Atu Health consultant
Reproductive health both for men and women
Weight loss management
BODY CLEANESS
05/05/2022
_UNAPATA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME !??_
*BORESHA AFYA YA UZAZI NA NGUVU ZA KIUME KWA NJIA HII BORA NA SALAMA.*
Tatizo la uzazi na nguvu za kiume limekuwa likiwasumbua wanaume wengi na limekuwa ni chachu ya kuvunjia kwa ndoa nyingi. Japokuwa tatizo hili linatatulika na mtu akarejea katika hali yake ya kawaida, wanaume wengi wamekuwa wakiona aibu kueleza wazi changamoto yao ili kupata ufumbuzi wa matatizo yao.
Kupungukiwa kwa nguvu za kiume hutofautiana toka mtu mmoja hadi mwingine. Inaweza kuwa ni kujumuisha hali ya kutokuwa na uwezo wa kusimamisha uume au hali ya kutokuwa na uwezo wa kufika kileleni kwa muda mzuri na wa kutosha,kushindwa kwa uume kudumu kusimama barabara kwa ajili ya tendo la ndoa au kuwahi kufika kileleni mapema.
Hatari ya kupungukiwa nguvu za kiume huongezeka kutokana na umri. Kulingana na tafiti za kitabibu,Mfumo wa maisha wa sasa umepelekea wanaume wenye umri kuanzia miaka 35 na kuendelea tatizo hili kuwa ni kubwa kwao kuliko vijana wa umri wa chini ya miaka 35.
*JE NINI WATU WENGI HUFANYA WANAPO PATA TATIZO HILI?*
Ili kuongeza stamina kwenye mapenzi wanaume wengi wamejikuta wakiingia katika kutumia madawa makali k**a vi**ra au vilevi vikali.
Madawa na pombe hukupa nguvu zinazoisha kwa muda mfupi, lakini hukuletea madhara makubwa yatakayokuandama kwa muda mrefu zaidi wapo ambao wamejikuta wakiingia katika addiction ya kutoweza kushiriki tendo mpaka watumie.
Njia hizo si salama japokuwa zitakupa matokeo ya haraka lakini huleta madhara ya muda mrefu pia.
*SULUHISHO BORA.*
Ni muhimu kuzingatia vyakula au virutubisho vinavyoweza kukuongezea stamina na kujenga mwili wako vizuri na kukupa uwezo wa kufanya mapenzi vizuri zaidi bila kutumia “booster”.
” *Virutubisho lishe ni suluhishi maridhawa na asilia kwenye kila kitu maishani mwako* ”
VIRUTUBISHO MAALUMU KWA AFYA YA UZAZI
*FOREVER MULTIMACA and FOREVER ARG PLUS.*
Forever Multimaca ni kirutubisho bora na muhimu kinatokana na mmea uitwao maca au Lepidium Meyinii kutoka nchini peru wenye historia zaidi ya miaka 2000 hasa katika kuongeza stamina ya mwilini.
Haina madhara na ina faida kubwa sana kwa wanaume na wanawake. Wanaume wa Peru wanatumia maca kuanzia wakiwa na umri wa miaka kumi na moja ili wawe na nguvu na stamina, na zaidi ni ktika kuboresha mfumo wa uzazi na uwezo wa kusababisha ujauzito na kuweka sawa mifumo ya homoni.
Ina protein nyingi katika mfumo wa amino acids na virutubisho muhimu vinavyosaidia kazi ya kuamsha ishara za hamu ya tendo la ndoa.
*Bidhaa hii sio Vi**ra.*
Ni virutubisho bora na asili ambavyo vimewekwa katika ubora wake vikiwa na kiwango kikubwa cha nutrients ambazo ni muhimu katika Afya ya uzazi wa mwanaume. Kwa mwanaume ambaye yupo fit pia anashauriwa kutumia kwaajili ya kuendelea kuboresha afya yako ya uzazi pia.
*JINSI ZINAVYO FANYA KAZI.*
Kadri umri unavyoongezeka na kuwa na stress za mara kwa mara endocrine system hupunguza uzalishaji wa homoni katika mwii hivyo unakuwa ahuna homoni za kutosha hasa katika mfumo wa uzazi ambazo huwa zinasaidia kuwa imara katika tendo la ndoa.
hali hii hupelekea kukosa nguvu na stamina [Physical strength]
Hivyo basi MULTI MACA huziamsha Hypothalamus na Pituitary gland to reset mwili wako.
Hivyo Endocrine glands ( testes,ovaries,pancreas,thyroid) zinaanza kuzalisha homoni kwa kiwango cha kutosha na kuupa mwili nguvu na stamina k**a kijana mwenye stamina na nguvu za kutosha.
*Matokeo ya Forever Multi- Maca*
Matokeo makubwa ya Multi maca ni Kuongeza hamu ya tendo la ndoa, Stamina na kukufanya uwe na nguvu ya kutosha wakati wa tendo la ndoa na baada ya tendo la ndoa.
