Mwebrania herbs
Love all, hate the Devil
08/04/2026
MTI WA MFOROSADI NA TIBA ZAKE
๐ฟMIMEA NI CHAKULA, MIMEA NI DAWA๐ฟ
Kwa kingereza unaitwa MULBERRY TREE na kisayansi unaitwa MORUS
Mbeya tunaita MANG'ANG'A
๐ฟTIBA ZAKE:๐ฟ
-Kisukari
-BP na matatizo ya moyo
-Mishipa ya damu na misuli kusinyaa
-Libido (Heshima ya ndoa) {Niko dalasani tafadhari usinifokee}
-Atherosclerosis (Kuziba kwa arteri)
-Uvimbe
-Unene wa kimaradhi (Obesity) na mafuta yaliyozidi mwilini
-Ni antioxidant nzuri
๐ฟ
Follow page hii upate mengine mengi.
https://www.facebook.com/share/1BWANXzT7u/
๐ฟ๐ฟ
Kwa msaada zaidi wa tiba za magonjwa mbalimbali kwa dawa za tiba mbadala wasiliana nasi "MWEBRANIA HERBS"
0736 305 119 au 0694 719 825
21/03/2026
MMEA WA ASA (ACER)
Leo tufahamishane kuhusu mmea wa Asa na tiba zake.
Kingereza huitwa MAPLE TREE na kisayansi huitwa ACER RUBRUM
๐ฅฌTIBA ZAKE๐ฅฌ
Mmea huu umethibitishwa kisayansi kuwa tiba kwa magonjwa haya:
๐ฅฌ
-Uvimbe sugu
-Matatizo ya tumbo la uzazi
-Magonjwa ya moyo na BP
-Macho
-Kikohozi sugu
-Matatizo ya ngozi -Magonjwa ya tumbo
- Ni antioxidant nzuri.
-Matatizo ya usagaji chakula
-Kupunguza unene.
-Ugonjwa wa yabisi na baridi yabisi -Matatizo ya uzazi. -Kutuliza maumivu: -Maumivu ya misuli na joint
-Ugonjwa wa gout, na kuvimba kwa viungo.
-Kuondoa sumu mwilini
-Homa ya ini na manjano
๐ฅฌ๐ฅฌ๐ฅฌ๐ฅฌ
Kwa matibabu ya uhakika kwa dawa za tiba mbadala za magonjwa mbalimbali, karibu
MWEBRANIA HERBS
Malipo ni baada ya kupokea dawa.
Tupo Mbalizi Mbeya ila dawa tunatuma kote.
PIGA
0736 305 119 au
0694 719 825
30/01/2026
ALIPOTEA
Kwa niaba ya mama yake; namtafuta Tusaiwe Daudi Mwambuzi.
Inasemekana anafanya kazi dukani kwa Mhindi Kariakoo, lakini mtu aliyewahi kukutana naye hapo Kariakoo mwaka 2023, hakumbuki mahali duka lilipo.
Tusaiwe aliondoka Mbeya kitambo akiwa na miaka 15, na wazazi wake hawana mawasiliano naye.
Picha hiyo ni ya wakati akiwa na miaka 15 ingawa mwili ni mkubwa.
Kwa sasa ana umri wa zaidi ya miaka 30.
Naomba kwa yeyote anayejua mahali alipo anifahamishe kwa namba hizi
0694 719 825 au 0736 305 119
30/01/2026
Ujue mti wa MWALONI (OAK TREE) na faida zake
๐ฅ๐ฅ
Mti wa MWALONI (OAK TREE) kisayansi huitwa QUERCUS SPP
๐ซ๐ซ๐ซ
TIBA ZAKE:
-Miwasho ya ngozi
-Kuhara na kuhara damu
-Bawasiri
-Koo linalouma
-Uvimbe
-Huponya majeraha
-Ni antioxidant nzuri mwilini
na mengine mengi.
๐ฅ๐ฅ
Kwa tiba za magonjwa mbalimbali karibu MWEBRANIA HERBS upate dawa za uhakika
๐๐๐๐
Tupo Mbalizi Mbeya
Dawa tunatuma mikoa yote.
Malipo ni baada ya kupokea dawa
Piga/WhatsApp
+255 736 305 119 au
+255 694 719 825
๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐น๐ฟ๐ฅ๐น๐ฟ
16/01/2026
AGIZA DAWA ZA TIBA MBADALA, MALIPO UKISHAPOKEA
*****
DAWA ZA MAGONJWA MBALIMBALI
+255 736 305 119
Au +255 694 719 825
๐น๐ฟ
-Kisukari & kongosho kupona kabisa
-Vidonda vya tumbo & Tonsils kupona kabisa
-BP za kupanda na kushuka na matatizo ya moyo (heart attack, Angina
-Tezi dume (prostate grand/epididymis) na matezi mengine
-Ngiri (Hernia)
-Kutokwa mgongo (re**al prolapse)
-Kusafisha kizazi na kuondoa sumu ya uzazi wa mpango
-PID sugu, Fangasi sugu, UTI sugu
-Vimbe kwenye kizazi k**a Fibroids, ovarian cysts,, Endometriosis (vimbe za nje ya kizazi), matezi na vimbe za kujaa maji mwilini (Oedema)
-Chango
-Kuzibua mirija (oviduct)
-Hormone imbalance na kuanza barehe kwa aliyechelewa
-Kukaza kizazi kilichoregea (cervix prolapse)
-Za kupata mapacha zinazopevusha mayai zaidi ya moja kwa wakati mmoja
-Kuvuja damu puani na hedhi iliyokithiri
-Heshima ya ndoa kwa Wanaume na wanawake
-Kuumwa maungio k**a mgongo, kiuno na magoti
-Kifafa, Kufa ganzi/ neva au neurones (Parkinson's disease)
-Kutibu meno bila kung'oa
-Homa za tumbo sugu (taifodi, malaria, amiba na minyoo sugu)
--Matatizo ya ngozi na vitiligo
-Asthma na kupumua kwa shida
-Za uzazi wa mpango asili
-Kichomi (pneumonia)
-Magonjwa ya zinaa
-Uoni hafifu
-Kuacha kukojoa kitandani
-Matatizo ya ini, figo, bandama, kongosho na mapafu
-Masikio kuuma, kutoa usaha & kupiga kelele (TINITUS)
-Degedege
-Kuondoa uzee usio wa wakati wake yaani uzee wa mapema
-Kuacha ulevi wa pombe, madawa ya kulevya na sigara
-Kifua & Kikohozi sugu
-Autoimmune disease au myasthenic gravis
-Sunzua (warts)
-Kukosa usingizi (insomnia) & Stress
-Aleji
-Anemia (upungufu wa damu)
Tupo Mbalizi Mbeya, dawa tunatuma mikoa yote.
+255 736 305 119
2+255 694 719 825๐น๐ฟ
Click here to claim your Sponsored Listing.
Contact the business
Telephone
Website
Address
1464
Mbeya
00000