Tabibu George Mwita

Tabibu George Mwita

Share

whsp0783052340. Tunauza dawa Lishe zilizotengenezwa hapahapa Tanzania kwa kutumia mimea matunda na mboga mboga tupigie 0755920740

GRM HERBAL CLINIC

✓Tunatibu magonjwa k**a
¥Kisukari, PRESHA, vidonda VYA tumbo, Nguvu za kiume, tezi Dume, UTI na Fangas SUGU, Uzazi Kwa akinamama waliokwama kushika Mimba, Moyo NK

#Vipimo Vya Mwili Mzima #Vipo Katika baadhi Ya Mikoa.

Photos from Tabibu George Mwita's post 06/01/2025

UMESUMBULIWA SANA NA GESI(ACID REFLUX)?
HII HAPA NI TIBA NZURI

Kutoka ombi la mdau mmoja wa aliomba tumsaidie njia za kujitibu gesi inayopanda ghafla au vyovyote na unakuta wala hauna vidonda vya tumbo wala ngiri.

TUANDAE DAWA
✅Asali Mbichi robo lita
✅Unga wa alkasus vijiko vitatu vya chakula
✅Unga wa habbat souda vijiko viwili vikubwa
✔️Unga wa Mbegu za Parachichi vijiko viwili.

Changanya vyote hivyo na hiyo ndo dawa.

MATUMIZI
Chota vijiko viwili vya dawa, changanya kwenye maji moto kisha subiri ipoe halafu kunywa. Tumia mara mbili kwa siku hadi dawa yako iishe

Huo ndo msaada mzuri kwa mtu mwenye shida ya Acid reflux✅

DAWA HII PIA INATIBU MAGONJWA MBALIMBALI K**A

✓Vidonda vya tumbo sugu
✓Tumbo kuwaka ka moto
✓Kiungulia kikali
✓Kusafisha Figo
✓Ini kuvimba
✓Bawasili ya ndani au ya nje
✓H pyroli
✓Presha, Kisukari,
✓UTI na Fangas Sugu NK

JIUNGE na Group LETU UJIFUNZE ZAIDI.

https://chat.whatsapp.com/CkVOjZqxIj31som42XAKVa

https://chat.whatsapp.com/EAqpb1qsO2lHWCmltpwr2V

Ukihitaji ilioandaliwa ipo na kopo Moja ni elfu 20000/= Dozi kamili Kwa matatizo hayo tulioyataja, Mgonjwa anatakiwa angalau atumie kopo nne Kwa ufanisi zaidi wa tiba nakuondoa tatizo kabisa.

WHTSPP 0783052340.

✔️MIZIZI YA MKUNDE PORI NA FAIDA ZAKE

✓Inasafisha kizazi
✓Inazibua mirija iliyoziba
✓ Inaondoa sumu kwa wale waliotumia sindano za uzazi/vidonge vya uzazi.
✓Inakomaza mayai kwa wale wenye tatizo la mayai kutokukomaa na kusababisha mayai kutokupevuka
✓ Inasogeza kizazi karibu kwa wale ambao vizazi vyao vipo mbali
✓Inatibu PID, Kubalance Homone, na kuondoa uvimbe Aina zote
✓Hutibu UTI na Fangas Sugu.
✓Miwasho SEHEMU za Siri na Kutokewa uchafu ukeni.
✓Maumivu wakati wa tendo la ndoa
✓Matatizo yote ya Hedhi NK

• Dalili mojawapo itakayokufanya ujue dawa hii ya mkunde pori inafanya kazi ni kwenda haja ndogo mara nyingi kuliko kawaida.
• Dalili nyingine ni tumbo kuvuta sana chini ya kitovu.
Usipoona dalili hizi usiogope maana ukubwa wa tatizo unatofautiana.

Chuma Mizizi au Unga wake kunywa asbh na Jioni

K**a utakosa Muda WA kuiandaa dawa hii, utaipata Kwa mawakala wetu,, Kopo moja NI elfu 25000 Dozi yake INATEGEMEANA na tatizo lako,

NB: KOPO MOJA SIO DOZI KAMILI

JIUNGE na Group LETU Kwa MAFUNZO zaidi.

https://chat.whatsapp.com/EAqpb1qsO2lHWCmltpwr2V

WHTSPP 0755920740

UNAESUMBULIWA NA MSHIPA WA NGIRI.

