Fursa Kwa Wote

Fursa Kwa Wote

Share

Ninafundisha watu kuanzisha biashara kwa mtaji mdogo sana na kuweza kujipatia kipato cha kila siku.

04/07/2026

Wa mama tupambane kwa kila hali ili kufikia malengo yetu.

29/06/2026
29/06/2026

Usiache fursa ikupite, ikimbilie kwa kupiga simu 0733 207 616.

15/05/2026

Hakuna kukata tamaa katika jambo unalolifanya, lipambanie huku ukimtanguliza Mungu mbele.

08/03/2026

Mwanamke mwenzangu nakukaribisha katika semina ya Wanawake katika kusheherekea Siku ya Wanawake Duniani, itakayofanyika Landmark Hotel, Riverside, Ubungo siku ya Jumanne 10/3/2026 kuanzia saa 3 asb mpk saa 7 mchana.

Semina hii ni kwa ajili ya kukujenga Mwanamke na kukuondoa katika uchumi wa kipato cha chini na kuweza kufikia kipato cha kati mpk cha juu.

Pia itakusaidia kujua njia mbalimbali za kibiashara na kujua wengine walianzia wapi na sasa wapo wapi.

Utakavyokuja sivyo utakavyoondoka, njoo usikilize mwenyewe ili upate kitu sahihi.

Nafasi chache, watu ni wengi, upo seriuos chukua mawasiliano;

Nipigie au njoo wasap 0765 505 092

03/03/2026

MARCH MWEZI WA WANAWAKE

Wanawake wengi wanategemewa sana, lakini hawana chanzo cha pili cha kipato. Nafungua nafasi 20 tu kwa wanawake serious.

Karibu mwanamke umiliki uchumi wako bila bugha yoyote. Mwaka huu ni mwaka wa kumiliki, anza kumiliki biashara yako na kipato chako.

Wasiliana nami 0765 505 092

01/03/2026

🌸 MARCH-MWEZI WA MWANAMKE🌸

Natafuta wanawake 20 tu wanaotaka kujiongezea kipato na kujitegemea kwa kumiliki uchumi wao. K**a una ndoto kubwa, niandikie “READY”.

0765 505 092

29/01/2026

Karibu nikuelekeze ni jinsi gani unaweza kubadilisha maisha yako kwa kufanya biashara ambayo utaanza kwa mtaji mdogo kabisa na baada ya muda utaona mafanikio yake.

Biashara ambayo inataka watu wachapakazi na wenye uhitaji wa mafanikio.

K**a upo tayari wasiliana nami 0765 505092.

23/01/2026

Kutoa ni moyo tuwasaidie watoto yatima ili nao waone kuwa wana wazazi wanaowajali. Katika kuwasaidia yatima nasi tunapata baraka.

Kuna wakati unaweza ona mambo hayapo sawa ni kwa sababu hatutoi sadaka. Tujitahidi kutoa kile tulichonacho ili tubarikiwe sote.

Kesho Jumamosi 24/01/2026 tutakuwa katika kituo cha Watoto Yatima cha Kindheart kwa ajili ya kutoa msaada.

Nawakaribisha wote wenye mapenzi na kujua uthamani wa Yatima tujumuike pamoja kesho kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 5 asabuhi.

Mawasiliano 0765 505092

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Ilala?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Ilala