Tehelled Afya Kwanza 12
Tunasaidia watu changamoto za kiafya
KUBA NYUMBA Z'ABAKOZI BAJE BABY TU
HAGIJI 1600 Z'ABAKOZI BAGIYEMBEREZWA INDANI Y'IMINSI 60 GARIYO NIBA URI UKORORA UMWANA ATAKUFASHA UKARURE UKAMONONYESE MWANAWAKO TURAKIZA KUKAVA INDWARA ZIRIYO KURUZA -UBABABARE BUKUYE BWO KUGARA N'UKWIMONO,
-UTASANZWE W'UHORMONE,
-UMUBUMBE MUGITSINA (Fibroids)
-KUBURA IZONDE RYO KUGARA N'UKWUMA -KUNUKA MUGITSINA
-UMWANDA MUGITSINA IYIGISHO ZIRIYO KUVA ZIKAGUYE UZITWE MAMA KUBAHAWA ABANTU BENGE BAKIYE BAKUBUYE NEZA BAKOZE IWAFAKUZO KURI TWENDE
Kanda hano ku picha nonaha ubone twigire
Wengi huniambia “Umenitibu H Pylori mdudu huyu alinitesa mpaka nikaambiwa nina weza kupata kansa ya mfuko wa Chakula”.
Ni kweli H Pylori ni mdudu anayeshambulia kuta za mfuko wa chakula na Kusababisha madonda ya tumbo. Lakini kitu kibaya ni Pale mtalamu anayetafuta chanzo cha wewe kinacho kufanya unaumwa hivyo akajikita kwenye H Pylori tu. Wakati kuna vitu vingi tu ambavyo Vinaweza Kuvuruga umeng’enyaji wa chakula na Kukufanya upate dalili hizo.
Wigo mpana wa mafikirio ya daktari ndiyo yatakusaidia kukuondoa kwenye mateso unayopitia ya mfumo wa chakula.
Wengi huniambia Umenitibu H Pylori wakati mimi Hasa Tiba yangu haikukusudia kutibu huyo Mdudu bali nilitafiti kwa vipimo Vitu vinavyosababisha mvurugiko wa tumbo na Kisha kutatua chanzo halisi na Unapona.
Asilimia 99.9% ya wagonjwa wengi wenye historia ya Kutumia dawa ya kuangamiza H Pylori huwa nikiwatibu chanzo halisi na siyo H Pylori hupona kabisa tatizo la Mmeng’enyo wa chakula.
Labda na Wewe Jichunguze Haya Yatakusaidia:-
1. Pimwa wa Kina katika Choo na Mkojo. Vimelea katika Choo na Mkojo usipovitibu huwezi kupona mfumo wa chakula. Kuna wagonjwa wenye UTI kali, Wagonjwa wenye Amiba, Wagonjwa wenye Minyoo wanatibiwa k**a H pylori. Badala ya Kurundikiwa dawa 3 ungekunywa dawa moja tu na Ukapona.
2. Pima Tezi zinazo ratibu Usagaji wa chakula. Tezi ya Thyroid gland ni muhimu sana kuichunguza. Tezi hii ikitema homoni nyingi au kidogo tumbo lazima Livuruge. Kuna Vipimo vya Awali na vipimo vya Kina vya kuonesha k**a tatizo limejificha
3. Chunguzwa Ufanisi wa mwili wako kutumia sukari. Mara nyingi watu wenye mvurugiko wa tumbo, unakula chakula kinakuwa k**a jembe limesimama hakijasagika. Ujue uwezo wa mwili kutumia sukari Umepungua. Kuwa Na Kisukari kilicho jificha au Kilicho jitokeza ni moja ya sababu inayoleta gesi, vichomi,kuwaka moto na kiungulia sana.
4. K**a Kifua kinapata moto, Unaosambaa mpaka mgongoni huku ukiishiwa nguvu. Unaambiwa asidi inapanda kooni. Jitahidi kuchunguzwa madhara ya sumu za vyakula katika damu. Mwili kuwa katika msongo wa sumu za vyakula vya kukaanga Huchangia sana hali ya mwili kuwaka moto na dalili zote k**a za madonda ya tumbo
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mikocheni