Ushauri Na Tiba.
Mtaalamu wa Kutoa elimu/Ushauri na Suluhisho Kwa Magonjwa Sugu ya Mfumo wa uzazi kwa wanawake
11/07/2023
VYAKULA VINAVYOTIBU TATIZO LA HOMON IMBALANCE KWA WANAWAKE.
Vichocheo vya uzazi/Homoni ni vichocheo vinavyosimamia uzazi wa mwanamke, ukuzaji wa tabia za mwanamke (kwa mfano, matiti na viuno) na motisha ya kijinsia. Baadhi ya homoni kuu ni estrogeni, progesterone na testosterone.
✍🏻Kiwango chetu cha homoni za uzazi kinaweza kubadilika wakati wa hatua tofauti za ukuaji kimaisha (kwa mfano, kubalehe au ukomo wa hedhi), lakini pia zinaweza kupotea kutokana na kiwango chako cha lishe, mtindo wa maisha na kiwango cha sumu mwilini. Ukosaji wa vyakula bora na venye faida mwilini husababisha upungufu mkubwa au kuzidi kwa vichocheo hivi na kusababisha tatizo la Homonal Imbalance ambayo ina madhara kwenye uzazi wa mwanamke.
VYAKULA BORA KWA KUBALANCE HOMONI ZA UZAZI WA MWANAMKE
1️⃣Mbegu za kitani (Flax Seeds)
✍🏻Mbegu za kitani zina mafuta ya omega-3 na yana phytoestrojeni, ambayo hutokana na mimea ambayo huzalisha estrogeni na kutusaidia kutoa estrojeni ya ziada mwilini. Pia kusaidia kuboresha au kuzuia maswala mengine yanayohusiana na homoni ikiwa ni pamoja na saratani ya matiti, dalili za ugonjwa wa hedhi na ugonjwa wa mifupa.
2️⃣Samaki aina ya Salmoni
✍🏻Salmoni ni chanzo bora cha Vitamini D, vitamini ambayo hutusaidia kutengeneza homoni zetu za uzazi, na kuongeza viwango vya testosterone.
✍🏻Vitamini D ni muhimu kwa afya ya mfupa na kinga, pia. Salmoni pia ni ni chanzo cha mafuta ya omega-3, ambayo yameonyeshwa kupunguza hatari ya saratani ya matiti na saratani ya Tezi dume.
3️⃣Soya
✍🏻Soya huzalisha homoni ya testosterone na zinaweza kupunguza hatari ya saratani ya matiti. Pia zinaboresha digestion na kuongeza hamu ya tendo la ndoa na kupunguza Saratani katika homoni ya estrogen.
4️⃣Broccoli
✍🏻Broccoli ni kundi la mboga mboga ambayo huongeza glucosinolates, ambayo husaidia hukinga na kuondoa kaswende, pamoja na isothiocyanates na indole-3-carbinol (I3C) - virutubisho muhimu ambavyo huzuia saratani zinazohusiana na homoni ya estrogeni.
✍🏻Broccoli pia ni ina kiwango cha juu cha nyuzi (fibre), ambayo hutusaidia kupunguza kiwango cha juu cha homoni ya estrojeni.
5️⃣Mbegu za alizeti
✍🏻Hizi hubeba kiwango cha juu cha Vitamini E, antioxidant ambayo ni muhimu katika uzalishaji wa homoni ya estrogeni na inaweza kupunguza hatari ya saratani ya matiti.
✍🏻Pia husaidia kuongeza homoni ya progesterone.
6️⃣Viazi vitamu
✍🏻Viazi vitamu hubeba kiwango kikubwa cha Vitamini B6, vitamini ambayo husaidia kwa detoxification (kutoa sumu) kwenye ini.
✍🏻Vyakula vingine vyenye vitamini 6 ni pamoja na mchicha, spinach na nyama ya kuku wa kienyeji.
✍🏻Chakula chochote kinachosaidia kutoa sumu kwenye ini pia kinasaidia kuondoa vichocheo/homoni za uzazi zinapozidi🤝🏼🤝🏼🍎
⚠️Ukizingatia matumizi ya vyakula hivi mara kwa mara Hutopatwa na changamoto ya hormonal imbalance Tumia chakula k**a tiba na siyo dawa k**a chakula.
