Afya sarama
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya sarama, Health/Beauty, CCIEM, Mbeya.
09/06/2022
⭕ *COOLROLL NI NINI?*
Coolroll..ni aina ya mafuta yanayosaidia
Mwili kwa kupaka sehemu iliyopata shida.
Kwa nini na nani anapaswa kutumia mafuta ya Coolrool
Mtu yoyote anayesumbuliwa na maumivu ya kichwa Mara kwa mara
Mtu yoyote anayesumbuliwa na mafua ya mara kwa mara
Mtu yeyote anayesumbuliwa na Matatizo ya maumivu ya Kipanda uso
Mtu yoyote anayesumbuliwa na maumivu ya kifua kubana
Mtu yoyote anayesumbuliwa na maumivu ya Viungo..unatumia kwa kupaka sehemu husika
Mtu yoyote anayesumbuliwa na kuuma kwa misuli,
miwasho
Pia ni nzuri kwa kufukuza mbu
pia unaweza kutumia k**a Kupaka mikononi kujikinga na Corona
Mtu yeyote aliyepata ajali na kupata majeraha.
Mtu yeyote aliyeungua na moto.
Mtu yeyote aliyejikwa au kubanwa na mlango au kitu chochote.
Miwasho mwilini
*MATUMIZI*
Unapaka sehemu husika
*TAHADHARI:* Hairuhusiwi kupaka sehemu za siri ,
Kwenye Macho,Mdomoni nk.
*ZINGATIA MAELEKEZO YA MTAALAMU TU,UTAPATA MATOKEO 100%*
WhatsApp..https://wa.me/message/
TSH.35900/=
03/06/2022
🌹FAIDA ZA PURE AND BROKEN GONADEMA LUCIDIUM SPORES*
Maarufu K**a *UYOGA MWEKUNDU*
⏺ Hupandisha CD4 mwilini
⏺ Huongeza Kinga mwilini
⏺ Ni nzuri kwa walio ugua mda mrefu
⏺ Ni nzuri kwa wenye shida ya homa ya ini
⏺ Ni nzuri kwa waliokuwa na shida ya kutanuka kwa Moyo
⏺ Ni nzuri kwa waathilika wa VVU
⏺ Huongeza nguvu Mwilini
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya shinikizo la damu
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya Kisukari
⏺ Huondoa Sumu mwilini
⏺ Huondoa uvimbe mwilini
⏺ Huondoa goita ikitumika na Zaminocal plus
⏺ Huondoa Maumivu makali wakati wa hedhi
⏺ Huondoa Maumivu makali ya viungo mwilini
⏺ Huongeza uwezo wa mwili kutengezeneza damu
⏺ Huimarisha seli za ubongo hivyo hudhibiti hali ya kusahau
⏺ Huimarisha macho
⏺ Huongeza nguvu za kiume
⏺ Huondoa vimelea vya Saratani
⏺ Huimarisha ngozi yako
⏺ Hutibu magonjwa katika mfumo wa upumuaji
⏺ Hutibu Ugumba
⏺ Huondoa changamoto ya kukosa hedhi
⏺ Huondoa hernia Aina zote ikiwa na Yunzhi pamoja na ( novel au Prostatrelax capsules) kulingana na eneo ilipo na kwa jinsia husika
⏺ Hujenga Kinga ya mwili dhidi ya magojwa mbalimbali
Uyoga mwekundu unakazi nyingi Sana kuziorodhesha zote hatutaweza kuzisoma zote
Kwa ubora wa afya na Kinga ya mwili tumia pure moja hata kwa miezi mitatu wewe Mwili wako utakuwa imara hii ni dawa iliyotengenezwa kwa ubora mkubwa zaidi na inakazi Kubwa kuliko vile tunavyoiona
Angalia kidogo hapa 👇
Pure ikiisha katika kuitengeneza mabaki ya Uyoga mwekundu ndo hutengenenezea baadhi ya dawa nyingine tena ndio maana huitwa *pure*
Unakosaje kuitumia pure K**a unauwezo nayo?
