Robertha products
Furaha yangu nikuona kuwa una muonekano mzuri wa ngozi yako karibuni niwahudumie 0785966063
Bei TSH 35000
0785966063
Karibu upate face mask ya uso Kwa sh 20,000
Inaondoa chunusi
Makunyanzi
Inafungua vinyweleo
0785966063
Kopo dogo 7000 tu
Je una ngozi ya mafuta
Usikose haya mafuta
# Morogoro
13/12/2025
Serum Vitamin E ni 8,000/=
Delivery IPO
🌹Huondoa Weusi makwapani
🌹 Huondoa Weusi mapajani
🌹 Huondoa Weusi kwenye macho
🌹 Huondoa Weusi kwenye VIWIKO VYA MAGOTI
🌹 Huondoa Sugu vidoleni
🌹 Huondoa Magaga Miguuni
🌹Ulainisha ngozi ILIYOSINYAA
🌹 Ulainisha ngozi iliyokakamaa
🌹Ni mafuta ya asili
🌹 Hayana chemicals
🌹 Hayachubui kabisa
🌹 Wanauume na wanawake wanapaka
🌹USOFTISHA NGOZI ngumu
🌹 Huondoa madoa MWILINI
TUNAPATIKANA MOROGORO 88 GETI NO 2
0785966063
Tuone video
18/11/2025
*COFFE SCRUB - 12000/=*
Unapokuwa na kawaida ya kufanya scrub ngozi inakuwa inang'aa hata ukipaka mafuta yanakolea kwenye ngozi utashangaa mwenzio anapaka mafuta ana ng'aa ww ukipaka hupati matokeo mazuri ni dead skin zimejaa kwenye ngozi yako .
FAIDA ZA KUFANYA SCRUB
❤️Huondoa dead skin na kuacha ngozi ikiwa nyororo.
❤️Kunyoosha ngozi iliyojikunja (makunyaz) na kuwa smooth.
❤️Husaidia kufanya mzunguko wa damu kuwa ma mfumo mzuri wa ngozi pumua na kutoa takataka mwilini.
❤️Kuondoa seli zilizokufa na kuleta ngozi mpya ndani na nje
❤️Kuscrub kunapunguza muonekano wa mabonde kwenye ngozi.
❤️Kuscrub kuna changamsha na kukuondolea uchovu wa mwili
❤️Kuscrub husoftisha madoa meusi na hatimae kuondoka kabisa
❤️Kuscrub kunaondosha sugu miguuni, magotini, vdoleni inasafisha makwapa na mapaja. Fanya scrub kila baada ya siku 3 uone ngozi yako itavyopendeza na kuvutia
21/10/2025
VITAMIN E SERUM.
KIBOKO YA MAGAGA
0785966063
Bei.TSH.8,000/
HII NI SERUM INAYOONDOA
🌷SUGU
🌷INA GLOW SKIN KWA WALIOATHIRIWA NA VIPODOZI VIKALI.
🌷KUTAKATISHA NGOZI ILIOFUBAA.
🌷KULAINISHA MWILI MZIMA
🌷KUIPA NGOZI UNYEVU UNYEVU.
🌷KUONDOA MADOA YA CHUNUSI NK.
🌷KUKUPA RANGI MOJA.
🌷KUONDOA WEUSI WA KWAPA NA KATIKATI YA MAPAJA.
🌷KUONDOA MAKUNYANZI.
🌷KUONDOA WEUSI CHINI YA MACHO.
NK.
Celebrating my 5th year on Facebook. Thank you for your continuing support. I could never have made it without you. 🙏🤗🎉
21/10/2025
JE NGOZI YAKO IMEFUBAA NA UNATAKA KUTAKATA KIASILII
SURUHISHO NI MANJANO SCRUB
HAICHUBUI INAKUPA MNG'AO WA ASILI NA KUKUACHA NA NGOZ NYENYE AFYA
TURMERIC ( MANJANO) SCRUB ELF 12,000
FAIDA ZA TUMERIC KATIKA NGOZI YAKO
🍎 Inatibu chunusi ,harara , madoa na makovu kwa haraka sana... maana..
🍎Inalinda ngozi kuchomwa na jua.. yani hii kitu.. ukitembea nayo juani sahau kuhusu kuchomwa na jua kabisa.. yani balaa
🍎Inaondoa pia weusi wa kuchomwa na jua au cream kali.. hii ndio tiba yenyewe kabisa
🍎Kiboko ya wekundu kwenye ngozi.. kwasababu manjano ni antibacteria nzuri kwenye ngoz
🍎Kuondoa makunyanzi.. antaging nzuri sana.. hakuna tena kuzeekaaaa...
🍎Inaipa ngoz mng'ao wa kupendeza K**a tunavyojua manjano Ni baba lao katika ngarisha ngoz
HII KITU SI YA KUKOSA KABISA BEI N ELF 12,000 tu
Sabuni 6000
ANDIKA NAMBA YAKO NA MKOA ULIOPO ILI UHUDUMIWE call 0785966063
11/09/2025
30000
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Morogoro
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 18:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 20:00 |
| Friday | 09:00 - 16:00 |
| Saturday | 09:00 - 18:00 |