Healthtalk with Jacqie
NASAIDIA KUTATUA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA KIJAMII (Afya na kipato). Kwa matatizo mbalimbali ya afya
23/06/2023
CHUNUSI HUSABABISHWA NA NINI HASWA...‼️
Kabla ya kufahamu ni jinsi gani chunusi hutokea ni vyema kujua kwa ufupi sayansi ya ngozi kimuundo,
Ngozi ya binadamu ina vitundu vidogo ambavyo huonekana k**a ni vishina vya vinyweleo, vishimo hivyo huelekea sehemu ya ndani ya ngozi mpaka karibu na tezi za mafuta, kati ya vishimo hivyo na tezi za mafuta kuna mifereji ambayo inaunganisha vishimo hivyo pamoja na tezi za mafuta. Kazi ya tezi hizi za mafuta ni kuzalisha kimiminika mfano wa mafuta(sebum)
_Hakuna sababu za uhakika za kwanini chunusi hutokea lakini kwa sasa wataalamu wa afya wanaamini kuna sababu kuu mbili zinazosababisha chunusi ambazo ni;_
✳️Kuongezeka kwa homoni ya androgen.
Homoni hii huzalishwa mara tu baada ya mtu kubalehe, kuongezeka kwa homoni hii mwilini kunasababisha kupevuka na kuongezeka kwa tezi ya mafuta ya ngozi hivyo kuongeza uzalishaji wa sebum. Kiwango kikubwa cha sebum kinasababishwa kuharibika kwa kuta za vishimo vya vinyweleo na mifereji yake na hivyo kiwango kikubwa cha sebum kinashindwa kutolewa jambo ambalo hukaribisha vimelea k**a bacteria katika vishimo hivyo.
Uwepo wa bakteria katika vishimo unasababisha kutengenezwa kwa uvimbe k**a sehemu ya njia za mwili katika kupambana na vimelea. Uvimbe unaotokea unaweza kuwa wa kawaida au kuwa mkubwa kupita kiasi hii inategemea sana na aina ya bakteria waliovamia eneo husika.
Sababu nyingine. zinazoweza sababisha kuharibika kwa vishimo hivi ni matumizi ya mafuta mazito ya kupaka, mafuta mazito huziba vishimo hivi na hivyo kusababisha mlundikano wa uchafu katika vishimo hivyo. Mlundikano huu wa uchafu unaweza kukaribisha vimelea au unaweza tengeneza uvimbe.
✳️Mabadiliko ya homoni wakati wa ujauzito
mama mjamzito hukumbata na mabadiliko makubwa ya homoni mwilini mwake , mabadiliko haya ya homoni huweza kusababisha uzalishwaji mkubwa wa sebum ambao hupelekea chunusi.
Pia wataalamu wa afya wanataja kuwa tatizo la chunusi laweza kuwa ni la kurithi, kwa maana matatizo yanaweza kuwa ni katika chembe za urithi(vinasaba) katika familia fulani.
⚠️SISI TUNAYO PACKAGE YA KUTIBU TATIZO LA CHUNUSI KULINGA NA CHANZO CHAKE
WhatsApp & normal calls 0676780340
27/05/2023
Birthday blessings Jacqie
21/09/2022
Je ni wewe unasumbuliwa na harufu mbaya mdomoni, meno ya njano, matatizo ya fizi kuvimba au kutoa damu, meno kuuma na kuoza?? Suluhisho lipo na la kudumu
Tupigie 0676780340
©We care your health
23/08/2022
Je❗mwanamke huambukizwaje PID❓
```Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na```
✅Kufanya ngono isiyo salama.
✅Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)
✅Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage)
✅Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango.
✅Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID.
Kwa tiba na ushauri zaid 🔗0676780340
Nipigie au wasap🧬🩺
24/07/2022
UKOSEFU WA UTEUTE/SYNOVIAL FLUID KWENYE MAUNGIO YA MIFUPA
Umewahi kusikia mtu kuishiwa uteute kwenye maungio ya Viungo?
Ndio hali hii humpata mtu na kumpelekea kupata maumivu makali sana
SABABU ZINAZOPELEKEA AU ZINAZOSABABISHA UTE KUKAUKA
```1. Mfumo wa maisha kwanamna tunavyokula au kunywa
2.Acid nyingi mwilini hupelekea kukausha uteute```
DALILI ZA UTEUTE KUKAUKA KWENYE MAUNGIO
```✴️Maumivu kwenye maungio.