⚠️ Kwa mwenye changamoto ya hormonal imbalance wasiliana nasi tukusaidie.
Dr anthony:-0694832254
11/07/2023
*Usiulize ni dawa gani nitumie ili nishike Ujauzito maana hakuna dawa inayosababisha Ujauzito*
👉Bali tuna program ya Magonjwa sugu ambayo yanazuia usishike Ujauzito
*Mfano*👇👇
➡️Kuziba Kwa mirija ya kupitisha mayai.
➡️Ovari kushidwa kutoa mayai ya uzazi au kutoa mayai yasiyokuwa na nguvu.
➡️Ugonjwa wa PID(Pelvic Inflammatory Disease) na hormone Imbalance (mvurugiko wa homoni).
➡️Mirija ya mayai kujaa maji.
➡️Utoaji mimba usio Salama.
➡️Upasuaji maeneo ya kiuno.
➡️Ugonjwa wa Endometriosis.
➡️Sababu ya Ovari kutoa mayai yasiyokuwa na nguvu
*Wahi kutibu Tatizo Lako kabla halijawa sugu ili lisikusumbue zaidi
wasiliana nami kupata huduma
Piga au WhatsApp
0694832254
03/07/2023
Njia Rahisi ya Kuondoa Uvimbe kwenye kizazi Bila Upasujaji....!
Jinsi ya Kutatua Shida Zifuatazo👇👇
▪️Kutoa Uvimbe Kwenye Kizazi Bila Upasuaji
▪️Tatizo la hormonal imbalance
▪️ UTI sugu
▪️ Fungus sugu
▪️Kupona Bawasiri bila upasujaji,
▪️ Tatizo la Ugumba,
▪️ Kupona chango (Dysmenorrhea),
Nimeandaa Darasa la mafunzo dhidi ya hayo Matatizo BURE KABISA.
N.B
K**a siyo mhusika wa moja Kati ya hayo hapo usiingie kabisa kwenye group,
Bonyeza link hii kuingia kwenye group https://chat.whatsapp.com/IAURR69PAPTL9NOd2eJQg8
Au unaweza kunitafta Moja kwa moja WhatsApp app kwa namba 0694832254
SHARE KWA WATU WENGINE.
26/06/2023
JE, UNATUMIA P2,, kuzuia mimba...?
K**a jibu ni ndiyo Nisikilize 👇👇
*Postinor 2 (P2 Pills) Ni moja ya vidonge vinavyotumiwa na wasichana pamoja na wamama wengi *(wanawake)* k**a njia ya Uzazi wa mpango.
🎯 Dawa hizi, maarufu k**a *P2* zimekuwa zikitumika sana kwa wanawake baada ya kuhusika kwenye tendo la kujaamiiana bila kinga kwa lengo la kuzuia na kuepuka mimba
Kiambata hai katika dawa hizi ni homoni ya *Levonorgesterol*.
🎯Pamoja na kwamba iimekuwa ikitumika sana, bado watumiaji wengi hawafahamu kwa undani kuhusu dawa hii.
*Yafuatayo ni mambo ya muhimu kufahamu kuhusu dawa hii*;
🎯Dawa hii hufanya kazi yake kwa, aidha, kuzuia mbegu ya kiume isifikie yai la k**e ili kutunga mimba *(kuzuia fertilisation),* kupunguza uwezo wa mfuko wa uzazi *(uterus)* kuhudumia yai lililochavushwa na mbegu ya kiume *(kuzuia implantation au kupandikizwa kwa mimba)* au kuzuia yai la k**e lisitoke katika ovari ili kuchavushwa *(kuzuia ovulation).*
🎯Dawa hii hutakiwa kutumika tu k**a njia ya *dharura na sio njia ya uzazi wa mpango,* yaani ,isitumike mara kwa mara lakini Kuna Wanawake wanameza vidonge hivi kila siku K**a *karanga* Jambo ambalo ni hatari Sana na wengi hawafahamu madhara yake,
Ufanisi wake katika kuzuia mimba ni ndani ya *masaa 72* toka tendo la kujamiiana limefanyika. Masaa 24 huaminika kuleta ufanisi wa hadi asilimia 98/99.Inapotumika mapema zaidi ndivo nguvu ya kufanya kazi inakuwa kubwa zaidi.