👉 chukua dawa hizi changanya pamoja kunywa asubuhi na jioni kwa siku 28 atajalia utapona na utakua Safi kabisa

DAalili za Mshipa WA Ngiri

✓Korodani kuuma
✓Uvimbe kwenye kinena
✓Korodani kuvimba na kujaa Maji
✓Utumbo kushuka kwenye Korodani
✓Jogoo kunywea na kuwa mdogo
✓Maumivu Wakati WA kushiriki Tendo la Ndoa nk

dawa

👉 muchangoko kijiko kimoja
👉mlundalunda kijiko kimoja
👉 mkumbi kijiko kimoja
👉 mpingi kijiko kimoja
👉 kisaka uchawi kijiko kimoja
👉 mkunde Pori kijiko kimoja
👉mwifu kijiko kimoja

👉 changanya pamoja dawa zote hizi kunywa ujazo wa kijiko kimoja kwenye maji Moto au uji au chai utapona na utakua Safi

Ukikosa Muda WA kuiandaa , IPo Kwa mawakala wetu Kopo Moja NI elfu 20000/= Na kumbuka Kopo moja sio Dozi kamili,

Dozi kamili inategemeana na Hernia au Mshipa WA Ngiri yako iko katika Hali gani.

JIUNGE NA Group LETU kwa MAFUNZO Za Zaidi

https://chat.whatsapp.com/EAqpb1qsO2lHWCmltpwr2V

Mawasiliano yetu
0755920740 au 0783052340

03/01/2025

Tumia Zaid karanga

23/12/2024

Maganda ya tunda la mkomamanga yakichemshwa hutoa juisi ambayo hutumika k**a dawa ya kufunga kuhara.

Majani ya mkomamanga hutumika kutibu hali ya tumbo kujaa gesi na kudhibiti tindikali (acid) tumboni.

Majani ya mkomangana hutumika pia katika kutibu tatizo la kuhara damu, maambukizi ya bakteria katika kibofu cha mkojo.

Rojo ya mbegu za mkomamanga ikichanganywa na maziwa ya ng’ombe, hutumika kutibu tatizo la mawe kwenye figo.

Fukuto ya komamanga husaidia kutibu minyoo aina ya tegu pamoja na uvimbe wa wengu.

Komamanga husaidia katika kutuliza maumivu ya vidonda vya tumbo.

Komamanga pia ni mahiri katika kutibu magonjwa magonjwa ya muda mrefu, k**a vile saratani ya tezi dume, saratani mbalimbali, kisukari, baridi yabisi na uvimbe katika maungio ya vidole yaani gaut

Komamanga husaidia kuondoa sumu mwilini

Husaidia katika kupambana na tatizo la kuongezeka uzito mwilini. Nk

Mobile uploads 22/12/2024
19/12/2024

Mkundepori, Mrehani, Uwatu na Unga wa Habat Soda (mweusi) kwa wenye matatizo ya hedhi,

Changanya dawa zote hizo Tumia asbh na Jioni utaona matokeo mzuri
Ukikosa Muda w kuiandaa utawasiliana nasi upate
Dozi yke inategemeana na tatizo lako

Whtspp 0755920740

08/12/2024

👉Shida hamna haya majani ya machungwa kijani kibichi, k**a mgekuwa nayo ni dawa sema hamna haya majani.

👉Ukichukua haya majani mabichi ya mchungwa ukatafuna kwa dakika 20/35 mdomoni kisha ukaenda kuswaki ni dawa nzuri ya fizi ambazo zinatokwa na damu sijui unajua hilo ?

👉Ukichukua majani haya ya mchungwa ukachemsha kisha ukamix na asali vijiko 2 kwa kikombe 1 ni dawa ya kifua na kikohozi kikavu sijui unajua hilo.

👉Majani haya pia unaweza kuchemsha

👉Ni dawa ya nzuri kwa mtu mwenye shida ya kifua, TB na kifua kubana.

👉Ni dawa nzuri ya kusaifisha na mfumo wa damu ulio na sumu sana

👉hivyo ukitaka utibu hata U.T.I inatibu kwani mchaichai na haya majani ukichemsha vyema ukawa unakunywq jug 2 kwa siku U.T.I itakusahau hadi kufa kwako 100%

Mawasiliano 0783052340.

