Furaha ya Mwanamke
piga simu uhudumiwe na upate ushauri
17/07/2025
📍 Je, Unapata Hedhi Mabonge Mabonge ya Damu?
Hii inaweza kuwa dalili ya tatizo la kiafya linalohitaji uangalizi!
🔴 Sababu za Hedhi Mabonge Mabonge:
👉 Mabadiliko ya homoni (Estrogen & Progesterone)
👉 Uvimbe kwenye kizazi (Fibroids)
👉 Endometriosis
👉 Matatizo ya damu kuganda
👉 Kujifungua karibuni au kuharibika kwa mimba
⚠️ Madhara Yanayoweza Kutokea:
👉 Kupoteza damu nyingi sana
👉 Maumivu makali wakati wa hedhi
👉 Kukosa hedhi ya kawaida
👉Upungufu wa damu (anemia)
👉 Matatizo ya uzazi baadaye
✅ Suluhisho ni nini? 👉 Fanya uchunguzi wa kitaalamu
👉 Tumia virutubisho sahihi kusaidia homoni zako
👉 Pata ushauri wa kiafya mapema
📞 Tupigie kwa ushauri na bidhaa za kusaidia afya yako ya uzazi:
📲0675002000 au 0766002000
17/07/2025
🌹Madhara ya kuishi na tatizo hili ni k**a ifuatavyo...
🏷️Mirija kuziba, hivyo kushindwa kushika ujauzito
🏷️ Maumivu makali ya tumbo la chini ya Muda mrefu
🏷️Mimba kutungwa nje ya mfuko wa kizazi
🏷️Uvimbe kwenye mfuko wa Mayai na PCOS hivyo mayai kushindwa kupevuka au kukua
🏷️Mimba kuharibika kila mara
🏷️ Matatizo ya homoni ya Muda mrefu
🏷️Makovu kwenye mirija na majeraha, ambayo yanaweza kupelekea kukatwa kwa mirija ...
Usijaribu kupuuzia changamoto ya uchafu k**a maziwa, njano, kahawia au uchafu wa kijani
Afya yako ishughulikie mapema kabla hujapata madhara... ✅
+255675002000
15/12/2024
JE WEWE NI MWANAMKE NA UNAHITAJI KUPATA MIMBA AU UNA BEBA MIMBA ZINATOKA
SOMA MAKALA HII NI MUHIMU
Jipatie *FERTILITY* *CLEANSE KIT* ,tiba ya kukusaidia kupata mimba kirahisi,inafanya Yafuatayo:
▶️Inasaidia kupevusha mayai,wanawake wengine wanapata period ila hawapevushi mayai,wanapata *ANOVULATORY CYCLES*
➡️Inasafisha mirija,tayari kabisa kupitisha yai/maya na mbegu za kiume zinapita vizuri kabisa,hii ni kwa mirija ambayo imeziba.
▶️ Inaweka kizazi vizuri kabisa,tayari kupokea mtoto na kusaidia mimba isitoke ukijapata,lakin hapa inasaidia kusinyaisha kwa vimbe ndogo ndogo.
➡️ Inaweka PH ya uke,vagina ile nzur inafaa kupitisha mbegu za kiume bila kuziua.
▶️Inakufanya mwanamke upate ule UTE special unaovutika k**a ute mweupe wa yai ukiwa siku za hatari,huu ute ni muhimu maana ndio ute special mbegu za kiume zinapitia kuingia ndani.
➡️Zinaweka hormones zikae sawa kabisa zinazofanya upevushe mayai,udake mimba na ukipata mimba,Isitoke.
▶️Inatibu PID, inasafisha infection na uchafu wote.
Na k**a imeonekana hupati MIMBA,lakin shida haijaonekana,basi unahitaji sana hii kit,package...
Ni NZURI sana,inasaidia wanawake Wengi wanapata Mimba.
Piga namba 0675002000
04/01/2024
Habari..!