🎯Matumizi ya dawa hii hayawezi kuondoa ujauzito uliopo tayari au kuzuia magonjwa yanayoambukizwa kwa njia ya kujamiiana k**a UKIMWI, kisonono, kaswende, Hilo lazima niwajuze kwasababu kumekuwanna dhana potofu mtaani.
*Dawa hii inapotumika, madhara yake ni k**a vile*
⭕-matiti kuuma na kuvimba
⭕- kujiskia vibaya,
⭕-kichefuchefu na
kuhisi kutapika,
⭕hubadilisha mzunguko wa hezi. Hedhi inaweza kuwa nzito au nyepesi kuliko kawaida.
⏺️Dawa hii inashauriwa na wataalamu wa afya kuwa itumike si zaidi ya *mara 3* kwa mwaka kwani baadhi ya tafiti zimeonesha kuwa matumizi ya mara kwa mara ya dawa hizi yanaweza kupeleka mtu kupata
🎯 saratani,
🎯kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi
🎯 ugumba au kuzaa watoto wasiona akili sawa sawa au wenye ulemavu
25/06/2023
FAIDA ZA BAMIA AFYA YA UZAZI NA AFYA KIUJUMLA.
Bamia ina kiasi kikubwa Cha vitamini A,C, K na pia inafolic Acid ya kutosha, ukiwa mlaji mzuri wa bamia, mnywaji mzuri wa bamia unapata faida kubwa mwilini.
AFYA YA UZAZI KWA MWANAMKE.
1: Husaidia kuponya Kwa wenye tatizo la Mvurugiko wa hedhi, unaweza kutumia Kwa kupika au kunywa juice yake.
2: Inaongeza Ute ute (Utelezi) ndani ya Muda mchache, wale mnaoumia wakati wa tendo landoa.
3:Afya ya nywele, nywele zinakuwa na afya nzurii, (wale wenye vipilipili)😄
FAIDA ZINGINE KIAFYA.
👉Kulainisha Mmeng'enyo wa chakula.
👉 Huongeza Kinga ya mwili.
👉Huondoa Mafuta mabaya mwilini, bad cholesterol, wale mnaotaka kupungua.
👉Huondoa vimelea vya sumu kwenye Ngozi.
👉Husaidia Kulainisha choo na kuongeza hamu ya kula.
👉Inasaidia kuondokana na hatari za kupata tatizo la sukari.
👉Wenye shida ya vidonda vya tumbo tumieni bamia.
Nje ya kupika, namna ya kutengeneza juice, chukua bamiaa kiasi kata kata, na loweka kwenye maji walau Lita 1 na nusu, yakae masaa 12, halfu kunywa, fanya hivyo kilasiku.
Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi
0694832253
TATIZO LA UKE KUWA MKAVU
Uke kuwa mkavu ni Tatizo ambalo Husababishwa na upunguvu wa Homoni au Kutokuwa na uwiano wa Homoni ya Estrogen ambayo hupelekea Misuli ya uke kusinyaa na kukosa Vilainishi.
ZITANGATIO
🥑 Kwa kawa uke unatakiwa kuwa ute wa wastani ambao hufanya uke kubana kuleta joto na raha ya Tendo
🥑 Ute huu ukizidi sana au Kupungua Sana nalo ni Tatizo pia
VISABABISHI VYA UKE KUWA MKAVU
1️⃣. Utumiaji mafuta yenye Kemikali (Curtxmetric)
2️⃣. Magonjwa ya Zinaa na Fangasi
3️⃣. Matumizi ya Sabuni za Antibiotics kwa kuoshea uke
4️⃣. Woga na wasi wasi
5️⃣. Upunguvu wa Homoni
DALILI ZA UKE KUWA MKAVU
1. Maumivu Wakati wa Tendo la Ndoa
2. kupungua Hamu ya Tendo la Ndoa
3. kutofurahia Tendo la ndoa kutokana na Maumivu
4. Kuwa na Ngozi kavu
5. Maumivu ya mifupa na Viungo
6. Mzunguko wa Hedhi kubadilika badilika
K**A UNASUMBULIWA NA TATIZO LOLOTE KIAFYA
Umekuwa ukipitia changamoto za Hormonal imbalance, kizazi kimelegea,mirija ya uzazi imeziba,kizazi kimejaa maji maji,ovarian Cysts, uvimbe (Fibroids) ,Mayai hayapevuki vizuri ,PID Fangas sugu piga simu nikupe suluhisho
☎️0694832254
🍇 HORMONAL IMBALANCE.
