Healthy and beuty care

Healthy and beuty care

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Healthy and beuty care, Health/Beauty, Sae, Mbeya.

09/02/2020

UGONJWA WA FANGASI ZA UKENI/ SEHEMU ZA SIRI
(VAGINAL THRUSH)

Ndugu zangu naomba nielezee kuhusu mwanamke na uke,kwa maana ya

UKE ni kiungo cha uzazi wa mwanamke, ambamo ndani yake kuna Lactobacillus bacteria na fangasi wazuri abao wako katika kiwango kinacho lingana/a balanced mix. Bacteria hawa na fangasi hizi husaidia sana kuulinda uke na maradhi mbalimbali endapo uwiano wake hauta bughuziwa. LActobacillus bakteria hutoa acid ambazo huzuia fangasi kukuwa au kuwa wengi zaidi.

UGONJWA WA FANGASI ZA UKENI ni ugonjwa anaoupata mwanamke endapo fangasi watakuwa wengi zaidi ya bacteria wazuri waliopo ukeni au k**a pH ya ukeni imezidi kiwango cha kawaida kinachopaswa(pH 3.5-4.5 ndio kiwango kizuri kiafya).

FANGASI ZA UKENI MARA NYINGI HUSABABISHWA NA FANGASI WAITWAO CANDIDA ALBICANS, LAKINI WAKATI MWINGINE NI AINA NYINGINE ZA FANGASI NA HIZI NI VIGUMU SANA KUTIBIKA

VITU VINAVYOWEZA KUSABABISHA UGONJWA WA FANGASI ZA UKENI

kunasababu nyingi sana baadhi ya hizo ni;

1.MATATIZO YA HOMONI(HOMONI ZA KUBADILIKA/KUWANYINGI SANA AU KUSHUKA SANA) hii inaweza kusahabishwa na; ukomo wa hedhi,ujauzito, (MP)kuwa katika siku za mwezi, matumizi ya dawa za kuongeza kiwango cha hormon za k**e

2. MATUMIZI YA ANTIBIOTICS hizi huuwa bacteria wazuri na kubadiri ph ya uke

3.KUFANYA MAPENZI NA MTU ALIYE NA UGONJWA WA FANGASI ZA SEHEMU ZA SIRI BILA KINGA

4.KUSHUKA KWA KINGA YA MWILI hii inaweza kusababishwa na magonjwa mbalimbali k**a UKIMWI, KISUKARI, UPUNGUFU WA MADINI,VITAMINI NA VIRUTUBISHI MBALIMBALI VYA MWILI.

5.ULAJI MBAYA HASA KUPENDELEA VYAKULA VYENYE SUKARI KWA WINGI (SUKARI NI CHAKULA KWA FANGAS HIVYO HUONGEZEKA).

6.KUKOSA USINGIZI NA MSONGO WA MAWAZO .

DALILI ZINAZOONESHA KUWA UNAUGONJWA WA FANGAS ZA UKENI

Kuna dalili nyingi sana k**a zifuatavyo;

