Robertha products

Robertha products

Share

Furaha yangu nikuona kuwa una muonekano mzuri wa ngozi yako karibuni niwahudumie 0785966063

04/03/2026

Bei TSH 35000
0785966063

15/01/2026

Karibu upate face mask ya uso Kwa sh 20,000
Inaondoa chunusi
Makunyanzi
Inafungua vinyweleo
0785966063

15/01/2026

Kopo dogo 7000 tu

15/01/2026

Je una ngozi ya mafuta
Usikose haya mafuta
# Morogoro

13/12/2025

Serum Vitamin E ni 8,000/=
Delivery IPO

🌹Huondoa Weusi makwapani
🌹 Huondoa Weusi mapajani
🌹 Huondoa Weusi kwenye macho
🌹 Huondoa Weusi kwenye VIWIKO VYA MAGOTI
🌹 Huondoa Sugu vidoleni
🌹 Huondoa Magaga Miguuni
🌹Ulainisha ngozi ILIYOSINYAA
🌹 Ulainisha ngozi iliyokakamaa
🌹Ni mafuta ya asili
🌹 Hayana chemicals
🌹 Hayachubui kabisa
🌹 Wanauume na wanawake wanapaka
🌹USOFTISHA NGOZI ngumu
🌹 Huondoa madoa MWILINI

TUNAPATIKANA MOROGORO 88 GETI NO 2
0785966063

18/11/2025

Tuone video

18/11/2025

*COFFE SCRUB - 12000/=*

Unapokuwa na kawaida ya kufanya scrub ngozi inakuwa inang'aa hata ukipaka mafuta yanakolea kwenye ngozi utashangaa mwenzio anapaka mafuta ana ng'aa ww ukipaka hupati matokeo mazuri ni dead skin zimejaa kwenye ngozi yako .

FAIDA ZA KUFANYA SCRUB
❤️Huondoa dead skin na kuacha ngozi ikiwa nyororo.
❤️Kunyoosha ngozi iliyojikunja (makunyaz) na kuwa smooth.
❤️Husaidia kufanya mzunguko wa damu kuwa ma mfumo mzuri wa ngozi pumua na kutoa takataka mwilini.
❤️Kuondoa seli zilizokufa na kuleta ngozi mpya ndani na nje
❤️Kuscrub kunapunguza muonekano wa mabonde kwenye ngozi.
❤️Kuscrub kuna changamsha na kukuondolea uchovu wa mwili
❤️Kuscrub husoftisha madoa meusi na hatimae kuondoka kabisa
❤️Kuscrub kunaondosha sugu miguuni, magotini, vdoleni inasafisha makwapa na mapaja. Fanya scrub kila baada ya siku 3 uone ngozi yako itavyopendeza na kuvutia

Photos from Robertha products's post 21/10/2025

VITAMIN E SERUM.
KIBOKO YA MAGAGA
0785966063
Bei.TSH.8,000/

HII NI SERUM INAYOONDOA
🌷SUGU
🌷INA GLOW SKIN KWA WALIOATHIRIWA NA VIPODOZI VIKALI.
🌷KUTAKATISHA NGOZI ILIOFUBAA.
🌷KULAINISHA MWILI MZIMA
🌷KUIPA NGOZI UNYEVU UNYEVU.
🌷KUONDOA MADOA YA CHUNUSI NK.
🌷KUKUPA RANGI MOJA.
🌷KUONDOA WEUSI WA KWAPA NA KATIKATI YA MAPAJA.
🌷KUONDOA MAKUNYANZI.
🌷KUONDOA WEUSI CHINI YA MACHO.
NK.

21/10/2025

Celebrating my 5th year on Facebook. Thank you for your continuing support. I could never have made it without you. 🙏🤗🎉

Photos from Robertha products's post 21/10/2025

JE NGOZI YAKO IMEFUBAA NA UNATAKA KUTAKATA KIASILII
SURUHISHO NI MANJANO SCRUB
HAICHUBUI INAKUPA MNG'AO WA ASILI NA KUKUACHA NA NGOZ NYENYE AFYA

TURMERIC ( MANJANO) SCRUB ELF 12,000

FAIDA ZA TUMERIC KATIKA NGOZI YAKO

🍎 Inatibu chunusi ,harara , madoa na makovu kwa haraka sana... maana..

🍎Inalinda ngozi kuchomwa na jua.. yani hii kitu.. ukitembea nayo juani sahau kuhusu kuchomwa na jua kabisa.. yani balaa

🍎Inaondoa pia weusi wa kuchomwa na jua au cream kali.. hii ndio tiba yenyewe kabisa

🍎Kiboko ya wekundu kwenye ngozi.. kwasababu manjano ni antibacteria nzuri kwenye ngoz

🍎Kuondoa makunyanzi.. antaging nzuri sana.. hakuna tena kuzeekaaaa...

🍎Inaipa ngoz mng'ao wa kupendeza K**a tunavyojua manjano Ni baba lao katika ngarisha ngoz

HII KITU SI YA KUKOSA KABISA BEI N ELF 12,000 tu
Sabuni 6000
ANDIKA NAMBA YAKO NA MKOA ULIOPO ILI UHUDUMIWE call 0785966063

11/09/2025

30000

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Morogoro?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Morogoro

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 18:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 20:00
Friday 09:00 - 16:00
Saturday 09:00 - 18:00