Dread Empire

Dread Empire

Share

Tunasokota Dread,tunaunganisha dread,tunabandika kucha na tunachora tatoo

Photos from Dread Empire's post 26/06/2022

Shughuli za wanaume hazifanywi na wavulana siku zote. Relax kisha rudia kusoma vizuri utaelewa tu.Tuiache dunia ijizungushe yenyewe kwenye mhimili wake mambo yasiwe mengi. Ongea vizur na My wako Nyonga mkalia ini uje tucheze na Engo( angle).

*Tunaanzisha Dread hata k**a nywele zina dawa
*Tunarepair Dread
*Tunabana mitindo yote.
*Tunaunganisha Dread za aina zote.(Dread Extension)
*Tunatengeneza Ruff Dread
*Tunaweka lock.
*Tunatwist nywele.
*Tunatoa ushauri kuhusiana na changamoto Zozote zinazokukabiri kwenye nywele zako.

Tunapatikana Mbagala Nzasa Kwawambili njia panda ya Kwamwarabu na Kilungule barabara ya kuelekea buza kwa Mpalange.
EPUKA MATAPELI KWA SASA HATUNA TAWI.

Photos from Dread Empire's post 24/04/2022

“Weka kigingi niweke chuma, weka ugoko niweke jiwe” Si tunakwambia Hatuchomi muhindi kwa Tochi na hatupaki rangi barafu.
Team nzima ya Dread Empire tunashuru kwa dhati kupokea Ugeni kutoka Brother,Rafiki na Mtoto wa uswahili mwenzetu Mwanamuziki mkongwe wa kizazi kipya Juma Kassim Nature Msitu wa Vina a.k.a Kibla a.k.a Kiroboto Jitu la maneno ya Shombo,mzee wa kiepe Nyani. Nasisitizia hapo “hatuchomi muhindi kwa Tochi “ Kwa wale watoto wa T.M.K washanielewa.

Kwa sasa sehemu ni moja tu tunapatikana Mbagala Nzasa Kwawambili njia panda ya Kwamwarabu na Kilungule, k**a unaelekea Buza kwa Mpalange.

*Tunasokota Dreadlocks
*Tunaunganisha Dread (Extension )
*Tunarepair na kuanzisha Afrokinky
*Tunatengeneza Ruff Dread
*Tunatoa ushauri kuhususiana na Dread.

Tunapatikana Mbagala Nzasa kwa Wambili njia panda ya kwenda kwa Mwarabu. K**a unaelekea BUZA KWA MPALANGE.

NB: Bila kusahau wateja wetu wa kucha na Rangi za Jelly.

"Siyakwamukela kakhulu amakhasimende ethu"

18/03/2021

Team nzima ya Dread Empire inawapa pole familia ya marehemu na Taifa zima kwa ujumla! Mungu ibariki Tanzania! Mungu ibariki Afrika!

25/02/2021

✊🏼💪🏿

Chupa limeamka na Chai! Bado tuko live na Maisha! Pemben na Mwanafamilia wa DreadEmpire Kucha Point baada ya huridhika na huduma tukipiga story mbili tatu.. K**a kawaida hatupoi Bado wamoto K**a mwaka wenyewe ulivyo.
Fanya ukuje Mbagala charambe kwa Mbiku tunatazqmana na kituo cha mafuta cha ORYX! Hatuna tawi! EPUKA MATAPELI!

25/02/2021

Chupa limeamka na Chai! Bado tuko live na Maisha! Pemben na Mwanafamilia wa DreadEmpire Kucha Point baada ya huridhika na huduma tukipiga story mbili tatu.. K**a kawaida hatupoi Bado wamoto K**a mwaka wenyewe ulivyo.
Fanya ukuje Mbagala charambe kwa Mbiku tunatazqmana na kituo cha mafuta cha ORYX! Hatuna tawi! EPUKA MATAPELI!

Want your business to be the top-listed Nail Salon in Mbagala?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mbagala