Fahamu Vyanzo Ambavyo hupelekea kuvurugika kwa homones mwilin"
Dr ANTHONY
0694832254
_Homon_ :- hi ni chemikali ya taarifa katika mwili ambayo huzalishwa kwenye ogani mbalimbali kutoka kwenye mfumo wa endocrine mwilini
Na kusafirishwa na damu mpaka kwenye sehmu mabalimbali za mwili,
_Hormonal imbalance_ :- hii ni kupungua au kuongezeka kwa hormoni kwenye damu ambapo inapelekea mwili kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi,
*_Vitu ambavyo vinasababisha homoni kuvurugika mwilini_*
🔼dawa za uzazi wa mpango
🔼Kisukari,
🔼kipind Cha kunyonyesha( brest feeding)
🔼ujauzito
🔼kukoma hedhi
🔼msongo wa mawazo(stress)
🔼matatizo katika ulaji wa chakula(eating disorder)
🔼 Uvimbe( tumors)
🔼matibabu ya saratani
🔼kuumia ndan kwa ndani mwilini,
*🍇Jinsi gan ya kuepuka kuvurugika kwa homoni mwilin (hormonal imbalance)*
•kula vyakula vyenye protein ya kutosha,
Hii husaidia kwenye kiwango Cha Amino Acid mwilini ambacho mwili hauwezi kutengeneza na kusaidia kuweka sawa musuli, mifupa na afya ya ngozi,
•kufanya mazoezi,
Mazoezi hufanya hormoni kubalance mwilin
Na hupunguza insulin na kuongeza Kwa ajili ya matumiz ya mwili
•jifunze Jinsi gan utaweza kuhimili msongo wa mawazo pind ukikutana nao"
Hormoni mbili amabazo ni cortisol na adrenaline ambazo kwa pamoja huitwa epinephrine
-cortisol hi Ni hormone ambayo huweza kupambana stress mda mrefu kwaiyo ndio homoni ya kuulinda mwili juu ya mawazo,
- Adrenaline hi ni hormoni ambayo huweza kuupa mwili Hali falani ya nguvu ili kuweza kukabiliana na Hali yoyote ya hatarii,
•punguza kula Sana na kula kidgo, maana ake kula kawaida tu,
•pata mda mzuri wa kualala
•kunywa green tea,
Ni nzurii kwa kiafyaa pia nzurii kwa kuvunja vunja na kuboost caffeine ambapo ina antoxidant
ambayo ni epigallocatechin gallate ambayo hufanya kiwango Cha oxygen kuwa kusambazwa vzurii.
• kaa mbali na vyakula vyenye sukari,
• kula vyakula vyenye nyuzi nyuzi (fiber diet)
•kula mayai mda mwingi
( hapa tuwekane sawa tafadhariii kula mayai ya kienyeji sio kisasa) mayai Ni mazuri mno kwenye chakula
maana hufanya kazi kwenye hormoni zinazo balance kiasi Cha ulaji na kuweza kupunguza kiasi cha insulin pia,
*🍇Matatizo ya kudumu kufuatana na kuvurugika kwa homoni mwilin,*
⛔kushindwa kubeba mimba,(Ugumba)
⛔kukosa uhuru (mood swing)
⛔sukari kupanda mwilini
⛔ Uvimbe kwenye Mfuko wa mayai au uzazi.
