SIMON health Tz

SIMON health Tz

Share

Huu ni ukurasa unaohusika na utatuzi wa magonjwa yasio ya kuambukizwa Kwa kutumia virutubisho lishe.

30/04/2024

Bidhaa bora kwa wanaume ambayo ina shughulika na mfumo wa uzazi pekee (Ina imarisha Performance ya tendo la ndoa) ambayo imetengenezwa kwa:

⚡ *L-ARGININE*
- Inarekebisha mfumo mzima wa damu k**a moyo n.k
- Inapush damu kwa kasi kwenda chini

⚡ *BLACK GINGER*
- Ina imarisha tendo la ndoa
- Inaongeza nguvu mwili
- Inaongeza / kujenga mwili
- Inaondoa madhara ya upumuaji

⚡ *TAURINE*
- Ina shughulika na moyo kusukuma damu, misuli, ubongo kuondoa stress/ kuperforme vizuri tendo na kuweka sawa pressure

⚡ *FRESH MACA EXTRACT*
- Ina vitamins nyingi k**a B1, B2, C, Zinc, Iron, Amino acid n.k kazi za madini haya ni kusaidia ukuaji, kutibu tishu za misuli na kuboresha tendo la ndoa

⚡ *EPIMEDIUM EXTRACT*
- Inaongeza libido (Hamu ya tendo la ndoa)
- Inasaidia uume kusimama kwa wale wenye shida hiyo

_Tunajari afya yako na kukupenda jipatie bidhaa hii ya virutubisho lishe ambayo haina kemikali yoyote_

19/03/2024

Je? Wewe ni mhanga wa u.t.i sugu
Umetafuta suluhisho na bado hujapata
Simon afyatz tumekuletea suluhisho la kudumu
Kalibu tukuhudumie.

15/03/2024

TABASAMU LA NGOZI YAKO LIMEPATIKANA✍️

ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP Ni Tabasamu la kweli la ngozi yako.
INA UBORA WA VIWANGO VYA KIMATAIFA.

🌠Ni sabuni inayowasaidia watu wengi sana wenye shida za Magonjwa ya ngozi.

Ni sabuni iliyo tengenezwa kwa kutumia
1. Asali ya porini
2.Majani ya chai.
3.Mawese.
4.Mizeituni na alizeti.

Ni sabuni yenye ubora wa viwango vya Kimataifa kutokana na Kutengenezwa kwa ubora wa hali ya juu Nchini Marekani.

🌀SABUNI hii ni kwa wale wanaoiijali ngozi yao na kuzidi kuwa na ngozi inayopendeza kwa mwonekano lakini pia Kuwa na Afya Bora ya Ngozi

🌀ANATIC SOAP ndio suluhisho kwa shida za ngozi na Ngozi nzuri na ya kuvutia kwa sababu:
🌱Zinaondoa makovu, mabaka ,chunusi kwa haraka.

🌱Zinaondoa miwasho,vipele kwenye ngozi.

🌱Zinasaidia ngozi iliyokufa kuondoka hivyo kuacha ngozi Bora zaidi.

🌱Zinaua bacteria wabaya wote kwenye ngozi na kuilinda ngozi na mionzi mikali ya jua.

🌱Huondoa mba kichwani na Mapunye.

HII NI NZURI KWA WATOTO NA WATU WAZIMA KWA JINSI ZOTE.

08/03/2024

𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗭𝗜𝗡𝗔𝗭𝗢𝗣𝗘𝗟𝗘𝗞𝗘𝗔 𝗠𝗢𝗬𝗢 𝗞𝗨𝗝𝗔𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 (𝗔𝘁𝗵𝗲𝗿𝗼𝘀𝗰𝗹𝗲𝗿𝗼𝘀𝗶𝘀)👇
𝟭. 𝗟𝗜𝗦𝗛𝗘 𝗜𝗦𝗜𝗬𝗢 𝗡𝗔 𝗔𝗙𝗬𝗔:
Kula vyakula vyenye mafuta mengi, sukari, na chumvi kunaweza kuongeza hatari ya moyo kujaa mafuta.

