Boresha afya na Dr Yesta
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Boresha afya na Dr Yesta, Health/Beauty, Mbeya.
Hello napenda kuwakaribisha wote katika page hii lengo ni kipeana elimu ya Afya Kwa matatizo mbali mbali hasa yatokanayo na ukosefu wa lishe Bora unahitaji kutumia virutubisho kuboresha afya Yako!!!
01/11/2023
Hello members hope tuko poa sasa k**a wewe ni kijana mpambanaji na unandoto ya kufika mbali karibu tuungane katika fulsa na mchakato smart ambao utatuwezesha k**a vijana kuweza kuzifikia ndoto zetu bila kujali elimu yako uwe na elimu au huna elimu kikubwa ni Moyo wa upambanaji na kuwa na uchungu wa mafanikioo link hiyo chinii bofyaa kuungana nasi
https://chat.whatsapp.com/Lw67QCQhjNp8s4oAvsDDqP
20/05/2023
Ifanye Afya Yako Kuwa kipaumbele chako Cha kwanza na hakikisha unaitunzaaa
20/05/2023
Hellow ndugu habari yako
12/10/2022
Ili Snake wako ang'ate vizuri, anahitaji mzunguko wa damu uwe vizuri ,damu ifike hadi kwenye kichwa, lazima apate madini ya zinc na vitamin E ili hormones zizalishwe vizuri na kumpa hamasa snake wako, lazima upate madini ya calcium ili neva za fahamu ziunganishe kichwa cha snake na kichwa chako wewe yaani kuwe na Connection Kati ya ubongo wako na uume. Ili kumpatia chakula bora cha kumuimarisha snake wako awe mkali na imara Unaweza kupata *Arg plus, Multimaca* na *Naturemin* ili upate matokeo makubwa mapema. Karibu kwa maswaliđ¤ 0766887749/ 0743825947
01/10/2022
Afya yangu furaha yangu
MBINU ZA KUONGEZA IDADI YA MBEGU (SPERMS) . .
1. Kula lishe bora Chakula unachokula kina mchango mkubwa katika kutibu tatizo hili. Vyakula vingi vya kisasa havina uwezo wa kuongeza uwingi wa mbegu. K**a utarekebisha tu aina ya chakula unachokula kunaweza kupelekea kutibu tatizo lako. Punguza matumizi ya sukari na vyakula vya ngano. Ongeza zaidi matunda, mboga za majani na mafuta yenye afya. Hii inaweza kusaidia kutibu tatizo lako la kuwa na mbegu chache kwa haraka sana.
2. Acha kutumia vinywaji au vyakula vyenye kaffeina K**a una tatizo la kuwa na mbegu chache ni vizuri ukaacha kutumia vinywaji au vyakula vyote vyenye kaffeina kwanza. Navyo ni pamoja na chai ya rangi, kahawa, soda nyeusi zote, malta, redbull, chokoleti nk. Hivi vitu vyenye kaffeina ni sababu ya kupungua kwa uwingi wa mbegu za kiume.
3. Tumia kitunguu swaumu Kitunguu swaumu ni maajabu ya Mungu mwenyewe. Kitunguu swaumu kina Selenium na pia kinaondoa sumu mwilini vitu viwili mhimu kwa ajili ya kuongeza spidi ya mbegu. Kitunguu swaumu kina kitu kingine kiitwacho âAllicinâ ambacho huongeza msukumo wa damu kwenda kwenye uume. Ongeza kitunguu swaumu kwenye chakula unachopika. Pia unaweza kutafuna punje 2 au 3 kila unapoenda kulala au unaweza kukatakata hizo punje 3 vipande vidogo vido (chop) kisha unywe na maji. Usizidishe zaidi ya punje 3 kwa siku.
4. Kula ndizi Ndizi hazifanani tu na uume k**a unavyoweza kuwaza bali pia ni chakula kizuri kwa ajili ya afya ya uume wako. Ndizi zina kimengâenya kimoja adimu sana kijulikanacho k**a âBromeliadâ ambacho husaidia kuziweka sawa homoni zinazohusiana na tendo la ndoa. Ndizi pia zina Magnesiamu, Vitamini B1 na Vitamini C, vitu ambavyo ni mhimu sana kwa ajili ya kutengeneza mbegu za kiume.
