Asilidhahabu products

Asilidhahabu products

Share

Imarisha mwili wako na madini 92 pamoja na vitamini mbalimbali. Wasiliana nasi 0622 646 167. Karibu. Bei za bidhaa zetu kuanzia shilingi 5,000/=

Photos from Asilidhahabu products's post 07/04/2023

LIPIA BIDHAA ZETU ZA MWANI KWA LIPA NAMBA 5630406(Asili Dhahabu General Enterprises)

Habari? Sisi ni watengenezaji wa bidhaa asilia za mwani. Tunauza kwa bei ya rejareja tu. Bei za bidhaa zetu ni kuanzia 500/=

Tunaomba fuata hatua zifuatazo kufanya malipo unapohitaji kununua bidhaa zetu hapa Asili Dhahabu General Enterprises.

Tigopesa kwenda Tigopesa Lipa namba
1. Ingia kwenye menu ya Tigo Pesa(*150*01 #)
2. Chagua namba 5,"Lipa kwa Simu"
3. Chagua namba 1(kwa Tigo Pesa)
4. Ingiza Lipa namba(5630406 - Asili Dhahabu General Enterprises)
5. Ingiza kiasi cha kulipa
6. Ingiza namba ya siri kukamilisha malipo

Wateja wa Mitandao mingine(Airtel money,M-pesa,Ezypesa,T-pesa na Halopesa)
1. Fungua menu yako ya huduma za kifedha 2. Chagua Tuma pesa
3. Chagua kwenda mitandao mingine
4. Chagua Tigo Pesa
5. Ingiza Namba ya mfanyabiashara(Lipa namba) -(5630406 - Asili Dhahabu General Enterprises)
6. Ingiza kiasi cha kulipa
7. Ingiza namba ya siri kuthibitisha.

Wateja kutoka benki
1. Fungua menu yako ya huduma za kifedha
2. Chagua Tuma pesa
3. Chagua kwenda mitandao ya simu
4. Chagua TIGO PESA
5.Ingiza Namba ya mfanyabiashara(Lipa namba)
6. Ingiza kiasi cha kulipa
7. Ingiza Namba ya siri kuthibitisha/Bonyeza 1 kuthibitisha.

Tupo Lindi mjini tunasafirisha mzigo ya bidhaa zetu Tanzania nzima kwa gharama ya kuanzia 7,000/=

Karibu sana “Kula mwani,Paka mwani,Oga mwani”

03/04/2023

TUNASAFIRISHA BIDHAA ZETU POPOTE ULIPO KWA GHARAMA YA 7,000/=

Habari? Sisi ni wazalishaji wa bidhaa asilia za mwani(seaweed).

Mwani ni mimea bahari yenye virutubisho vya madini 92 pamoja na vitamini mbalimbali.

Sisi tupo Lindi mjini tunasafirisha bidhaa zetu za mwani popote ulipo.

👉🏾Tuko wazi Jumatatu mpaka Ijumaa

Gharama ya usafirishaji ni kuanzia 7,000/=

Nini cha kufanya?

Wasiliana nasi 📞 0622646167 /DM/Messenger tuambie unahitaji bidhaa ipi ya mwani na kiasi gani

Bidhaa zetu za mwani ni:

Vidonge vya mbogamboga vya unga wa mwani - 500/=

Mafuta ya kupakaa ya mwani

100mls - 10,000/=
200mls - 20,000/=
250g - 40,000/=

Sabuni ya mwani - 5,000/=

Lip balm ya mwani - 5,000/=

👉🏾Bidhaa zote tunauza kwa bei ya rejareja tu kwa sasa.

MAWASILIANO

Wasiliana nasi sasa tukuhudumie

📞 0622 64 61 67

Karibu sana “Kula mwani,Paka mwani,Oga mwani”

🇹🇿

Photos from Asilidhahabu products's post 20/03/2023

“…PAKA MWANI..”

Mwani ni mimea bahari yenye virutubisho vya madini 92 pamoja na vitamini mbalimbali..

Sisi ni wazalishaji wa bidhaa asilia za mwani,tupo Lindi mjini.

Miongoni mwa bidhaa zetu za kupakaa ni mafuta ya mwani.