𝟮. 𝗞𝗨𝗧𝗢𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗭𝗢𝗘𝗭𝗜:
Maisha yasiyo na shughuli za mwili yanaweza kuchangia kuongezeka kwa mafuta mwilini na kusababisha matatizo ya moyo.

𝟯. 𝗨𝗭𝗜𝗧𝗢 𝗞𝗨𝗣𝗜𝗧𝗜𝗟𝗜𝗭𝗔 (𝗢𝗕𝗘𝗦𝗜𝗧𝗬):
Kuwa na uzito uliozidi au kunona kunaweza kuongeza shinikizo kwenye moyo na kusababisha kujaa kwa mafuta.

𝟰. 𝗨𝗩𝗨𝗧𝗔𝗝𝗜 𝗪𝗔 𝗦𝗜𝗚𝗔𝗥𝗔:
Sigara ina kemikali zinazoweza kusababisha madhara kwa mishipa ya damu na kuchangia kujaa kwa mafuta kwenye moyo.

𝟱. 𝗨𝗟𝗘𝗩𝗜:
Matumizi mabaya ya pombe yanaweza kuathiri afya ya moyo na kusababisha ongezeko la mafuta mwilini.

𝟲. 𝗦𝗛𝗜𝗡𝗜𝗞𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗗𝗔𝗠𝗨:
Shinikizo la damu lililo juu linaweza kusababisha madhara kwa mishipa ya damu, likiwa ni mojawapo ya sababu za kujaa kwa mafuta kwenye moyo.

𝟳. 𝗨𝗥𝗜𝗧𝗛𝗜 𝗪𝗔 𝗙𝗔𝗠𝗜𝗟𝗜𝗔:
Historia ya familia yenye matatizo ya moyo inaweza kuongeza hatari ya kujaa kwa mafuta kwenye moyo.

𝟴. 𝗦𝗔𝗥𝗔𝗧𝗔𝗡𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗦𝗨𝗞𝗔𝗥𝗜:
Watu wenye ugonjwa wa kisukari wako katika hatari kubwa ya kujaa mafuta kwenye moyo.

𝗠𝗔𝗗𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗠𝗢𝗬𝗢 𝗞𝗨𝗝𝗔𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 (𝗔𝘁𝗵𝗲𝗿𝗼𝘀𝗰𝗹𝗲𝗿𝗼𝘀𝗶𝘀)👇
Madhara ya moyo kujaa mafuta, au atherosclerosis, ni pamoja na:

𝟭. 𝗞𝗨𝗣𝗨𝗡𝗚𝗨𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗧𝗜𝗥𝗜𝗥𝗜𝗞𝗢 𝗪𝗔 𝗗𝗔𝗠𝗨: Mafuta na plaketi zinaweza kujenga ukuta ndani ya mishipa ya damu, ikipunguza mtiririko wa damu na kusababisha matatizo ya mzunguko.

𝟮. 𝗠𝗔𝗧𝗨𝗞𝗜𝗢 𝗬𝗔 𝗠𝗢𝗬𝗢:
Mafuta yanaweza kusababisha kuziba kwa mishipa ya moyo, kusababisha matukio ya moyo k**a vile mshtuko wa moyo.

𝟯. 𝗠𝗔𝗧𝗨𝗞𝗜𝗢 𝗬𝗔 𝗨𝗕𝗢𝗡𝗚𝗢:
K**a mafuta yanavyoweza kusababisha kuziba kwa mishipa ya moyo, hivyo pia yanaweza kusababisha kuziba kwa mishipa ya ubongo, na hivyo kusababisha kiharusi.

𝟰. 𝗦𝗛𝗜𝗡𝗜𝗞𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗗𝗔𝗠𝗨:
Atherosclerosis inaweza kusababisha shinikizo la damu kuongezeka, ikiongeza hatari ya matatizo ya moyo na figo.