*Matokeo mengine ni k**a vile;*
Husaidia kuboresha mfumo wa homoni na kuondoa changamoto zitokanazo au zinazosababishwa na kutokuwa sawa kwa homoni mwilini.
Ina stimulate kiwango cha uzalishaji mbegu na mifumo ya uzazi hivyo ni muhimu sana katika kuboresha changamoto za kutotungisha mimba.
Ina ongeza nguvu na stamina. (It stimulates the central nervous system and reduces neurological problems.)
Husaidia kuimarisha mishipa ya uume na kuondoa hali ya kulegea au kusinyaa wakati na baada ya tendo la ndoa.
Husaidia kuboresha afya ya tezi dume na pia kuikinga dhidi ya changamoto yoyote. (It stimulates the building of muscle mass and melting of fat deposits in the body)
Finally, it acts as an amazing natural aphrodisiac.
*KWANINI UTUMIE FOREVER MULTI MACA:*
✅Kuongeza nguvu,stamina,kiwango cha uzalishaji mbegu na mfumo wa uzazi.
✅Kuweka sawa homoni
✅Kuimarisha kinga ya mwili na uzalishaji seli katika mwili.
✅Huboresha Changamoto za uzazi na ugumba (utasa)
✅Huboresha Changamoto za kuwahi kileleni kabla ya tendo au wakati wa tendo
✅Powerful Aphrodisiac for Men & Female.
✅Kuongeza hamu ya tendo la ndoa na uwezo wa kurudia tendo la ndoa.
✅Kuondoa uchovu na hali ya mwili kuchoka.
✅Kuboresha mfumo wa kibofu na kuimarisha kinga dhidi ya U.T.I na matatizo yote ya mfumo wa kibofu na mkojo.
*FAIDA ZA FOREVER MULTIMACA.*
1.Aphrodiasiac activity-inaongeza HAMU YA MAPENZI kwa zaidi ya ASILIMIA 180,STAMINA NA NGUVU WAKATI WA TENDO LA NDOA NA UWEZO WA KURUDIA TENDO.
2.Inasaidia kuondoa depression(msongo wa mawazo) ivyo kuleta usingizi mtamu na wa raha zaidi
3.Inasaidia kuondoa madhara ya mvurugiko wa homoni na kuweka sawa homoni
4.Inarutubisha mayai na kuboresha vyema mfumo wa uzazi hivyo kuleta chance nzuri zaidi ya mwanaume kusababisha ujauzito
5.Inaongeza idadi ya mbegu za kiume(sperm count kwa asilimia 200) na uwezo wa mbegu kuogolea vizuri(mobility)
6.Inabalance kiwango cha chuma mwlini
7.Inaongeza NGUVU ZA KIUME na ni nzuri kwa wanaofanya mazoez kwan ina protini nyingi zinazojenga misuli na mwili kwa ujumla.
8.Ni chakula cha ubongo ivyo inaongeza kumbukumbu na uwezo wa akili (brightness and focus)
9.Husaidia kuimarisha misuli ya uume,na kuondoa changamoto ya kulegea/kusinyaa wakati wa tendo na baada ya tendo.
10. Ina fiber(nyuzi nyuzi lishe)ambazo ni muhimu kwa mfumo mmeng’enyo wa chakula, kupata choo laini na cha kutosha kila siku (kumbuka uchafu ukijaa tumboni,hasa kwa wasiopata choo vizuri, husababisha kitambi kisichoeleweka, ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa, ugumba, kinyama kuota sehemu ya haja kubwa/hemorrhoids, kutoa hewa chafu sana, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, au kifo cha ghafla.
Forever Multi-maca ipo katika mfumo wa vidonge ambao ni mchanganyiko wa mmea wa maca,mbogamboga na matunda hasa strawberries, blueberries, elderberries na mengine. Vidonge vipo 60,unatumia 4 kwa siku.
Bidhaa hii hupatikana kwa Shs. 75000, Ubora wake umethibitishwa na shirika la viwango la kimataifa.
Inatengenezwa na Forever Living Products, kampuni ya kimarekani iliyoanzishwa Mwaka 1978 Nchini Marekani na ikaweka kiwanda kimoja tu huko huko marekani kuepusha uchakachuaji. Forever ina matawi katika nchi zaidi ya 160 duniani ikiwemo Tanzania.
*NB: KUMBUKA, BIDHAA HII SIYO DAWA AU VI**RA, NI LISHE ZENYE VIRUTUBISHO VINGI MUHIMU KWAAJILI YA AFYA YA UZAZI HASA MWANAUME AMBAVYO MWILI WA BINADAM UNAHITAJI NA HAVINA KEMIKALI HATARISHI ZENYE MADHARA KWA MTUMIAJI YEYOTE.*
Maswali yanayoulizwa mara kwa mara.