~MUWASHO SEHEMU ZA SIRI

~VIPELE VIDOGO VIDOGO UKENI

~KUTOKWA UCHAFU MWEUPE AU WA RANGI YA KIJIVU UKENI WENYE HARUFU MBAYA

~VIDONDA AU MICHUBUKO UKENI

~KUTOKWA NA HARUFU MBAYA UKENI

~KUPATWA NA MAUMIVU MAKALI WAKATI WA TENDO LA NDOA

~KUVIMBA NA KUWA MWEKUNDU KATIKA MDOMO WA NJE WA UKE

~KUWAKA MOTO NDANI NA NJE YA UKE

KINGA YA FANGASI ZA K**E

1.EPUKA KUSAFISHA UKE KWA KUTUMIA VITU VYENYE KEMIKALI K**A SABUNI

2.EPUKA KUTUMIA MARASHI YENYE CHEMIKALI UKENI NA KUONGIZA VITU MBÀLIMBALI UKENI K**A VIDOLE, ASALI, MGAGANI N.K

3.EPUKA KUTAWADHA KUTOKEA NYUMA KWENDA MBELE BAADA YA KUJISAIDIA HAJA KUBWA AU NDOGO

4.MTIBU MPENZI WAKO ALIE NA UGONJWA WA FANGASI

5.SAFISHA UKE NA KUJIFUTA KWA KITAMBAA SAFI ILIKUUACHA MKAVU

6.HAKIKISHA KINGA YA MWILI WAKO IKO JUU

7.VAA CHUPI ZITENGENEZAVYO KWA VITU HARISI K**A PAMBA NA HARIRI

8.EPUKA ULAJI MBAYA WA CHAKULA HASA PUNGUZA VYAKULA VYENYE KUKUPAYIA SUKARI KWA WINGI MWILINI

9.TUMIA PADS ZISIZO NA KEMIKALI NA ZENYE VITU VYA KUKULINDA NA MAAMBUKIZI,KUKUFANYA UWE MKAVU NA HURU.

N:B NI MUHIMU KUTUMIA DAWA ZA ASILI ZA VIRUTUBISHO NA KUACHA ZENYE KEMIKALI WAKATI WA KUTIBU FANGASI ZA UKENI.

KWA MAELEZO ZAIDI,
MAONI NA USHAURI
MATIBABU YA FANGASI SUGU NA ZA KAWAIDA KWA KUTUMIA BIDHAA ZILIZOTENGENEZWA NA MIMEA ASILI NA MATUNDA ZILIZO KATIKA MFUMO WA KISASA K**A VIDONGE,NA MAJI YA KUJISAFISHIA,
USISITE KUPIGA/TEXT/WHATSAP 0719529319

WOTE MNAKARIBISHWA....

19/01/2020

FAIDA ZA KUTUMIA ALOE VERA GEL.
- Ina Amino acids Zaidi ya 18, ambapo 7 kati ya hizo ni muhimu sana katika ukuwaji wa chembe chembe za uhai katika mwili wa binadamu...
- Inasaidia mwili wa mwanadamu kupambana na matatizo mbalimbali katika mwili
• Matatizo ya mmengenyo wa chakula...
• Acid kuzidi tumboni.
• Kurutubisha ngozi, kwa kuondoa seli zilizokufa na kutengeneza mpya..
• Kuondoa vimbe mbali mbali ndani na nje ya mwili.
• Kuongezea mwili nguvu ya kinga
• Kusafisha sumu zinazotokana na vyakula, madawa, pombe, sigara, msongo wa mawazo (stress) n.k.
• Huimarisha mzunguko wa damu, mishipa ya damu na kuyeyusha damu na mafuta yaliyoganda
• Ni lishe tosha katika mwili wa mwanadamu...
Inasaidia kuondokana na maradhi mwilini...kwasababu vijidudu vibaya viletavyo maradhi hupendelea mazingira yenye ACID Tindikali..katika mwili...na Aloe vera yenyewe ina leta hali ya u- ALKALINITY mwilini na kusababisha vimelea viharibifu visiweze kustawi na kusabisha maradhi...
Kwa maelekezo Zaid piga Simu 0719529319 au 0765595494.

15/01/2020

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
⚫kuwahi kufika kileleni mapema sekunde chache au baada ya kugusa mlango wa uke na uume kwa legelege.

⚫Kukosa hamu ya tendo kabisa/kukosa msisimko/mihemko.

⚫Mwili kuchoka sana baada ya tendo la ndoa huambatana na usingizi mzito sana.

⚫Mbegu kutoka kidogo au hazitoki kabisa

⚫Uume kuwa legelege wakati unashiriki tendo.

⚫Uume kusinyaa na kuwa mdogo.

:Hizo ni baadhi ya dalili za upungufu wa nguvu za kiume k**a umeziona moja ya dalili hizo usipuuze na k**a unamfahamu mtu mwenye changamoto hizo usipuuze .Mpataie taarifa hii atakushukuru kumbukuka hilo tatizo likiwa sugu utapata shida sana kurejesha ubora wako wa mwanzo itakua ngumu sana na utadhalilika.Jenga afya Sasa hivi kwann usubiri kesho?....

TUMA SMS neno Afya kwenda namba
+255658712894 WhatsApp na
0719529319 SMS/Call
Ili uweze kutatua tatizo mapema kabla halijawa sugu.

