Mwebrania herbs

Mwebrania herbs

Share

Love all, hate the Devil

08/04/2026

MTI WA MFOROSADI NA TIBA ZAKE

🌿MIMEA NI CHAKULA, MIMEA NI DAWA🌿

Kwa kingereza unaitwa MULBERRY TREE na kisayansi unaitwa MORUS
Mbeya tunaita MANG'ANG'A

🌿TIBA ZAKE:🌿
-Kisukari
-BP na matatizo ya moyo
-Mishipa ya damu na misuli kusinyaa
-Libido (Heshima ya ndoa) {Niko dalasani tafadhari usinifokee}
-Atherosclerosis (Kuziba kwa arteri)
-Uvimbe
-Unene wa kimaradhi (Obesity) na mafuta yaliyozidi mwilini
-Ni antioxidant nzuri
🌿
Follow page hii upate mengine mengi.
https://www.facebook.com/share/1BWANXzT7u/
🌿🌿
Kwa msaada zaidi wa tiba za magonjwa mbalimbali kwa dawa za tiba mbadala wasiliana nasi "MWEBRANIA HERBS"
0736 305 119 au 0694 719 825

Photos from Mwebrania herbs's post 21/03/2026

MMEA WA ASA (ACER)
Leo tufahamishane kuhusu mmea wa Asa na tiba zake.
Kingereza huitwa MAPLE TREE na kisayansi huitwa ACER RUBRUM
🥬TIBA ZAKE🥬
Mmea huu umethibitishwa kisayansi kuwa tiba kwa magonjwa haya:
🥬
-Uvimbe sugu
-Matatizo ya tumbo la uzazi
-Magonjwa ya moyo na BP
-Macho
-Kikohozi sugu
-Matatizo ya ngozi -Magonjwa ya tumbo
- Ni antioxidant nzuri.
-Matatizo ya usagaji chakula
-Kupunguza unene.
-Ugonjwa wa yabisi na baridi yabisi -Matatizo ya uzazi. -Kutuliza maumivu: -Maumivu ya misuli na joint
-Ugonjwa wa gout, na kuvimba kwa viungo.
-Kuondoa sumu mwilini
-Homa ya ini na manjano
🥬🥬🥬🥬
Kwa matibabu ya uhakika kwa dawa za tiba mbadala za magonjwa mbalimbali, karibu
MWEBRANIA HERBS
Malipo ni baada ya kupokea dawa.
Tupo Mbalizi Mbeya ila dawa tunatuma kote.
PIGA
0736 305 119 au
0694 719 825

30/01/2026

ALIPOTEA
Kwa niaba ya mama yake; namtafuta Tusaiwe Daudi Mwambuzi.
Inasemekana anafanya kazi dukani kwa Mhindi Kariakoo, lakini mtu aliyewahi kukutana naye hapo Kariakoo mwaka 2023, hakumbuki mahali duka lilipo.
Tusaiwe aliondoka Mbeya kitambo akiwa na miaka 15, na wazazi wake hawana mawasiliano naye.
Picha hiyo ni ya wakati akiwa na miaka 15 ingawa mwili ni mkubwa.
Kwa sasa ana umri wa zaidi ya miaka 30.
Naomba kwa yeyote anayejua mahali alipo anifahamishe kwa namba hizi
0694 719 825 au 0736 305 119

30/01/2026

Ujue mti wa MWALONI (OAK TREE) na faida zake
🥝🥝
Mti wa MWALONI (OAK TREE) kisayansi huitwa QUERCUS SPP
🫒🫒🫒
TIBA ZAKE:
-Miwasho ya ngozi
-Kuhara na kuhara damu
-Bawasiri
-Koo linalouma
-Uvimbe
-Huponya majeraha
-Ni antioxidant nzuri mwilini
na mengine mengi.
🥝🥝
Kwa tiba za magonjwa mbalimbali karibu MWEBRANIA HERBS upate dawa za uhakika
🍐🍐🍐🍐
Tupo Mbalizi Mbeya
Dawa tunatuma mikoa yote.
Malipo ni baada ya kupokea dawa
Piga/WhatsApp
+255 736 305 119 au
+255 694 719 825
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥝🇹🇿

Photos from Mwebrania herbs's post 16/01/2026

AGIZA DAWA ZA TIBA MBADALA, MALIPO UKISHAPOKEA
*****
DAWA ZA MAGONJWA MBALIMBALI
+255 736 305 119
Au +255 694 719 825
🇹🇿
-Kisukari & kongosho kupona kabisa
-Vidonda vya tumbo & Tonsils kupona kabisa
-BP za kupanda na kushuka na matatizo ya moyo (heart attack, Angina
-Tezi dume (prostate grand/epididymis) na matezi mengine
-Ngiri (Hernia)
-Kutokwa mgongo (re**al prolapse)
-Kusafisha kizazi na kuondoa sumu ya uzazi wa mpango
-PID sugu, Fangasi sugu, UTI sugu
-Vimbe kwenye kizazi k**a Fibroids, ovarian cysts,, Endometriosis (vimbe za nje ya kizazi), matezi na vimbe za kujaa maji mwilini (Oedema)
-Chango
-Kuzibua mirija (oviduct)
-Hormone imbalance na kuanza barehe kwa aliyechelewa
-Kukaza kizazi kilichoregea (cervix prolapse)
-Za kupata mapacha zinazopevusha mayai zaidi ya moja kwa wakati mmoja
-Kuvuja damu puani na hedhi iliyokithiri
-Heshima ya ndoa kwa Wanaume na wanawake
-Kuumwa maungio k**a mgongo, kiuno na magoti
-Kifafa, Kufa ganzi/ neva au neurones (Parkinson's disease)
-Kutibu meno bila kung'oa
-Homa za tumbo sugu (taifodi, malaria, amiba na minyoo sugu)
--Matatizo ya ngozi na vitiligo
-Asthma na kupumua kwa shida
-Za uzazi wa mpango asili
-Kichomi (pneumonia)
-Magonjwa ya zinaa
-Uoni hafifu
-Kuacha kukojoa kitandani
-Matatizo ya ini, figo, bandama, kongosho na mapafu
-Masikio kuuma, kutoa usaha & kupiga kelele (TINITUS)
-Degedege
-Kuondoa uzee usio wa wakati wake yaani uzee wa mapema
-Kuacha ulevi wa pombe, madawa ya kulevya na sigara
-Kifua & Kikohozi sugu
-Autoimmune disease au myasthenic gravis
-Sunzua (warts)
-Kukosa usingizi (insomnia) & Stress
-Aleji
-Anemia (upungufu wa damu)

Tupo Mbalizi Mbeya, dawa tunatuma mikoa yote.
+255 736 305 119
2+255 694 719 825🇹🇿

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


1464
Mbeya
00000