_*Je bidhaa hizi hazina madhara?*_
Hakuna madhara yoyote unayoyapata unapotumia. Bidhaa zetu ni virutubisho asili visivyo na kemikali hatarishi kwa mtumiaji, hivyo vinafaa kutumiwa na mtu yeyote. Mwenye changamoto kwaajili ya kuondoa changamoto yake na asiye na changamoto kwaajili ya kuboresha zaidi mfumo wake wa afya ya uzazi. Na kwa mtu ambaye yupo katika hatua mbaya zaidi za ugonjwa ni vyema kumwona Daktari wake kwa ushauri zaidi kabla hajaanza kutumia virutubisho hivi.
_Je nikianza kutumia dose ndo itatakiwa nitumie milele/muda wote?_
Hapana, bidhaa zetu sio addictive, kwa maana kwamba ukianza kuzitumia hazikupi athari kiasi kwamba usipotumia basi hutoweza kushirki tendo la ndoa k**a yalivyo madawa mengine.
Bidhaa hii unapoitumia huenda kufanya kazi kuanzia katika uzalishaji seli,mifumo yote ya mwili na hivyo kurejesha utendaji kazi mzuri wa ogani zinazo husika na uzazi.
Hivyo basi k**a kulikuwa na changamoto yoyote katika mfumo wa uzazi huboreshwa na pia k**a kuna upungufu wowote pia huwekwa sawa na kukurejesha katika uimara ufaao.
_Je kwa mtu mwenye dose ya muda mrefu k**a kisukari au pressure anaruhusiwa kutumia pia?_
Ndio, bidhaa hii inavirutubisho muhimu ambavyo vinafaa kutumiwa na mtu mwenye changamoto ya pressure au kisukari. Husaidia katika kuboresha mzunguko mzuri wa damu, kuboresha utendaji kazi wa mishipa hasa kwa kuondoa mafuta mabaya ambayo hayatakiwi katika mishipa {cholesterol} na hivyo kuimarisha mishipa ya uume, tendo la ndoa na kuboresha changamoto ya kusinyaa au kulegea.
_Nimetumia madawa mengi lakini sijapata matokeo, Je hii yenu itanisaidia?_
Kwanza kabisa, kwa mtu ambaye ametumia madawa mengi ya kuongeza nguvu miili yao hupokea na kuhifadhi sumu mbalimbali. Hivyobasi tunashauri mtumiaji aanze na kirutubisho chetu muhimu maalumu kwaajili ya kusafisha taka mwili /sumu mwilini ili kuweka sawa mfumo wa mwili, then baada ya hapo ataendelea na matumizi ya kirutubisho hiki cha Maca. Hapo utapata matokeo mazuri sana.
_*Je nawezaje kupata bidhaa?*_
Zipo njia tatu [3] ambazo waweza kutumia mojawapo kupata bidhaa.
1: FIKA KATIKA OFISI ZETU (MAKAO MAKUU) HAPA VICTORIA,DAR ES SALAAM. KWAMWONGOZO WA MAWASILIANO YANGU HAPO CHINI UTAPATA HUDUMA.
LAKINI PIA KWA DAR ES SALAAM, HUDUMA YA KUFIKISHIWA BIDHAA, USHAURI NA MWONGOZO SEHEMU ULIYOPO (OFISINI KWAKO / SEHEMU RASMI ZA MAZUNGUMZO) HUTOLEWA.
2: K**A UPO NJE YA DAR ES SALAAM, WAWEZA TUUNGANISHA NA NDUGU AU RAFIKI ALIYEPO HAPA DAR ES SALAAM NA AKAWEZA KUFIKA OFISINI AU KUFIKISHIWA BIDHAA ALIPO THEN ATAKUTUMIA ULIPO.
3: NJIA YA MWISHO NI WEWE KUZILIPIA BIDHAA MOJA KWA MOJA KWA NAMBA YA KAMPUNI NA UTATUMIWA BIDHAA MPAKA ULIPO, NDANI YA SAA 24 TANGU ULIPO ILIPIA BIDHAA YAKO. (USALAMA WA KUIPATA BIDHAA YAKO NI WA UHAKIKA KWA 100%)
Ili kupata bidhaa wasiliana nasi moja kwa moja Kwa namba
*+255784321922*
Utapata mwongozo wa kuzipata.
Lakini pia waweza mpa maelekezo ni sehemu gani unahitaji kufikishiwa bidhaaa zako na kwa siku gani kwa kutuma ujumbe/kupiga simu.
*MUHIMU:* Mambo muhimu utakayo yapata mara baada ya kuipata bidhaa.
*Utapata mwongozo vyema hatua kwa hatua jinsi ya kupata matokeo mazuri kwa kuzingatia lishe bora.*
*Utapata mwongozo mzuri wa muda wa kutumia bidhaa na hii utaipata mapema sana utakapopata bidhaa zako.*
*Utapata support saa 24 kwa pale uatakapohitaji kuipata.*
This is a time-tested, proven solution that really works, guarantee
Huu ni wakati wako sahihi wa kuboresha afya yako na kuirudisha furaha katika mahusiano yako na mwenza wako hasa katika kudumisha upendo na penzi lililo imara na salama.
