Fursa Kwa Wote
Ninafundisha watu kuanzisha biashara kwa mtaji mdogo sana na kuweza kujipatia kipato cha kila siku.
04/07/2026
Wa mama tupambane kwa kila hali ili kufikia malengo yetu.
29/06/2026
29/06/2026
Usiache fursa ikupite, ikimbilie kwa kupiga simu 0733 207 616.
Hakuna kukata tamaa katika jambo unalolifanya, lipambanie huku ukimtanguliza Mungu mbele.
08/03/2026
Mwanamke mwenzangu nakukaribisha katika semina ya Wanawake katika kusheherekea Siku ya Wanawake Duniani, itakayofanyika Landmark Hotel, Riverside, Ubungo siku ya Jumanne 10/3/2026 kuanzia saa 3 asb mpk saa 7 mchana.
Semina hii ni kwa ajili ya kukujenga Mwanamke na kukuondoa katika uchumi wa kipato cha chini na kuweza kufikia kipato cha kati mpk cha juu.
Pia itakusaidia kujua njia mbalimbali za kibiashara na kujua wengine walianzia wapi na sasa wapo wapi.
Utakavyokuja sivyo utakavyoondoka, njoo usikilize mwenyewe ili upate kitu sahihi.
Nafasi chache, watu ni wengi, upo seriuos chukua mawasiliano;
Nipigie au njoo wasap 0765 505 092
MARCH MWEZI WA WANAWAKE
Wanawake wengi wanategemewa sana, lakini hawana chanzo cha pili cha kipato. Nafungua nafasi 20 tu kwa wanawake serious.
Karibu mwanamke umiliki uchumi wako bila bugha yoyote. Mwaka huu ni mwaka wa kumiliki, anza kumiliki biashara yako na kipato chako.
Wasiliana nami 0765 505 092
01/03/2026
🌸 MARCH-MWEZI WA MWANAMKE🌸
Natafuta wanawake 20 tu wanaotaka kujiongezea kipato na kujitegemea kwa kumiliki uchumi wao. K**a una ndoto kubwa, niandikie “READY”.
0765 505 092
29/01/2026
Karibu nikuelekeze ni jinsi gani unaweza kubadilisha maisha yako kwa kufanya biashara ambayo utaanza kwa mtaji mdogo kabisa na baada ya muda utaona mafanikio yake.
Biashara ambayo inataka watu wachapakazi na wenye uhitaji wa mafanikio.
K**a upo tayari wasiliana nami 0765 505092.
Kutoa ni moyo tuwasaidie watoto yatima ili nao waone kuwa wana wazazi wanaowajali. Katika kuwasaidia yatima nasi tunapata baraka.
Kuna wakati unaweza ona mambo hayapo sawa ni kwa sababu hatutoi sadaka. Tujitahidi kutoa kile tulichonacho ili tubarikiwe sote.
Kesho Jumamosi 24/01/2026 tutakuwa katika kituo cha Watoto Yatima cha Kindheart kwa ajili ya kutoa msaada.
Nawakaribisha wote wenye mapenzi na kujua uthamani wa Yatima tujumuike pamoja kesho kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 5 asabuhi.
Mawasiliano 0765 505092
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Ilala