Mary's nutritional care
nasaidia watu kuondokana na changamoto za kiafya
USHAURI NA SURUHISHO MAGONJWA KWA AKINA MAMA TUPIGIE SIMU 0785 045 282
12/05/2023
IFAHAMU SARATANI YA UTUMBO MPANA;
👉Mwanzo wa saratani ya utumbo mpana ni vimbe ndogondogo zisizo saratani ambazo taratibu huanza kujitengeneza kwenye utumbo na baadaye kuanza kugeuka kuwa seli za
-
Kulingana na takwimu, tatizo la aina hii ya saratani linazidi kuongezeka kila kukicha huku asilimia 5 tu ya wagonjwa wakiwa wamerithi tatizo hilo.
-
Baadhi ya watu wenye saratani ya utumbo mpana hupata dalili za maumivu kwenye tumbo na tumbo kujaa gesi na kadiri tatizo linavyokuwa la muda mrefu zaidi ndivyo ukali wa maumivu unavyoongezeka zaidi.
💥🤔SABABU ZA SARATANI YA UTUMBO MPANA👇
Watu wenye umri mkubwa kuanzia miaka ya 50 wapo kwenye hatari zaidi
-
Kula lishe mbovu hasa vyakula viliyosindikwa na kuchakatwa kiwandani k**a nyama za makopo, mafuta yaliyochemshwa kiwandani na kuwekewa "Hydrogen"
-
Uzito mkubwa na kitambi pamoja na kuishi bila ya kufanya mazoezi na kuushugulisha mwili
-
Matumizi makubwa ya pombe hasa kwa watu wazima na wenye umri mkubwa na uvutaji wa sigara na tumbaku
-
Wagonjwa waliowahi kuugua magonjwa ya mfumo wa chakula kwa kipindi cha nyuma
-
Watu wenye kisukariA
💥🤔DALILI KUU ZA SARATANI ZA YA UTUMBO MPANA
-
Mabadiliko kwenye choo k**a kuharisha na kupata choo kigumu ama kukosa choo kwa muda mrefu, dalili hizi zinaweza kuwa za muda mrefu
-
Kupata choo chenye damu ama choo cheusi na chenye nta
-
Mwili kuchoka sana kila mara, kichefuchefu na kutapika mara kwa mara
-
Kukosa hamu ya kula na mwili kupungua uzito ghafla na mwili kuishiwa damu (anemia)
-
Macho na ngozi kuwa na rangi ya manjano (jaundice
💥🤔JINSI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA SARATANI HII
-
Kula zaidi vyakula vya kuondoa sumu na vyenye nyuzinyuzi au kambakamba kwa wingi. Vyakula hivyo ni k**a Parachichi, N**i na Tuwi la N**i, Viazi Vitamu, Bamia, Karanga, Mafuta ya N**i na Mizeituni, Tangawizi, Kokoa na uUyoga.
-
Hakikisha unapunguza uzito pia fanya mazoezi ya kutosha na kuushugulisha mwili wako
-
Punguza matumizi ya pombe na sigara.
-
Hakikisha unatibu magonjwa ya mfumo wa chakula, k**a kuharisha na kukosa choo kwa muda mrefu.
_
Watsap/piga 0785045282
____________
12/05/2023
🌿Tumia zaidi vyakula hivi kuongeza Ute Ute na hamu ya tendo la ndoa, Ila hakikisha huna Maambukizi katika via vyako vya uzazi, K**a P.I.D, fangasi n.k, hata Ukiwa na fangasi uvimbe, hakikisha unajitibia, na pia ondoa stress zako kabisa!!
Tumia zaidi, mboga mboga za majani kwawingi, matunda zaidi, parachichi walau mawili kwasiku, Tangawizi Kali kilasiku, soya, bamia, nyanya chungu, karanga, tumia zaidi nafaka zisizokobolewa, pia achana na Unywaji wa soda,, fast food, pombe nk, utanishukuru.
Pia Ukiwa na matatizo K**a uvimbe, homoni, P.I.d, N.k, mkombozi wako mkubwa Ni women kits na Dr Thabith utasimamiwa kwa uzurii zaidi! Sukuma picha zote!