*HILI NI SULUHISHO SAHIHI AMBALO LIMETHIBITISHWA KUKIDHI MAHITAJI YA MTUMIAJI NA KUPATA MATOKEO BORA NA SAHIHI.*
UNAHITAJI KUPATA MWONGOZO ZAIDI !?
*KARIBU TUZUNGUMZE.*
Argi NYONGEZAH
*CHAKULA NA HOMONI*
Homoni ni kichocheo ambacho hutengenezwa na tezi mbalimbali mwilini. Na homoni husafirishwa na damu kwenda sehemu inapohitajika mwilini. Kumbuka kwamba kila homoni huwa ina kazi yake maalumu, huwezi kukuta homoni ya uzazi inaenda kuchochea umeng’enyaji wa chakula cha protini. Kila homoni na kazi yake maalumu.
Homoni kwa tafsiri nyingine tunaita ni “Kichocheo” kwa sababu madhumuni ya kutengenezwa kwa homoni ni kwenda kuchochea tendo flani la kibaolojia litokee mwilini.
Homoni zipo aina nyingi, kuna homoni za uzazi,usagaji chakula,zinazo ratibu matumizi ya wanga,mafuta na protein nk ila somo hili utajifunza homoni za uzazi kwa mwanaume na mwanamke.
*
Kuvurugika kwa homoni maana yake ni nini?
*
Maana yake ni kwamba homoni zako haziko katika mhimili unaotakiwa na zinasababisha kwa namna moja au nyingine.
*Je kwa wanaume inakuwaje hili tatizo la mvurugiko wa homoni?
*
Wanaume pia huwa wanakabiliwa sana na matatizo haya ya mvurugiko wa homoni na huenda kuathiri sana uzazi kwa mwanaume.
*Mfano*
Homoni ya Testosterone ikishuka kwa mwanaume unapata matatizo haya
Unaongezeka uzito kwa kasi hasa kitambi cha tumbo la chini,nyonga na mapaja na kupungua inakuwa kazi sana
Hamu ya kushiriki tendo la ndoa na matamanio kwa jinsia tofauti inapungua sana au kuisha kabisa inategemea na kiwango cha ukubwa wa tatizo.
Kiwango cha mbegu na ubora wa mbegu za kiume kushuka sana.
Unaanza kupoteza nywele, unaanza kukonda sehemu zingine isipokuwa tumbo la chini linaongezeka. Testostrone kujenga misuli ikiwa chini unaanza kupoteza misuli.
Homoni ya estrogen ikizidi kwa mwanaume matatizo haya unapata
Homoni ya estrogen huwa ipo chini sana kwa mwanaume. Inapozidi kiwango yaani ikatawala inakufanya mwanaume matiti yakue,kitambi, unatengeneza hipsi k**a mwanamke, na maumbile sehemu za siri yanaanza kupungua kwa kasi sana.
Inamhatarisha mwanaume tezi ya kiume kukua kwa kasi sana na kuanza kusababisha mkojo kutokutoka katika umri mdogo sana. Kitalamu Bladder outlet obstruction huwa tunatarajia uanze kupata ukiwa na miaka Zaidi ya 80 lakini kwa sababu ya homoni hii imetawala baadhi yetu tezi inakuwa kwa kasi sana. Hivyo tezi dume ukuaji wake hutegemea sana homoni hasa homoni ya estroygen. Hivyo unakuwa hatarini kupata BPH (Tezi inakua sana na kuzuia mkojo katika umri mdogo), na Unaweza kuwa hatarini kupata kansa ya tezi dume.
*SUKARI NA HOMONI*
Mwili wa binadamu umetengenezwa kujiendesha katika mazingira ya kiwango kidogo sana cha sukari. Kiwango salama cha sukari kinachotakiwa kuendesha mwili muda wote ili isitokee shida yoyote kiafya ni 5.6mmol/l au 100mg/dl.
Kwa sababu damu ya binadamu inakadiliwa kuwa ni lita 5 mpaka 7 hivyo ukifanya mahesabu hapo ina maana kiwango cha sukari kwenye damu kinatakiwa kiwe gram 5 kwenye lita 5 za damu. Ukienda kiuhalisia Zaidi gram 5 ya sukari ni sawa na kijiko kimoja kidogo cha sukari.