Matumizi endelevu ya mafuta ya kupakaa ya mwani angalau ya kuanzia siku 90 na kuendelea hukusaidia kupata faida zifuatazo kati ya nyingi sana:

Yanatengeneza ukuta wa ngozi iliyoharibiwa na maambukizi mbalimbali ya vijidudu

Yanaipa ngozi yako unyevu nyevu ambao yatakuepusha ukavu wa ngozi hivyo kuondosha miwasho.

Yanakulinda na uharibifu wa miunguzo ya jua katika ngozi yako.

👉🏾Ujazo na bei ya mafuta ya kupakaa ya mwani

250g - 40,000/=
200mls - 20,000/=
100mls - 10,000/=

Tunasafirisha bidhaa zetu Tanzania nzima kwa gharama ya kuanzia shilingi 7,000/=

Wasiliana nasi 📲 0622 64 61 67/ waweza tuma ujumbe DM/Messenger nasi tutakujibu.

“Kula mwani, Paka mwani, Oga mwani “

Karibu tena Asili Dhahabu General Enterprises

Photos from Asilidhahabu products's post 10/03/2023

FAHAMU BIDHAA ZETU NNE ZA MWANI.

Habari? Sisi ni wazalishaji wa bidhaa asilia za mwani.

Mwani ni mimea bahari yenye virutubisho vya madini 92 pamoja na vitamini mbalimbali.

Tuna bidhaa zifuatazo za mwani tunazouza kwa rejareja tu kwa sasa ambazo ni:

1. Vidonge vya mbogamboga vya unga wa mwani.

2. Mafuta ya kupakaa ya mwani

3. Lip balm ya mwani

4. Sabuni ya mwani

BEI.

Bei ya bidhaa zetu ni kuanzia shilingi 500/= mpaka 40,000/= tu.

UJAZO/UZITO WA BIDHAA ZETU.

Ujazo/uzito wa bidhaa zetu ni kuanzia gramu 1 mpaka gramu 250.

TULIPO na USAFIRISHAJI.

Tupo Lindi mjini tunasafirisha bidhaa zetu za mwani popote ulipo Tanzania kwa gharama ya kuanzia shilingi 7,000/=

MAWASILIANO.

Waweza fanya mawasiliano nasi kwa ujumbe wa moja kwa moja DM/Messenger/ kwa kubofya whatsapp linki yetu iliyopo kwenye bio/tutumie ujumbe mfupi kupitia 0622 64 61 67/ tupigie 📲 0622 64 61 67.

Karibu tena “Kula mwani, Paka mwani, Oga mwani “

🇹🇿

07/03/2023

GHARAMA YA USAFIRI NI KUANZIA 7,000/=

Habari? Sisi ni wazalishaji wa bidhaa asilia za mwani(seaweed).

Mwani ni mimea bahari yenye virutubisho vya madini 92 pamoja na vitamini mbalimbali.

Sisi tupo Lindi mjini tunasafirisha bidhaa zetu za mwani popote ulipo.

Gharama ya usafirishaji ni kuanzia 7,000/=

Nini cha kufanya?

Wasiliana nasi 📞 0622646167 /DM/Messenger tuambie unahitaji bidhaa ipi ya mwani na kiasi gani

Bidhaa zetu za mwani ni:

Vidonge vya mbogamboga vya unga wa mwani - 500/=

Mafuta ya kupakaa ya mwani

100mls - 10,000/=
200mls - 20,000/=
250g - 40,000/=

Sabuni ya mwani - 5,000/=

Lip balm ya mwani - 5,000/=

👉🏾Bidhaa zote tunauza kwa bei ya rejareja tu kwa sasa.

MAWASILIANO

📞 0622 64 61 67

Karibu sana “Kula mwani,Paka mwani,Oga mwani”

🇹🇿

Photos from Asilidhahabu products's post 03/03/2023

Habari? Sisi ni watengenezaji wa bidhaa asilia za mwani.

Mwani ni mimea bahari yenye virutubisho vya madini 92 pamoja na vitamini mbalimbali.

Bidhaa tulizo nazo ni:

1) Vidonge vya mbogamboga vya unga wa mwani

2) Mafuta ya kupakaa ya mwani

3) Lip balm ya mwani

4) Sabuni ya mwani

Pakaa tiba ya midomo ya lip balm ya mwani kulinda unyevunyevu na kuzuia mipasuko ya midomo yako.

Inaondosha alama za kawaida katika midomo. Na kutengeneza rangi moja ya midomo yako.