Uwe unaumwa au huumwi pure ni kitu sahihi na Ni mhimu kwako kuitumia.
Wasiliana nasi kwa simu namba .0755550055.. kwa maelezo zaidi.
https://wa.me/message/@+255788886622
*FAIDA ZA PURE AND BROKEN GONADEMA LUCIDIUM SPORES*
Maarufu K**a *UYOGA MWEKUNDU*
⏺ Hupandisha CD4 mwilini
⏺ Huongeza Kinga mwilini
⏺ Ni nzuri kwa walio ugua mda mrefu
⏺ Ni nzuri kwa wenye shida ya homa ya ini
⏺ Ni nzuri kwa waliokuwa na shida ya kutanuka kwa Moyo
⏺ Ni nzuri kwa waathilika wa VVU
⏺ Huongeza nguvu Mwilini
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya shinikizo la damu
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya Kisukari
⏺ Huondoa Sumu mwilini
⏺ Huondoa uvimbe mwilini
⏺ Huondoa goita ikitumika na Zaminocal plus
⏺ Huondoa Maumivu makali wakati wa hedhi
⏺ Huondoa Maumivu makali ya viungo mwilini
⏺ Huongeza uwezo wa mwili kutengezeneza damu
⏺ Huimarisha seli za ubongo hivyo hudhibiti hali ya kusahau
⏺ Huimarisha macho
⏺ Huongeza nguvu za kiume
⏺ Huondoa vimelea vya Saratani
⏺ Huimarisha ngozi yako
⏺ Hutibu magonjwa katika mfumo wa upumuaji
⏺ Hutibu Ugumba
⏺ Huondoa changamoto ya kukosa hedhi
⏺ Huondoa hernia Aina zote ikiwa na Yunzhi pamoja na ( novel au Prostatrelax capsules) kulingana na eneo ilipo na kwa jinsia husika
⏺ Hujenga Kinga ya mwili dhidi ya magojwa mbalimbali
Uyoga mwekundu unakazi nyingi Sana kuziorodhesha zote hatutaweza kuzisoma zote
Kwa ubora wa afya na Kinga ya mwili tumia pure moja hata kwa miezi mitatu wewe Mwili wako utakuwa imara hii ni dawa iliyotengenezwa kwa ubora mkubwa zaidi na inakazi Kubwa kuliko vile tunavyoiona
Angalia kidogo hapa 👇
Pure ikiisha katika kuitengeneza mabaki ya Uyoga mwekundu ndo hutengenenezea baadhi ya dawa nyingine tena ndio maana huitwa *pure*
Unakosaje kuitumia pure K**a unauwezo nayo?
Uwe unaumwa au huumwi pure ni kitu sahihi na Ni mhimu kwako kuitumia.
Wasiliana nasi kwa simu namba .0755550055 kwa maelezo zaidi.
https://wa.me/0788886622
TSH:197000/=
28/05/2022
*DERMAEVER NI NINI🧴*
Ni lotion ambayo imetengenezwa takriban na mimea asili 7 isiyo na kemikali na ni chakula Kwa ngozi💯
Mimea hiyo inaifanya *DERM EVER* kuwa mafuta Bora ya mwili na uso na kukupa faida zifuatazo👇🏾👇🏾👇🏽👇🏽
🧴🍒Inaongezwa unyevu kwenye ngozi, Kwa asilimia 53%
🧴🍒Inarudisha uwezo wa ngozi kutanuka na Kusinyaa Hivyo huondoa makunyanzi kwenye ngozi.
🧴🍒inaleta mng'ao wa ngozi Inamfanya mtumiaji kuwa na ngozi yenye rangi Moja mwili mzima.
🧴🍒inasaidia kuondoa uchakavu wa ngozi kwa watu wote.
🧴🍒inasaidia ngozi kujilinda na kujitibu na magonjwa ya ngozi, k**a vile mabalango.
🧴🍒huondoa cell zilizokufa kwenye ngozi na kuchochea uzalishaji wa cell mpya kwenye ngozi.
