia.
11.Matumizi ya madawa
12.Endometriosis, hii ni hali ambayo
seli za ndani ya mfuko wa uzazi
huanza kuota nje ya fuko hilo au
hata sehemu nyingine.

DALILI ZA MWANAMKE KUSHINDWA KUPATA MIMBA

1.Mwanamke anayesumbuliwa na
na maumivu chini ya tumbo mara
kwa mara naye yupo katika hatari
hii kwani upo uwezekano wa
kuathiri mirija ya uzazi na ikiziba kabisa
mzunguko wa hedhi unavurugika na kupoteza hamu ya tendo la ndoa

2. Wanawake wengine hupata maumivu ya kiuno na tumbo kwa muda mrefu sio dalili nzuri, matiti, au chuchu kutoa maziwa pia huathiri kwa kiasi kikubwa uzazi inakua
vigumu kupata ujauzito hasa kwa wasichana.

3.Maumivu wakati wa hedhi pia si dalili njema katika mfumo wa uzazi kwani inawezekana kuwa una maambukizi sugu ya kizazi (chronic pid), uvimbe katika kizazi(uterine fibroid)
na nyinginezo.

USHAURI KWA UNAYESHINDWA KUPATA MIMBA

Tumia zaidi chakula na tiba lishe ambazo ni nzuri sana zinaenda kuboresha seli katika mfumo wa uzazi, kuweka sawa homoni zako na kuondoa sumu mwilini inayotokana na matumizi ya dawa na antibiotics na uzazi wa mpango, vyakula au vinywaji.

Je, Unahitaji Kuondoa Tatizo Hili?

KARIBU nikusaidie kuitatua changamoto..
Unaweza kupiga simu ofisini ukazungumza namimi moja kwa moja k**a unatatizo linakusumbua nikakupa USHAURI au MATIBABU inategemea na tatizo lako k**a litahitaji ushauri ntakupa ushauri k**a litahitaji tiba ntakupatia matibabu yake kulingana na ukubwa wa tatizo lako

KWA MATIBABU NA USHAURI

Dr.Catherine
Call:0755775895
Whatsapp:0712286351
Hearth Care Eternal International

08/08/2024

Natural vitamin E Capsule
1.Ina chochea matezi ili kuzalisha hormoni kwa jinsia zote.
2.Kuwezesha mfumo wa uzazi kufanya kazi vizuri
3.Kutunza ngozi na kuchelesha uzee
4.Kutunza Lensi ya jicho
5.Inasaidia msukumo wa damu ktk mishipa midogo
6.Inapeka damu kwenye ubongo

Watumiaji
1.Hutumika na watu wa lika lote
2.Wanawake ambao asili ya kazi zao ni kukaa juaani muda mrefu.
3.Wanawake wanaosumbuliwa na tatizo la homoni za uzazi,Mimba kuharibika mara kwa mara na wanao kusudiwa kupata ujauzito.

Kwa mawasiliano
Dr.Catherine
255755775895
Hearth Care Eternal International

07/08/2024

Hearth Care Eternal International
Contact us +255-755-775-895

07/08/2024

Eternal toothpaste
Call:0755775895

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dodoma
520,DODOMA