Tuwasiliane no
0785045282 dr.mary's nutritional care
12/05/2023
Harufu ya shombo la Samaki Ukeni
✅ Ugonjwa wa Vaginitis
Vaginitis ni kuvimba na kututumka kwa uke kutokana na maambukizi ya bakteria au fangasi. Vaginitis pia yaweza kusababishwa na magonjwa ya zinaa k**a trichomoniasis. Kutokwa na harufu ya shombo la samaki ni ni dalili kubwa ya mambukizi haya.
✅ Ukuaji wa Bakteria wabaya kupita kiasi(bacterial vaginosis)
Sababu kubwa inayopelekea kuvurugika kwa mazingira ya uke ni kufanya ngono na wanaume tofautitofauti. Wanawake pia wasiofanya ngono mara kwa mara wanaweza kupata tatizo hili pia na kusafisha uke kupita kiasi kuingiza vitu ukeni kuna waua bacteria wazuri wanao Linda uke.
✅ Maambukizi kwenye njia ya mkojo(UTI)
Maambukizi ya bakteria kwenye njia ya mkojo kunaweza kusababisha kutokwa na harufu ya shombo la samaki ukeni. Dalili zingine za UTI ambazo waweza kupata ni pamoja na muwasho , kuungua na maumivu wakati wa kukojoa.
✅ Njoo tukusaidie uondokane na maradhi.fen CPE nine(55,000/=) pamoja Na Gonardem (70,000/=) ni dawa nzurii ya kumaliza tatizo ili kabisa Na kuondokana nalo.
Nitumie Ujumbe sasa hivi kupitia Whatsapp no:0785045282 Dr.mary's nutritional care
12/05/2023
MAUMIVU YA TUMBO KWA CHINI UPANDE WA KULIA
Sababu zipo nyingi soma makala hii then utaelewa ni changamoto gani inakusumbua
Sehemu ya tumbo kwa chini upande wa kulia ndipo ambapo baadhi ya viungo kupatikana k**a utumbo mkubwa, appendix, na kwa baadhi ya wanawake ni ovari hupatikana maeneo haya.katika hali za kawaid maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia huwa yanaondoka yenyewe ndni ya siku mbili ama tatu. Ila kwa baadhi ya nyakati k**a yanahusiana na shida za afya zaidi matibabu ni lazima yafanyike.
Maumivu haya yatahidaji uangalizi wa karibu wa daktari endapo yatafungamana na dalili zifuatazo:
1.Maumivu na mkandamizo kwenye kifua
2.Homa
3.Damu kwenye kinyesi
4.Kuendelea kwa kichefuchefu na kutapika kwa masiku kadhaa.
5.Ngozi kuwa na rangi ya njano
6.Kukaza kwa tumbo sana unapoligusa
7.Kujaa kwa tumbo
Sababu za maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia
1.Ugonjwa wa Appendix:
Appendix ni sehemu ndigo ambapo utumbo mkubwa hukutana na utumbo mdogo. Sasa sehemu hii hutokea kuathiriwa hivyo hujaa na kuvimba ugonjwa huu unaitwa appendicitis. Hii ni katika sababu kuu za maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia. Tofauti na maumivu haya ugonjwa wa appendix hufungama na na dalili zifuatazo:-
1.Kichefuchefu
2.Kutapika
3.Homa
4.Kuharisha
5.Kukosa hamu ya kula
6.Kujaa kwa tumbo
7.Kukosa hamu ya kula.
2.Kujaa gesi tumboni. Kikawaida ndani ya tumbo kuna gesi, ambayo husababishwa na vuakula tunavyokula. Sasa kila chakula mbacho hakijameng’enywa kinapoongezeka tumboni, yaani unapokula gesi zaidi hujitengeneza tumboni. Wakati gesi inapoongezeka inapelekea kujaa kwa tumbo na maumivu ya tumbo.