🧴🍒inarekebisha ngozi iloungua na cream zenye kemikali..
*We care you're Skin Health*👨🏻🦱👩🏻
📞...0755550055
https://chat.whatsapp.com/
*🌹Faida Za Derma Repair Lotion.......*
Ni Lotion nzuri iliyotengenezwa kwa viambata kutoka katika mimea 7 tofauti 👇
🔅Sun flower
Ambapo kuna Vitamin E Linoleic acid (hufanya ngozi isipoteze unyevu)
🔅AvocadoMadini mbalimbaliOmega-9 Vitamin E
🔅Plantain Antibacterial Germicidal
🔅SageDhidi ya michiliziKuvimba kwa ngozi
🔅WitchhazelWekundu kwenye ngoziMiwashoKuungua kwa jua
🔅PurslaneVimakovuKuzunguka kwa damu katika ngozi
🔅CamomileKuponesha ngozi kwa haraka Ngozi angavu
Kwa ujumla mafuta na viambata vingine vya mimea hii hufanya lation hii kuwa na uwezo huu👇
*Faida zake kwa ujumla....*
▪️Husaidia kutoa michilizi
▪️Kuondoa madoa na mabaka mabaka kwenye ngozi
▪️Husaidia Kuondoa Miwasho kwenye ngozi
▪️Husaidia Kuondoa hali ya allergy ya ngozi k**a vile Kuvimba n.k
▪️Kusaidia ngozi iliyoungua ama kubabuka na jua
▪️Kufanya ngozi kuwa nyororo
▪️Kufanya ngozi kuwa angavu na yenye nuru
▪️Hufanya ngozi kutokuwa na makunyanzi
▪️Hufanya ngozi isipoteze sana maji na kutokuwa naafuta sana
▪️Husaidia kulainisha miguu pia
P.S
Ni Lotion inauoenda kurejesha ngozi iliyoharibika na kulinda ngozi kuendelea kuwa imara
Ni Lotion kwa jinsia zote
Inapatika katika package (body lation +body cream)
Ngozi yako umaridadi wako na muoneokano wako
0755550055📞
0788886622
TSH:135000
https://chat.whatsapp.com/C4pLXwxEK1kClqo6OZWx3e
*🌹Faida Za Derma Repair Lotion.......*
Ni Lotion nzuri iliyotengenezwa kwa viambata kutoka katika mimea 7 tofauti 👇
🔅Sun flower
Ambapo kuna Vitamin E Linoleic acid (hufanya ngozi isipoteze unyevu)
🔅AvocadoMadini mbalimbaliOmega-9 Vitamin E
🔅Plantain Antibacterial Germicidal
🔅SageDhidi ya michiliziKuvimba kwa ngozi
🔅WitchhazelWekundu kwenye ngoziMiwashoKuungua kwa jua
🔅PurslaneVimakovuKuzunguka kwa damu katika ngozi
🔅CamomileKuponesha ngozi kwa haraka Ngozi angavu
Kwa ujumla mafuta na viambata vingine vya mimea hii hufanya lation hii kuwa na uwezo huu👇
*Faida zake kwa ujumla....*
▪️Husaidia kutoa michilizi
▪️Kuondoa madoa na mabaka mabaka kwenye ngozi
▪️Husaidia Kuondoa Miwasho kwenye ngozi
▪️Husaidia Kuondoa hali ya allergy ya ngozi k**a vile Kuvimba n.k
▪️Kusaidia ngozi iliyoungua ama kubabuka na jua
▪️Kufanya ngozi kuwa nyororo
▪️Kufanya ngozi kuwa angavu na yenye nuru
▪️Hufanya ngozi kutokuwa na makunyanzi
▪️Hufanya ngozi isipoteze sana maji na kutokuwa naafuta sana
▪️Husaidia kulainisha miguu pia
P.S
Ni Lotion inauoenda kurejesha ngozi iliyoharibika na kulinda ngozi kuendelea kuwa imara
Ni Lotion kwa jinsia zote
Inapatika katika package (body lation +body cream)
Ngozi yako umaridadi wako na muoneokano wako
📞...0755550055
WhatsApp
0788886622
TSH•135000/=
https://chat.whatsapp.com/C4pLXwxEK1kClqo6OZWx3e