*‼️Kwanini kila Ujauzito Unaoshika Uharibika kabla ya Muda Sahihi wa kujifungua..?*
Zipo shida mbalimbali za Uzazi zinazowatesa wanawake wengi ila Kuharibika kwa Ujauzito kabla ya muda wa sahihi wa kujifungua ni miongoni mwa shida hizo.
Zipo Sababu nyingi zinazochangia Kutokea kwa hali hii ila Leo nitakudokeza vipingamizi *Sita muhim* ambavyo huchangia kwa kiasi kikubwa sana mimba nyingi kuharibika kabla ya muda sahihi wa kujifungua
Vipingamizi hivyo ni pamoja na...............👇
1. Kuvurugika Kwa Vichocheo i.e. Oestrogen, Progesterone, Lutenzing, prolactin n.k
2. Kuwa na Majeraha au Makovu katika mji wa mimba.
3. Maambukizi Sugu ya PID, U.t.i na fangasi katika mfumo wa Uzazi.
4. Maambukizi Katika Mirija ya Uzazi (Salpingitis)
5. Kuwa na Uzito mkubwa sana au kuwa na uzito mdogo mnoo
6. Kuwa na Uvimbe katika mji wa Mimba.
Kwa asilimia 100% ni ngumu sana kumaliza tatizo la kuharibika kwa Ujauzito k**a utapuuza kurekebisha mambo hayo niliyoyataja hapo Juu.
Wasiliana nasi kupata suluhisho 0675002000 au 0766002000
29/12/2023
*DAWA ZA KUSAFISHA MFUMO MZIMA WA UZAZI*
Ni muhimu mno kwa kila mwanamke anayetafuta mimba kuipata, ni natural modified herbs special kwa shida ya uzazi.
1) Dawa zinatoa excess hormones mwilini (kwa wenye hormonal imbalance eg K**a una prolactin nyingi mwilini)
2) zinafanya mzunguko wa damu kwenye mfumo wa uzazi uwe vizuri kabisa (more blood, more health, more fertile) lakini maisha ya siku hizi vyakula vinavyoliwa sumu yaani Toxins zinajaa mwilini,detox ni muhimu Sana ili kurudisha Hali ya cells kwenye ufanyaji kazi Bora.
3) Mirija yenye infection, iliyojaa maji zinasaidia ku clear.
4) cyst au vimbe ndogo ndogo zinazosababishwa na infection au mvurugiko wa hormones
5) pH ya uke inakaa sawa na kurudisha wadudu walinzi wa ukeni
6) Zinasaidia kuivisha mayai na kupevusha.
K**a una shida ya uzazi yaani hupati mimba au unapata mimba zinatoka hii *MAMA FERTILITY CLEANSER KIT* ni muhimu Sana ukaipata special kurudisha Hali nzima ya mfuko wa uzazi katika Hali nzuri zaidi
Wasiliana nasi 0675002000
17/12/2023
IKIWA HUWEZI KUPATA MIMBA, JIULIZE MASWALI YAFUATAYO.
👉Je mzunguko wa siku zako upo sawa?
👉Je unapata maumivu makali ya tumbo wakati wako wa hedhi?
👉Je una saratani ya shingo ya kizazi?
👉Je unasikia maumivu ya tumbo chini ya kitovu upande wa kulia na kushoto?
👉Je unatokwa na uchafu ukeni?
👉Je, siku zako ndivyo zinavyopaswa kuwa? Kwa maneno mengine, mzunguko wa siku zako ni sahihi?
👉Je unasikia maumivu wakati wa tendo la ndoa?
👉Je unapata ukavu wakati wa kufanya mapenzi?
👉Unakosa hisia za ndoa?
👉Je unatokwa na uchafu ukeni siku zisizo salama (ovulation days)?
👉Je, tayari umejifungua?