Pia mgonjwa atahisi kucheua gesi kwa sauti kutoka mdomoni, pia kujamba mara kwa mara ili kupunguza gesi.endapo tatizo hili litakuwa ni kubwa na endelevu linaweza kuashiria shida nyingine k**a kisukari
Sababu nyingine za gesi tumboni:-
1.Kumeza gesi
2.Kula zaidi kupitiliza
3.Kutafuna bigjii
4.Kuvuta sigara
3.kukosa choo
Kukosa choo huleta maumivu baada ya kula ama kunywa kitu. Maumivu haya kikawaida yanatokea sehemu ya juu ya tumbo lakini unayahiisi sehemu ya chini kwa upande wa kulia.
Dalilo za kukosa choo:-
Tofauti na maumivu haya ya tumbo lakini yanaambatana na dalili zifuatazo:-
A.Kiungulia
B.Kujaa tumbo
C.Kushiba mapema
D.Kujuhisi mgonjwa
E.Kucheua gesi mdomoni
F.Kujamba
G.Kucheua chakula ama majimaji machungu
4.Kuwa na henia hutokea pale shehemu ya ya ndani ya tumbo inaponasa kwenye misuli nsani ya tumbo na kupelekea maumivu. Dalili za henia ni pamoja na:-
A.Kuvumba kwa sehemu husika
B.Kuongezeka kwa maumivu
C.Mamivu wakati unaponyanyua kitu, unapocheka, unapolia ama unapokohoa
D.Kuhisi tumbo kushiba, ama kukosa choo.
5.Kuwa na vijijiwe kwenye figo.
Hutokea pale vijichpe vijidogo vigumu vilivyotengenezwa kwa chumvi vikijikusanya kwenye figo. Hali hii ikitokea huleta maumivu mgongoni, chini ya mbavu na chini ya tumbo upande wa kulia.
Dalili nyingine za vijiwe vya kwenye figo
A.Maumivu wakati wa kukojoa
B.Mkojo wenye rangi ya kahawia, nyekundu ama damu ya mzee
C.Mkojo wenye mawinguwingu na unatoa harufu kali
D.Kichefuchefu
E.Kutapika
F.Kuhisi kukojoa mara kwa mara
G.Homa na baridi.
Sababu zinazoathiri wanwake tu
1.Tumbo la hedhi
Maumivu haya yanaweza kutokea kabla na baada ya kubata hedhi. Yanaweza kutokea pande zote yaani kulia na kushoto kwa chini. Maumiv haya yana dalili k**a:
A.Maumivu endelevu
B.Maumivu ya chini mgongoni na mapajani
C.Kichefuchefu
D.Kupata kinyesi kilaini
E.Maimivu ya kichwa
F.Kizunguzungu
2.Kuota kwa tishu za tumbo la uzazi mje ya tumbo la uzazi. Kitaalamu hufahamika k**a endometriosis. Hali hii inapelekea maumivu ya tumbo kkwa chini, pia huandamana na yafuatayo:
A.Maumivu wakati wa tendo la ndoa na baada
B.Maumivu unapokojoa
C.Maumivu makali ya umbo la hedhi
D.Hedhi yenye damu nyingi
E.Kutokwa na matone ya damu
3.Matatizo katika ovari au ovarian cyst. Mara nyingi maumivu yanayosabavishw ana atizo hili huondaka yenyewe. Yanaweza kuonyesha dalili k**a kujaa kwa tumbo, kuhisi kujaa sana. Kuhisi kushiba sana, maumivu makali ya tumbo kwa chini. Muone daktari k**a maumivu yatakuwa na:-
A.Makali sana kupiitiliza
B.Homa
C.Kutapika
D.Baridi kwenye ngozi
E.Kuhema mbiombio
F.Uchovu
4.Ujauzito uliotungia nje (ectopic pregnancy). mgonjwa ataona dalili k**a kutokwa na damu ukeni, maumivu mwisho wa mabega na mwanzoni mwa mikono, maumivu wakti wa kukojoa.
5.Ugonjwa wa PID
Dalili za PID
A.Homa
B.Kutokwa na uchafu ukeni
C.Maumivu makali ya chango
D.Kuhisi k**a kuunguwa wakati wa kukojoa
E.Kutokwa na damu wakati wa hedhi
Ushauri na tiba zaidi 0785045282
12/05/2023
Tuone Namna Gani Tatizo hili Hutokea
TATIZO LA UUME KUSINYAA
Mwanaume anayepatwa na tatizo hili anapokuja kujigundua huona k**a mabadiliko makubwa yaliyotokea ghafla katika viungo vyake vya siri.