15/01/2020

FAHAM TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Nguvu za kiume: Huu ni uwezo wa mwanaume katika kustahimili kufanya tendo la ndoa.

FAIDA ZA TENDO LA NDOA.
i) Huongeza kinga za mwili; huongeza nguvu ya kinga ya mwili(Immunoglobin A) hivyo husaidia kutougua magonjwa mbali mbali.

ii) Huimarisha afya ya moyo; hupunguza ugonjwa wa moyo kwa 45% kwa wanaofanya walau Mara 6 kwa mwezi kuliko wanaofanya Mara moja kwa mwezi na pia hupata faida ya mazoezi na kuleta uwiano sawa wa testosterone na estrogen ambazo ni muhim kwa afya ya homoni ya mwanaume na ya moyo na mishipa ya dam(Cardiovascular system)

iii) Hupunguza msongo wa mawazo, shinikizo la damu(Presha ya kupanda au kushuka), na kuboresha misuli ya mgongo,kiuno,kifua hivyo ni zoezi tosha.

iv) Hupunguza maumivu; Hisia nzuri za tendo la ndoa huzalisha homoni zinazosaidia kupunguza maumivu ya miguu, mgongo, sehem za maungio na kichwa.

V) Huzuia Saratani ya Tezi Dume, kwa kumwaga shahawa Mara 21 kwa mwezi yaani Mara 5 kwa week nikimaanisha kufanya tendo la ndoa Mara 2 kwa week husaidia kuondoa mashambulizi ya saratani hiyo.

Vi) Huboresha Usingizi; Baada ya tendo homoni inayohusika na kupooza mwili(Prolactin) hutolewa na kuruhusu kupata usingizi wa mapema na pia homoni ya mapenzi(Oxytocin) hutolewa wakati wa kufika kileleni na kufanya upate usingizi mapema.

Vii) Huimarisha Uhusiano; pale ambapo kila mmoja wapo anakidhi haja ya mwenza wake kwa wakati sahihi hufanya wote wakijisikia wapya kila wafanyapo tendo na kuzidi kuimarisha uhusiano wao.

TATIZO LA NGUVU ZA KIUME
Hii hutofautiana kwa mwanaume mmoja na mwingine kwasababu katika maisha ya kila siku wanaume wamekuwa wakipambana sana kwa kutumia akili na nguvu zao zote kuhakikisha wanatimiza mahitaji katika familia zao k**a ilivyoandikwa katika maandiko kuwa watakula kwa jasho lao na si vinginevyo, hii hupelekea wanaume wengi kukosa uwezo wa kuwaridhisha wenza wao katika tendo muhimu kwa afya na akili kiujumla Na kusababisha kutokea kwa dalili zifuatazo;
a) Kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume barabara.

b) Kukosa ham ya tendo la ndoa.

c) Kutokuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya Mara moja.

d) Kufika kileleni mapema.

e) Kutokuwa na uwezo wa kisimamisha uume kabisa.

f) Uume kusinyaa na kurudi ndani.

SABABU ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
i) UMRI; kuanzia miaka 61 hupata tatizo hili zaidi kuliko miaka 41 kushuka chini kutokana na baadhi ya tishu katika mzunguko wa dam
kuzalishwa chache zaidi hivyo kupunguza ham ya tendo.

ii)Kutofanya mazoezi ya viungo mara kwa mara; Hii hufanya mzunguko wa dam kuwa mdogo pasipo kawaida na kusababisha hata hisia au mihemko kuwa chini pia maana dam itashindwa kupita vizur kwa usahihi na kusababisha uume usisimame barabara.

iii) Unywaji wa pombe na uvutaji wa sigara kupita kiasi; hii husababisha mwili kuondosha virutubisho muhimu kwenye homoni ya mwanaume k**a Madini ya Zinc, Vitamini B6 na Selenium ambavyo huwa k**a ni vichochezi na kumsaidia vizur sana mwanaume wakati wa tendo.

iv) Msongo wa mawazo(Stress);
Haya ni mabadiliko ya kisaikolojia katika mfumo wa faham kutokana na stail ya maisha tunayoishi k**a Madeni,hasara katika biashara, kutojaliana, uwoga ambavyo huondoa ham ya kufanya tendo.

