Huduma yamaombi na maombezi

Huduma yamaombi na maombezi

Share

Maombi na maombezi

10/03/2022

Tunawakaribisha wote wenye shida na mateso ya Aina mbalimbali usiangalie tatizo ulilo nalo mwangalie kristo kwakila tatizo utapona lakini pia inawezekana uko mbali na unatamani upokee muujiza wako nipigie usiangalie kwamba umeomnewa mara ngapi namba yangu ni 0654328934 nipigie utamuona Bwana Yesu Kristo

09/12/2021

Tupo kipindi chahatali hakiangalii mchungaji Askofu mwimbaji padri Shekhe Wala muumini wakawaida jamani shetani anafanya kazi haraka ili asiondpke kuzini pekeake.Yesu anasema tazama nasimama mlangoni ili mtu akinifungulia nami nitaingia alafu anasema atakaevumilia hata mwisho ndie atakae okoka

09/12/2021

Omba tupo kipindi chahatali ambacho hakiangalii mchungaji mwinjilist muimbaji Wala Askofu padri shekhe Wala muumini wakawaida Ila yeye avumiliae hata mwisho ndie atakae okoka wokovu upo kwakila mmoja anaekubari kumpokea Yesu Kristo awe Bwana na mwokozi wa maisha yake

09/12/2021
Photos from Huduma yamaombi na maombezi's post 09/12/2021

Nikipindi ambacho Kristo analiandaa kanisa lake nnimeangalia kwenye mitandao yakijamii kila ukiangalia unaambiwa karibu ujiunge ili baada ya mda utapokea kiasi chakutosha chafedha mabinti wamewekwa wako uchi ukimwambia vipi anakwambia nitumie elfu Tano mwingine nipe vocha wengine Wamewekwa k**a vivutio vya nafsi lakini jinsigani kupata Msaada ni jina la Yesu Kristo tu

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Morogoro?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Morogoro