Kwa kawaida hali hii hutokea katika umri mkubwa kwa mwanaume yaani kuanzia umri wa miaka hamsini lakini ikitokea katika umri chini ya miaka hamsini basi ni tatizo. Wapo vijana wenye matatizo haya ambayo vyanzo vyake tutakuja kuviona katika safu hii.
CHANZO CHA TATIZO
Hali ya kwa viungo vya uzazi kwa mwanaume hutokana na kuwepo kwa msukumo hafifu wa damu sehemu hiyo, maambukizi sehemu za siri ambayo huwa ya muda mrefu hasa kaswende, hitilafu katika misuli ya uume na sehemu za siri za mwanaume inayoathiriwa na kaswende virusi vya HIV, ugonjwa wa kifua kikuu na hata baadhi ya magonjwa sugu ya ngozi.
Matatizo mengine yanayochangia hali hii ni ugonjwa wa kisukari.
Matatizo katika mishipa ya damu vilevile huweza kusababishwa na magonjwa ya moyo au mishipa ya damu inayosambaa sehemu hizo.
Misuli inaposinyaa nayo ni hitilafu katika mfumo wa homoni Kwa upande wa mwanaume homoni inayopungua kwa mwanaume ni Testosterone.
DALILI ZA TATIZO
Mwanaume mwenye tatizo hili hasa kijana, ingawa kwa wazee ni hali ya kawaida, kijana huanza kuona
1😪Mfuko wa pumbu hulegea na kushuka sana,
2😔Pumbu usinyaa na kujikunja kunja,
3😰Kokwa huonekana ndogo na mishipa mikubwa ya damu huanza kujitokeza na mishipa mbegu toka katika kende huonekana wazi.
4😣Uume huwa k**a wa mtoto mdogo na mishipa ya damu huchomoza wazi.
5🙆Nguvu za kiume hupungua sana na endapo ukiweza tendo la ndoa la kwanza unawahi kumaliza na kushindwa kabisa kupata tendo la pili.
6💏Mara kwa mara maandalizi kabla ya tendo la ndoa kwa mwanaume mwenye tatizo hili ni kuchezea sana uume kwa kuurusharusha au kuupiga piga kidogo kidogo ili kuamsha au kuhamasisha msukumo wa damu.
Baada ya hapo uume huanza kusimama taratibu na endapo utasimama basi inabidi uwahi tendo na k**a utachelewa, basi uume utalala na kushindwa tena kufanya tendo kwa siku hiyo.
UCHUNGUZI
Tatizo hili k**a tulivyoona husababishwa na magonjwa mbalimbali, pia yapo matatizo na magonjwa mengine yanyochangia hali hii, magonjwa k**a kisukari, endapo ugonjwa utakuwa wa muda mrefu unaweza kuathiri hali hii.
Tabia ya kujichua kwa mwanaume pia huweza kuathiri au kusababisha tatizo hili k**a mtu atakuwa amejichua au kupiga punyeto kwa muda mrefu kwani msukumo wa damu sehemu za viungo vya uzazi utakuwa umeathiriwa.
lakini pia mambukizi ya bacteria wabaya huathiri viungo vya uzazi na kupelekea kutokea kwa tatizo hili.
Madhara ya tatizo hili
1🚹Viungo vya uzazi vinaweza kupooza kutokana na hitilafu katika mishipa ya fahamu.
2🚫mwanaume kushindwa kabisa kufanya tendo la ndoa .
3🌀 hakuna kabisa mawasiliano yanayoleta msisimko ama kukosa kabisa hamu na hisia za kushiriki tendo la ndoa.
Lipo suluhisho LA kudumu LA kuweza kutatua tatizo hilo Moja kwa moja Bila kujirudia.
Nutrients therapy parckege ni dozi ya kutibu tatizo hili pekee.
