Huduma yamaombi na maombezi
Maombi na maombezi
Tunawakaribisha wote wenye shida na mateso ya Aina mbalimbali usiangalie tatizo ulilo nalo mwangalie kristo kwakila tatizo utapona lakini pia inawezekana uko mbali na unatamani upokee muujiza wako nipigie usiangalie kwamba umeomnewa mara ngapi namba yangu ni 0654328934 nipigie utamuona Bwana Yesu Kristo
09/12/2021
Tupo kipindi chahatali hakiangalii mchungaji Askofu mwimbaji padri Shekhe Wala muumini wakawaida jamani shetani anafanya kazi haraka ili asiondpke kuzini pekeake.Yesu anasema tazama nasimama mlangoni ili mtu akinifungulia nami nitaingia alafu anasema atakaevumilia hata mwisho ndie atakae okoka
09/12/2021
Omba tupo kipindi chahatali ambacho hakiangalii mchungaji mwinjilist muimbaji Wala Askofu padri shekhe Wala muumini wakawaida Ila yeye avumiliae hata mwisho ndie atakae okoka wokovu upo kwakila mmoja anaekubari kumpokea Yesu Kristo awe Bwana na mwokozi wa maisha yake
09/12/2021
09/12/2021
Nikipindi ambacho Kristo analiandaa kanisa lake nnimeangalia kwenye mitandao yakijamii kila ukiangalia unaambiwa karibu ujiunge ili baada ya mda utapokea kiasi chakutosha chafedha mabinti wamewekwa wako uchi ukimwambia vipi anakwambia nitumie elfu Tano mwingine nipe vocha wengine Wamewekwa k**a vivutio vya nafsi lakini jinsigani kupata Msaada ni jina la Yesu Kristo tu
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Morogoro