Ijue afyaa yako

Ijue afyaa yako

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Ijue afyaa yako, Health/Beauty, Bugurun, Kariakoo.

12/01/2023

*UREMBO WA ASILI KWA MWANAMKE* Siri ya mwanamke kuonekana mrembo na kijana kuondoa chunusi, mabaka, makunyanzi ya usoni na ung'arisha ngozi kwa njia ya Asili. *FEMINERGY CAPSULES* Imetengenezwa kiasili na kwa kiwango cha hali juu cha mbegu za zabibu ambazo hujulikana kuwa na kiwango kikubwa kinachopambana ba uzee kinachoitwa PROANTHOCY ANIDISM(OPC) *_Kazi ya feminergy_*
➡Huondoa makunyanzi na michirizi.
➡Huondoa makovu yaliyo achwa na chunusi.
➡Hung'arisha ngozi na kuondoa mabakaa yasiotakiwa.
➡Huifadhi unyevu wa ngozi.
➡Huzuia magonjwa yaletwayo na umri k**a kansa, kisukari, Magonjwa ya moyo, Macho na Alzheimer's (Watu wazima kupoteza kumbukumbu) Huifanya Organi zako kufanya kazi bila kuzeeka mapema. *_Faida za feminergy_* °Husaidia mishipa ya damu itanuke na kusinya hivyo kuiwezesha presha ya damu.
°Husaidia madhara ya mionzi ya jua, simu, Tv na mionzi mingine mwilini mwako.
°Husaidia kupambana na Allegy, Athma na mwili kukosa Nguvu. **Kwa nini uchague feminergy**
--->Ni ya Asili.
Matumizi yake ni 2×1

12/01/2023

*🌹Faida Za Derma Repair Lotion.......*
Ni Lotion nzuri iliyotengenezwa kwa viambata kutoka katika mimea 7 tofauti 👇
🔅Sun flower
Ambapo kuna Vitamin E Linoleic acid (hufanya ngozi isipoteze unyevu)

🔅AvocadoMadini mbalimbaliOmega-9 Vitamin E

🔅Plantain Antibacterial Germicidal

🔅SageDhidi ya michiliziKuvimba kwa ngozi

🔅WitchhazelWekundu kwenye ngoziMiwashoKuungua kwa jua

🔅PurslaneVimakovuKuzunguka kwa damu katika ngozi

🔅CamomileKuponesha ngozi kwa haraka Ngozi angavu
Kwa ujumla mafuta na viambata vingine vya mimea hii hufanya lation hii kuwa na uwezo huu👇

*Faida zake kwa ujumla....*

▪️Husaidia kutoa michilizi
▪️Kuondoa madoa na mabaka mabaka kwenye ngozi
▪️Husaidia Kuondoa Miwasho kwenye ngozi
▪️Husaidia Kuondoa hali ya allergy ya ngozi k**a vile Kuvimba n.k
▪️Kusaidia ngozi iliyoungua ama kubabuka na jua
▪️Kufanya ngozi kuwa nyororo
▪️Kufanya ngozi kuwa angavu na yenye nuru
▪️Hufanya ngozi kutokuwa na makunyanzi
▪️Hufanya ngozi isipoteze sana maji na kutokuwa naafuta sana
▪️Husaidia kulainisha miguu pia
P.S
Ni Lotion inauoenda kurejesha ngozi iliyoharibika na kulinda ngozi kuendelea kuwa imara
Ni Lotion kwa jinsia zote

Inapatika katika package (body lation +body cream)

Ngozi yako umaridadi wako na muoneokano wako

12/01/2023

*DALILI 7 ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*

1.Kukosa hamu ya tendo la ndoa.

2.Uume kutosimama barabara, au kusimama kwa ulegevu.

3.Kuchelewa sana, au kuwahi kufika kileleni.

4.Kushindwa kurudia tendo, akimaliza round ya kwanza hawezi kurudia tena.

5.Kushindwa kumfikisha mwanamke kileleni. K**a kila siku unamwacha mwanamke njiani, haridhiki basi una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

6.Kushindwa kufurahia tendo la ndoa. k**a unafanya tu ili mradi bila kufurahia basi kuna uwezekano una tatizo la nguvu za kiume

7.Dalili nyingine ni kukosa stamina ukiwa tendoni. Unafanya mapenzi kwa ulegevulegevu.

JE DALILI ZIPI ZIMEKUGUSA KATI YA HIZO?...

K**a unataka ushauri binafsi..

Piga au tuma sms

UNARUHUSIWA KUULIZA SWALI.

12/01/2023

*MATUMIZI HOLELA YA DAWA ZA HOSPITAL(ANTIBIOTIC) NI HATARI KWA AFYA YAKO YA MWILI, NA ORGANS MUHIMU K**A FIGO, INI, KONGOSHO NA MOYO NA KUPELEKEA FIGO KUFELI, INI KUCHAKAA NA KUCHOKA, KONGOSHO KUFELI NA KUSHINDWA KUZALISHA INSULINI YA KUTOSHA LAKINI PIA MATUMIZI YA DAWA ZA HOSPITALI KWA MUDA MREFU HUATHIRI MIFUMO YA UZAZI(WANAWAKE NA WANAUME) NA KUATHIRI MOYO KIUJUMLA NOTE;PUNGUZA KUTUMIA DAWA ZA HOSPITALI MARA KWA MARA NA ANZA SASA KUTUMIA VIRUTUBISHI LISHE Kwa msaada na maelezo zaidi NJO in box or Whtsp 0673597799

21/11/2022
Photos from Ijue afyaa yako's post 08/11/2022

DALILI ZINAZOASHIRIA UNAFUNGUS UKENI (jitibie mapema* )

*✍muwasho makali Sehemu Za Siri ( unaweza kuja na kupotea)*
✍ *vipele Vidogo Vidogo Ukeni*
✍ *kutokwa Uchafu Mweupe mzito K**a mtindi Au Wa Rangi Ya Kijivu Ukeni Wenye Harufu Mbaya*
✍ *Vidonda Au Michubuko Ukeni*
✍ *kutokwa Na Harufu Mbaya Ukeni*
✍ *kupatwa Na Maumivu Makali Wakati Wa Tendo La Ndoa*
✍ *kuvimba Na Kuwa Mwekundu Katika Mdomo Wa Nje Wa Uke*
✍ *kuwaka Moto Ndani Na Nje Ya Uke*.

👇👇👇MADHARA YA *FUNGUS ISIPOTIBIWE MAPEMA
👉 Maumivu wakat wa tendo la ndoa
👉uke kuwaka moto
👉mimba kuharibika
👉kutokupata ujauzito kwa muda mrefu 👉homon imblance
👉harufu mbaya ukeni
👉uke kuwa mkavu n.k*

KWA USHAULI NA TIBA TUPIGIE
Sms 0625047799
Piga sms 0673597799

35,000 Tu
35,000 Tu

Photos from Ijue afyaa yako's post 08/11/2022
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Kariakoo?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Bugurun
Kariakoo