5. Kula mbegu za maboga Mbegu za maboga zina kiasi kingi ccha madini ya Zinki ambayo ni mhimu katika kuundwa au kutengenezwa kwa mbegu za kiume na homoni ya testosterone. Pia zina vitamini B, C, D, E, na K ambazo zote ni vitamini mhimu
katika kuongeza hamu ya kushiriki tendo la ndoa na nguvu kwa ujumla. Pia mbegu za maboga zina kalsiamu, potasiaumu, niacin na phosphorous. . . . itaendelea....!!! Tuma meno AFYA BORA WATSUP / KAWAIDA SIM :0766887749/ 0743825947
26/09/2022
*Korodani ni K**a kiwanda , kazi yake kuu ni kuzalisha mbegu. Ili mbegu zitoke kwa speed kubwa ni lazima hiyo mirija unayoiona hapo, iwe salama. Endapo itajitokeza vimbe kwenye hiyo njia lazima mbegu zitoke kwa uchache na speed ndogo K**a matone. K**a uwai kujichua punyeto kipindi Cha nyuma, umepoteza madini mengi hivyo hata mbegu unazotoa Ni nyepesi na chache, hvyo lazima Wengi wanapata maumivu ya korodani na Kuwahi haraka kufika kileleni. DOZI YA VIRUTUBISHO ASILIA, NA TATIZO LINAISHA MOJA KWA MOJA. KARIBU KWA MSAADA ZAIDI*đ¤ 0766887749/ 0743825947
Natumani unaendelea salama ndugu yangu.
Leo nimekuandalia hii Elimu ya Afya kwa ufupi sana kuhusu mambo Muhimu Katika Kuufanya Uume Usimame na Kuendelea kudumu katika kusimama kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa.
Ili uume uweze kusimama imara k**a msumari na uendelee kusimama imara na kwa muda mrefu wakati wa tendo la ndoa, ni lazima mambo yafuatayo yawepo.
1. Mishipa ya uume iliyo imara na yenye afya njema.
2.Mfumo mzuri wa damu katika mwili mzima.
3.Mtiririko imara wa damu kuingia na kutoka ndani ya mishipa ya uume.
4.Ushirikiano wenye afya kati ya mishipa ya fahamu ya kwenye ubongo (nerves), mishipa ya kwenye uti wa mgongo pamoja na mishipa ya kwenye uume.
Ili hayo Mambo manne yawe vizuri, Ni muhimu ufaham ya kwamba mwili wako unahitaji kiwango kizuri cha virutubisho lishe asilia. Ndio maana unashauriwa upate dozi ya virutubisho lishe (supplements) Mapema na ushauri wa ziada kwa formula ya Mazoezi na vyakula ili mifumo hiyo mifumo ijengwe kwa ufanisi na kumaliza changamoto ya Upungufu wa Nguvu za kiume Moja kwa Moja , na usijirudie tena kwa uraisi.
Karibu kwa Maswali na msaada zaidiđ¤ 0743825947
11/09/2022
MWANAUME UKIWA HIVI UTAKIMBIWA NA KILA MWANAMKE
Hivi unajua kwamba kati ya wanaume 10 wanaume 2-3 kati yao huwa na upungufu wa nguvu za kiume kwa sababu ya mtindo wa maisha na kukosa Elimu Sahihi ya Afya ....!!
Hili ndilo tatizo linalowakuta wanaume wengi kwenye ndoa nyingi kwa kua na tatizo la kuwai kufika kileleni, kushindwa kuendelea na tendo, uume kua legevu, kukosa hamu ya tendo la ndoa...
Inamaana utakua umepoteza pesa zako zote kumgharamikia na kugharamika chumba,chakula, vinywaji na hata muda wako pia kwa kuishia kupiga kimoja tu na mashine kushindwa kusimama sio tu pesa utadharaulika kwa huyo mwanamke na kukuona sio kitu kwa kushindwa kumfikisha kileleni.....
Ni k**a bahati kwako leo kwamba kuna suluhisho pekee kwa sasa ya tatizo lako kwa kutumia VIRUTUBISHO
VIRUTUBISHO hivi.....!
Vina kiwango kikubwa cha wingi wa madini muhimu ambavyo zikipungua mwili unaanza kuona udhaifu kwahiyo utaweza kuwa na hamu ya tendo la ndoa kwa kiasi kikubwa ina maana utafurahia tendo na kuwa na furaha wewe pamoja na mpenzi wako.
Ina kiasi kikubwa sana cha viini lishe sahihi ambavyo huupa mwili nguvu za kiume na stamina ya muda mrefu kwahiyo utaweza kushiriki tendo la ndoa mara nyingi utakavyo ina maana utafurahia zaidi na utapata heshima ya kumfikisha kileleni mpenzi wako kwa kushiriki tendo kwa muda mrefu na heshima yako itarejea k**a mwanaume.