FAHAMU KAZI ZAKE NA FAIDA ZAKE
Parckege ya nutrients therapy
Ninguvu ya men's kit package kwenye mfumo wa uzazi wa mwanaume` mwanaume, Aibu zina epukika sasa.
Anza tiba leo. zijue faida zake.
✅ Kuondoa tatizo la kuwahi kufika kileleni kwa mwanaume hivyo kutumia dakika 30+ bila madhara kwenye tendo kwako ni kitu cha kawaida ukitumia tiba hii.
✅kuongeza uzalishaji wa mbegu za kiume
✅ kuondoa tatizo la homon imbalance kwa mwanaume
✅ kuzuia maumivu ya korodani na korodani kupanda juu ama kushuka sana chini.
✅kuimarisha na kuongeza nguvu katika mirija ya uume kuupa msuli wa pelvic nguvu
✅kuepusha uume kusinyaa katikati ya tendo la ndoa kuzalisha mbegu zenye ubora na kuzuia ugumba/utasa
✅kusafisha kibofu cha mkojo na kuondoa uvimbe kwenye korodani
✅kuzuia na kutibu maambukizi kwenye uzazi, maumivu ya mgongo na tumbo kunguruma kwa mwanaume na kiunguria sugu.
✅kuzuia korodani kuvimba au kusinyaa usihangaike tena mwanaume tiba hii nimkombozi.
✅kuimarisha mzunguko wa damu kufika kwenye mishipa na misuri midogo midogo hasa kwenye Uume ,macho,mikono,miguu hivyo kufanya uume uongezeke pindi unapo simama na kuwa mgumu k**a msumari.
Gharama halisi ya packege yako Nutritional Therapy Men's kit parckege hii ni 280,000 tu lakini kwa bahati nzuri kwako ni kwamba kuanzia jana ofisi ilitoa offer ya punguzo la progamme yako ambapo badala ya kulipia 280,000 kwasasa utalipia195,000 tu na utakuwa umeokoa Elfu 85,000
Na offer hi itadumu ndani ya wiki moja pekee kuanzia jana hivyo tumebaki na siku sita tu kabla ya offer kuisha
Idada ya parkeji zitazo toka zipo 20 Tuu ivyo zinaweza kuisha kabla ya muda wa offer kuisha.
Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Utajipatia kwa #195000
OFISI ZETU ZINAPATIKANA MIKOANI KOTE Tz na NJEE YA Tz
Mawasiliano piga 0785045282
ARUSHA -kaloleni mkabala na shule ya sekondari kaloleni
DAR- ES -SALAM- Mlimani City,Ilala,mbezi mwisho,picha yandege naTuangoma
MWANZA - Buzuruga
DODOMA - Majengo sokoni pamoja na Meriwa .
MBEYA - Mwanjerwa
IRINGA - Mafinga sacoss soko kuu
Tanga - Bandari Hourse
Moshi - Ofisi ya Kibo Tower
Tabora
Kigoma
Njombe nk....
Njeee na Sehemu hizo tunatumisha kwa usafiri wa basi na huduma zinakufikia
Piga simu 0785045282
UJIPATIE MAELEKEZO YA KUFIKA OFISINI NA UPATE SURUHISHO LA KUDUMU
12/05/2023
KWANINI UNAKOSA ZIKU ZAKO ZA HEDHI AMA KUPITISHA MWEZI BILA KUONA SIKU ZAKO???
SOMA ELIMU HII UFAHAMU
Unaweza kupitiliza siku zako za hedhi kwa sababu nyingi. Post hii itakueleza ni kwa nini umechelewa kupata siku zako.
Hizi ni baadhi tu ya sababu za kuchelewa kupata siku zako
1.Mimba
2. Stress
3. Vyakula
4. Hali ya hewa
5. Shughuli
6. Mabadiliko ya homoni
7. Maradhi
Mimba inaweza kuwa ni sababu ya kwanza ambayo watu huwa wanaifikiria. Hata hivyo mara nyingi mimba haiwi ni sababu ya kukosa hedhi.
Msongo wa mawazo au stress, inaweza kuwa ni moja ya sababu za msingi sana za kukosa hedhi. Msongo wa mawazo unaweza pia kusababisha ugonjwa.