26/05/2022
*🌹Faida Za Derma Repair Lotion.......*
Ni Lotion nzuri iliyotengenezwa kwa viambata kutoka katika mimea 7 tofauti 👇
🔅Sun flower
Ambapo kuna Vitamin E Linoleic acid (hufanya ngozi isipoteze unyevu)
🔅AvocadoMadini mbalimbaliOmega-9 Vitamin E
🔅Plantain Antibacterial Germicidal
🔅SageDhidi ya michiliziKuvimba kwa ngozi
🔅WitchhazelWekundu kwenye ngoziMiwashoKuungua kwa jua
🔅PurslaneVimakovuKuzunguka kwa damu katika ngozi
🔅CamomileKuponesha ngozi kwa haraka Ngozi angavu
Kwa ujumla mafuta na viambata vingine vya mimea hii hufanya lation hii kuwa na uwezo huu👇
*Faida zake kwa ujumla....*
▪️Husaidia kutoa michilizi
▪️Kuondoa madoa na mabaka mabaka kwenye ngozi
▪️Husaidia Kuondoa Miwasho kwenye ngozi
▪️Husaidia Kuondoa hali ya allergy ya ngozi k**a vile Kuvimba n.k
▪️Kusaidia ngozi iliyoungua ama kubabuka na jua
▪️Kufanya ngozi kuwa nyororo
▪️Kufanya ngozi kuwa angavu na yenye nuru
▪️Hufanya ngozi kutokuwa na makunyanzi
▪️Hufanya ngozi isipoteze sana maji na kutokuwa naafuta sana
▪️Husaidia kulainisha miguu pia
P.S
Ni Lotion inauoenda kurejesha ngozi iliyoharibika na kulinda ngozi kuendelea kuwa imara
Ni Lotion kwa jinsia zote
Inapatika katika package (body lation +body cream)
Ngozi yako umaridadi wako na muoneokano wako
TUPIGIE SIM 0755550055
UTARETEWA POPOTE URIPO
WHATSAPP
0788886622
https://chat.whatsapp.com/C4pLXwxEK1kClqo6OZWx3e
*DALILI 1️⃣0️⃣ MBAYA ZA UGONJWA WA P.I.D KWA MWANAMKE.*
1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
MADHARA YA PID
💊Ugumba
💊Saratani ya shingo ya kizazi
Kwa Ushauri na Tiba
Wasiliana nami kwa namba
📢...0755550055
https://chat.whatsapp.com/C4pLXwxEK1kClqo6OZWx3e
21/05/2022
BAWASIRI INATIBIKA
UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI (MIWASHO, VIMBE NA MAUMIVU KATIKA SEHEMU YA HAJA KUBWA) - HEMORRHOIDS.
Bawasiri ni ugonjwa ambao unatokana na kuathirika kwa mishipa ya sehemu ya ndani na nje ya tundu la haja kubwa na hupelekea wakati mwingine kutoa damu wakati wa kutoa haja kubwa.
*️⃣Ugonjwa huu unasababisha muwasho na maumivu makali katika tundu la haja kubwa.
*️⃣Mara nyingi tatizo hili huwapata watu kuanzia umri wa miaka 25 – 70.
Ila kwasasa ugonjwa huu unawaathiri mpaka watoto wa umri wa chini kabisa:
🔄Kuna aina mbili za bawasiri:
1⃣Bawasiri ya Ndani:
Hiki nikinyama kinachootea ndani kabla ya Kutokea nje
Huanza kwa mtu kukosa choo, Maumivu wakati wa kujisaidia
Pia uvimbe huanza kujitengeneza kwa kutoka ndani ya tundu la haja kubwa hasa pale wakati wa kujisaidia
2⃣Bawasiri ya Nje:
Hii ni Bawasiri ambayo hujitokeza sehemu ya nje ya tundu la haja kubwa. Hutokea nje baada ya bawasiri ya ndani kujiimarisha zaidi,
Wapo watu ambao huathirika nje moja kwa moja na hutegemea ni chanzo gani ambacho kimepelekea kuathirika na tatizo hilo.