Photos from Tabibu George Mwita's post 04/12/2024

KARIBU TPONGEZE DADA YETU, MUNGU ALIETENDA KWAKE NA KWAKO ATENDE KUPITIA HIZI DAWA ZETU

Photos from Tabibu George Mwita's post 01/12/2024

MREJESHO MZURI SANA KUHUSU PORI #

Photos from Tabibu George Mwita's post 30/11/2024

FANYA HAYA KATIKA KUJITIBU VIDONDA VYA TIMBO SUGU

✓Kwanza Kabisa dalili KUU za Vidonda VYA tumbo NI hizi Hapa chini

§Tumbo kujaa Gesi
§kupata Choo kigumu Sana
§Kutopata Choo kabisa
§Tumbo kuuma na kuwa Moto
§Tumbo kuunguruma na kichefu chefu kikali
§Kukosa Hamu ya Kula
§Kupata kichefu chefu NK

SASA TUTENGENEZE DAWA YA KUJITIBU.

Mahitaji

🔘Unga majani ya mbuyu vijiko viwili
🔘Unga mbegu ya parachichi vijiko viwili
🔘Unga habat souda viwili

Tumia huo mchanganyiko kijiko kimoja cha chai kwenye maji vuguvugu kutwa mara mbili hadi ukae vyema

Ikiwa unahitaji dawa tunayoandaa sisi wenyewe unaweza kufika kwa mawakala wetu ukaipata Kwa bei ya shilling elfu 80000 Tu Dozi kamili ambayo Ni kopo Nne tu

K**a utahitaji mafunzo yetu zaidi JIUNGE kwenye group hapo Chini.
👇👇
https://chat.whatsapp.com/EAqpb1qsO2lHWCmltpwr2V

Simu || WhatsApp || 0783052340

KWA WALE WANAOSUMBULIWA NA BAWASILI FANYA HAYA ILI KUONDOKANA NA TATIZO HILI

Kwanza kabisa tuangalie dalili za Bawasili

✓Kinyama kutoka Wakati WA kujisaidia na kupata maumivu makali
✓Vinyama kupta pembezoni mwa haja kubwa
✓ Kupata Miwasho sehemu za hajakubwa
✓Kupata Choo kigumu kilichochanganyikana na damu NK

NAMNA YA KUJITIBU NYUMBANI

MAHITAJI

Unga WA Habart Soda vijiko viwili
Unga WA Mizizi ya Mkunde pori vijiko viwili
Unga WA Mbegu za parachichi vijiko viwili
Unga Wa mjafari vijiko viwili

Tumia huo mchanganyiko kijiko kimoja cha chai kwenye maji vuguvugu kutwa mara mbili hadi ukae vyema , hiyo NI dawa ya Kutibu Bawasili Aina zote ya ndani na Nje.

Ikiwa unahitaji dawa tunayoandaa sisi wenyewe unaweza kufika kwa mawakala wetu ukaipata Kwa bei ya shilling elfu 80000 Tu Dozi kamili ambayo Ni kopo Nne, ambapo Kwa wale wenye Bawasili ya ndani watapewa pia na dawa ya kukalia.

K**a utahitaji mafunzo yetu zaidi JIUNGE kwenye group hapo Chini.
👇👇
https://chat.whatsapp.com/EAqpb1qsO2lHWCmltpwr2V

Simu || WhatsApp || 0783052340

27/11/2024

K**a unatokwa na uchafu wenye harufu mbaya ukeni, maumivu ya nyonga, maumivu chini ya tumbo, kutoa uchafu wa njano n.k

Andaa.. Unga wa maganda ya parachichi vijiko 2,.. Unga wa mbegu za mlonge vijiko 2,.. Unga wa maganda ya ndizi [mbichi/mbivu] vijiko 2,.. Unga wa habbat sawda vijiko 2,.. Unga wa vitunguu swaumu vijiko 2, na Unga wa uwatu vijiko 2 [vitu hivi unaweza kuandaa mwenyewe au kuvitafuta katika maduka ya tiba asili]

Changanya vyote kwa pamoja kwenye sufuria au kontena kisha mimina ASALI mbichi Pure taratibu huku ukikoroga mpaka lita nzima iishe k**a una blenda unaweza kutumia ili ikusaidie kuikoroga vizuri, k**a huna blenda koroga mpaka ikolee

Utalamba vijiko viwili vya dawa asubuhi, mchana na jioni k**a huna muda mchana basi tumia vijiko vitatu asubuhi na vijiko vitatu usiku…. Mfululizo kwa siku 14 mpaka 21 utakuja kunipa mrejesho wako

Whtspp 0783052340

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


MARA TARIME
Mbeya