v)Magonjwa yasiyo ambukizi; k**a presha(kupanda au kushuka), kisukari, kiharusi, saratani ya tezi dume na matatizo ya moyo ambayo husababishwa na mifumo mibovu ya ulaji wa vyakula katika kuweka uwiano sawa wa vyakula vya wanga, protini, vitamin na mafuta.

vi) Matumizi holela ya dawa bila kushauriwa na wataalamu wa afya; haya mazoea ni mabaya sana maana utumiaji wa dawa hizi hutoa kemikali ambazo huweza kuharibu mfumo wa UZAZI na kuathiri mfumo wa dam kupitia mishipa na kupunguza hisia au ham ya tendo.

vii) Kuendesha Vyombo ya usafiri kwa umbali mrefu na Mara kwa Mara; hii pia inamadhara sababu huzifanya korodani ambazo ndo hutunza homoni za mwanaume(Testosterone) zitumikazo kuzalisha mbegu za kiume kubwana mara kwa Mara sababu ya kukaa kwenye kiti mda mrefu na kusababisha upungufu wa uzalishaji wa mbegu na mzunguko wa dam kiujumla.

viii) Kujichua au Kupiga punyeto;
Kitendo hiki ni moja ya sababu kubwa sana tena sana maana husababisha ule mshipa unaotoa damu(Vena) kulegea wakati ulitakiwa ubanwe ili kuipa nafasi mishipa inayoingiza dam(Ateri) iingize kwa wingi kwenye mishipa ya uume, hivyo kupelekea kuwahi kufika kilekeni mapema maana dam itakuw imeshaondoshwa kwenye mishipa ya uume na kuufanya usisimame barabara kwa mda mrefu na kusababisha kusinyaa na kukosa nguvu hivyo kukosa ham au kushindwa kurudia tendo tena na tena.

KWA USHAURI ZAIDI JUU YA UFUMBUZI WA TATIZO HILI NAPATIKANA KWA NAMBA ZIFUATAZO;

0658712894 WhatsApp
0719529319 SMS/ Call.

10/01/2020

WANAUME WENGI WAFIKAPO MIAKA 35NA KUENDELEA HUKUMBWA SANA NA CHANGAMOTO YA TEZI DUME(PROSTATE CANCER).NA VIFUATAVYO HUANZA KUONEKANA K**A DALILI ZA TATIZO HILO;
-Changamoto za mfumo wa mkojo
-kupungua uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
-Uume kutosimama ipasvyo
-kutokwa na dam damu kwenye mkojo
-Hisia za kutaka kupata mkojo mara kwa mara

Bidhaa ya forever imekuja na stumaini kwa kutoa bidhaa itwayo VITORIZE FOR MEN ambayo inafaida zifuatazo kwa afya ya mwanaume kiujumla......

-ina mchanganyiko wa mimea asilia ikiwa na vitamins, madini, na antioxidants ambayo inasaidia mfumo wa mkojo kufanya vyema, inasaidia afya ya prostate, na ufanyaji kazi mzuri wa prostate.

-inavirutubisho vya phyto ambayo hukupa nguvu, na afya njema.
-ina mimea asilia ya palmeto, pyguen, na mbegu za maboga vitu ambavyo hatuvipati kwenye lishe zetu na kufanya kuwa na kinga madhubuti dhidi ya magonjwa.

-Ina mbegu za maboga ambazo husaidia kuimarisha level ya PSA(Prostate Specific Antigen) hii ni protein inayozalishwa na selli hai za tezi ya prostate, kuimarisha pressure ya damu, kuimarisha kiwango cha cholesterol mwilin, kuimarisha kazi ya njia ya mkojo, na afya ya uwanaume.

-ina lycopene ambayo husaidia kupunguza kasi ya uzee na kufanya ngozi kuonekana bado ya ujana...

-Ina Vitamin B6,C,D,E, ambazo husaida kuimarisha kiwango cha hormoni za oestrogen na testosteron, na kusaidia uzalishaji wa seronini ambayo ina regulate mood, Vitamini E huimarisha afya ya ngozi na kuongeza kinga ya mwili dhidi ya sumu mbalimbali.

-ina madini ya zinc ambayo huimarisha sana Mfumo wa uzazi.