Huambatana na Miwasho ya mara kwa mara, Maumivu katika sehemu ya nje ya tundu la haja kubwa, Damu kutoka wakati wa kujisaidia na baada ya kujisaidia
🔄CHANZO CHA UGONJWA WA BAWASIRI
Bawasiri ni tatizo linaloanzia kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula. Huu mfumo ukishakua mbovu hupelekea kutokupata choo vizuri(Haja kubwa)
Mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula unasababisha chakula kisimeng'enywe vizuri kwenye utumbo mdogo na hivyo kupelekea chakula kupiliza kwenda moja kwa moja k**a kilivyo kwenda kwenye utumbo mkubwa ambapo maji maji kutoka kwenye chakula hufyonzwa na kuacha chakula kikiwa kikavu.Inapofikia wakati wa kupata choo; choo kinakua kikavu hivyo unatumia nguvu nyingi kukisukuma choo kitoke.
Hali hii hupelekea misuli ya haja kubwa kutanuka na kupelekea kukwanguliwa na choo kigumu na hivyo kinyama kuanza kujitengeneza, Hivyo husababisha kuanza kusikia maumivu na miwasho kwa ndani, na mara nyingine kupata choo chenye damu.
Hivyo basi kadri unavyoendelea kupata choo kigumu misuli ya tundu la haja kubwa huendelea kuathirika zaidi k mpaka kinatokeza.
🔄Bawasiri pia huweza kusababishwa na:
*️⃣Kufanya mapenzi kinyume na maumbile,
*️⃣Ujauzito
*️⃣kuhara kwa mda mrefu
*️⃣Kutopata choo kwa mda mrefu
🔄 DALILI ZA UGONJWA WA BAWASIRI
*️⃣Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa. Huu muasho unakuja kwa kujirudia mara kwa mara baada ya muda furani.
*️⃣Kukatishwa kwa haja kubwa na kurudi ndani wakati wa kujisaidia. Kitendo hiki huongeza msuguano katika mishipa ya ndani ya tundu la haja kubwa.
*️⃣Kujitokeza kwa uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa. Uvimbe huu unaanza kuota k**a upele na huambatana na miwasho na maumivu makali.
*️⃣Kujitokezea kwa kijinyama katika tundu la haja kubwa. Kinyama hiki kinaanzia ndani ya tundu la haja kubwa na kutokea nje ya Tundu la haja kubwa. Hatua hii huashiria tatizo limesha kuwa kubwa na una hili tatizo la bawasili kwa muda mrefu, na linaweza kusababisha vifo vya gafla kwa sababu mishipa inayosafirisha damu ndio inakwanguliwa na mwishowe kuathirika
*️⃣Kujisaidia kinyesi chenye damu na kunuka kwa harufu mbaya sana
*️⃣Kupumua na kushindwa kuzuia kinyesi wakati ukipumua(kujamba na kutoa haja kubwa)
🔄MADHARA YA UGONJWA WA BAWASIRI
1⃣Upungufu wa damu mwilini
2⃣Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa.
3⃣Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
4⃣Kutopata hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote. Yaani Mwanamke na Mwanaume.
5⃣Kuathirika kisaikolojia na hupelekea kutojiamini katika hadhara ya watu hasa pale miwasho inapoanza.
6⃣Kuvuja damu, maumivu ya mda mrefu na hupelekea kushindwa kukaa.
7⃣Maumivu ya mgongo ya mara kwa mara na kiuno.
🔄NJIA ZAKUONDOA TATIZO HILI
*️⃣Tiba yake hospitalini Ugonjwa huu tiba yake ni opereation (kukukata uvimbe uliojitokeza katika tundu la haja kubwa ili usiendelee kukua na kusababisha magonjwa mengine.