Inalinda midomo na maambukizi ya vijidudu k**a vile bakteria.

Matumizi ya tiba hii ni kwa ajili ya wanamume na wanawake.

Tupo Lindi mjini tunasafirisha mizigo ya bidhaa zetu Tanzania nzima kwa gharama ya kuanzia 7,000/=

Unahitaji bidhaa zetu za mwani? K**a jibu ni ndiyo wasiliana nasi 📞 📲 0622 64 61 67/DM/Messenger.

“Kula mwani, Paka mwani, Oga mwani “

Karibu tena

28/02/2023

FUATA HATUA ZIFUATAZO KULIPIA BIDHAA ZETU ZA MWANI.

Habari? Sisi ni wazalishaji wa bidhaa mbalimbali za mwani(seaweed) ambazo ni:

@) Vidonge vya mbogamboga vya unga wa mwani

b)Mafuta ya kupakaa ya mwani

c) Lip balm ya mwani

d) Sabuni ya mwani

Bei zetu ni kuanzia shilingi 500/=

Tafadhali fuata hatua zifuatazo kufanya malipo unapohitaji kununua bidhaa zetu hapa Asili Dhahabu General Enterprises.

Tigopesa kwenda Tigopesa Lipa namba
1. Ingia kwenye menu ya Tigo Pesa(*150*01 #)
2. Chagua namba 5,"Lipa kwa Simu"
3. Chagua namba 1(kwa Tigo Pesa)
4. Ingiza Lipa namba(5630406 - Asili Dhahabu General Enterprises)
5. Ingiza kiasi cha kulipa
6. Ingiza namba ya siri kukamilisha malipo

Wateja wa Mitandao mingine(Airtel money,M-pesa,Ezypesa,T-pesa na Halopesa)
1. Fungua menu yako ya huduma za kifedha 2. Chagua Tuma pesa
3. Chagua kwenda mitandao mingine
4. Chagua Tigo Pesa
5. Ingiza Namba ya mfanyabiashara(Lipa namba) -(5630406 - Asili Dhahabu General Enterprises)
6. Ingiza kiasi cha kulipa
7. Ingiza namba ya siri kuthibitisha.

Wateja kutoka benki
1. Fungua menu yako ya huduma za kifedha
2. Chagua Tuma pesa
3. Chagua kwenda mitandao ya simu
4. Chagua TIGO PESA
5.Ingiza Namba ya mfanyabiashara(Lipa namba)
6. Ingiza kiasi cha kulipa
7. Ingiza Namba ya siri kuthibitisha/Bonyeza 1 kuthibitisha.

Unahitaji msaada zaidi ya namna ya kufanya malipo ya manunuzi ya bidhaa zetu za “Kula mwani,Paka mwani,Oga mwani”

Wasiliana nasi 📞 0622 64 61 67

Karibu tena

24/02/2023

TUAGIZE BIDHAA ZETU 📞 0622 64 61 67 “Kula mwani,Paka mwani,Oga mwani..”

Habari? Sisi ni wazalishaji wa bidhaa asilia za mwani.

Sisi tupo Lindi mjini tunasafirisha bidhaa zetu za mwani popote ulipo.

Gharama ya usafirishaji kuanzia 7,000/=

Nini cha kufanya?

Wasiliana nasi 0622646167 tuambie unahitaji bidhaa ipi ya mwani na kiasi gani

Bidhaa zetu za mwani ni:

Vidonge vya mbogamboga vya unga wa mwani - 500/=

Mafuta ya kupakaa ya mwani

100mls - 10,000/=
200mls - 20,000/=
250g - 40,000/=

Sabuni ya mwani - 5,000/=

Lip balm ya mwani - 5,000/=

Bidhaa zote tunauza kwa bei ya rejareja tu kwa sasa.

MAWASILIANO

📞 0622 64 61 67

Karibu sana “Kula mwani,Paka mwani,Oga mwani”

🇹🇿

Photos from Asilidhahabu products's post 15/02/2023

“KULA MWANI,….”
Mwani ni mimea bahari yenye virutubisho vya madini 92 pamoja na vitamini mbalimbali.

Unataka mifupa imara na maungio yake yasiyouma??