KWA YEYOTE MWENYE CHANGAMOTO YA AFYA KWENYE MFUMO WA UZAZI WASILIANA NASI KUPATA USHAURI PAMOJA NA TIBA KWA SIMU NAMBA
0694832254
*🍇CHANZO CHA MIMBA KUHARIBIKA*
Vyanzo vikubwa vinavyoweza kusababisha kuharibika kwa mimba👇👇
🍇Chromosome abnormalities
Mimba nyingi ambazo huharibika hadi
wiki ya ishirini husababishwa na tatizo hili,
Chromosomes huwa
zinabeba genes ambazo huyatambulisha
maumbile ya mwanadamu kwa nje, yaani
Jinsia yake, ngozi yake itakuaje, macho yake
na vitu vingine vingi,
Nisingependa tuingie
ndani sana lakini matatizo haya ya
chromosomes huchangia sana kuharibika
kwa mimba.
🍇Maambukizi katika mji wa uzazi wa
mwanamke {Infections},
Kuna kitu kinaitwa Pelvic Inflammatory
Diseases *{PID}*
Yaani kuvimba kwa kuta za mji wa mimba au kuvimba kwa mirija ya
uzazi nayo pia huchangia sana kuharibika
kwa mimba kwa mwanamke,
Lakini pia Candida
au
fangasi nazo pia huchangia sana kuharibika
kwa mimba.
🍇Chanzo kingine kikubwa ni utoaji wa
mimba za mara kwa mara
Wanawake au
wasichana
wenye tabia ya kutoa mimba moja au mbili au
tatu,
Basi nao pia hukutwa na tatizo hili la
kuharibika kwa mimba kwani uingizaji wa
vyuma ndani huweza kuharibu shingo ya
kizazi ya mwanamke,
🍇Chanzo kingine kikubwa ni magonjwa ya
zinaa {sexually transmitted diseases},
Magonjwa k**a gonorrhea, kaswende
mara nyingi sana huathili mfumo wa uzazi
wa mwanamke na hasa hasa kwenye mji
wa mimba na kuufanya kuwa legevu,
Na hata ujauzito unapotunga basi huweza
kutoka kwa haraka zaidi
Na hivyo kusababisha tatizo hili la kutoka kwa mimba { *Miscarriage* }.
🍇Chanzo kingine cha mimba kuharibika ni
tatizo la kisukari kwa mwanamke,
Hii nayo huchangia kwa kiasi kikubwa sana
kuharibika kwa mimba
Na mtu ambaye
hafanyi uangalizi wa karibu wa tatizo la
sukari basi husababisha glucose isitumike
k**a energy na hivyo kuleta madhara katika
kizazi hasa ujauzito.
🍇Kitu kingine ni mvurugiko wa homoni mwilini(Hormonal imbalance)
kwa mfano hormone ya
progesterone mara nyingi hufanya ile kazi
ya kutunza mimba iendelee kukuwa,
K**a kunatokea unbalance au kuvurugika
kwa homoni hii basi mara nyingi tatizo hili
la mimba kuharibika hutokea.
🍇Uvimbe kwenye kizazi,
*Dalili Za Mimba Kuharibika (Miscarriage)*
⏹️Dalili kubwa kabisa ya kwanza ni damu
nyepesi kutoka kwa mwanamke mwenye
mimba.
⏺️Dalili kubwa ya pili ni mwanamke kutokwa
na damu yenye mabonge mabonge na
inakuwa nzito.
⏺️Dalili nyingine kubwa ni uchovu na
maumivu makal ya mgongo na kiuno.
⏺️Maumivu makali ya tumbo, wakati
mwanamke anapokuwa ni mjamzito
Pia wakati huo huo
anapatwa na maumivu makali ya tumbo ya
mara kwa mara,
Yakiambatana na maumivu ya kiuno pamoja na kutokwa na damu nyepesi
au nzito basi ujue ujauzito wako uko
kwenye hatari
ya kutoka,
Ni vizuri ukafika kituo
cha karibu cha afya au ukawasiliana na
mtabibu,
*Note*
Endapo unakumbwa na moja ya mambo k**a
haya na usingependa kupatwa na tatizo hili
la kutokwa kwa mimba,
Basi wasiliana na Mimi ili upate Suluhisho la kudumu na Kuepuka madhara makubwa Zaidi.
Dr. Anthony:-0694832254
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Address
255
Mbeya
255