Hearth Care Eternal International
Hearth Care and Hearth Consultancy
24/11/2024
KWA MATIBABU NA USHAURI KUHUSU AFYA YAKO
Dr.Catherine
Call:0755775895
Whatsapp:0712286351
Hearth Care Eternal International
๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ,(๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐
*๐Mvurugiko wa homoni za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapo pata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika. Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya 80%*
๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐
*โบ๏ธUwepo wa sumu mwilini*
*โบ๏ธUnbalanced Lifestyle (mfumo mbovu wa maisha)*.
*โบ๏ธUmri ukienda sana Kukoma kwa hedhi*
*โบ๏ธUzito mkubwa na Uzito mdogo sana.*
*โบ๏ธMabadiliko ya mazingira*
*โบ๏ธMsongo wa mawazo*
*โบ๏ธUpungufu wa lishe mwilini*
*โบ๏ธMatumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango*.
*โบ๏ธUtoaji wa mimba*
*DALILI* ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐
โถ๏ธUke kuwa mkavu
โถ๏ธMaumivu wakati wa tendo la ndoa
โถ๏ธMaumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi.
โถ๏ธUpungufu wa hamu ya tendo la ndoa.
โถ๏ธMabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja).
โถ๏ธKukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.
โถ๏ธUchovu wa mara kwa mara.
โถ๏ธHoma za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara.
โถ๏ธMzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula.
โถ๏ธOngezeko la tumbo na nyama uzembe.
โถ๏ธKuharibika kwa ngozi (chunusi, vipeleโฆ n.k).
โถ๏ธKupata hedhi wakati wa ujauzito
โถ๏ธMwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi.
โถ๏ธMaumivu ya kichwa mara kwa mara.
๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐O๐๐
โก๏ธKupatwa na maambukizi ukeni mara kwa mara
โก๏ธKutoshika ujauzito kwa muda mrefu
โก๏ธMimba kuharibika mara kwa mara
โก๏ธKukosa mtoto au Ugumba.
โก๏ธMaumivu wakati wa tendo la ndoa.
โก๏ธKuwa na tabia na maumbile ya kiume
โก๏ธUTI (Urinary Tract Infection) ya mara kwa mara.
โก๏ธKuziba kwa mirija ya uzazi.
โก๏ธkupatwa na saratani ya kizazi
โก๏ธUvimbe kwenye kizazi mwanamke (Fibroids and ovarian cysts).
๐๐๐๐๐๐๐๐๐/๐๐๐๐๐๐๐U
โก๏ธWanawake wengi baada ya kujifahamu kuwa homoni zao haziko sawa huenda
mahospitalini ambako hupewa madawa (bioidentical or synthetic hormones) na
wengine hufanyiwa hormone replacement therapy.
โก๏ธTiba hii huandaliwa kwa ajili ya kuzifanya homoni zifanye kazi zake k**a kawaida.
Lakini hupelekea madhara k**a: Kuongeza uwezekano wa shinikizo la damu,Madhara katika mfumo wa uzazi,Saratani na mengineyo.
โก๏ธMvurugiko wa homoni unasababishwa na upungufu wa lishe, msongo wa mawazo, na uwepo wa sumu mwilini. Sumu zikizidi mwilini mwanamke huzeeka kabla ya wakati na kupatwa na changamoto mbalimbali za kiafya ikiwemo; vimbe zinazo jipachika kwenye uzazi wa mwanamke, vidonda vya tumbo, n.k.
๐Namna nzuri ya kutibu tatizo la homoni ni kutumia virutubisho lishe ,,๐๐๐๐๐๐ TU๐๐๐A๐๐๐ ๐๐๐๐ & ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐.
255712286351 whatsapp.
255755775895 call.