👉Je, umewahi kuugua P.I.D (maambukizi ya bakteria kwenye shingo ya kizazi)?
Ikiwa jibu ni ndiyo kwa sababu yoyote kati ya zilizotajwa hapo juu, hiyo ndiyo sababu inayokuzuia kupata mimba.
Una tatizo gani linalokusumbua? Niambie sasa! Niruhusu wewe nikusaidie....
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA KWA CHANGAMOTO ZOZOTE ZA KIAFYA TUWASILIANE KWA NAMBA ☎️0675002000
14/11/2023
TATIZO LA KUTOKWA NA MAJI YENYE HARUFU MBAYA UKENI(mwanamke)
Tatizo hili la kutokwa na maji yenye harufu mbaya hutokea kwa wanawake wengi, huku wengi wao wasijue cha kufanya kutatua shida hii na wengine wakiona ni kawaida hali itakaa sawa.
maji haya huweza kutoka kila mara hadi kuwa kero kwa mwanamke
CHANZO CHA TATIZO LA KUTOA MAJI YENYE HARUFU MBAYA UKENI
– Kwa asilimia kubwa chanzo kikubwa cha tatizo hili ni maambukizi ya magonjwa kwenye via vya uzazi vya mwanamke yaani PID,
– Lakini pia mabadiliko ya gafla ya vichocheo mwilini huweza kusababisha kiwango cha maji ndani ya uke kuongezeka,ingawaje maji haya hayawezi kuwa na harufu mbaya.
K**a una tatizo hili la kutoa maji yenye harufu mbaya pamoja na kuwashwa nenda hospital kufanya vipimo,kisha anza matibabu.
✍️Ikiwa umeshatumia dawa za hospital bila kupona nitafute haraka sana upate tiba ya kudumu.
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA KWA CHANGAMOTO ZOZOTE ZA KIAFYA TUWASILIANE KWA NAMBA ☎️0675002000
09/09/2023
*ZINGATIA SANA HILI❗. Aina Sita (6) Za Uchafu Utokao Ukeni Na Kukujulisha Kuna Nini ....*
Kwanza kabisaa k**a wewe ni huyu 👇soma UJUMBE huu mpaka mwisho na ondoa ujuaji kichwani mwako ili ujiepushe kwenye hatari...
>Je! Unaogopa hatari yoyote katika afya yako ya uzazi ?
>Je! Unaamini kuwa mwili unajieleza wenyewe ?
>Je! Unajua kuwa k**a wewe ni mwanamke lazima utokwe na uchafu ?
>Hupendi kabisaa kutetereka katika mfumo mzima wa afya ya uzazi.
Basi chunguza aina hizi sita za uchafu
*1. Uchafu Mweupe k**a Yai (Tunauita Ute)..*
Aina hii ya uchafu au ute unakuwa unaashilia yafuatayo
👉Kuanguliwa kwa Yai k**a ute huu unatoka siku za hatari za mzunguko wako
👉Una mimba k**a unatoka mda wote au mda mwingi
👉Una afya nzuri ya uzazi k**a unatoka katika kipindi maalumu
👉Hormone zako ziko vizuri
N.B
Ute huu uwe na sifa ya kuvutika na kuteleza na usiwe na harufu kali
*2. Rangi Ya Mawingu ..*
Uchafu wenye rangi ya mawingu huu waliowengi huchanga na ute wa uzazi mara nyingi
👉Huu unaashilia una shambulio la bacteria
Mda mwingine unaweza kuwa mzito sana
*3. Uchafu Mweupe Sana...*
Mara nyingi uchafu huu unakuwa mweupe tofauti na ule wa wakati wa kuanguliwa kwa Yai unaovutika
Unaashilia
👉Maambukizi ya fangus endapo unawasha , kutoa harufu