Tafsiri yake ni kwamba sukari inayo endesha mwili wako usianguke kitalamu inatakiwa icheze gram 5 mpaka 10 ambapo ni sawa na kijiko 1 mpaka 2 basi. Soda moja inakadiliwa kuwa na gram 37 sasa gawanya kwa 5 upate idadi ya vijiko ulivyo mimina mwilini utapata vijiko 7. Haya wewe umekula ubwabwa wa jana,chapati mbili na juisi nachuro ya embe au tikiti grasi moja au mbili. Mwili wako utashukuru kwa upendo na huruma ila utabadilisha sukari yote iliyozidi kuwa mafuta. Na mwili utapigana kuhakikisha kwamba hata k**a sukari ilikuwa imepanda kwa kiwango gani ndani ya masaa 2 sukari lazima iwe inasoma kijiko 1 mpaka 2 kwenye mwili wako wote.
Kwa mwanaume:
Kwa mwanaume kiwango kingi cha homoni ya insulin kwenye mwili wa mwanaume kwa sababu ya matumizi mabaya ya wanga na sukari na katika idadi ya milo mingi. Huchochea sana kitendo nilicho zungumzia hapo juu cha utenegenezaji wa homoni za k**e kwa wingi yaani Estrogen. Kwa mwanaume homoni hii inaanza kutawala kwenye damu.
*Haya ndio madhara yake kwa afya ya mwanaume*
Homoni ya estrogen inapokuwa juu sana inashusha hamu ya tendo la ndoa kwa mwanaume kabisa, maumbile yanakuwa yanapungua kila siku. Ndio maana huwa nawapa somo unapopungukiwa nguvu za kiume na maumbile yanapopungua shida huwa ipo kwenye homoni. Lakini dawa nyingi ni za kusisimua misuli ya uume badala ya kushughulikia homoni.
Homoni ya estrogen huenda kushinikiza figo kuzuia madini ya chumvi na maji. Na hii inaweza kusababisha presha ya kupanda, moyo kupanuka nk
Uwezo wa kutungisha mimba wewe mwanaume unashuka sana kwa sababu idadi ya mbegu inashuka na ubora au afya ya mbegu inakuwa chini sana
Tezi ya kiume huwa inakuwa kwa kasi sana kwa kutegemea homoni hii, ndio maana hata dawa za tezi dume huenda kushusha kiwango cha estrogen kwa kuzuia aromatase isifanye kazi yake ya kubadilisha testosterone kuwa estrogen. Hivyo kiwango kingi cha homoni hii kwa mwanaume inakuhatarisha tezi dume kukua kwa kasi sana na kuanza kuzuia mkojo usitoke katika umri mdogo. Pia hata kansa ya tezi dume unakuwa hatarini kuapata.
Mfano wanaume wengine huamua kuchukua hatua ya kuchoma sindano za testosterone, lakini sayansi inatuonesha kwamba hautakuwa umepata suluhisho. Kwa sababu kadri unavyozidi kuchoma mwili hutafuta mbinu ya kuipunguza kwenye damu na njia moja wapo ni kuichukua hio testosterone na kuibadilisha kuwa estrogen kitendo hicho huitwa aromatization. Ina maana wewe unakuwa unajipumbaza unaongeza homoni za kiume kumbe hapo hapo mwili unapambana kui-balance na kufanya hivyo kunakupandishia homoni ya k**e wewe mwanaume.
*NOTE*
*Njia nzuri na imara kuiboresha ndoa yenu ni kubadilisha mfumo wa kula, familia nyingi tunakula hovyo sana, na wengi tunapuuza kwamba yawezakuwa chakula ndio kinaleta migogoro ya kifamilia
*
27/10/2020
🍃🍃🍃🍃🍃🍃🍃 Ijue ALOEVERA GEL, kinywaji bora cha afya chenye aloe vera nyingi,( 97%).
Kinywaji hiki siyo dawa bali ni chakula chenye utajiri wa Virutubisho (75), Vitamini (14) na Madini (20)mbalimbali.
FAIDA ZAKE KWA AJIRI YA AFYA YAKO
1. Kuondoa sumu mwilini zitokanazo na hewa chafu, vumbi, vyakula vilivyolimwa na mbolea na dawa zenye kemikali, sumu, madawa, vyakula, pombe na vileo, nk.
2. Kuondoa na kuepusha vimbe sehemu yoyote mwilini, mfano mji wa mimba, shingoni, nk.
3. Kuepusha magonjwa na kuua vijidudu k**a virusi. bacteria na fangasi. 4. Kusafisha utumbo mkubwa wa chakula na:
~kuondoa mafuta yanayoganda,
~kuzuia na kusaidia gesi tumboni,
~kupata choo vizuri na kuzuia constipation, ~kusaidia mmeng'enyo wa chakula,
~ Kusaidia vidonda vya ndani (ulcers) na nje ya tumbo.
5. Kuongeza kinga mwilini.
6. Inasaidia maumivu ya viungo k**a miguu na mgongo.
7. Kusaidia uponyaji wa magonjwa ya umri km kisukari, presha, nk.
8. Kusaidia kuboresha matatizo mbalimbali ya ngozi km;
~kuifanya iwe nzuri na ya kuvutia,
~kuifanya iwe nyevunyevu,
~kuiondoa ukavu na mikunjokunjo,
~kutengeneza seli mpya na kuondoa seli zilizokufa.
