Rombo one mix spicess coffee

Rombo one mix spicess coffee

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Rombo one mix spicess coffee, Health/Beauty, Kilimanjaro.

*P.O.BOX 1719 MOSHI*
*ROMBO ONE MIX SPECESS COFFEE � Nikituo Tiba Kinacho Fanya Utafiti Wa Magonjwa Mbali Mabali Ya Binadamu Na Kutibia Kupitia Vitu Hasilia K**a Matunda,Mboga Mboga,Mizizi

25/03/2023

AMOEBA/AMIBA NI UGONJWA WA TUMBO USIOFAHAMIKA KWA WATU WENGI

&-Watu wengi wanaugua magonjwa ya tumbo lakini ni wachache wanaofahamu kuhusu ugonjwa wa amoeba.
&-Amoeba/Amiba ni ugojwa ambao husababishwa na bakteria aitwaye Entamoeba Histolytica ambaye huishi katika kinyesi cha mwanadamu.
&-Ugonjwa huu huweza kuhathiri hadi uti wa mgongo pamoja na ubongo hivyo kupelekea mtu kupata matatizo ya akili pamoja na mgongo.
&-Vimelea vinavyoenezwa na bakteria huyu humsababishia mtu kuhara haja ambayo huonekana ina k**asi

NJIA ZA KUPATA
%-Kula matunda bila kuosha
%-kutokunawa mikono baada ya kutoka chooni
%-kula chakula bila kuosha mikono
%-kunywa maji yasiyochemshwa

WATU AMBAO WAPO HATARI KUPATA HAYA MARADHI NI
¥-Wasafiri
¥-Mashoga
¥-Wanafunzi
¥-Wafanya biashara sokoni
¥-Huanza kupata maradhi pale ambapo unakunywa au kula kitu ambambo ¥-kimechanganyika na hawa bacteria kisha wanaenda katika utumbo mdogo wanazaliana ¥-kuwa wengi baadaye wanashuka katika utumbo mkubwa na kuanza kushambulia ¥-mwili. wakikua huishi katika kinyesi cha binadamu kisha hutolewa kwa njia ya haja ¥-kubwa na kuishi katika aridhi kwa muda wa wiki nne.

DALILI ZAKE
Dalili huanza kuonekana ndani ya week 1 hadi 4 tokea mtu amekula mayai ya wadudu hawa.Dalili za ugonjwa huu ni
$-Maumivu ya tumbo ambapo tumbo linakua k**a linanyonga na maumivu yanakua hasa sehemu ya kitovu.
$-Kuhara choo kilichochanganyikana na vitu vinateleza k**a k**asi na saa nyingine kimechanganyikana na damu

Kuhisi haja na ukienda chooni unapata choo kidogo sana
@-Tumbo kujaa Gesi
@-kupungua uzito
@-homa

Endapo wadudu wameathiri Ini mtu hupata dalili k**a
©-Homa
©-Maumivu ya kichwa
©-Maumivu ya tumbo hasa sehemu ya kulia ya tumbo karibu na kifua.

JINSI YA KUJIKINGA NA UGONJWA HUU
Usafi wa mazingira, maji na chakula ndio njia kubwa ya kukukinga na ugonjwa huu, ∆-ikihusisha kunawa mikono kwa maji safi na sabuni unapotoka chooni.Vitu vingine vya kuzingatia ni pamoja na
∆-Kuosha vizuri matunda na mboga mboga kabla ya kula
∆-Epuka kula

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Kilimanjaro?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Kilimanjaro