-ina selenium ambayo husaidia utengenezwaji bora wa mayai ya kiume (s***m).

Forever Vitolize for men ni kirutubisho bora kwa afya ya prostate, njia ya mkojo, sexual vitality, kinga ya mwili pia inasaidia kukuepusha na tatizo la Prostate Cancer(TeziDume).

Kwa mahitaji tumia mawasiliano
call/text/ (+255)719529319 WhatsApp(+255) 658712894.

Photos from Healthy and beuty care's post 10/01/2020

BAWASILI/HEMORHOID.
hii ni hali inayotokea baada ya kuvimba kwa mishipa midogo (vena) inayozunguka sehemu au tishu za tundu la haja kubwa. Ambapo mishipa hii huvimba na kusababisha. Vimbe au vinyama kuota katk eneo la kutolea haja kubwa. Pia mishipa hyo hupasuka na kusababisha damu kuvilia na kuufanya mkundu kuwa wa bluu au mwekundu uliovimba na sometimes kuziba sehemu ya kutolea kinyesi.

Bawasili zipo za aina mbili kulingana na sehemu inapotokea... Inaweza kuwa ndani au kwa nje.

SABABU
-👉mtu akiwa anahara sana
👉kuwa na kinyes kigumu mara kwa mara
👉ujauzito
👉kuwa na uzito kupita kiasi
👉kufanya ngono kinyume na maumbile
👉kula sana vyakula vya kukoboa
👉kuchuchumaa mda mrefu wakat wa haja
👉mtu mwenye tatizo la ini huweza kupata pia

DALILI
👉damu kinyesini
👉maumivu wakat wa haja kubwa
👉kuwashwa kwa tundu la haja
👉kujitokeza kinyama kwenye tundu la haja kubwa

KUJIKINGA
👉kunywa maji mengi
👉🏃‍♀🏃‍♀mazoezi
👉kula mboga mboga na matunda na kuacha kuyafaya yote yasababishayo k**a nilivoeleza apo juu.

Nb
Ni watu wengi wanao ugonjwa huu ila huona aibu kujionesha na hatimaye huenda kupasuliwa.... Usiogope endapo unalo tatizo au unamjua alienalo mfahamishe kuna bidhaa ataweza kuzitumia na hatoweza kupasuliwa coz zinaondoa kabisa na huo uvimbe hautarudia tena k**a ambavyo angeenda kupasuliwa

Contact us☎
0719529319 / (0658712894 WhatsApp )KARIBU SANA.

03/01/2020

*SABABU ZA MWANAMKE KUTOKUSHIKA MIMBA*

Kwa kawaida mwanamke anatakiwa apate ujauzito ndani ya mwaka mmoja baada tu ya kuolewa au kuanza uhusiano. Tunategemea baada ya miaka miwili hadi mitatu baada ya kupata mtoto apate mwingine labda k**a hajaamua yeye pamoja na mumewe. Ujauzito unapatikana baada ya kufanya tendo la ndoa kwa ukamilifu, yaani katika kipindi ambacho mwanamke anaweza kupata ujauzito (siku za hatari).
Swala hili pia linaangalia kwa upande wa pili wa mwanaume ambaye pia tunategemea ana uwezo huo wa kumpa mwanamke mimba kwa kuwa na mbegu zenye ubora na nyingi, pia awe na nguvu za kutosha za kufanya tendo ili mwezi wake apate ujauzito. (Kuhusu mwanaume tayari somo lake).

👉🏾 *ZIPO AINA MBILI ZA KUTOSHIKA MIMBA (INFERTILITY)*

👉🏾1.AINA YA KWANZA (PRIMARY INFERTILITY)
Hii ni kwa wale ambao mke na mume hawakuwai kubahatika kupata mtoto hata mmoja tangu waoane au wawe kwenye mahusiano ili hali wanakutana kimwili bila kutumia kinga yoyote Ile.

👉🏾2.AINA YA PILI (SECONDARY INFERTILITY)
Hii ni kwa wale ambao mke na mume walishazaa mara moja Lakini hawafanikiwi kupata mtoto mwingine ili hali wanakutana kimwili bila kutumia kinga yoyote.

