Afya Bora
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya Bora, Health/Beauty, lsyesye, Mbeya.
24/08/2022
Chakula ni dawa
Kinywaji muhimu sana kwa kila binadamu kwa ajili kusafisha mwili/kutoa sumu.
✍️Kuongeza Kinga ya mwili , eg CD4
✍️Kubalance homoni kwa watu wenye shida ya homoni zao kutokuwa sawa
✍️kupunguza kasi ya uzee
✍️Husaidia kupunguza uzito
✍️ kuboresha muonekano wa ngozi
✍️kutibu vidonda vya tumbo
✍️kuondoa kiwango cha asidi mwili nk
16/05/2022
Nguvu ya Aloe Vera gel kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ni kubwa mno ja yenye manufaa kwa mtumiaje🔥🔥
Pata yako kwa 0752426012
Safisha mwili wako ili kuepuka magonjwa yasiyoambukiza k**a pressure, kisukari, Tezi dume ,uzito uliopitiliza, nk
06/05/2022
UTAJUWAJE KUWA KIWANGO CHA SUMU KWENYE MWILI WAKO KIMEONGEZEKA??**
Kimsingi ni Kwamba tunaingiza Sumu nyingi saana Mwilini siku hizi kutokana na Mfumo Wa maisha tunaoishi. Hewa tuvayovuta Kuna Uchafuzi Mkubwa, Vyakula tunavyokula toka mashambani vimetiwa mbolea na madawa ya kutosha bila kusahau Madawa ya Kisasa yana Kiwango cha Kemikali Fulani.
Hivyo basi kiafya unashauriwa kusafisha au kutoa sumu mwilini kadri uwezavyo k**a gari linavyomwaga oil chafu baada ya kutembea umbali Fulani.
Zifuatazo ni Dalili hizi dalili 14 zinazohashiria mwili WAKO kuwa na sumu nyingi....
1.Uzito uliozidi na Hautoki /Haupungui kirahisi Kwa kufanya Diet au Mazoezi (Ukipungua Unarudi tena Haraka)
2.Kuchoka Ovyo Kusikoelezeka.
3.Kukosa Usingizi (Kuwa na Stress hasa Usiku)
4.Kushuka Uwezo Wa Kufikiri (Fuzzy Thinking)
5.Maumivu Ya Kichwa Mara Kwa Mara hasa Cha uso au Cha upande.
6. Kuwa na Mood mbaya Mara Kwa Mara (Kukasirika Haraka)
7. Mwili kutoa Harufu mbaya. (Jasho Kali saana, mdomo au Kutoa Choo Chenye Harufu Kali kuliko Kawaida.
8. Kupata Choo Kigumu (Kukosa Choo Kwa Siku Kadhaa) au kupata Mara moja Kwa siku nzima wakati umekula zaidi ya Mara 2.
9.Tumbo kujaa gesi kila ukila chochote
10.kupata haja ndogo yenye rangi kahawia saaana hasa wakati wa mchana hata K**a umekunywa maji ya kutosha.
11.Maumivu ya Misuli yasiyoelezeka.
12.. Ngozi Kukosa Nuru
13. Kuwa Sensitive saana na Harufu na Kuhisi Harufu nyingi zinakuumiza
14.Kuwa na Hamu kubwa ya Vyakula hasa vyenye Mafuta Mengi, Sukari nyingi na Chumvi Nyingi.
*K**a Una Kati ya Dalili Kuanzia 3 kati ya Hizi tambua Kuwa Mwili wako unahitaji Kuondolewa Sumu. Tunahuduma nzuri saana ya Bidhaa Lishe ya Kuondoa Sumu Mwilini...Usipofanya Hivyo, utakumbana na magonjwa kadhaa yasiyoambukiza.
kwa anayehitaji tu huduma zetu
piga/sms/what's app number 0752426012
Ukiona umeanza kusikia maumivu ya viungo usipuuze
Ushauri/ maelezo 0752426012
10/04/2022
Inbox kufahamu namna ya kutumia hiki kifurushi ili kudhibiti uzito wako kipindi hiki cha mfungo.
☎️0752426012
24/03/2022
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Lsyesye
Mbeya
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Saturday | 09:00 - 17:00 |