Math_Afya_Mshauli
Ushauli ju ya Afya
30/07/2023
Mimba kutunga nje ya kizazi ni hataji kwa afya hatari hiyo ni kupasuka kwa mirija na mtu kufariki au akiwaishwa hospitali wanatoa mlija na kubakiwa na upane mmoja.
Leo nakuletea madhara yanayopelekea mimba kutunga njee ya kizazi;
-Maambukizi(infection)k**a uti, fangasi sugu na pid
-Uvutaji wa sigara
-Matumizi ya uzazi wa mpango
-Umri mkubwa 40 na kuendelea
-K**a umewahi kutoa mimba zaidi ya mara 3
Na mengine mengi
Kwa maelezo zaidi njoo tuwasiliane 0762847183 unapiga au tumameseji ya kawaida na whatsapp
30/07/2023
*MADHARA YA KUTOONDOA SUMU KATIKA MWILI*
(DETOXIFICATION PROGRAM)
Asilimia kubwa ya maradhi ulio nayo ni kutokana na kiwango kikubwa Cha *SUMU* Mwilini Mwako
*VYANZO VYA SUMU*
1.Matumizi ya dawa mara kwa mara
2.Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara
3.Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia
4.Ukosekanaji wa lishe sahihi na diet nzuri
5.Matumizi ya madawa makali
6.Uzito mkubwa
7.Mitindo ya maisha
8.Njia za uzazi wa mpango za kisasa
>>> *DALILI ZA SUMU NYINGI MWILINI*
⭕Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi,vipele
⭕kuwa na uzito wa kupindukia
⭕kutokupata choo au choo kigumu
⭕kukosa usingizi Na kujihis kuchokachoka
⭕Kiichwa kuuma
⭕Kupata miwasho
⭕Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti
⭕kuwa na hasira mara kwa mara.
⭕Tumbo kujaa gesi
Kwa Msaada na Ushauri
Tupigie sm 0764151332
30/07/2023
*Nini chanzo cha maumivu ya kiuno na magoti ?*
Watu wa rika zote wanaume na wanawake husumbuliwa na tatizo la maumivu ya kiuno na magoti huku wazee ndiyo huteseka zaidi,
Lakn kwa kiasi kikubwa maumivu haya hujitegemea, yaani magoti huuma K**a magoti bila ya kuhusiana na kiuno, na kiuno pia huuma chenyewe
🍇watu wanaosumbuliwa zaidi na tatizo hili Mara nyingi ni wale Wenye umri mkubwa hasa kina mama ambao aidha wameshafikia ukomo wa hedhi kwasababu kiwango cha homoni ya estrogen mwilini kinapungua
🍇 Na kazi ya homoni hii mojawapo ni kufanya Kaz sambamba na madini ya *chokaa* yenye
🌹kujenga na
🌹kuimarisha mifupa
*Vyanzo vya maumivu ya kiuno na magoti*
Kuna vyanzo vingi vinavyopelekea maumivu ya kiuno au magoti miongoni inaweza kuwa :-
🪒kuumia
🪒mambukizi ya mifupa
🪒 Uzito mkubwa
🪒kuwa na ugonjwa wa kisukari kwa muda mrefu na
🪒kansa
♦️kwa wanaume saratani ya Tezi dume huathiri zaid sehem za kiuno na kuhisi maumivu ya kiuno ya Mara kwa mara
♦️ wanawake saratani ya shingo ya kizazi pia huchangia hali hii ya maumivu
🪒 mambukizi ya muda mrefu ( sugu)kwenye via vya uzazi wa wanamke pia hupelekea maumivu ya kiuno
🪒 kufanya Kaz za kusimama/ kukaa muda mrefu pia huweza kukupelekea maumivu
🪒 upungufu wa Ute Ute wa magoti hupelekea maumivu na kushindwa kutembea
🪒 magonjwa ya mifupa ( mfano baridi yabisi) au gauti huchangia tatizo
Ushauri: ukiwa na maumivu yoyote kwenye kiungo chochote Cha mwili wako wahi kufanyiwa uchunguzi na uwahi kupata Matibabu
Kwa ushauri na Matibabu @ 0764151332
*LEO* *TUJIFUNZE* *JUU* *YA* *UGONJWA* WA *PRESHA*
*Presha ni msukumo wa damu kwenye vishipa vya damu, msukumo huo huzalishwa baada ya moyo kusukuma damu kwenye sehemu mbalimbali za mwili.*
*Aina za presha.*
*Zipo aina kuu mbili za presha, yaani;*
*1️⃣PRESHA YA KUPANDA*
*2️⃣PRESHA YA KUSHUKA.*
*PRESHA YA KUPANDA.*
*Presha ya kupanda ni msukumo wa damu unaosukumwa na moyo kwenda kwenye vishipa vya damu (artery) kuwa mkubwa kuliko njia ya mishipa hiyo.*
*Presha itaitwa kuwa presha ya kupanda ikiwa iko juu zaidi ya presha ya kawaida ambayo ni 120/80mmHg.Presha yaweza kupanda mpaka kufikia 240/120mmHg.*
*SABABU KUU ZA KUPANDA KWA PRESHA*
*1️⃣Utumiaji wa chumvi nyingi kwenye chakula.*
*2️⃣Unywaji wa pombe/sigara uliokithiri.*
*3️⃣Msongo wa mawazo na kutokufanya mazoezi*
*4️⃣Familia zenye matatizo ya moyo pamoja na kurithi.*
*5️⃣uzito mkubwa,unene na kitambi.*
*DALILI ZA PRESHA KUPANDA*
*1️⃣Kushikwa na kizunguzungu*
*2️⃣Kichefuchefu, tumbo kujaa na kutapika kusiko kwa kawaida*
*3️⃣Kuvimba/kujaa maji kwa miguu,uso na mikono.*
*4️⃣Kutokuona vizuri (kuona ukungu).*
*MADHARA YATOKANAYO NA PRESHA KUPANDA*.