Vyakula mara nyingi huwa ni chanzo cha kukosa hedhi. Angalia k**a umebadili utaratibu wa kula. Huwenda vyakula ndio vilipelekea hasa.
Matumizi ya dawa na baadhi ya njia za kudhibiti uzazi mara nyingi huchangia kukosa hedhi. Dawa za uzazi ambazo ni za homoni zinaweza kukukoseshea hedhi
jwa ushauri ama matibabu wasiliana nami
12/05/2023
KUBADILI MFUMO WA ULAJI NA UHUSIANO WA KUBEBA UJAUZITO.
Kula vyakula sio sahihi huleta magonjwa yanayotokana na mfumo mzima wa ULAJI na kupelekea matatizo katika mfumo wa uzazi, ukiwa na Mvurugiko wa homoni, kitambi, uzito mkubwa, kisukari,
Basi kwako unakuwa kwenye nafasi finyu ya kuweza kubeba ujauzito, acha kula holela,
Epuka vyakula vya kukaanga na mafuta mabaya, Acha kunywa vinywaji vya viwandani, Acha kunywa pombe,
Epuka Kwa silimia kubwa vyakula vya wanga, kula kiasi kidogo mno, Acha kula fast food, chips, snacks, n.k,
-
Zingatia vyakula hivi hapa vitakusaidia zaidi kutimiza lengo lako.
ASUBUHI- k**a unatumia chai basi,unaweza kutumia maziwa fresh, au Chai ya Tangawizi+mchai chai+ mdarasini, au supu Yako safi, nyama, au ya samaki, Acha kula maandazi, bagia, chapati, na vyakula vingine vinavyotongana na ngano zilizokobolewa.
Unaweza kutumia viazi vitamu, magimbi, ndizi za kuchemsha,+ ongeza matunda, au mayai Asubuhi sio mbaya.
PATA ZAIDI VYAKULA HIVI HAPA CHINI👇👇
1:Mboga mboga za majani, kwani Ni chanzo Cha vitamic, C usisubiri kumeza vidonge vya vitamini c, anza kutumia vyakula,Pia Ni chanzo kizuri Cha Folic Acid, Tumia zaidi kabichi, broccoli, nyanya, spinach, karoti, namboga zingine za kijani.
2:)MATUNDA.
Matunda Ni chanzo kizuri Cha Antioxidants, tumia zaidi, maparachichi ndizi, machungwa, tikiti maji, nanasi, zabibu.
3)OMEGA 3 FATS
Chanzo Cha Omega 3, Samaki, salmon fish 🐟) mayai, pia nyama yakuku tumia zaidi.
👉Pia tumia Sana Maziwa, kwani utapata Madini ya calcium, fats, vitamin D.
4): Pia tumia kunde, Maharage,Nataka K**a ngano,nyama,
mchele wa kahawia.
5:)Zingatia kutumia vitu Asilia (viungo)
👉Tumia mafuta ya Mzeituni(Olive oil)kukaangia/kupikia, pia mafuta ya Samli, N**i.
👉Tumia mbegu za maboga,unaweza kutafuna, au kuunga kwenye mboga zako.
👉Tumia Mbegu za alizeti.
👉Tumia karanga mbichi, unga kwenye mboga zako au tafuna.
👉Tumia vitunguu swaumu walau meza punje saba kilasiku.
-
Umejifunza kitu, fuata ushauri huu utakusaidia kwa Matumizi ya Baadae,
Pia Usisahau kushere na wengine wahanga wa changamoto kutopata mimba kupata Elimu zaidi kuhusiana Na Vyakula tiba.
Unatatizo gani linakusumbua?? Niandikie ujumbe,
12/05/2023
Embu Niambie, Utajisikiaje na wewe ukaitwa mama flani? Au kuongeza Mtoto mwingine🤰🏽🤱🥰
Furaha yangu DrThabith, ni kuona Kila Mwanamke Ni MAMA🤱,
Bado nahitaji kupokea shuhuda zaidi ya 5000+ Mwaka huu PEKEE. Una nafasi ya kuwa mmoja wapo,
Lakini huenda labda Wewe ndiye Huyu?!👇🏾
✅ Imeshindikana Kabisa kubeba Ujauzito.
