AFYA YANGU

AFYA YANGU

Share

Tunatoa ushauri wa changamoto ya afya yako kwa kutumia tiba lishe

04/05/2021

ni sabun iliyotengenezwa kwa asali mwitu, green tea (majani y chai) liwa na mbeg za zabibu... Hakuna kemikali z imetengenezwa katika maabara na kuthibitishwa nchini marekani na TFDA hufanyakazi nyingi na za maajabu.
1.KUONDOA CHUNUSI SUGU NA MADOA YALIYOSHINDIKANA
Hutengeneza seli zilizokufa kwa kuondoa rangi ya madoa, alama za kuungua ktka ngoz na kupunguza mlundikano wa mafuta unaosababisha chunus zisizokwisha.

2.HUTAMIKA KUSHEVIA NA KUONDOA HARUFU MBAYA YA JASHO KALI (kikwap).
Ukitumia kushevia italinda hali ya kutoka na mapele yatokanayo na wembe, Na huyaponya yote k**a tayari yalishatokea, hufanya mwili kuwa mwepesi zaidi kwa kuondoa jasho kali la kikwap..

3.HUONDOA WEUSI MAKWAPAN NA SEHEMU ZA SIRI.
Huondoa rangi yote isiyohitajika katika ngoz na kuiacha rangi moja tu yenye kupendaza ikibaki na asili yake.

4.HUONDOA MIKUNYANZI NA KUZUIA HAII YA MIDOMO KUPASUKA.
Hupambana na hali ya ngoz kuchoka mapema na kurudisha unyevunyevu katika ngoz kwa kuondoa mikunjo mikunjo.

5.HUTIBU FANGAS ZA MIGUU NA MAGAGA.
Huripea ngoz iliyofubaa kwa kuondoa magogo madogo madogo na fangas za miguu kwa Wale wanaovaa viatu kwa mud mref.

6.HUTIBU MBA MAPUNYENA UTANGOTANGO.
Inafaa sana kwa watoto wenye mapunye, inayatibu na kuimarika ngoz zao kwani ni tofaut na sabun za kawaida, hali kadhalika hutumika kuoshea nywele kwa wenye m, ba kichwani na kuondoa utangotango kwa jinsi zote.

7.TUMIA KWA ULINZI TOSHA WA NGOZI YAKO.
Pia unaweza kuitumia hata k**a hauna tatizo lolot kwan ni tofaut kabisa na sabun nyingne, huondoa hali y miwasho ya ajabu ajabu..
NB:hii ni afya! Na povu lake pia huondoa sumu mwilini na kung'arisha meno machafu haina kemikali 100 %na hutumiwa na Wote. Tumia Anatic soap kwa ulinzi wa ngozi yako.

03/05/2021

NINI CHANZO CHA UKE KUWA MKAVU?


Uke mkavu; ni tatizo ambalo husababishwa na upungufu wa homoni au kutokua na uwiano wa homoni ya estrogen ambayo upelekea misuli ya uke kusinyaa na kukosa vilainishi.

Kwa kawaida uke unatakiwa kuwa na Ute wa wastani ambao hufanya uke kubana kuleta joto na Raha ya tendo.
Ute huo ukizidi Sana au kua pungufu Sana nalo ni tatizo.

VISABABISHI VYA UKE MKAVU.
-Utumiaji mafuta yenye kemikali (cosmetics)
-Magonjwa ya zinaa na fangasi
-Matumizi ya sabuni za antibiotics kwa kuoshea uke
-Upungufu wa homoni
-Uoga na wasiwasi

DALILI ZA UKE MKAVU
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Kupungua hamu ya tendo la ndoa
-Kua na ngozi kavu
-Maumivu ya mifupa na viungo
-Msongo wa mawazo
-Mzunguko wa hedhi Kubadilika badilika
-Kutokufurahia tendo la ndoa kutokana na Maumivu.

MATIBABU YA UKE MKAVU
Kuna lishe ambazo zimetengenezwa kwa kuzingatia tiba lishe na Ni Bora Zaidi kwa afya

1.Yunz essence

2.Femicare

Kwa ushauri penda Kula vyakula vifuatavo
Maziwa ya mtindi
Viazi vitamu vina vitamin A na C
Mboga za majani
Matunda K**a maparachichi na mengineo
Kunywa maji mengi
Uyoga
Mbegu za maboga
Penda Kula bamia K**a itakua mbichi basi Kula nusu tu