~Kusaidia magonjwa mbalimbali ya ngozi km;aleji, muwasho, chunusi, vinundu vidogodogo vyeusi, makovu, mkanda wa jeshi na upele,
9. Kusaidia uponyaji wa ugonjwa wa kupooza (STROKE).
10. Inasafisha mzunguko wa damu, inaimarisha mishipa ya damu na kuyeyusha damu na mafuta yaliyoganda.
11. Inasaidia kutibu harufu mbaya mdomoni kwa kuua bacteria wabaya wanaokaa kwenye utumbo wa chakula na kuleta harufu mbaya mdomoni.
12. Ni chakula, ina vitamini, madini, amino acids, (protini), na inasaidia ukuaji wa mwili.
13. Husaidia uchovu sugu, kutopata usingizi vizuri (insomnia), hangover, msongo wa mawazo, (Stress), na mfumo wa fahamu na neva (nervous system).
14. Inaondoa baridi na ganzi kwenye viungo vya mwili, mfano miguu, mikono na vidole.
~Hufaa kwa watu wote,
KUNYWA KWA AFYA, (USISUBIRI UUGUE)
KWA MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE KWA NAMBA 0784321922
AU
TUTAFUTE WHATSUP KWA KUTUMIA LINKI HII HAPO CHINI
https://wa.me/message/FJZYQZJQVE2AP1
24/10/2020
ONDOA TATIZO LA MISULI KUSINYAA, KULEGEA NA KUKOSA HAMU WAKATI WA TENDO
Wanaume wengi hawajui hili jambo la uume kusimama legevu au kusimama na kunywea tena linatokana na nini. Ili uume usimame kuna vitu vingi inabidi viwe sawa katika mwili wako. Kwanza mfumo wa hisia zako inabidi uwe sawa.
Pili mfumo wa fahamu pia uwe sawa.
Tatu mfumo wa mzunguko wa damu mwilini uwe sawa kwani uume husimama tu baada ya damu kukimbilia kwenye uume kufuatia mtu kusikia hamu ya tendo la ndoa. Maana hapo function ya moyo pia inabidi iwe very intact.
Lakini hamu ili ije inabidi mfumo wa hormones za mwili wako uwe sawa. Hormones ziwe katika uwiano sawa.
Mfano kuna hormone inayochochea wewe usikie hamu ya tendo la ndoa. Hiyo hormone k**a ipo katika kiwango cha chini basi utasikia hamu kwa mbali sana au hakuna kabisa hivyo uume nao hautopata mawasiliano ya kupokea damu inavyotakiwa na hivyo utasimama kwa ulegevu au kutosimama kabisa.
Lakini pia ili uume ufanye kazi vizuri hasa wakati wa tendo inabidi mfumo wako wa misuli uwe vizuri. Nk nk.
Hayo ni baadhi ya mambo ambayo inabidi yawe sawa kwanza ndipo wewe uone mambo yanakuwa swadakta!
Kwa hiyo tatizo hili ni pana siyo k**a watu wanavyofikiri. Na hivyo kutatua tatizo hilo inahitaji kuhakikisha chochote utakachofanya kinakusaidia kuboresha mifumo hiyo ya mwili. Short cut haikusaidii kutatua tatizo la kusinyaa au misuli kulegea. Utajikuta linazidi kuwa sugu siku ukija kutaka kulitatua sasa unakuta limeshakuwa kubwa kweli.
Unakuwa huna tofauti na mtu anayepata kiupele anakidharau mwisho anakuta ni saratani.
SULUHISHO
Sisi tunakusaidia kutatua tatizo lako HOLISTICALLY yaani kwa upana wake. Ni wachache wanaopenda kutatua tatizo kiujumla.
Wengi wanataka tu shortcut tu hasa vijana wadogo. Watu wazima wanaelewa kuwa ukitaka kumaliza shida katika maisha usitafute shortcut.
Wengi tumewasaidia wengine shida ilikuwa ya miaka mingi.
TIBA
wengi huhitaji kutatua na hujikuta wakiangukia kwenye tiba za kichina au madawa ya hospitalin ambapo huweza kupata suluhisho la mda na baadae kuishia kwenye matatizo makubwa baadae na kujutia tiba ile.
Tunatibu kwa kutumia vilutubisho/lishe (supplements) ambazo hutokana na mimea na matunda. Tunatumia bidhaa k**a
-ARG+
-MULTI MACA na OMEGA 3
JE UNAHITAJI MWONGOZO ZAIDI,
AU TUPIGIE KWA NAMBA:
+255716789967
Na utapata jawabu la tatizo hilo au changamoto zingine za nguvu za kiume na Uzazi kwa ujumla.