✅ Unatokwa na uchafu, harufu mbaya sehemu za Siri.
✅ Mzunguko wako wa hedhi haueleweki Tena.
✅ Unasumbuliwa P.I.D Fangasi, na U.T.I sugu.
✅ Unahisi Maumivu Makali wakati wa Tendo la Ndoa au kukosa hamu ya tendo Kabisa.
✅ Maumivu wakati wa kukojoa.
✅ Kiuno kuuma Sana wakati wa hedhi.
✅ Maumivu chini ya kitovu.
✅ Nimepima vipimo vyote vya Uzazi sina Tatizo lolote lakini sipati Mimba!
✅ Unahisi Maumivu wakati wa tendo la Ndoa, Ukeni panakuwa pakavu Sana.
✅ Mimba kuharibika mara kwa mara kabla ya muda wa kujifungua
Usijali Kabisa, HABARI YAKO NJEMA HII HAPA👇🏾
▶️ Uzazi Special Offer:-
Hii ni special offer maalumu kwako mwanamke/ Dada, Unayeangaika Na matatizo ya uzazi kwa muda mrefu,
Au ambaye Umejaribu/ unajaribu Kila namna kupata Mtoto lakini la!.., umetumia madawa mengi Bila mafanikio 😥
👉 NDANI YA OFFER HII UTAPATA MAMBO HAYA BURE KABISA.
1️⃣ Utasimamiwa Mwaka Mzima, miezi (12) kwa kuendelea kupewa Elimu zaidi juu ya Afya ya uzazi.
2️⃣ Utafundishwa bure namna ya kuutambua mzunguko wahedhi na siku za hatariii.
3️⃣ Utaweza kuipata package mzima ya kukusaidia kutibu changamoto zote tajwa hapo juu za uzazi kwa 240,000/=
Kutoka gharama yake ya kawaida ambayo ni 340,000/= Dose ya siku 30.
Kwanini inafanya kazi zote hizo?!,
N:B- Dawa hizi zimetengenezwa na mimea asilia, Matunda Na vyakula Asilia zaidi ya 131,
Hivyo hazina Kemikali, Zimethitishwa na mamlaka zote Husika Kuwa Salama.
Kamwe usikate tamaa! Siku yako ya kufutwa machozi inakuja.🙏🏾🙏🏾
Karibu tukusaidie kwa changamoto yoyote ya uzazi uliyonayo. Kupitia Thabith personal care Herbal clinic tumegusa maisha ya watu wengi.
USHAURI NI BURE KABISAAAA!
Nipo Online muda huu, Nitumie Ujumbe,
Ikiwemo umri wako, changamoto ambayo Upo nayo, Na Upo nayo kwa muda gani?
Whatsapp no: 0785045282 Dr. Mary's nutritional care
Tunapatikana Dar Es Salaam Tanzania. Na mikoani pia tuna office
12/05/2023
NJIA 10 ZA KUPUNGUZA TUMBO BAADA YA KUJIFUNGUA.
Inachukua muda gani hasa kwa tumbo la uzazi kuondoka?
Baadhi ya wanawake huchukua siku kadhaa, baadhi huchukua miezi kulingana na bidii ya mwanamke husika ya kulitoa tumbo baada ya kujifungua.
👉🏽 Zingatia mambo haya ili kuliondoa tumbo la uzazi...
1. Nyonyesha mtoto; kunyonyesha mtoto sio kuna ongeza kinga ya mtoto tu bali usaidia sana kupunguza tumbo. Wanawake wengi wa siku hizi hawanyonyeshi kwa sababu za kiurembo lakini nakwambia wengi wao huishia kua wanene sana kwa kukosa faida hii.
2. Vaa mkanda wa tumbo; hii ni njia ya kiasili na kizamani zaidi kwani imetumika kwa miaka mingi na watu wa rangi mbalimbali duniani. Mkanda wa tumbo husaidia kuikaza misuli ya tumbo na kuongeza kasi ya kupungua kwa ukubwa wa tumbo .
