Shule ya Msingi Mchikichini "A"Morogoro manispaa
Mafanikio ni Hatua! Anza Leo,Anza na ulichonacho
Heri ya Ushirikiano mwema baina ya
Victorious Academy Primary School-Zanzibar na Mchikichini A primary School-Morogoro Tanzania bara
Watu wengi wana visingizio vya KUTOKUFANYA kuliko NGUVU ya KUAMUA KUFANYA.
Ukuu wako umefichwa kwenye KUAMUA KUFANYA hata k**a MAZINGIRA yanaonekana MAGUMU.
ACHA VISINGIZIO.
Ukifeli MARA MOJA haimaanishi HAUWEZI kuwa MTU MKUBWA.Kama unapenda kupiga hatua kwa kasi kimaendeleo nashauri.Jaribu TENA.
Katika kila LENGO kutakuwa na kipindi cha “KUFICHWA” na kutakuwa na kipindi cha “KUDHIHIRISHWA.
Wakati ambao hauonekani k**a unapiga hatua haimaanishi HAUPIGI hatua:Inawezekana ni wakati wako wa Kufichwa ili Ujenge UWEZO muhimu utakaohitajika.
Hapo ujue UNAKOMAZWA.
Kumbuka unapokuwa wakati wa KUFICHWA ni wakati wa KUWEKEZA kwenye mambo muhimu YASIYOONEKANA na wakati wa kudhihirishwa ni wakati wa kila mtu KUONA ulichonacho, USICHANGANYE NYAKATI!Usijilazimishe KUDHIHIRISHWA ikiwa ni majira yako ya KUFICHWA.
Jumatatu 5/9/2022 nisiku yakufungua shule Nchinj Tanzania. Hatunabudi kuwaandaa watoto wetu kiakili na kimwili tayari kwa masomo yatakayowajenga kufikia ndoto zao.
Chochote unachopata kukifanya, fanya kwa kiwango cha juu (Be at Your Best), huwezi kujua fursa ya leo inaweza kufungua fursa kubwa ya kesho ambayo umekuwa unaitamani sana. Watu huwa wanaangilia na wanatathmini hata k**a hawakuambia.
Ugumu hata siku moja haumaanishi haiwezekani. Unamaanisha tu kuwa unahitaji kufanya kazi ya ziada.Mara nyingi NDOTO ya kila Mwalim na Mzazi ni kumuona Mwanafunzi anafanikiwa ktk Masomo yao. Mungu awajalie wazazi wetu kila lililojema popote walipo.
Shule ya Msingi Mchikichini A, tupo tayari kuhesabiwa. Tunawatakia Watanzania Wote kujitokeza kuhesabiwa. SENSA 23/8/2022
LIKIZO NJEMA.
"THE FEAR OF SUFFERING IS WORSE THAN THE SUFFERING ITSELF." (Uoga wa kuumia ni mbaya zaidi kuliko maumivu yenyewe"...Kwa maana nyingine, usiache kufanya kile unachokikusudia kwa kuogopa kwamba huenda ukaumia, ni bora ufanye uumie ili uweze kujiambia kuwa ulifanya, hata k**a haikuzaa matunda uliyotategemea.
ASANTE Mh Mbunge Abood. Wanafunzi wanatambua na kuheshimu jitihada za walimu wao zenye lengo la kuhakikisha wanafikia ndoto zao. Ewe mwalimu, mzazi au mlezi usizifanye siri bali waonesha jitihada zako nao watakusaidia kwenye mapambano bila wewe kujua.Best wishes to your Joint Exam.Mchikichini A vs Misongeniprimary School.Venue MLT 1$2 Sokoine University Morogoro.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Boma
Morogoro