✴️Kuna kelele kwenye mifupa husikika pindi muhusika anapo nyoosha au kukunja mkono,mguu
Au anapotembea/ anapofanya mjongeo
✴️ Kuvimba mfano miguu,goti,mikono
✴️Kupata maumivu wakati wa kutembea au kuchuchumaa.```
USIKUBALI UENDELEE KUTESEKA LIPO SULUHISHO LITAKALOKUPA KUPONA KABISA
PIGA SIMU📞 0676780340
30/06/2022
KAROTI DAKTARI WA MACHO🥕🥕
Zina virutubisho vitatu muhimu vilivyo katika idadi kubwa kuliko vingine k**a ifuatavyo:
1 Karotenoids.
Beta karotini ambayo mwili huibadilisha na kuwa vitamin A. Karotenoidi ni muhimu kwa ajili ya utendaji kazi mwema wa retina, hususani kwenye mwanga hafifu au wakati wa usiku. Beta karotini hufanya kazi ya kuiweka ngozi pamoja na mukosa (ngozi ya ndani) katika Hali nzuri.
2 Ufumwele wa majani (nyuzinyuzi)🥬🥕.
Karoti zimebeba 3% ya Ufumwele ambao kwa wingi uko kwenye Muundo wa pektini, ufumwele husaidia choo kutoka kwa urahisi na kuboresha ngozi ya ndani ya utumbo (mucosa).
3 Mafuta muhimu.
Haya ni muhimu kwa ajili ya kupambana na minyoo ya tumbo.
Karoti ni muhimu kwa ajili ya magonjwa ya macho, retina, ngozi, tumbo, utumbo mpana, asidi nyingi tumboni pamoja na saratani.
MAANDALIZI NA MATUMIZI😋:
*Yaweza kutumiwa ikiwa mbichi, kwenye kachumbari ikiwa imekatwa vipande vidogo vidogo na Kisha kupakwa maji ya limau. Karoti Huimarisha meno ya watoto
*Pia ikipikwa huwa haipotezi beta karotini hata baada ya kupikwa.
*Na inaweza kutumiwa k**a juisi, Ina Radha murua na imesheheni virutubisho kedekede na huu hanika vizuri inapochanganywa na juisi ya limau🍋 au tufaa (apple🍏🍎)
Kwa ushauri zaidi karibu inbox wasap 📥👇
0676780340
Au gusa link kwa bio yangu
Jackline
© Health consultant
We care your health 😊
30/06/2022
CHAKULA KWA AJILI YA MACHO👁️👁️
Kiungo Cha ajabu kwasababu ya usahihi na umakini wa Hali ya juu katika majukumu yake, misuli yake ambayo wakati wote iko katika utendaji hufanya hivyo ili kutimiza majukumu matatu kwa pamoja ambayo ni:
👁️Kuchunguza upana wa eneo la uoni.
👁️Kufunga na kufungua mboni ya jicho kulingana na mwanga uliopo.
👁️Kuratibu upindo wa umbile la lenzi ya jicho kulingana na umbali wa kitu kinachoonwa ili mwonekano uwe dhahiri shayari. Ili kufanya kazi zote hizi jicho linahitaji kiwango kidogo tu Cha oksijeni na baadhi ya virutubisho vinavyopatikana kwenye vyakula ambavyo ni k**a vile:
📌 Vitamin A, hii ni muhimu kwa ajili ya utengenezaji wa rhodopsin, rangi ipokeayo mwanga kwa urahisi inayopatikana kwenye chembe hai za retina. Rangi hii ni muhimu kwa ajili ya kuipatia konjaktiva (sehemu nyeupe ya jicho) unyevu na kuiacha katika hali nzuri.
📌 Karotenoid, Hii nayo no rango ya asili inayopatikana kwenye vyakula jamii ya mimea inayofanya kazi k**a antioxidanti yenyewe hutoa Kinga dhidi ya ugonjwa wa kusinyaa kwa retina.
📌 Vitamin C na E
Hizi ni antioxidanti zinazopatikana kwenye matunda, mboga za majani, chembe hai za nafaka na mbegu pekee. Ukosefu wake hupelekea kupata mtoto wa jicho na uoni hafifu.