JIUNGE NASI KATIKA WHATSAPP DARASA KWA KUGUSA LINK HII KUPATA MWONGOZO ZAIDI.
https://chat.whatsapp.com/KiF7AgY2pSVEfIqcdpi9AB
KARIBU SANA.
19/10/2020
Wanawake hiii ni special kwenu.
14/10/2020
True confidence leaves jo room for jealousy.When you know your great you have no need to HATE 😁
12/10/2020
Ushuda uliotulia kwa wanaume
Follow the Program😍😍
Hutojutia hata kidogo👌
*TATIZO LA MWANAUME KUWAHI KILELENI NA KUSHINDWA KURUDIA TENDO.*
Hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake au kurudia tendo.
Tatizo hili limekua likiwapata wanaume wengi na kujisikia aibu mbele za wenzi wao pale wanaposhindwa kuendelea kabisa baada ya hali hii kutokea.
Kimsingi mwanaume anatakiwa achukue dakika tano mpaka kumi kabla ya kutoa mbegu za kwanza.
Lakini watafiti wanasema tatizo hili hugunduliwa mtu anapotoa mbegu ndani ya dakika moja au kabla ya dakika tatu.
Tatizo hili huweza kutokea mara tu baada ya kuanza maandalizi ya tendo, yaani kabla ya tendo lenyewe la ndoa, au mda mfupi baada ya kuanza tendo,lakini pia kutokana na aina ya mwanamke uliompata.
*Chanzo ni nini?*
Sababu za kitaalamu zilizofanyiwa utafiti zikakakubalika na wanaamini sababu zifuatazo zinaweza kua chanzo kikuu cha tatizo hilo.
i. Kupiga punyeto au kujichua;
Mara nyingi watu wanaopiga punyeto hua wanafanya haraka kwa kujificha ili wasikutwe na mtu. tabia ile ya kulazimisha mbegu zitoke haraka huweza kuleta tatizo hili.
ii. Kukaa muda mrefu bila kushiriki tendo la ndoa;
Kukaa muda mrefu sana bila kushiriki tendo la ndoa husababisha mkusanyiko mkubwa wa mbegu za kiume ambazo zinaleta msisimko mkubwa na ukichelewa sana kushiriki tendo la ndoa zitatoka kwenye ndoto nyevu. Kawaida mwanaume anatakiwa ashiriki tendo angalau mara nne kwa wiki.
iii. Kuwa na wasiwasi wakati wa tendo la ndoa;
Mtu akiwa na historia ya kupata hali hii kabla, huwa hajiamini na kuwa na wasiwasi kwamba litatokea tena na matokeo yake hulipata kweli.
iv. Madhara ya dawa zinazofanya kazi kwenye mishipa ya fahamu;
Baadhi ya dawa za usingizi, mawazo na zingine zinazofanya kazi kwenye mishipa ya fahamu huleta tatizo hili mfano amitriptyline.
v. Kurithi;
Baadhi ya koo au familia fulani hurithi vimelea vya kuwa na ugonjwa huu kwa vizazi mbalimbali vya familia husika.
vi. Magonjwa ya mfumo wa uzazi wa mwanaume mfano prostatitis.
Kuutambua ugonjwa.
Mwanaume yeyote ambaye anatoa mbegu chini ya dakika moja au mbili ni muhanga wa hili tatizo na anatakiwa apewe matibabu.
*Matibabu*
Matibabu ya ugonjwa huu yamegawanyika sehemu kuu mbili kulingana na ukali wa tatizo husika.
*Matibabu yasiyo hitaji dawa:*
Matibabu haya hupewa watu ambao wanahimili mpaka dakika tano bila kutoa mbegu.
*Matibabu yanayohusu dawa:*
Matibabu haya hupewa watu ambao hutoa mbegu ndani ya dakika moja baada au kabla ya kuanza kushiriki tendo la ndoa, watu hawa hushauriwa kutumia mbinu zote mbili za matibabu.
*Yafuatayo ni matibabu yasiyohitaji dawa.*
i.Tumia condom:
Condom ni moja ya tiba nzuri ya tatizo hili kwani hufanya kazi kwa kupunguza hisia kali za mapenzi mtu anazozipata pale ambapo hatumii condom.
ii. Punguza wasiwasi:
Hebu lifikirie tendo hili k**a njia ya kuleta furaha kati yenu sio njia pekee ya kutafuta kutoa mbegu, hii itakusaidia kuondoa mawazo ya kutafuta mbegu na kuchelewa kumaliza.
iii. Fanya taratibu:
Picha za ngono zinadanganya sana watu kwamba kulala na mwanamke lazima ufanye kwa haraka haraka.
HAPANA; ukifanya taratibu ndio njia nzuri ya kumfikisha mwenza wako na wewe kuchelewa kufika kileleni.
iv. Badilisha style:
Ile style ya zamani ya kumlalia mwanamke kwa juu inaleta msuguano mkubwa kwenye kichwa cha uuume hivyo itakufanya ufike haraka sana.
v. Toa mawazo makubwa kwamba unafanya ngono:
Waza kuhusu furaha ya mwenza wako anayoipata wakati unafanya tendo hilo, hii itakupunguzia hisia kali za mapenzi na kuchelewa kufika.
