Bf suma products Tanzania.

Bf suma products Tanzania.

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Bf suma products Tanzania., Health/Beauty, kongolo, Mbeya.

11/12/2021
25/10/2019

Expower Coffee

Hii ni kahawa iliyotengenezwa Kwa mchanganyiko Wa vitu Zaidi ya vinne yani;

1. Fresh maca
2. Ginseng powder
3. Tongkat ali
4. Epimedium
Viambata hivi vimetoka nchi za
KOREA,CHINA,USA,INDIA,PERU

Kahawa hii haina CAFFEINE,imetolewa Kwa kutumia teknolojia bora ili kuwafaa watu Wa aina zote.

Kazi muhimu za Hii Kahawa;

1. Kuimarisha misuli ya uume kuwa bora zaidi na Nguvu mara dufu wakati Wa tendo.

2. Kuupa mwili Nguvu zaidi

3. Kusaidia kurudia tendo la ndoa mara nyingi zaidi yani ukimaliza mshindo Wa kwanza unauwezo Wa kuendelea zaidi.

5. Kumpa mtu hamu ya tendo la ndoa hata k**a iliisha kabisa.

6. Kuondoa uchovu na stress,kuzuia hatari ya kupata Magonjwa ya moyo.

7. Kuilinda na kuipa afya tezi ya mwanaume

8. Kuufanya uume usimame barabara k**a msumari

9. Kusafisha mishipa ya damu

10. Kuongeza ubora Wa mbegu za mwanaume na kuzifanya ziwe na kasi zaidi n
11. Haina kemikali ni ya asili kabida 100%

EPUKA AIBU YA KUFIKA HARAKA KILELENI whatsapp ..au piga 0712746202

19/10/2019

TIMIZA LENGO PROJECT

CHANGAMOTO KATIKA BIASHARA

Kuna hiki kitu nadhani k**a hakijawahi kukutokea Basi umewahi mfanyia mtu, yaani anatokea Mteja unasema yes! Afadhali huyu sasa nitauza kisha anageuka kukuuliza maswali unajielezea na kutoa maelezo yoote halafu anakwambia "Basi Sawa ntakucheki!" (Kirahisi tu hivyo) πŸ˜‚ 🀣

Au anaweza kukuambia "Nitumie picha ya hiki na hiki na hiki, haya nipe location ya duka, haya nikitaka delivery? Hapo sasa unajitutumua "utaletewa tena ni bure na utalipa ukipokea bidhaa!" Naye anakuambia kabisa "ok nifungie kabisa" ila baadae anakwambia "I'll get back to you" 😳😳

Mara nyingine unakuta ni mshindani wako tu kibiashara, yaani mnafanya biashara ya aina moja Anataka kukujua wewe na huduma zako, je wewe bei zako zikoje, lugha yako na vitu k**a hivyo.

Najua kabisa k**a we we unafanya biashara utakuwa uliwahi kutana nayo au unajua kabisa anaweza kutana nayo, halafu baada ya kukutana na mteja huyu najua ulishaanza kufurahia kapata Mteja na mteja akageuka maneno mengi πŸ˜‚
sometimes inaweza kutokea ila don’t get too serious

Nachotaka kusema kwako isikuvunje moyo, wala usikate Tamaa, Unachotakiwa kufanya ni

USIBADILI MALENGO BADILI MBINU

Lengo ni kile kitu au jambo ambalo mtu hukusudia kupata au kufikia baada ya muda fulani. Inaweza kuwa ni ngazi fulani ya masomo, biashara, kazi au chochote anachofanya. Hakuna mtu ambaye anaweza kufanya jambo bila kuwa na malengo.
Kumbuka: kuwa na malengo haina maana ndo umeyafikia lakini kuna vitu vya kufanya ili kufikia malengo yako (missions).

Waingereza wanasema a smooth road does not make a good driver, jambo lolote lile kulipata lazima utumie nguvu aidha za rohoni au mwilini. Inatakiwa utambue kuwa "ufalme unatekwa na wenye nguvu" kwa hiyo kufikia malengo lazima ukubali kupambana.

Ile kwamba unakutana na changamoto haina maana uache malengo yako au maono yako yafe hapana, ngoja nikwambie wazi tu kwamba mbeba maono hafi, ikiwa ndani kuna malengo na ukitambua kwamba malengo yako ni majibu ya maswali ya wengine hautaacha yakafa, utapigana kuyafikia.

