Tiba asilia

Tiba asilia

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tiba asilia, Health/Beauty, Sultan, Morogoro.

24/06/2020

*KISUKARI KISUKARI KISUKARI*

*•Unamfahamu Mgonjwa Anayeumwa KISUKARI??*

*•Awe Ndugu yako, Rafiki, Jirani, Mme/Mke wako Au Jamaa Yako???*

*•Je, Unajua Kuwa Yupo Kwenye Wakati Mgumu Kiakili, Kisaikolojia, Kiafya nk, Na Amekata Tamaa Kutokana Na Tetesi au Majibu Kuwa hawezi Kupona Kabisa Ugonjwa Wake?*

*•Unaonaje K**a, Ukimpa Taarifa Kuwa Tatizo Lake Lina Suluhisho la Kupona Na Atarudia Hali Yake K**a Zamani Huoni K**a Utakuwa Umemuokoa Mtu Huyo Na Atakushukuru Maisha Yake Yote??*

*¶Katika hali hiyo haya humpata mtu;*
*1. Njaa ya mara kwa mara, glukosi inapopungua.*
*2. Kukojoa mara nyingi , kuondoa sukari. Mkojo huwa mtamu.*
*3. Kiu, kwa sababu sukari huvuta majimaji kutoka kwenye seli na kwenye figo. Mwili hupungukiwa kiasi cha maji.*
*4. Uchovu, Kupungukiwa nguvu ya Kufanya tendo la Ndoa, Nishati inakuwa haitoshi.*
*5. Maluweluwe, Kushindwa Kuona Vizuri, Ubongo unakosa nishati.*
*6. Kichwa kuuma, taarifa kwako kwamba mwili hauko sawa.*
*Na dalili nyingine nyingi.*

Wengi wamepona na Kumshukuru Mungu kupitia huduma ya Matibabu tunayotoa.

*Sehemu Nyingi hawatibu kiini cha Tatizo wanatibu matokeo ya Tatizo na hiyo imekuwa sababu ya magonjwa mengi kuonekana sugu au hayatibiki, mfano Ugonjwa wa Kisukari wanadeal na Hali ya Ugonjwa, K**a Kisukari ni Cha Kupanda unapewa Dawa za Kushusha k**a Sukari IPO katika Hali ya Kushuka Mgonjwa unapewa Dawa za kupandisha.*

*Matibabu tunayotoa tunatibu Kisukari kwa Ujumla Wake, Kwanzia Kinga ya Mwili, Kongosho, Damu, na Kuzuia sukari unayoiingiza mwilini kupitia chakula.*