Kwa ushauri Zaidi wasiliana nadi

03/05/2021

*PURE & BROKEN*
Baadhi ya kazi zake ni zifuatazo๐Ÿ‘‡๐Ÿผ๐Ÿ‘‡๐Ÿผ๐Ÿ‘‡๐Ÿผ๐Ÿ‘‡๐Ÿผ๐Ÿ‘‡๐Ÿผ๐Ÿ‘‡๐Ÿผ๐Ÿ‘‡๐Ÿผ๐Ÿ‘‡๐Ÿผ๐Ÿ‘‡๐Ÿผ๐Ÿ‘‡๐Ÿผ

โบ Hupandisha CD4 mwilini
โบ Huongeza Kinga mwilini
โบ Ni nzuri kwa walio ugua mda mrefu
โบ Ni nzuri kwa wenye shida ya homa ya ini
โบ Ni nzuri kwa waliokuwa na shida ya kutanuka kwa Moyo
โบ Ni nzuri kwa waathilika wa VVU
โบ Huongeza nguvu Mwilini
โบ Nzuri kwa wenye shida ya shinikizo la damu
โบ Nzuri kwa wenye shida ya Kisukari
โบ Huondoa Sumu mwilini
โบ Huondoa uvimbe mwilini
โบ Huondoa goita ikitumika na Zaminocal plus
โบ Huondoa Maumivu makali wakati wa hedhi
โบ Huondoa Maumivu makali ya viungo mwilini
โบ Huongeza uwezo wa mwili kutengezeneza damu
โบ Huimarisha seli za ubongo hivyo hudhibiti hali ya kusahau
โบ Huimarisha macho
โบ Huongeza nguvu za kiume
โบ Huondoa vimelea vya Saratani
โบ Huimarisha ngozi yako
โบ Hutibu magonjwa katika mfumo wa upumuaji
โบ Hutibu Ugumba
โบ Huondoa changamoto ya kukosa hedhi
โบ Huondoa hernia Aina zote ikiwa na Yunzhi pamoja na ( novel au Prostatrelax capsules) kulingana na eneo ilipo na kwa jinsia husika
โบ Hujenga Kinga ya mwili dhidi ya magojwa mbalimbali

Uyoga mwekundu unakazi nyingi Sana kuziorodhesha zote hatutaweza kuzisoma zote

Kwa ubora wa afya na Kinga ya mwili tumia Uyoga mwekundu mara moja hata kwa miezi mitatu wewe Mwili wako utakuwa imara hii ni dawa iliyotengenezwa kwa ubora mkubwa zaidi na inakazi Kubwa kuliko vile tunavyoiona

*Uwe unaumwa au huumwi pure ni kitu sahihi na Ni mhimu kwako kuitumia.*

03/05/2021

IJUE FEMICARE NA MATUMIZI YAKE*

*FemiCare โ€“ Feminine Cleanser*
Dawa maalum Kwa Mwanamke

Mshauri

*MWANAMKE:*
Katika maisha yake hupitia vipindi vikuu vitano (5) ambavyo Jamii na yeye binafsi ni muhimu kuwa makini sana.
1. Kuvunja Ungo
2. Tendo la Ndoa
3. Mimba
4. Uzazi
5. Kukoma kwa Hedhi

Hakika takribani katika hatua zote Mwanamke hutokwa na uchafu na damu, hii husababisha matatizo makubwa akipunguza umakini.
-Japo kuna sababu ambazo anaweza Kujitibu au kujikinga k**a, Vyoo vya Jumuiya, Nguo za ndani, Nguo za kubana sana, Kukaa sehemu moja muda mrefu, Tendo la Ndoa, na Uzazi wa Mpango.
: -Lakini Je, Inawezekana.? Usijali kuna suruhisho hapa..!!

*FEMI CARE:*
Uhuisha Seli kwa madini kutoka maliasili pamoja na OKO-HITECH baharini kwa kutumia mbinu za uchimbaji wa kiteknolojia , madini machache yanayopatikana kutoka Ziwa kubwa la Chumvi USA, na mafuta ya asili ya muhimu ni kutoka kwenye mimea pia ina vitamini nyingi, amino acid, and vegetable antioxidative element.

Wataalamu wamethibitisha kuwa FemiCare ni Dawa nzuri na salama imeisha tumika tayari kwa miaka mia moja.

*INAHUSIKA:*
1. Inasaidia Uke kupambana na maambukizi.
2. Inaondoa majimaji machafu, harufu na miwasho
3. Inakinga vijidudu vinavyo sababisha upele kwenye nywele hasa sehemu za siri, vidudu kwenye mirija k**a utumbo, Vidudu vinavyo shambulia njia ya mkojo, Vidudu vya Fangasi na Vijidudu vingine hatari kwa sehemu za siri
4. Huweka uke safi na kuukinga na maambukizi
5. Husaidia kuhuisha Seli.
Kwa kutibu na kukinga bacteria tumia FEMICARE

Wasiliana nasi : Kwa ushauri na tiba

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mikocheni?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Address


Mikocheni