👉Mda mwingine unakuwa kawaida huna shida k**a haukuletei shida yoyote ile
*4. Uchafu Wa Pink..*
Uchafu huu unakuwa unaashilia
👉Huashilia unashida katika shingo ya kizazi ama PID kwa ujumla
👉Umeshambuliwa ukuta wa uzazi na wadudu (PID)
👉Ukiwa umeambatana na damu zaidi unakuwa unamaanisha kuna kitu kinajipachika kwenye ukuta wa uzazi (mimba au uvimbe kuota)
*5. Nyekundu...*
Uchafu huu unakuwa unaashilia
👉Upo period (hedhi)
👉K**a nje ya tarehe zako unakuwa umeshambuliwa katika shingo ya kizazi na wadudu
👉Kuzidi zaidi unaweza kuwa katika kizazi kuna , uvimbe , Saratani n.k
*6. Kijani Kuelekea Njano Au Njano Kabisaa..*
Huashilia unashida hizi
👉Magonjwa ya zinaa
👉Shida ya PID
Elimika kuhusu hili na endapo huwezi kutambua chochote wahi hospital kufanya uchunguzi zaidi
Au unaweza kuwasiliana na mimi sasahivi kupata ushauri na tiba kwa namba hii
INBOX ME..........0675002000
23/06/2023
*Ili ushike ujauzito cha kwanza kabisa hakikisha....* 👇🏽👇🏽👇🏽
⚫Unapata siku zako kwa usahihi
⚫Unapata ute wa ovulation
⚫Hauna Infection zozote kwenye via vya uzazi k**a👇🏽👇🏽
❌FUNGUS
❌U.T.I
❌PID
❌HORMONE IMBALANCE
❌MIRIJA KUJAA MAJI/ KUZIBA.
❌KUVIMBA KWA MIRIJA
❌UVIMBE KWENYE KIZAZI
Kwa ushauri na tiba usisite kuwasiliana nasi kwa namba 0675002000
23/06/2023
DALILI ZA FUNGUS
kuna Dalili Nyingi Sana K**a Zifuatavyo;
~Muwasho Sehemu Za Siri
~Vipele Vidogo Vidogo Ukeni
~Kutokwa Uchafu Mweupe Au Wa Rangi Ya Kijivu Ukeni Wenye Harufu Mbaya
~Vdonda Au Michubuko Ukeni
~Kutokwa Na Harufu Mbaya Ukeni
~Kupatwa Na Maumivu Makali Wakati Wa Tendo La Ndoa
~Kuvimba Na Kuwa Mwekundu Katika Mdomo Wa Nje Wa Uke
~Kuwaka Moto Ndani Na Nje Ya Uke
Ushauri na tiba 0675002000
08/06/2023
TATIZO LA KUHARIBIKA KWA MIMBA
Mimba kuharibika ni tukio linalopatikana mara nyingi Kwa wanawake wenye magonjwa mbali mbali ambayo ni SUGU mizizi inayo shikilia mimba inashindwa kuhimili zaidi na kusababisha mimba kuharibika (miscarriage) k**a kutakua na hitilafu zaidi kutakua na shida mbalimbali katika ukuaji wa mimba tumboni mwa mama.
Kuna visababishi vingi vinavyo Chochea kuharibika kwa mimba
-Magonjwa ya zinaa
-Hormone Imbalance
-Mwanamke aliewahi kutumia Dawa za uzazi wa mpango hapo nyuma
-Utoaji wa mimba mara kwa mara
-UTI SUGU, FUNGUS SUGU
-PID
-Chango ya uzazi
-Mwanamke mwenye magonjwa k**a kisukari, malaria
-Uvimbe kwenye kizazi, Uvimbe kwenye mayai
-Uvimbe kwenye mirija ya uzazi
K**a wewe ni muhanga na umekua ukihangaika kwa muda mrefu kutafuta mtoto lakini mimba zimekua zikiharibika mara kwa mara
Karibu inbox tunayo tiba yako ambayo itakupa furaha tena
0675002000
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Airport
Mbeya