Mungu hakubadili lengo la kuwatoa Waisrael ijapokuwa Farao alijidai kukaza moyo, Mungu alionesha ishara /alitumia mbinu mbalimbali kuhakikisha Musa na Israeli watoke Misri.

Usichoke hata k**a ulishatumia mbinu zaidi ya mbili endelea kutafuta na kubuni njia nyingine zaidi utashinda.

SEMINA YA MASOKO NA KUKUZA BIASHARA
Karibu sana kwenye Semina ya biashara itakayo fanyika Sinza Mori siku ya tarehe 23 October hii, Ndani ya semina hii utajifunza Mambo Mengi sana ya juu ya jinsi ya kuanza biashara kwa mtaji mdogo kabisa, kuendesha biashara, Masoko na mbinu mbali mbali za kufanikiwa na Naamini utafanikiwa kwenye Biashara yako, Usikose!

Jiandikishe ili kupata ticket yako mapema kwa kutuma majina yako mawili kwa namba hizo chini

OFISI ZETU
Tunapatikana, Mlimani towers Ghorofa ya pili kwa Dar es salaam, Barabara Mbili kwa Iringa, na Sokomatola kwa wakazi wa mbeya Tanzania

Contact us
IG
FB Tanzania
Call/Text/WhatsApp: ....

Photos from Bf suma products Tanzania.'s post 02/10/2019

*ZAIDI YA 95% YA WANAWAKE WANATATIZO LA FUNGUSI NA UTI SUGU*

Wanawake walio wengi wamekua wakisumbuliwa na matatizo ya *UTI*, *Fangasi sugu*, *Miwasho*, *Harufu mbaya ukeni* pamoja na weusi mapajani.
Usafi wa mwanamke huanzia ndani. *ZIJUE NJIA NANE ZA KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI UKENI (VAGINAL INFECTIONS DISEASE)*:

πŸ’¦ *NGUO ZA NDANI*, Chupi chafu ni chanzo kikubwa cha maambukizi ya magonjwa Ukeni, kwahiyo pindi ufuapo hakikisha una Anika nguo za ndani juani na piga pasi kabla ya kuvaa.
Lkn pia badili chupi kila baada ya miez 6.

πŸ’§ *NGUO ZA KUBANA* Epuka kuvaa Nguo za kubana kwa mda mrefu lkn pia epuka kuvaa Nguo za ndani zinazo bana wakati wa kulala.

πŸ’§ *UKAAJI*, Epuka ukaaji sehemu moja kwa mda mrefu na Hakikisha unatumia viti ambavyo sehemu ya kukalia ina matundu matundu.

πŸ’§ *KUJAMIIANA*, Shahawa(Alkaline) huathiri uwiano wa acid-base ukeni. Lkn pia kwa watumiaji wa kondomu, mafuta ya kondomu huharibu uwiano wa acid-base ukeni. Hivyo ni rahisi UKE kushambuliwa na magonjwa.

πŸ’§ *HEDHI*, Mzunguko wa hedhi huathiri uwiano wa acid-base ukeni.
πŸ’§ *KUKOMA KWA HEDHI (MENOPAUSE)* Kukoma kwa Hedhi husababisha kutokuwa na uwiano sawa wa homoni hivyo hufanya bacteria wazuri kupungua.

πŸ’§ *ANTIBIOTICS*, Epuka matumizi ya antibiotics k**a vile Penicillin, Amoxylin na zinazofanana na hizo, kwani Huua bacteria wazuri wanaopatikana ukeni.

πŸ’§ *SEHEMU ZA JUMUIYA* Matumizi ya vyoo vya umma na sehemu za kuogelea (swimming pool) huchangia kusambaa kirahisi kwa vimelea vya magonjwa.

*KUMBUKA*
Usafi wa mwanamke huanzia ndani, kuwa makini na muangalifu wa hatua hizo ilikuepukana na magonjwa shambulizi ya sehemu za siri. Inawezekana tayari unashida au unahisi dalili za *UTI*, *Fangasi Sugu* , *miwasho*, una *weusi mapajani* au *unatoa harufu ukeni.*
Basi wasiliana nami kwa #0712746202 kwa elimu na ushauri zaidi juu ya kujikinga na matibabu salama na ya uhakika..! πŸ™πŸ™

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Culinary Team

Attire

Telephone

Address


Kongolo
Mbeya