Magonjwa NA TIBA

Magonjwa NA TIBA

Share

✔UTI,PID,FUNGUS
✔uvimbe kwenye kizazi/mayai/mirija
✔kutopata ujauzito n.k
https://wa.me/p/70170756116

18/04/2026

*asalam a'alaykum warahmaturah wabarakatuh*

*🔥 Acid Reflux (GERD – Gastroesophageal Reflux Disease)*

Ni hali ambapo asidi ya tumboni inapanda juu hadi kwenye koo.
kutokana na valvu ya chini ya umio (LES) kushindwa kufunga vizuri.

*Dalili:*
* Kiungulia (hisia ya moto kifuani)
* Kukoroma au kukohoa usiku
* Ladha chungu mdomoni
* Maumivu kifuani baada ya kula
* Mwili kuwa na uchovu usiyoishi k**a umefanyishwa kazi ngumu kila siku
* Kuvimba tonsils/ mafidofido mara kwa mara
* Mapigo ya moyo kwenda Mbio kushtuka kwa moyo baadhi ya nyakati
* Kupata fangus mdomoni na mdomo huanza kutoa Ute mweupe wenye harufu mbaya
* Mdomo kuwa mchungu mchachu
* kutetemeka baadhi ya viungo vya mwili
* Maumivu ya tumbo kati ya kifua na tumbo
* Harufu mbaya kinywani hata usafishe vipi Harufu haitoki
* Kuhisi kitu kimekwama kooni hata ukijaribu kukitoa hakitoki
* Kikohozi cha mara kwa mara, na nyingine Nyingi kwa leo ni vyema niwafahamishe hizo ila ukiitaji kufahamu kwa kina Nitumie ujumbe whatsup

Kinga / Tiba:
1. Punguza uziito
2. Epuka vyakula vyenye asidi nyingi

08/04/2026

TIBA BORA NA YA KUAMINIKA

15/11/2025

Hivi ulishawahi kufikiria
Ni nini tiba kubwa ya stress zako??
Njoo kwa comment alafu nitakupa suluhisho sahihi.

14/11/2024
15/12/2023

U.T.I➡➡➡
Inasababishwa Na Nini?

Ugonjwa wa pid husababishwa na magonjwa ya zinaa k**a vile kisonono (gonorrhea) na pangusa (chlamydia).Mwili wa mwanamke unapokuwa na afya njema, mlango wa kizazi huwa na uwezo mkubwa wa kuzuia bakteria wasiweze kuingia katika viungo vya ndani vya uzazi kutoka ukeni.

Hata hivyo wakati mlango wa kizazi unapokuwa wazi na kuruhusu magonjwa ya zinaa kuingia hasa kisonono (gonorrhea) na pangusa (chlamydia), mlango wa kizazi hupata maambukizi na kisha hupoteza uwezo wake na hivyo kuruhusu maambukizi na bakteria kuingia na kufika juu kwenye viungo vya uzazi.

KWA USHAURI ZAIDI NA MSAADA ZAIDI
PIGA 0612782884

Photos from Magonjwa NA TIBA's post 12/12/2023

KWA MATATIZO YA
➡Nguvu za kiume na uzazi kwa wanawake na wanaume
➡kisukari
➡P.I.D
➡kaswende
➡tezi dume
➡uvimbe
Piga📲.0612782884 tukupe kwa OFA YA SIKUKUU

12/12/2023

0612782884
💎Tre-en-en is the first and only whole-grain food based supplement of its kind on the market. It offers a powerful nutritional assurance to:

◾️Enhance energy and vitality
◾️Optimise cell membrane function
◾️Improve cellular efficiency
◾️Enhance cardiovascular development.
◾️Optimise overall growth and development.

◾️Tre-en-en is a proprietary formulation of essential fats that were extracted from three whole grains: wheat, rice and soy.

25/11/2023

📞📲0612782884
📎upate suluhisho la kudumu

17/11/2023

Inawezekana unasumbuka na matatizo K**a haya au zaidi ya haya..
Leo magonjwa na tiba tunakuletea ofa mezani ya tiba kwa bei rahisi na yenye punguzo LA asilimia 30%
Piga Sim kwenda namba 0612782884

02/10/2023

Inawezekana Umeteseka sana na Ugonjwa wa pid na huoni Suluhisho licha ya Kuwa Umeshahangaika sana na Kunywa dawa nyingi.

Nikutie moyo tu kwamba Pid inatibika,

Nipigie kwa 0612782884

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address


Kabwe
Mbeya