JAMII NA AFYA YAKE

JAMII NA AFYA YAKE

Share

Educating & Counseling

05/05/2020

UKIWA K**A MWANA JAMII KATIKA JAMII ILIYOKUZUNGUKA UNAISAIDIA VIPI HIYO JAMII YAKO DHIDI YA MAAMBUKIZI YA COVID-19,...??? K**a jibu ni hapana anza sasa

11/04/2020

UJUMBE WA PASAKA KUTOKA
JAMII NA AFYA YAKE
Salaam kwenu wandugu...tunamshukuru Mwenyezi Mungu wa rehema na neema kwa uzima na afya anaye tujalia sisi tulip wazima pia tunamuombe yeye awajalie wapesi ndugu,jamaa na majirani zetu wanao ugua na wanao uguliwa pia awajalie faraja wale waliopoteza wapendwa wao katika janga hili la dunia (COVID-19) Kwa pamoja tuzidi omba kwa Mwenyezi Mungu atujalie tiba upesi kwa nusura ya watu wa nchi yetu na dunia kiujumla....

K**A (JANAYA) TUNA MACHACHE KUELEKEA SIKUKUU YA PASAKA KUHUSIANA NA COVID-19 K**A IFUATAVYO:-

>K**a wengi tujuavyo kuwa sikukukuu k**a hii ni siku ambayo ndugu, jamaa na marafiki hujumika kwa pamoja na kusherekea ila nivizuri pia tuzingatie maangalizo tunayopatiwa na serikali pamoja na wataalamu wa afya...kwa kuepuka kujikusanya pamoja na kuimarika kiusafi asa kwa kutakasa sehemu za nje ya mwili kila mara hususani mikono

>Kujitahidi kuwaeka watoto katika hali ya kiusalama zaidi kwa kuwakumbusha kutakasa mikono yao kila mara, kutotoka maeneo ya nyumbani kwa lengo la kwenda fungamana na wengine kwa kufanya hiv ni kweli tutakuwa tunamnyima mtoto haki ya kushiriki na wenzake ila jukumu la kuhakikisha kuwa mtoto anakuwa salama asa kwa kipindi hiki ni jambo jema na la msingi kwani humwakikishia mtoto usalama na haki ya kuishi, kwa kuzingatia kwamba maambukizi ya COVID-19 humpata mtu pasi na kuangalia mkubwa au mdogo,

>Kwa watu wazima pia tuwe makini bila kujali eneo au ujamaa ulio nao na mtu mwingine kwani wapo watu wenye dhana au fikra kuwa COVID-19 ni janga kwa walio jijini Dar es salaam na mikoa mingine iliyopatikanika watu wenye maambukizi fikra na dhana za namna hii yatupasa kuziondoa kwani alie Dar es salaam leo kesho atakuwa Arusha au Mara, hivyo tuwe makini na mikusanyiko ni vyema zaidi ukawa na familia nyumbani pasi na kuzunguka uku na kule kwa usalama wako na familia yako,
Tukumbuke kuwa Mungu utulinda kwa njia aina mbili direct and indirect ways mfano wataalamu na serikali wanavyotupatia maelekezo hii ni indirect maana sio kwa akili zao wenyewe pia tunaweza epushwa direct na Mungu,
TUJALIWE ESTHER NJEMA

01/12/2019

Kila inapofika tarehe..01/12 uwa ni maazimisho ya Ugonjwa wa Upungufu wa Kinga Mwilini..(UKIMWI)
Hivyo basi ukurasa wako pendwa wa JAMII NA AFYA YAKE umeona usiache siku hii ipite pasi na kupashana mawili matatu juu ya UKIMWI...Ukizingatia takwimu za hapa kwetu nchi ni kila jua linapochomoza na kuzama watu 200 wanapata maambukizi ya UKIMWI...hapa kuna kinamama,kinababa,wazee,vijana na watoto bila kuangalia sini wala makabila...1.je umepima na sasa waijua afya yako zidi ya maambukizi ya UKIMWI...2..ni njia zipi wazitumia kujikinga na kujiepusha zidi ya Ugonjwa huu...3..nini msaada wako kwa wale ambao hawajaambukizwa na unahisi hawana uelewa juu ya Ugonjwa huu...WAPENZI/WACHUMBA...je mnatabia ya kwenda cheki afya zenu vipi kuhusu habari ya uaminifu katika penzi lenu...ebu ttujitahidi kubaki njia kuu k**a wapo 4 ambao kila mmoja ana 3% kati ya hao chagua mmoja ambae wamuona mwaendana na anakufaa zaidi umpe walau 25% muanze atua sasa maana ukomavu wa uchumba ni msingi wa ndoa yenye kudumu..WANANDOA/WAZAZI...hapa tutaangali maana halisi ya upendo wa dhati itakavyosaidia kupunguza maambukizi kwa wanandoa k**a ndani kutakuwa hakuna mafarako,ugomvi na chuki.basi ni wazi ata usaliti hautoweza pata nafasi kwani usaliti mara nyingi uweza letu na ugomvi mafarakano ya mara kwa mara ndani ya ndoa pale mmoja anapotoka kwenda jituliza nje ni rahisi sana kupata maambukizi hivyo amani utulivu uwa ni cha ya upendo wa dhati kwa wanandoa tujaribu hili....Pia ni jukumu la wazazi kuwaeka watoto chini na kuwafuza dunia ulipo na inapoelekea sio wakati wa kuonea watoto aibu tena...mimba atato itatoka je UKIMWI ukiingia na atautoa kirahisi...kwa wasichana lazima wajuzwe nini matokeo ya free lift ya boda boda, nini matokeo ya free chipsi yai/kuku/soda...Itandelea....

24/10/2019

Je wajua ugonjwa wa HOMA YA INI (HEPATITIS) ni ugonjwa wa kuambukiza na takribani 95% ya watu wenye ugonjwa huu wanaishi bila ya wao kujitambua kuwa ni wagonjwa...Ni kwanini..?
Nini chanzo..?..Dalili zake..?
Unaambukiza vipi..? Je una tiba..?
NDIO TUNAANZA TWENDE PAMOJA...

24/10/2019

Jamii na afya yake (JANAY) Page hii naifananisha na Mti wenye kivuli kikubwa sehemu tulivu pa kujifunza na kujizolea elimu na maarifa juu ya Utajiri wa kwanza kwa binadamu yeyote yule hapa namaanisha AFYA...kwa kuona umuhimu wa utajiri huu nimeona ni vema kupitia ukura huu tuwe tunajifunza na kujuzana mambo yahusuyo afya zetu na mazingira kwa ujumla...karibu sanaaa.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Magomeni?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Magomeni