Rombo one mix spicess coffee
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Rombo one mix spicess coffee, Health/Beauty, Kilimanjaro.
*P.O.BOX 1719 MOSHI*
*ROMBO ONE MIX SPECESS COFFEE � Nikituo Tiba Kinacho Fanya Utafiti Wa Magonjwa Mbali Mabali Ya Binadamu Na Kutibia Kupitia Vitu Hasilia K**a Matunda,Mboga Mboga,Mizizi
25/03/2023
AMOEBA/AMIBA NI UGONJWA WA TUMBO USIOFAHAMIKA KWA WATU WENGI
&-Watu wengi wanaugua magonjwa ya tumbo lakini ni wachache wanaofahamu kuhusu ugonjwa wa amoeba.
&-Amoeba/Amiba ni ugojwa ambao husababishwa na bakteria aitwaye Entamoeba Histolytica ambaye huishi katika kinyesi cha mwanadamu.
&-Ugonjwa huu huweza kuhathiri hadi uti wa mgongo pamoja na ubongo hivyo kupelekea mtu kupata matatizo ya akili pamoja na mgongo.
&-Vimelea vinavyoenezwa na bakteria huyu humsababishia mtu kuhara haja ambayo huonekana ina k**asi
NJIA ZA KUPATA
%-Kula matunda bila kuosha
%-kutokunawa mikono baada ya kutoka chooni
%-kula chakula bila kuosha mikono
%-kunywa maji yasiyochemshwa
WATU AMBAO WAPO HATARI KUPATA HAYA MARADHI NI
¥-Wasafiri
¥-Mashoga
¥-Wanafunzi
¥-Wafanya biashara sokoni
¥-Huanza kupata maradhi pale ambapo unakunywa au kula kitu ambambo ¥-kimechanganyika na hawa bacteria kisha wanaenda katika utumbo mdogo wanazaliana ¥-kuwa wengi baadaye wanashuka katika utumbo mkubwa na kuanza kushambulia ¥-mwili. wakikua huishi katika kinyesi cha binadamu kisha hutolewa kwa njia ya haja ¥-kubwa na kuishi katika aridhi kwa muda wa wiki nne.
DALILI ZAKE
Dalili huanza kuonekana ndani ya week 1 hadi 4 tokea mtu amekula mayai ya wadudu hawa.Dalili za ugonjwa huu ni
$-Maumivu ya tumbo ambapo tumbo linakua k**a linanyonga na maumivu yanakua hasa sehemu ya kitovu.
$-Kuhara choo kilichochanganyikana na vitu vinateleza k**a k**asi na saa nyingine kimechanganyikana na damu
Kuhisi haja na ukienda chooni unapata choo kidogo sana
@-Tumbo kujaa Gesi
@-kupungua uzito
@-homa
Endapo wadudu wameathiri Ini mtu hupata dalili k**a
©-Homa
©-Maumivu ya kichwa
©-Maumivu ya tumbo hasa sehemu ya kulia ya tumbo karibu na kifua.
JINSI YA KUJIKINGA NA UGONJWA HUU
Usafi wa mazingira, maji na chakula ndio njia kubwa ya kukukinga na ugonjwa huu, ∆-ikihusisha kunawa mikono kwa maji safi na sabuni unapotoka chooni.Vitu vingine vya kuzingatia ni pamoja na
∆-Kuosha vizuri matunda na mboga mboga kabla ya kula
∆-Epuka kula
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Kilimanjaro