Kwa ushauri zaidi 0676780340
Karibu wasap group tujifunze kuhusu vyakula vinavyofaa kwa afya na miili yetu
Kujikinga na kutibu matatizo mbalimbali
Gusa link kwa bio yangu andika na tuma neno LISHE
Jackline
© Health consultant
🍉🍍🍇🥝🍌🥦🥒🥬🥑
18/06/2022
KAROTI DAKTARI WA MACHO 🥕🥕
Zina virutubisho vitatu muhimu vilivyo katika idadi kubwa kuliko vingine k**a ifuatavyo:
1.Karotenoids, beta karotini ambayo mwili huibadilisha na kuwa vitamin A. Karotenoidi ni muhimu kwa ajili ya utendaji kazi mwema wa retina, hususani kwenye mwanga hafifu au wakati wa usiku. Beta karotini hufanya kazi ya kuiweka ngozi pamoja na mukosa (ngozi ya ndani) katika Hali nzuri.
2. Ufumwele wa majani (nyuzinyuzi).
Karoti zimebeba 3% ya Ufumwele ambao kwa wingi uko kwenye Muundo wa pektini, ufumwele husaidia choo kutoka kwa urahisi na kuboresha ngozi ya ndani ya utumbo (mucosa).
3. Mafuta muhimu.
Haya ni muhimu kwa ajili ya kupambana na minyoo ya tumbo.
Karoti ni muhimu kwa ajili ya magonjwa ya macho, retina, ngozi, tumbo, utumbo mpana, asidi nyingi tumboni pamoja na saratani.
MAANDALIZI NA MATUMIZI:
*Yaweza kutumiwa ikiwa mbichi, kwenye kachumbari ikiwa imekatwa vipande vidogo vidogo na Kisha kupakwa maji ya limau. Karoti Huimarisha meno ya watoto
*Pia ikipikwa huwa haipotezi beta karotini hata baada ya kupikwa.
*Na inaweza kutumiwa k**a juisi, Ina Radha murua na imesheheni virutubisho kedekede na huu hanika vizuri inapochanganywa na juisi ya limau🍋 au tufaa (apple🍏🍎)
Kwa ushauri zaidi karibu inbox wasap📥👇
0676780340
Jackline
© Health consultant
We care your health 😊
04/06/2022
ONDOA UCHAFU NA SUMU MWILINI
NAMNA YA KUONDOA SUMU MWILINI NA KUONGEZA VIRUTUBISHO MWILINI.
Leo katika zama hizi za sayansi na teknolojia magonjwa/maradhi yamekua mengi sana si Tanzania tu bali duniani kote kutokana na Sumu kutoka katika vitu mbalimbali hali ambayo hupelekea kupungua kwa Kinga ya mwili.
Jambo muhimu analopaswa kufahamu binadamu yoyote ni kwamba cell zetu ndio zinazopata maradhi hayo maana afya ya mwili wa binadamu hutegemea afya ya cell zake.
Najua unapenda kuwa na afya njema.
Je unafahamu maradhi mengi 90% husababishwa na utumbo wako kuwa mchafu?
Je unafahamu kuwa unavyopeleka service gari lako na mwili wako unahitaji?
Umewahi kufikiria njia za kusafisha utumbo wako kutoa sumu za kemikali za soda, sigara, madhara ya madawa, air condition, juice za box(artificial juice), pombe na mengineyo?
Jaribu kufikiria je unapata choo kilaini. Je unapata kila siku?
Kutokupata choo huweza kusababisha maradhi mengi katika afya yetu. K**a vile kupata matatizo ya utumbo,vitambi, lakini pia kupata maradhi ya Bawasiri.
Zipo bidhaa bora asili zenye kuweza
KUONDOA SUMU MWILINI NA KUONGEZA VIRUTUBISHO MWILINI MARA BAADA YA KUONDOA SUMU HIZO MWILINI.
Tumia bidhaa hizo ambazo hazina kemikali na zina uwezo wa kutoa sumu mwilini, kuongeza kinga ya mweli, zinasaidia mmeng'enyo wa chakula kuwa vizuri hivyo kuondokana na tatizo la kutopata choo(constipation). Na kupunguza tatzo la kukosa nguvu za kiume sababu ya damu kujaa sumu sana.
Pia husaidia katika maradhi ya, madonda ya tumbo, aleji, kupunguza kasi ya uzee kwa kuondoa ngozi iliyochoka, kuua bacteria na virusi wasiohitajika mwilini na hivyo kuwa na afya bora.