Ukiwa unavaa mkanda wa tumbo au unafunga kitambaa chochote hakikisha haukazi sana au kulegeza sana ili uweze kupata matokeo mazuri.
kwa matokeo mazuri zaidi, mkanda huu uvaliwe kwa wiki nne mpaka sita baada ya kujifungua.
3. Fanya mazoezi; Mazoezi husaidia sana kupunguza tumbo la uzazi, sio lazima kufanya mazoezi mazito sana lakini unaweza kutembea, kukimbia kidogo, kuruka kamba, cardio na kadhalika, na utapata matokea mazuri sana ndani ya muda mfupi,
-
Fanya mazoezi angalau dakika 20 mpaka 30 kwa siku hasa pale mtoto anapokua amesinzia.
4. Kula kwa uangalifu na epuka diet kali sana; wanawake wengi hupaniki baada ya kuzaa na huanza kufunga kula na kuruka chakula ili wapungue haraka kitu ambacho sio kizuri kwako na kwa mtoto.
kipindi hiki bado unahitaji chakula cha kutosha ili uweze kupata maziwa mengi ya kumpa mtoto, hivyo punguza sana ulaji wa vyakula vya wanga k**a ugali, mihogo, wali, ndizi na acha kabisa kula wanga ambao sio muhimu k**a chips, sukari, biskuti, soda, maandazi, na fast food zote.
kula zaidi vyakula vya protein k**a nyama, samaki, dagaa, maharage na karanga huku ukichanganya na mboga za majani na matunda kwa wingi.
kumbuka ni vizuri kula kidogo kidogo angalau mara sita kwa siku kuliko kula milo mitatu mizito.
4. pumzika; ni kweli mtoto hua anasumbua sana lakini mtoto akitulia na wewe pumzika ili upate usingizi wa kutosha.
kwa hali ya kawaida k**a mama hupati usingizi mwili wako unakua katika hali ambayo sio ya kawaida, hali hii huvutia mafuta katikati ya tumbo na kukufanya uendelee kua mnene.
6. kunywa chai ya kijani [green tea]; majani haya yamejizolea umaarufu duniani kote kwani huondoa sumu mwilini na kusaidia sana kwenye uchomaji wa chakula kwenye mwili wa binadamu.
kwa kutumia majani ya chai haya kila siku hukusaidia sana kupunguza kitambi cha uzazi.
7. kunywa maji ya uvuguvugu; kunywa maji ya uvuguvugu asubuhi na hata mchana ukisikia kiu, unaweza kuchanganya na limao kidogo.
maji ya uvuguvugu huongeza kasi ya uchomaji wa mafuta ya mwili kwa kuongeza joto na kuondoa nje sumu ya mwili.
8. massage ya mwili; massage ni muhimu sana hasa zile sehemu ambazo zinaonekana zina mafuta sana maeneo ya tumboni.
massage pia husaida metabolism au uunguzaji wa mafuta na ni vizuri ukaikafanyika hasa baada ya mazoezi.
9. epuka msongo wa mawazo; msongo wa mawazo humwaga homoni aina ya cortisol kwenye damu ya mtu, homoni hiii husababisha kuchoka na kuongezeka uzito.
hakikisha mambo yako umeyapangilia vizuri na hata k**a kuna kitu unaona kinakupa mawazo sana basi usikipe nafasi, amini matatizo yapo kwa kila mtu na yataisha tu.
10. kula mboga za majani nyingi; mboga za majani husaidia mmengenyo wa chakula, huondoa sumu ambazo zinajikusanya kwenye utumbo mkubwa, pia zina virutubisho vingi na uzito mdogo[calories] kiasi kwamba hata ukila nyingi haziwezi kukunenepesha...hii husaidia kupunguza uzito.
mwisho ;hakuna uzazi rahisi, mara nyingi ukijifungua lazima uongezeke uzito..hivyo ni wajibu wako kupambana na uzito huo mpaka urudi kwenye hali yako ya kawaida.
kuendelea kua mnene baada ya kujifungua kuna madhara mengine baadae ikiwemo kisukari, shinikizo a damu, ugonjwa wa moyo na uzazi mgumu wa mimba zijazo..
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Iringaa
Iringa
2030