👉🏾 *VITU VINAVYOSABABISHA MWANAMKE KUSHINDWA KUPATA MIMBA NI;*

1.Kutokuwa na uwiano mzuri wa homoni (Hormonal Imbalance)
2.Ovaries kushindwa kutoa mayai
3.Kuziba kwa mirija ya uzazi
4.Mirija ya uzazi kujaa maji
5.Uvimbe katika kizazi (uterine fibroid)
6. Magonjwa k**a vile PID, kisonono kisukari nk
7.Kuwa na msongo wa mawazo
8.Utoaji wa mimba (Abortion)
9.kuwa na uzito kupita kiasi (over-weight)
10.Matumizi ya pombe, bangi, sigara, ulevi kupindukia
11.Matumizi ya madawa
12.Endometriosis:-Hii ni hali ambayo seli za ndani ya mfuko wa uzazi huanza kuota nje ya fuko hilo au hata sehemu nyingine.

Hizo hapo ni baadhi ya sababu zinazoweza kusababisha mwanamke asipate ujauzito.

👉🏾 *DALILI*

1.Mwanamke anayesumbuliwa na maumivu chini ya tumbo mara kwa mara naye yupo katika hatari hii kwani upo uwezekano wa kuathiri mirija yake ya uzazi na ikaziba kabisa, mzunguko wa hedhi unavurugika na kupoteza hamu ya tendo la ndoa
2.Wanawake wengine hupata maumivu ya kiuno na tumbo kwa muda mrefu sio dalili nzuri, matiti au chuchu kutoa maziwa pia huathiri kwa kiasi kikubwa uzazi na inakua vigumu kupata ujauzito hasa kwa wasichana
3.Maumivu wakati wa hedhi pia si dalili njema katika mfumo wa uzazi kwani inaweza kuwa una maambukizi sugu ya kizazi (chronic pid), uvimbe katika kizazi (uterine fibroid) na nyinginezo.

*USHAURI*

Nenda kliniki za magonjwa ya kinamama kachunguzwe vizuri kwamba una tatizo gani linalosababisha wewe usishike mimba, Na k**a tayari umeshaenda hospitali ukagundulika una tatizo au ushatumiwa dawa bila mafanikio yoyote unaweza kuwasiliana nami kupata ushauri pamoja na lishe ya kuondoa tatizo ulilonaloa kumbuka lishe zetu hazina kemikali ya aina yoyote.

👉🏾 *KUMBUKA* kuwa mwanamke kushindwa kubeba ujauzito hata na mwanaume pia anahusika hivo ni vyema mkaenda wote hospitali mkamfanyie uchunguzi kwa pamoja ili muweze kupata majibu kwa pamoja na pia pindi mkitumia lishe zetu ili niweze kujua ni nani mwenye tatizo hilo.

👉🏾 *ONYO:-* Epuka matumizi ya dawa bila kufanyiwa uchunguzi.

*WASILIANA NAMI KWA NO📲*
0658712894
Au
0719529319

*UKIWA UNA CHANG'AMOTO YA KIAFYA YA MAGONJWA YA KISUKARI, PRESSURE,U.T.I SUGU,UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME,VIDONDA VYA TUMBO,MATATIZO YA HEDHI,MAUMIVU YA VIUNGO VYA MWILI,MATATIZO YA MACHO N.K WASILIANA NAMI KUPATA USHAURI ZAIDI.

*SHARE UJUMBE HUU ILI WENGINE WAWEZE KUPATA FUNZO ASANTE🤝🏾*

03/01/2020

Fahamu umuhimu wa kutumia ARGI PLUS

AFYA YA TENDO LA NDOA, AFYA BORA YA MOYO, BALANCED BLOOD PRESSURE, GOOD MUSCLE GROWTH, MISHIPA YA DAMU KUWA SAWA, RUTUBA YA MWILI.

Muhimu kwa afya yako fahamu sababu 10 muhimu za wewe kutumia Argi +

Ina 5grams za L-Arginine kwa kila pakti kimoja na zipo pakti 30, ina vitamins mbalimbali zinazosaidia kuongeza stamina na nguvu. L-Arginine ina amino acid muhimu sana kwa afya kiujumla. Miili yetu inabadilisha ile L-Arginine kuwa Nitric oxide, ambayo inasaidia mishipa ya damu kutanuka na kuruhusu damu kupita kwa kiwango cha kutosha. ARG+ pia ina viondosha sumu k**a pomegranate (komamanga).