Ina wingi wa madini protein kwa kiasi kikubwa sana kinachoboresha misuli ya uume kwahiyo utaweza kuwa na uume imara na kujaa vizuri na kuwa na afya njema na kukusaidia kudumu kwenye tendo kwa muda mrefu inamaana utadumisha upendo na kumfanya mpenzi wako akupende na kukuheshimu zaidi na wewe kufurahia tendo kwa kujisikia raha zaidi
Nitakupa Muongozo sahihi wa chakula sahihi + mazoezi = vitakusaidia kuwa na afya na nguvu tele wakati wa kutumia pack hii na kutatua changamoto hii isijirudie tena
Kwa msaada zaidi
Tuma neno BORESHA AFYA YANGU Kwenda whatsapp /Call namba +255743825947 sasa hivi usaidiwe mapema
02/09/2022
MANUFAA YA FOREVER C9 â˘Kusafisha sumu mwilini (detox)
â˘Kusafisha mfumo wa chakula (digestive system)
â˘Kubalance Homoni (homon balance)
â˘Kubadili mafuta yaliyohifadhiwa mwilini kuwa nishati
â˘Kupunguza hamu ya kula ili kusaidia utumiaji wa mafuta mwilini
â˘Kupunguza uzito
â˘Kusafisha mfumo wa uzazi
â˘Kuondoa constipation
â˘Kuzalisha bacteria wazuri tumboni
â˘Kusaidia kurekebisha kiwango cha pressure na sukariforeverc9 Boresha afya Yako Kwa msaada zaidi tuwasiliane 0743825947 Dr Yesta
27/08/2022
MAKOSA MANNE(4) HATARI WANAYOFANYA WANAUME KUHUSU CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME!!!
Mwanaume Hakikisha unajiepusha na makosa haya. Makosa haya huweza kusababisha tatizo la Nguvu za Kiume kuzidi badala ya Kupungua.Wanaume wengi wanapohisi kuwa na Changamoto ya Nguvu za Kiume Hufanya Yafuatayo!!....
1.Wengi hupuuza tatizo hilo na kuchukulia k**a Hali ya kawaida,Huchukulia poa na wengi hushindwa kuchukulia serious, matokeo yake tatizo hukua na kuwa kubwa zaidi.
2.Kutokujua Chanzo cha Tatizo hilo, Imekua ni kawaida kwa baadhi ya Wanaume kushindwa kujua Chanzo cha changamoto Hii,Hivyo wengi hukurupuka na kufanya maamuzi yasiyo sahihi juu ya Tatizo hilo.
3.Kutokua na Elimu Sahihi na Kutokujua ukweli kuhusu tatizo hili, Wengi wamekua wakipeleka tatizo kwa watu ambao sio sahihi na Hivyo kushindwa kupata suluhisho la kudumu.
4.Kutumia Dawa za Kuongeza Nguvu za Kiume Kitu ambacho sio Sahihi kabisa.Hii hupelekea tatizo kuongezeka na kuwa sugu
Mwanaume Usifanye tena makosa haya,Pata Elimu Sahihi na Njia Sahihi ya Kuondoa Changamoto yako leo.
K**a uko serious Wasiliana nami sasa
Kwa mawasiliano zaidi Tuma neno *AFYA* kwenda whatsapp namba *0743825947* au piga simu usaidiwe mapema
14/08/2022
ELIMU YA UZAZI
ANGALIZO: NIKUOMBE NDUGU MWENYE CHANGAMOTO K**A HII Usifikirie Kutatua Changamoto Ya Upungufu Wa Nguvu za Kiume Mpaka Usome Kwanza Hii...
UTANGULIZI â Lijue Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume
Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri, shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu. Tatizo hili huripotiwa kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kuto kuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.
Hili tatizo huwanyima watu raha kwa kuwa na mawazo, kuwa na matatizo katika mahusiano, watu wengi wenye tatizo hili wanahitaji kutumia dawa zisizo na madhara na kubadilisha mitindo ya maisha yao ili kuweza kurudisha hali zao na kuondoa tatizo, cha msingi ni kuzingatia yale utakayoelekezwa.
Kuna matatizo ya kutofanya mapenzi kikamilifu, nayo ni; kuwahi kumwanga mbegu za uzazi, Kuto kumwaga, kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa
Chanzo Cha Tatizo La Upungufu Wa Nguvu Za Kiume...
Tatizo la nguvu za kiume lina vyanzo vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;
1:Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
2:Kuvuta sigara na unywaji wa pombe
3:Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
4:Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
5:Kisukari
6:Kuwa na mawazo na wasiwasi
7:Matumizi ya madawa mbalimbali
8:Umri hasa wazee
9:Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili
10:Kuwa na tatizo la kibofu
11:Tabia za kujichua kwa mda mrefu
12:Kutopata usingizi kamili
13:Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine
Dalili Za Upun
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mbeya