Afrida Na Afya Yako

Afrida Na Afya Yako

Share

NASAIDIA KULEJESSHA AFYA ZA WATU KWA KUTUMIA VIRUTUBISHO LISHE VYA ASILI

16/11/2021
15/11/2021

0712817570

03/11/2021

FAHAMU FAIDA ZA KUTUMIA TIBA HII KWA WEWE MWANAMKE.
Hii ni Dawa au Tiba ya Asili kutoka USA ambayo hutumiwa na Wanawake kwaajili ya kuondoha changamoto mbalimbali Ukeni. Imetengenezwa kiasili 100% haina kemikali mbaya.

ZIJUE FAIDA 9 ZA KUTUMIA TIBA HII.
1. Huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaochangia vyoo.

2. Inatibu Fangasi sugu ukeni na U.T.I sugu.

3. Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D ikitumika na Yunzi.

4. Huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika.

5. Inafanya Uke kuwa msafi na mkavu muda wote.

6. Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika ikitumika na Refiny.

7. Inakaza misuli ya Uke uliolegea na kuwa tight.

8. Inaondoa maumivu ya Tumbo chini ya kitovu. (chango). 9. Inaondoa michubuko ukeni, vidonda na vijipele vyote.
`
Uke ni sehemu ya wazi yenye unyevu unyevu ni rahisi Kuvurugwa na kupata Maambukizi ya Mara kwa mara, Utibu na Utunze kwa kutumia feminine cleaner, Kiboko ya Maambukizi yote Ukeni na kwenye via vya Uzazi.
-
Jipatie Tiba hii
Piga📞 0712 817 570

01/11/2021

DALILI ZA UTI
1).Kupata maumivu wakati wakutoa haja ndogo.
2).Kupata miwasho sehemu za siri.
3).kukojoa mkojo mchafu.
4).kishikwa na hamu ya kukojoa ila mkojo unatoka kidogo
5).maumivu ya nyonga na maumivu chini ya kitovu.
6).mkojo kuwa na harufu mbaya na pia kubadilika rangi kuwa nyeusi au rangi ya mawingu
7).kukojoa mara kwa Mara mkojo kidogo.

TIBA YAKE
Kwa kutumia virutubisho lishe vya asili vitaenda kukusaidia kuua bacteria wabaya sehemu za Siri za mwanamke na kuzalisha bacteria walinzi kwa wingi.

Kwa ushauri na msaada zaidi wasiliana nami 0712817570

01/11/2021

*Dalili za PID ni zipi?*

Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID. Miongoni mwa dalili hizi ni :-

âś…Mwanamke kuhisi maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu

âś…Kupata maumivu ya mgongo.

âś…Mwanamke kupata utoko mchafu sehemu za siri. Utoko huu huambatana na harufu mbaya.

âś…Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa.

âś…Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa.

âś…Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi.

âś…Kupata homa.

âś…Wakati fulani kuhisi kichefuchefu na
Pia kutapika.

⏩Ugonjwa huu wa Pelvic Inflammatory Diseases *P.I.D* unakuwa kwa Kasi kubwa na baadhi ya wanawake hupata madhara makubwa baadae hususani Ugumba kutokana na kupuuzia matibabu. Ikiwa unaona dalili tajwa hapo juu jitahidi kuanza matibabu taratibu kabla haujapata madhara ambayo yanaweza kugharimu Maisha yako kwa ujumla.

Piga number

+255712817570

27/10/2021

Matatizo ya uzazi kwa mwanaume yanatibika mojakwa moja usiogopee karibuu nikuudumie

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Kariakoo?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Ilala Boma
Kariakoo