*UKWELI ULIVYO*
*Ukipata Tiba sahihi Kupona ni Uhakika.*

*•Share Taarifa Hii Kuwa KISUKARI Kinatibika Kabisa,*
```Tunapatikana Dar es salaam Mlimani City. Kwa Ushauri Na Tiba Wasiliana Na Mshauri Wetu 0714-615464``

*•Share Hadi Imfikie Mgonjwa Anayeugulia Kwa Maumivu makali Kitandani Na Hana Tumaini La Kupona.*

21/06/2020

FAHAMU KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO:
vidonda vya tumbo husababishwa na aina ya vimelea vya bakteria wajulikanao k**a Helicobacter pylori.

VINAVYOSABABISHA VIDONDA VYA TUMBO
Bakteria aina ya Helicobacter pylori 'H.pylori' & Non-Steroidal Anti Inflammatory Drugs 'NSAIDs' ndio visababishi vikuu.

Non-Steroidal Anti Inflammantory Drugs 'NSAIDs' ni dawa za kutuliza maumivu ya kichwa, maumivu ya hedhi, kushusha homa na kuondoa maumivu madogo madogo mfano Aspirin, Ibuprofen,Diclofenac & Meloxicam. Dawa hizi hupunguza uwezo wa kuta za tumbo na kufanya uwe rahisi kushambuliwa na asidi za tumboni hivyo kusababisha vidonda.

*Chembe za urithi* 'Genetics': Idadi kubwa ya watu wenye vidonda vya tumbo wana ndugu wa karibu wenye vidonda pia, hii huwafanya wataalamu kufikiria kuwa chembe za urithi zinahusika pia.

*Uvutaji sigara/tumbaku*: Wavutaji wa sigara wako katika hatari ya kupata vidonda vya tumbo ikilinganishwa na wasiovuta.

*Matumizi ya pombe/vilevi*: Walevi wako katika hatari zaidi ya kupata vidonda vya tumbo ikilinganishwa na wasiotumia vileo/pombe.
*Msongo wa mawazo*
Msongo wa mawazo hausababishi vidonda moja kwa moja ila hufanya hali kuwa mbaya zaidi kwa wagonjwa.

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
*Kuvimbiwa au tumbo kujaa gesi*. Hali hii pia yaweza kuendana na kubeua au kujamba mara kwa mara.

*Kucheua na kuongezeka kwa mate yanayoshuka tumboni baada ya kucheua*.

*Kichefuchefu na kutapikaKupoteza hamu ya kula* na kupungua uzito

*Kutapika damu*

*Kupata haja kubwa cha rangi nyeusi au kahawia chenye harufu mbaya sana*. Hii humaanisha mgonjwa anapata haja kubwa au choo kilichochanganyika na damu kwa mbali

TIBA:
Hauna haja ya kuendelea kuwaza na kuteseka kwa ajili ya tatizo dogo hilo, *0714615464 nikupatie suluhisho BORA kabisa

18/06/2020

BAWASIRI INATIBIKA
UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI (MIWASHO, VIMBE NA MAUMIVU KATIKA SEHEMU YA HAJA KUBWA) - HEMORRHOIDS.

Bawasiri ni ugonjwa ambao unatokana na kuathirika kwa mishipa ya sehemu ya ndani na nje ya tundu la haja kubwa na hupelekea wakati mwingine kutoa damu wakati wa kutoa haja kubwa.

*️⃣Ugonjwa huu unasababisha muwasho na maumivu makali katika tundu la haja kubwa.

*️⃣Mara nyingi tatizo hili huwapata watu kuanzia umri wa miaka 25 – 70.
Ila kwasasa ugonjwa huu unawaathiri mpaka watoto wa umri wa chini kabisa:

🔄Kuna aina mbili za bawasiri:

1⃣Bawasiri ya Ndani:
Hiki nikinyama kinachootea ndani kabla ya Kutokea nje
Huanza kwa mtu kukosa choo, Maumivu wakati wa kujisaidia
Pia uvimbe huanza kujitengeneza kwa kutoka ndani ya tundu la haja kubwa hasa pale wakati wa kujisaidia

2⃣Bawasiri ya Nje:
Hii ni Bawasiri ambayo hujitokeza sehemu ya nje ya tundu la haja kubwa. Hutokea nje baada ya bawasiri ya ndani kujiimarisha zaidi,
Wapo watu ambao huathirika nje moja kwa moja na hutegemea ni chanzo gani ambacho kimepelekea kuathirika na tatizo hilo.
Huambatana na Miwasho ya mara kwa mara, Maumivu katika sehemu ya nje ya tundu la haja kubwa, Damu kutoka wakati wa kujisaidia na baada ya kujisaidia

🔄CHANZO CHA UGONJWA WA BAWASIRI

Bawasiri ni tatizo linaloanzia kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula. Huu mfumo ukishakua mbovu hupelekea kutokupata choo vizuri(Haja kubwa)

Mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula unasababisha chakula kisimeng'enywe vizuri kwenye utumbo mdogo na hivyo kupelekea chakula kupiliza kwenda moja kwa moja k**a kilivyo kwenda kwenye utumbo mkubwa ambapo maji maji kutoka kwenye chakula hufyonzwa na kuacha chakula kikiwa kikavu.Inapofikia wakati wa kupata choo; choo kinakua kikavu hivyo unatumia nguvu nyingi kukisukuma choo kitoke.
Hali hii hupelekea misuli ya haja kubwa kutanuka na kupelekea kukwanguliwa na choo kigumu na hivyo kinyama kuanza kujitengeneza, Hivyo husababisha kuanza kusikia maumivu na miwasho kwa ndani, na mara nyingine kupata

Photos from Tiba asilia's post 15/06/2020

UGOJWA WA P.I.D
Pelvic Inflammatory Disease
Ni maambukizi katika via vya uzazi. Wanawake wengi husumbuliwa na tatizo hili kulingana na sababu zifuatazo:-

Matumizi ya antibiotics Kwa wingi, kimsingi matumizi haya huuwa bacteria wote, hivy wanapokufa unakosa ulinzi wa bacteria wa kupambana na maambukizi. Kadhalika ujauzito ikiwa ni pamoja na kujifungua. Pia sababu nyingine ni matumizi ya condoms na kufanya ngono zembe.tiba yake refined yunzih na femicare

DALILI ZA UGONJWA WA PID
1️⃣Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
2️⃣Kuwashwa sehemu za siri
3️⃣Uke kutoa harufu mbaya
4️⃣Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
5️⃣Uke kuwa wa ulaini sana
6️⃣Maumivu wakati wa tendo la ndoa
7️⃣Kuvurugika Kwa hedhi
8️⃣Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
9️⃣Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
🔟Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
MADHARA YA PID
•Ugumba
•Kansa ya shingo ya kizazi
•Mirija ya uzazi kuziba
•Majeraha kwenye mirija ya uzazi.
WASILIANA NASI 0714615454

Photos from Tiba asilia's post 15/06/2020

Kwa wale wanaosumbuliwa na ngozi karibuni bidhaa zetu ni za virutubisho lishe na asili Wala hazina kemical yoyote na hazina impact mbaya kwa mtumiaji karibuni 0714615464

04/06/2020

Wasiliana nasi kwa ushauri na tiba 0714615464

JALI AFYA YAKO 31/05/2020

JALI AFYA YAKO WhatsApp Group Invite

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Morogoro?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Sultan
Morogoro