*️⃣Tiba hii huwa na Changamoto ya kujirudia tena kwa hilo tatiz
Wasiriana Nas 📞....0755550055
WhatsApp...0788886622
21/05/2022
🇹🇿*UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS) NA SULUHISHO LAKE*
*FIBROID NI NINI?*
Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi (ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama
ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.
*Kuna aina kuu zifuatazo za fibroids:*
1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)
2.intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)
3. Subserosal(nje ya kizaz)
*Watu wafuatao wako hatarini kupatwa na ugonjwa huu fibroids*
1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2.miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma
3.kurithi
4.unene
5.kuingia hedhi mapema
Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu huwaga unaongezeka
kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto. Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids.
*Dalili za fibroids*
1.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
2.kutokwa na uchafu wenye kiaharufu mbaya au ambao hauna harufu lakini mwingi na mweupe.
3.maumivi ya kiuno hasa wakati wa
hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana.
4.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
5.hedhi zisizokuwa na mpangilio
6.maumivu wakati wa tendo la ndoa
7.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
8.maumivu makali wakati wa hedhi
*Uvimbe unapokua mkubwa unaweza kusababisha dalili zifuatazo*
1.Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2.Mkojo kubaki kwenye kibofu cha
mkojo
3.Haja kuwa ngumu
4.miguu kuvimba
5.kupungukiwa damu
Jinsi fibroids zinavyoweza kuzuia kupata mtoto:
1.Fibriods zikikua sana zinakandamiza
mishipa ya kupitisha mayai kutoka
kwenye mfiko wa mayai yaani ovari
2.Uvimbe pia unazuia yai
lililorutubishwa kujishikiza kwenye
kizazi..hasa submucosal fibroids
3.Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai.
*MATIBABU*
1.Wanawake wengi wanafibroids ndogo ndogo lakini kwa sababu hazina dalili hahawezi kwenda hospitali na hawa ndo siku wakibeba ujauzito uvimbe unaongezeka kwa sababu ya vichocheo kuongezeka hivyo hawa watu Wanabainika wanapofanyiwa ultrasoudi ndipo wanakutwa navyo.lakini kitaamu
hospitali hawatibu uvimbe wa namna hii
2.Uvimbe ambao ni mkubwa(k**a inavyoonekana kwenye picha hapo) wenyewe
hutibiwa kwa namna zifuatazo (hospital)
A.Dawa ambazo ni gharama sana mfano donazol wengi masikini hawawezi kumdu kununua
B.Vidonge vya maumivu
C.Vidonge vya kuzuia damu k**a
tranexamic acid na dawa za uzazi wa mpango(COCs)
2.Njia ya pili ni operation nazo zipo
operation aina nyingi inategemea na uvimbe ukubwa na wingi wake.
1.Myomectomy hii ni operation ya
kuondoa uvimbe mmoja mmoja bila
kuondoa kizazi kwa wale wenye uvimbe mmoja uko sehemu nzuri
2.Total abdominal hysterectomy. Hii
operation unaondoa kizazi chote k**a uvimbe umekaa vibaya na viko vingi.
Hebu jiulize kwa nini mpaka upate
dalili ndo uanze kushughulikia au kutafuta Matibabu ? Kwa nini ubebe ujauzito huku una uvimbe kisa bado mdogo? Au kwa nini ukae na uvimbe kisa bado mdogo?
tambua uvimbe huu sio kansa hvyo
ondoa hofu. Mbali na donazole ambayo ni ya gharama na haishauliwi itumiwe kwa mda mrefu ina sababisha mwanamke anakua na sifa za kiume.
*UKIFANYIWA OPERATION USIDHANI UVIMBE UMEISHA UNAOTA PEMBENI HADI UTAKAPOWEKA VICHOCHEO SAWA.*
Sasa suluhisho lako lipo tuna dawa
ambao imetengenezwa kitalamu katika mfumo wa vidonge na vimetengenezwa kwa mimea baada ya utafiti na majaribio ya kutosha na viwanda vya madawa vikubwa hapa duniani. Utapata suluhisho lako bila madhara kwani ni 100% naturally mimea ambayo
imefanyiwa research.