Faida 10 za ARGI+

(1). Ni kirutubisho asilia muhimu sana kutumia kila siku kwa ajili ya kusaidia mifumo yote ya mwili ili kuupa mwili uwezo wa kufanya kazi vizuri zaidi

(2): ina mfumo wa kinga ya mwili kutokana na Nitric oxide ambayo inatumiwa na chembechembe nyeupe za damu kuua bacteria.
Hivyo kuupa mwili uwezo zaidi na kupigana na magonjwa.

(3) inasaidia kurekebisha kiwango cha Blood pressure kiwe sahihi na afya ya mzunguko wa damu na afya ya moyo kiujumla

(4):inasaidia kutengenezwa kwa mifupa na mwili kiujumla hivyo ni vizuri sana kwa tatizo la waliovunjika mifupa au wenye mifupa dhaifu.

(5):Nitric oxide inayotengenezwa kutokana na ile L-Arginine inaongeza mzunguko wa damu ndani ya mwili na hivyo inasaidia kuongeza nguvu za kiume. Mwenye shida ya nguvu za kiume akitumia Argi + hujiona k**a mtu mpya kabisa. Tatizo kubwa la uume kusimama umelegea na kunywea na kushindwa kuhimili tendo huwa hasa ni tatizo la damu kutofika kwenye uume vizuri na kuwa retained kwenye uume. And ARGI+ inasaidia suala hili kukaa sawa and so mambo yanakuwa mapya kabisa!

(6):inasaidia misuli kuwa imara na yenye nguvu pamoja na kupunguza mafuta ndani ya mishipa ya damu ndio maana ni nzuri sana kwa wanawake na wanaume wanaofanya mazoezi.

(7): ina "promegrant"(komamanga) na vimelea vya matunda mengine ambayo ni viondosha sumu (antioxidants) hivyo inasaidia kuondoa madhara ya hizo sumu mwilini ambazo siyo sumu k**a sumu ya panya no sumu hizi kitaalamu zinaitwa free radicals sasa kiswahili kina maneno machache. Ni mithili ya kemikali mbaya mwilini. So Argi+ inasaidia sana kupingana na madhara ya free radicals mwilini mwako na hivyo kufanya seli zako za mwili kuwa sawa.

(8):Ina vimelea vitokanavyo na "RED WINE" ambayo inasaidia kushusha kiasi cha "CHOLESTROL" mwilini. Mafuta mabaya.

(9):inaongeza uwezo wa mwili kutumia Insuline (insuline sensitivity) hivyo inafaa sana kuweka uwiano wa sukari mwilini. Tunasitiza kuwa hii SIYO DAWA ya Kisukari wala DAWA ya chochote ila ni kirutubisho kilichothibitishwa kimataifa na hata hapa kwetu na TFDA k**a kirutubisho cha kusaidia kusupport mwili wako kuwa vizuri. K**a mtu ni mgonjwa tayari anapaswa KUFIKA HOSPITALI KWANZA. Hizi bidhaa ni hasa kwa mtu ambaye hajaumwa ili asije kuumwa. K**a ukitutafuta na unaumwa tayari tutataka kujua kwanza k**a umeenda hospitali k**a hujaenda ni muhimu uende ndicho kitu sahihi usitafute shortcut k**a tayari una ugonjwa. Hilo nimeona nisisitize.

(10): inasaidia kupunguza kasi ya uzee kwa kuzalisha seli mpya kila siku.
Wale mnaopata makunyanzi na mvi ukiwa bado kijana na pia ngozi inaonekana k**a umezeeka hii bidhaa yaweza kuwa msaada sana.

Tuma neno ARGI + kwa sms au WhatsApp namba +255 658712894 au 0719529319 kujipatia kirutubisho hiki sasa.

03/01/2020
29/12/2019

Hii inasaidia kuondoa chunusi na madoa sugu kwa mda mfupi na kuacha ngozi yako ikiwa na mvuto pia yenye afya, karibu.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Sae
Mbeya