AFYA YANGU - Dr. Mwangomo

AFYA YANGU - Dr. Mwangomo

Share

Maisha yetu ni mazuri tukiyahudumia vizuri ndipo tutapata raha. Fatilia peji hii ujue juu ya Afya ya

04/01/2023

KWA WALE WENYE SHIDA YA AFYA
Kwa wanaume, tuna products zenye matokeo ya Uhakika zaidi.
We Njoo DM au Nichek wasap +255 742 1163 59

11/08/2020

Maisha ni Mazuri kam ukimtumikia Mungu kwa Roho na kweli.
NI SAFARI NDEFU YA KUZIMALIZA SIKU 365, MBALI NA CHANGAMOTO LAKINI BADO SAFARI INAENDELEA.
🎂HAPPY BELATED BIRTHDAY TO YOU MDOGOWANG Wamzi Tz [ Wamzi wa Africa ]

Photos 03/06/2020

KARIBU SANA Gigy 🔥🔥🔥

09/02/2018

KUNA POST KUHUSU U.T.I MTU AMEREPORT IMEFUNGWA NASHINDWA KUWASAIDIA WATU KWA KUJIBU MASWALI YAO.

09/02/2018

JE, ULIPITWA NA HII?

JIFUNZE MAANA WAKATI MWINGINE NI MSAADA. ILA K**A UNATATIZO NJOO INBOX NITAKUJIBU.

09/02/2018

HII PICHA INAONESHA MIFUMO MIWILI YA MWANAUME.

1. NJIA YA UZAZI NA
2. UTOAJI TAKA (MKOJO)

Mimi NATAKA KIAMBIE KWA KIFUPI VILE MWANAUME ANAVOWEZA KUPATA U.T.I.

Wengi wetu wamejenga imani kuwa U.T.I inawapata wanawake Tu nao watu wazima, Hii dhana sio kweli ni potofu. Huu Ugonjwa humpata mtu yeyote na wa rika yoyote, kufuatia njia zinaweza kumfanya mtu apate Maambukizi.

MWANAUME ANAPATAJE?
KWA MTU MZIMA
1. Kubana mkojo kwa Muda mrefu.
Hii ndio sababu Namba moja ambayo wengi hushindwa kuielewa lakini ndio sababu inayopelekea watu kupata huu Ugonjwa.

Kuna sababu nyingnezo ambazo utazipata kwa kuja inbox na kupata ushauri na matibabu.
Nakuandika Dawa za kutibu, wala hutatumia ghalama hata k**a tatizo lako ni sugu saana.

27/01/2018

WANAWAKE WANAPATA MATATIZO MBALIMBALI KWENYE MFUMO WAO WA UZAZI,

HUU UKURASA UTATOA USHAURI NASAHA BUURE KWA MATATIZO MBALIMBALI YANAYOWASUMBUA AKINA MAMA NA WATOTO.

PIA KWA MATATIZO MENGINE YOYOTE YA KIAFYA TUNATOA HUDUMA NA USHAURI

NA WENGINE

22/08/2017

:*:HAKUNA JAMBO GUMU

-Ndani ya jamii inayokuzungka huenda kunachangamoto mbalimbali zinazokufanya usifanye maamuzi ya kwenda kituo cha huduma ya Afya kilicho karibu nawe. Mim nasema inatakiwa usimame na kuyajali maisha yako, hizo changamoto ni kipimo cha ushujaa wako.

Photos 11/08/2017
08/08/2017

:::KUPIMA MAAMBUKIZI YA MAGONJWA NI WAJIBU WAKO

>>Maisha tunaoishi si kupumua tu, inatupasa kujua ni kwanin tunapumua na ni namnagani tutaathiri mifumo ya upumuaji. Watanzania wenzangu haswa vijana maana ndio nguvu kazi ya taifa, tujitokeze kwenda kwenye vituo vya huduma za Afya kupima maambukizi mbalimbali. Hii itatufanya tuishi kwa AMANI na kufanya kazi zote zinazotuhusu kwa kujiamini na kujituma zaidi.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mbeya?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Mwambene
Mbeya

Opening Hours

Monday 09:00 - 20:30
Tuesday 09:00 - 20:30
Wednesday 09:00 - 20:30
Thursday 09:00 - 20:30
Friday 09:00 - 20:30
Saturday 09:00 - 20:30
Sunday 09:00 - 20:30