Hii dawa inaondoa uvimbe bila UPASUAJI na bila madhara k**a donazol. K**a una ndugu au rafiki mwambie suluhisho lipo
na mshilikishe kuokoa afya yake.
📞Kwa MAWASILIANO zaid pig
📞...0755550055
WhatsApp
0788886622
*_KWANINI MWANAMKE UTUMIE 💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼💃🏼_*
*MWANAMKE HII NI MUHIMU SAANA KWAKO NI MKOMBOZI WA MATATIZO SUGU KWAKO*
Ni dawa ipo katika mfumo wa kimiminika
Unasafishia ukeni usiku mara Moja
*KAZI ZAKE*
👉Hutibu UTI sugu
👉Hutibu Fangasi sugu
👉Inaondoa Miwasho ukeni
👉Inaondoa Harufu mbaya ukeni
👉inaondoa Uchafu unatoka ukeni
👉inasafisha na kuzibua milija ya uzazi
👉inakurinda usipate UTI na Fangasi
👉inaufanya uke unakuwa msafi na kuvutia muda wote
👉inaongeza joto la uke
👉inabana Kuta za uke zilizo legea
👉inapunguza Maumivu makali wakati wa Hedhi
👉inarudisha ute ute ukeni
👉inatibu PID ikitumika na refined, Refined ni ya vidonde unameza
*NATOA OFA KWA WATU WATANO NITAWAPA KWA BEI YA CHINI*
Kwa maelekezo zaidi namna ya Kuipata hadi ulipo karibu inbox au piga;. .0755550055
35300/=
21/05/2022
TIBU P.I.D LEO EPUKA UGUMBA.
*PELVIC INFLAMMATORY DESEASE'(PID)*
PID ni maambukizi katika via vya uzazi,maambukizi haya huwa sugu na huchukua mda kupona endapo atashindwa kujitibia kwa muda muafaka
*VISABABISHI*
ugonjwa huu husababishwa
👉Kufanya ngono bila kinga
👉Kusafisha kizazi mara kwa mara
👉Matumizi ya kemikali kujisafishia ukeni mfano sabun n.k
👉Matumizi ya njia ya uzazi wa mpango mf. kitanzi
👉Kutoa mimba
👉Matumiza ya antibiotics ya mara kwa mara ambayo kimsingi huua bakteria wanaolinda uke kushambuliwa na magonjwa
*DALILI*
Baadhi ya wanawake dlili huwa mbaya na wengine huwa za kawaida
🎈Kuwashwa sehemu za siri
🎈Uke kutoa harufu mbaya
🎈Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
🎈Sehemu za uke kuwa laini sana
🎈Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
🎈Kukosa hamu ya tendo la ndoa
🎈Hedhi kuvurugika
🎈Kutokwa majimaji ukeni yasiyo ya kawaida hasa yenye rangi ya njano na kijani
🎈Maumivu wakati wa choo,kukojoa
🎈Homa, uchovu, kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
🎈Wakati mwingine kutokwa usaha
*MADHARA*
♦️Ugumba
♦️Kansa ya shingo ya kizazi
♦️Mirija ya uzazi kuziba
♦️Kujaa maji kwenye mirija ya uzazi
♦️Kukosa ute wa ovulation unaoashiria siku za hatari
♦️Majeraha kwenye kizazi
*Kwa bahati nzuri tumekuja na suluhisho la kudumu la tatizo hili kwa mda mfupi sana na kwa kutumia tiba lishe vizuri sana ambayo licha ya kumaliza tatizo lako itakusaidia pia kukupa kinga ya mwili na faida nyingine kibao mana hapa unatumia chakula k**a dawa na siyo dawa k**a chakula. Chukua hatua mapema kabla madhara makubwa hayajakupata. Asante na karibu sana kwa huduma zetu zilizokatika mikoa karibu yote Tanzania.*
Mawasiliano....0755550055
WhatsApp....0788886622
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
CCIEM
Mbeya