โ
โ
HUDUMA ZETU NA TIBA ZITAKUFIKIA POPOTE ULIPO NA MKOA WOWOTE NCHINI TANZANIA ๐น๐ฟ๐น๐ฟ
Hearth Care Eternal International
15/08/2024
Sababu 12 za mwanamke kutokupata Mimba
1. Ovaries kushindwa kutoa mayai
2. Kutokuwa na uwiano mzuri wa
homoni(Hormone Imbalance)
3. kuziba kwa mirija ya uzazi
4. mirija ya uzazi kujaa maji
5. Uvimbe katika kizazi
(uterine fibroids)
6. Magonjwa k**a vile pid, kisonono
,kisukari n.k
7. Kuwa na msongo wa mawazo
8. Utoaji wa mimba (Abortion)
9. Kuwa na uzito kupita kiasi
(over weight)
10.Matumizi ya pombe, bangi, sigara, ulevi kupindukia.
11.Matumizi ya madawa
12.Endometriosis, hii ni hali ambayo
seli za ndani ya mfuko wa uzazi
huanza kuota nje ya fuko hilo au
hata sehemu nyingine.
DALILI ZA MWANAMKE KUSHINDWA KUPATA MIMBA
1.Mwanamke anayesumbuliwa na
na maumivu chini ya tumbo mara
kwa mara naye yupo katika hatari
hii kwani upo uwezekano wa
kuathiri mirija ya uzazi na ikiziba kabisa
mzunguko wa hedhi unavurugika na kupoteza hamu ya tendo la ndoa
2. Wanawake wengine hupata maumivu ya kiuno na tumbo kwa muda mrefu sio dalili nzuri, matiti, au chuchu kutoa maziwa pia huathiri kwa kiasi kikubwa uzazi inakua
vigumu kupata ujauzito hasa kwa wasichana.
3.Maumivu wakati wa hedhi pia si dalili njema katika mfumo wa uzazi kwani inawezekana kuwa una maambukizi sugu ya kizazi (chronic pid), uvimbe katika kizazi(uterine fibroid)
na nyinginezo.
USHAURI KWA UNAYESHINDWA KUPATA MIMBA
Tumia zaidi chakula na tiba lishe ambazo ni nzuri sana zinaenda kuboresha seli katika mfumo wa uzazi, kuweka sawa homoni zako na kuondoa sumu mwilini inayotokana na matumizi ya dawa na antibiotics na uzazi wa mpango, vyakula au vinywaji.
Je, Unahitaji Kuondoa Tatizo Hili?
KARIBU nikusaidie kuitatua changamoto..
Unaweza kupiga simu ofisini ukazungumza namimi moja kwa moja k**a unatatizo linakusumbua nikakupa USHAURI au MATIBABU inategemea na tatizo lako k**a litahitaji ushauri ntakupa ushauri k**a litahitaji tiba ntakupatia matibabu yake kulingana na ukubwa wa tatizo lako
KWA MATIBABU NA USHAURI
Dr.Catherine
Call:0755775895
Whatsapp:0712286351
Hearth Care Eternal International
08/08/2024
Natural vitamin E Capsule
1.Ina chochea matezi ili kuzalisha hormoni kwa jinsia zote.
2.Kuwezesha mfumo wa uzazi kufanya kazi vizuri
3.Kutunza ngozi na kuchelesha uzee
4.Kutunza Lensi ya jicho
5.Inasaidia msukumo wa damu ktk mishipa midogo
6.Inapeka damu kwenye ubongo
Watumiaji
1.Hutumika na watu wa lika lote
2.Wanawake ambao asili ya kazi zao ni kukaa juaani muda mrefu.
3.Wanawake wanaosumbuliwa na tatizo la homoni za uzazi,Mimba kuharibika mara kwa mara na wanao kusudiwa kupata ujauzito.
Kwa mawasiliano
Dr.Catherine
255755775895
Hearth Care Eternal International
Hearth Care Eternal International
Contact us +255-755-775-895
Eternal toothpaste
Call:0755775895
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dodoma
520,DODOMA