Kwa maelezo zaidi ya namna ya kupata bidhaa hiyo
piga
0676780340
Kwa WhatsApp/SMS/calls
0676780340
31/05/2022
*TATIZO LA GANZI YA MIGUU NA MIKONO (MIGUU KUWAKA MOTO NA TIBA YAKE)*
Ganzi ni moja ya tatizo/ugonjwa unaowakumba watu wengine sana na ni tatizo ambalo linakera sana kwa sababu hata unapoenda hospitali Mara nyingi hawapati tatizo lolote.
NINI HASWA CHANZO CHA TATIZO HILI
1: UMRI MKUBWA
Kawaida mtu anapokua umri umeenda, mwili mzima uzeeka pamoja na mfumo mzima wa damu, hii husababisha mishipa midogo midogo ya damu kuziba hii husababisha chakula na hewa ya oksijeni kutofika kwa ufasaha maeneo ya mbali k**a miguuni na vidoleni hali hii hupeleekea mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa safi hivyo ganzi hutokea.
2: KISUKARI
Sukari inapokua nyingi kwenye mzunguko wa damu hupelekea kuunguza mishipa ya damu hali hii husababisha mishipa kusinyaa ambayo hupelekea hewa ya oksijeni na chakula kutofika kwa ufasaha maeneo ya mbali sana k**a miguuni na mikononi hali hii husababisha mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa hivyo husababisha ganzi.
3: DAMU NZITO
Damu inapokua nzito pia hupelekea MTU kupata tatizo LA ganzi kwa ni husababisha kutofika kwa damu kwenye mishipa midogo midogo ya damu hii hupelekea ganzi pia.
4: KUJERUHIWA AU KUCHOKA KWA MFUMO WA NEVA.
Mfumo wa fahamu unaundwa na ubongo, UTI wa mgongo na neva ambazo zinahusika katika kusafirisha taarifa kutoka sehemu mbalimbali za mwili na kutafsiriwa katika ubongo ili kuupa mwili tahadhari mfano unapojeruhiwa. Neva hizi zinazopatikana sehemu husika endapo zikajeruhiwa au kuchoka hupelekea kutokuwepo na mawasiliano mazuri katoka kiungo husika na ubongo na kusababisha maumivu hayo.
5: UPUNGUFU WA VIRUTUBISHO.
Upungufu wa virutubisho na madini muhimu mwilini pia yanachangia mfumo wa damu, mifupa pamoja na mfumo wa fahamu kufeli kufanya kaz vizuri mfano madini ya Calcium ambayo husaidia Sana uimara wa mifupa na uzalishaji wa damu mwilini.
TIBA YA GANZI
▶️ MICRO2CYCLE
• Hii ni tibalishe asili ya kupambana na tatizo hili bila madhara.
• Imetengenezwa na mitishamba mitatu yenye uwezo mkubwa sana wa kufungua mishipa midogo midogo ya damu ambayo inapoziba au inapokua ndio chazo cha tatizo hili.
• Huzuia damu isivilie kwenye mishipa hivyo huondoa hatari ya kiharusi.
• Huuhisha mishipa midogo midogo ya damu na kuruhusu damu kupita vizuri.
▶️ ZAMINOCAL
• Inafaa sana kuifanya damu Iwe nyepesi hivyo husaidia kuondoa tatizo la ganzi k**a ikitumika pamoja na Micro2cycle.
• Huimarisha mishipa midogo midogo ya damu na kuruhusu damu kupenya kiurahisi.
• Huondoa maumivu yote na hali ya ganzi kutoweka kabisa.
Je ni wewe, rafiki yako au ndugu yako anasumbuliwa na Hali hii, wasiliana nasi tupigie au njoo Whatsapp Moja kwa Moja +255676780340
27/05/2022
Ushawahi jitathmini, ushauri ni bure kabisa
Nina makala maalum kwako mwanaume unayehisi hauko sawa katika mfumo wako wa uzazi inapatikana bure karibu Whatsapp ☎️
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mbeya
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 18:00 |
| Tuesday | 09:00 - 18:00 |
| Wednesday | 09:00 - 18:00 |
| Thursday | 09:00 - 18:00 |
| Friday | 09:00 - 18:00 |
| Saturday | 09:00 - 18:00 |
| Sunday | 13:00 - 17:00 |