Hakikisha unakula vidonge vya mbogamboga vya unga wa mwani kila siku mwaka mzima 2️⃣0️⃣2️⃣3️⃣

BEI:

Kidonge kimoja cha mbogamboga cha unga wa mwani - 500/=

👉🏾 TULIPO

Tupo Lindi mjini

USAFIRISHAJI

Tunasafirisha bidhaa zetu za mwani Tanzania nzima kwa gharama ya kuanzia 7,000/=

MAWASILIANO YETU.

Wasiliana nasi 📞 0622 64 61 67 tuelekeze unahitaji vidonge vya mbogamboga vya unga wa mwani vingapi na visafirishwe kwenda wapi..

“Kula mwani, Paka mwani, Oga mwani “

Karibu tena Asili Dhahabu General Enterprises

🇹🇿

Photos from Asilidhahabu products's post 09/02/2023

“KULA MWANI…”

Mwani ni mimea bahari yenye virutubisho vya madini 92 pamoja na vitamini mbalimbali.

Faidisha mwili wako kwa kula vidonge vya mbogamboga vya unga wa mwani vyenye virutubisho vya madini 92 pamoja na vitamini mbalimbali

AMBAPO

👉🏾 Itakusaidia kusawazisha sukari mwilini mwako.

👉🏾 Itaimarisha uzalishaji wa protini mwilini mwako

👉🏾 Itaimarisha mfumo wa uzazi kwa wanawake na wanamume.

Bei: 500/=

TULIPO

Tupo Lindi mjini

USAFIRISHAJI

Tunasafirisha mizigo ya bidhaa zetu Tanzania nzima kwa gharama ya kuanzia 7,000/=

MAWASILIANO.

Wasiliana nasi DM/Messenger/whatsapp kwa kubofya link kwenye biography yetu /📞 0622 64 61 67.

Karibu sana “Kula mwani,Paka mwani,Oga mwani”

06/02/2023

AGIZIA BIDHAA ZETU ZA “Kula mwani,Paka mwani,Oga mwani..”

Habari? Unahitaji bidhaa zetu za mwani na upo nje ya mkoa wa Lindi tulipo sisi?

Ondoa shaka. Tunasafirisha mizigo ya bidhaa zetu popote hapa Tanzania.

Gharama ya usafirishaji kuanzia 7,000/=

Nini cha kufanya?

Wasiliana nasi 0622646167 tuambie unahitaji bidhaa ipi ya mwani na kiasi gani

Bidhaa zetu za mwani ni:

Vidonge vya mbogamboga vya unga wa mwani - 500/=

Mafuta ya kupakaa ya mwani

100mls - 10,000/=
200mls - 20,000/=

Sabuni ya mwani - 5,000/=

Lip balm ya mwani - 5,000/=

Bidhaa zote tunauza kwa bei ya rejareja tu kwa sasa.

MAWASILIANO

📞 0622 64 61 67

Karibu sana “Kula mwani,Paka mwani,Oga mwani”

🇹🇿

Photos from Asilidhahabu products's post 06/02/2023

“…PAKA MWANI…”

Mwani ni mimea bahari yenye virutubisho vya madini 92 pamoja na vitamini mbalimbali.

Miongoni mwa faida ya matumizi sahihi ya kupakaa mafuta ya mwani ni:

Yanasaidia kufuta alama mbalimbali za kawaida katika ngozi yako.

Yanalinda ngozi yako na madhara ya miale ya jua kali.

Yanapambana na ukavu wa ngozi,pumu ya ngozi,harara,chunusi na hata alama za miunguzo midogo ya moto,kemikali mbaya na vidonda.

Mafuta ya kupakaa ya mwani husaidia kutuliza hali ya ngozi na kupunguza athari za mba,ukurutu, ngozi dhaifu, kuvimba na kuwasha.

Inasaidia ngozi kuimarika na kupendeza k**a ya kijana mwenye afya njema.

BEI:

100mls - 10,000/=
200mls - 20,000/=

TULIPO

Tupo Lindi mjini

USAFIRISHAJI

Tunasafirisha bidhaa zetu Tanzania nzima kwa gharama ya kuanzia 7,000/=

Unahitaji bidhaa zetu za mwani?? K**a jibu ni ndiyo wasiliana nasi 📞 0622 64 61 67.

Karibu sana “Kula mwani, Paka mwani, Oga mwani.”

🇹🇿

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Lindi?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Lindi Mjini
Lindi
0000

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00