𝟱. 𝗠𝗔𝗨𝗠𝗜𝗩𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗙𝗨𝗔:
Upungufu wa mtiririko wa damu kwenye moyo unaweza kusababisha maumivu ya kifua (angina) au hata mshtuko wa moyo.

𝟲. 𝗠𝗔𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗬𝗔 𝗙𝗜𝗚𝗢:
Kuziba kwa mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye figo kunaweza kusababisha matatizo ya figo.

𝟳. 𝗠𝗔𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗬𝗔 𝗠𝗜𝗚𝗨𝗨:
Upungufu wa mtiririko wa damu unaweza kusababisha matatizo ya miguu, ikiwa ni pamoja na maumivu ya miguu wakati wa kutembea.

𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia

☎️+255754890519

06/03/2024

BF SUMA tunawaletea mtiririko wa Huduma zinazopatikana kwetu.
Mawasiliano:
+255754890519

27/02/2024

Dalil 20i za visonda vya tumbo

1 kishefu chefu hasa wakat wa kula au baada ya kula
2 kupoteza hamu ya kula na kubagua vyakula
3 tumbo kuwaka moto
4 tumbo kuunguruma
5 gesi nyingi tumboni
6 kiungulia
7 tumbo kuuma ukichelewa kula au baada ya kula na hasa ukila vyakula vya mafuta, kukaanga na fast food zote au vyenye viungo sana
8 kiungulia mara kwa mara
9 kucheua sana hasa vitu vichachu au vichungu
10 kukaukiwa sana maji kwenye koo
11 kuishiwa nguvu unapokosana na vitu flan
12 kupoteza fahamu
13 kuumwa kichwa mara kwa mara
14 macho kuuma na kupoteza uono
15 vichomi kifuani na kuumwa kifua
16 kubanwa pumzi
17 kukosa choo na kupata choo kigumu au kidogo sana
18 kumwa mgongo upande wa kushoto na mbavu
19 moyo kulipuka, kuchoma, na mapigo ya moyo kwenda mbio
20 kupata hofu isiyo na sababu yoyote hasa usiku
21 kukosa hamu ya tendo la ndoa na kushindwa kuhimil vizuri tendo kwa jinsia zote

Karibu nikusaidie uondokane na adha hiii kwa kupata ushauri mzuri na kutumia virutubisholishe vilivyotengenezwa kwa mboga mboga

21/02/2024

🛑BAADHI YA DALILI ZA FANGASI UKENI

▶️kuwashwa sehemu za siri
▶️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la nd
oa
▶️Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri
▶️Kupata vidonda
▶️Kupata michubuko ukeni
▶️Maumivu wakati wa kukojoa
▶️Kutokwa na uchafu wa rangi mweupe ukeni usio wa kawaida
▶️Mdomo wa uke kuvimba na kuwa na rangi nyekundu

⚠️K**a una dalili kati ya hizo chukuwa hatua sasa

🔴Sisi hatutulizi tatizo bali tunakinga,tunazuia,tunadhibiti na kuponya kabisa
🔴Kwanini unateseka na tatizo linalodhibitika?

🔴Kwa ushauri au kapata huduma zetu

20/02/2024

🛑BAADHI YA DALILI ZA FANGASI UKENI

▶️kuwashwa sehemu za siri
▶️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa
▶️Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri
▶️Kupata vidonda
▶️Kupata michubuko ukeni
▶️Maumivu wakati wa kukojoa
▶️Kutokwa na uchafu wa rangi mweupe ukeni usio wa kawaida
▶️Mdomo wa uke kuvimba na kuwa na rangi nyekundu

⚠️K**a una dalili kati ya hizo chukuwa hatua sasa

🔴Sisi hatutulizi tatizo bali tunakinga,tunazuia,tunadhibiti na kuponya kabisa
🔴Kwanini unateseka na tatizo linalodhibitika?

🔴Kwa ushauri au kapata huduma zetu
Mawasiliano yetu
+255673784067

13/02/2024

Mwanaume rijari hutumia package hii kua imara
+255673784067

13/02/2024
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Mwanjelwa
Mbeya