V. Fanya na kuacha:
Hii ni ile hali ya kuzuia msuguano pale unapoona unakaribia kutoa mbegu kwa k**a sekundi 30 kisha unaanza upya. Hakikisha haufiki “point of no return”. pointi ambayo huwezi kujizuia tena kumaliza.
Vi. Kandamiza sehemu ya shingo la uume:
Hii sehemu ya shingo ya uume kwa chini ambayo ukiibana itakusaidia kuanza upya tena kihisia.
*MATIBABU YA DAWA. (Tiba Lishe / Virutubisho Lishe)*
Hizi hupewa iwapo tatizo lako limeshindwa kutatuliwa hizo njia hapo juu.
Zipo bidhaa tatu Mahususi katika kutatua tatizo hili.
ARG PLUS SUPPLEMENTS, MACA SUPPLEMENTS NA VITOLIZE FOR MEN.
*JINSI ZINAVYOFANYA KAZI:*
*ARG PLUS:*
Hiki ni kirutubisho bora sana katika kuboresha mzunguko wa damu, husaidia kuhahakikisha Damu inaenda ya kutosha katika uume.
Ili mwanaume aweze kusimamisha vizuri, yafaa damu iende ya kutosha katika uume, hivyo unapotumia hii, itasaidia kuwa na uwezo wa kusimamisha vyema na pia itakuondolea hali ya kusinyaa, kulegea na kukosa uwezo wa kustahimili tendo.
*MACA SUPPLEMENTS:*
Hiki ni kirutubisho muhimu sana katika kuongeza hamu ya tendo la ndoa.
Kina kiwango kikubwa cha virutubisho vinavyosaidia kuongeza hamu ya tendo.
Lakini pia kuupa mwili nguvu na stamina.
*VITOLIZE MEN:*
Hiki ni kirutubisho bora sana, ambacho huhakikisha utendaji kazi mzuri wa Tezi Dume, kwa mwanaume ambae anapata tatizo hili kwasababu ya kuwa na dalili za awali za tatizo la Tezi Dume au na Tezi Dume, unapotumia bidhaa hii itakusaidia kuthibiti changamoto hiyo.
Lakini pia ina kiwango kikubwa cha madini ya Zinc, Selenium, calcium n.k.
Hivyo basi, kwa Mwanaume unapotumia hizi bidhaa tatu, Arg- Plus, Maca na Vitolize Men utapata Faida hizi,
Arg plus itakupa uwezo wa moja kwa moja wa kusimamisha vyema na kuwa imara, wakati Maca inakuongezea hamu.
Hivyo hata ukimaliza tendo unakuwa na uwezo wa kurudia tena na unakuwa na uwezo wa kusimamisha vyema kwasababu tayari Arg plus imeshaondoa tatizo la kutosimamisha vizuri,
Then Vitolize yenyewe itakumalizia kabisa shida kwenye Tezi Dume yako, k**a tatizo limesababishwa na dalili za awali za tezi basi utaenda kuimarika vizuri zaidi kwasababu hii itakuwa imeondoa dalili hizo.
*HILI NI SULUHISHO SAHIHI NA SALAMA KWA CHANGAMOTO HII.*
UNGEPENDA KUANZA KUTUMIA LEO!??
MAWASILIANO:
+255 784 321 922
VYAKULA KWA AFYA YA TEZI DUME
*Chai.*
_Tangawizi+mchaichai+asali_
_Viazi vitamu au gimbi au mayai asilia ya kuchemsha, maboga_
*Mixture ya* _Karoti mbichi+tango+parachichi+nyanya+hoho+ndizi mbivu+karanga au korosho_
*Tunda la*
Stafeli, zabibu na strawberry,ndizi mbivu, parachichi, Apple, tikiti, chungwa,
*Vitu vya baharini*
_Samaki, pweza, chaza,ngisi,kombe,dagaa_
Warnings
*Epuka ngano, sukari ya viwandani, ongeza wanga isiyokoborewa*
*Punguza unywaji maji hasa nyakati za usiku*
*Punguza vyakula vya mafuta mafuta kwa wingi*
Mhimu
*Fanya mazoezi angalau kwa kiwango kidogo walau kutembea, kujinyoosha na kubana mkojo wakati wa kukojoa*
*Tumia virutubisho asilia kulingana na utakavyoelekezwa na mhusika wa hizo bidhaa hasa zenye:-*
Madini ya _ZINC,SELENIUM, MAGNESIUM_
Vitamins _A, C,D, E Folic acid, amino acids n.k_
Viosha sumu na mafuta mazuri ya samaki yaani _super omega 3 fatty acids_
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Sua
Morogoro