*1️⃣ Uvimbe kwenye kuta za vishipa vya damu/kuziba kwa mishipa ya damu(artery) inayopelekea shambulio la moyo (Heart attack).*
*2️⃣Moyo kushindwa kusukuma damu (Heart failure)*
*3️⃣Kiharusi(stroke)*
*4️⃣ Kuharibika kwa ubongo.*
*Kwa upande mwingine;*
*PRESHA YA KUSHUKA.*
*Presha ya kushuka ni ile hali msukumo wa damu unakuwa mdogo kuliko upana (unene) wa vishipa vya damu hali inayopelekea damu chache kufika kwenye ubongo na viungo vingine vya mwili.*
*Presha ikishuka mpaka kufikia 90/60mmHg kutokea 120/80mmHg inatafsiriwa k**a presha iliyoshuka.*
*Presha ya kushuka huchangiwa hasaa na moja ya sababu zifuatazo;*
*🔘Matatizo ya homoni.*
*🔘Maradhi ya moyo pamoja na maambukizo ya vishipa vya damu.*
*🔘Kisukari.*
*🔘Kubeba Ujauzito.*
*🔘Ukosefu wa virutubisho mwilini k**a vile protini,madini ya chuma,Vitamin B-12 n.k*
*🔘Kushikwa na hasira pamoja na msongo wa mawazo.*
*Na moja ya dalili za presha hii ni k**a vile;*
*🔘Mchoko(udhaifu), mwili kukosa nguvu na kuhisi kizunguzungu*
*🔘Maumivu ya kifua pamoja na homa kali*
*🔘Kupumua kwa shida na moyo kwenda mbio (mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida).*
*🔘Maumivu kwenye kifua, bega la kushoto pamoja na kiwiko cha mkono.*
*Moja ya madhara yanayotajwa* *yatokanayo na presha hii ni mshtuko/kifo cha ghafla kunakotokana na* *viungo vya mwili kutokupata oxygen ya kutosha.*
*Epuka,dhibiti moja ya mambo yafuatayo ikiwa unasumbuliwa na tatizo la presha (aina zote) pamoja na athari zitokanazo na magonjwa ya moyo.*
*✔️Kupata wasaa wa kufanya mazoezi ya viungo, kukimbilia au kuendesha baiskeli (wastani wa dk 45 kwa siku)*
*✔️Epuka matumizi ya sigara, pombe na matumizi mengine ya madawa k**a Heroine*
*✔️Tumia kiasi sahihi cha chumvi, sukari au mafuta kwenye chakula chako(Sikiliza miongozo ya wataalamu).*
*✔️Pata wasaa wa kupumzika (Zaidi ya saa 8 kwa siku)*
*✔️Punguza unene au uzito uriokithiri kwa kutumia veggie veggie & Detoxilive *
*MATIBABU YA PRESHA_TUMIA MICRO2 CYCLE NA PURE & BROKEN KUTIBU NA KUPONA KABSA TATIZO LA PRESHA*
*FAIDA ZA MICRO2 CYCLE TABLETS & PURE*
*● Huzuia Damu kuwa nzito isivyo kawaida*
*● Husaidia damu kuzunguka kwenye mishipa (capillary) kwa urahisi*
*● Ni nzuri kwa kukinga na kuondoa stroki,Pumu,Presha na kupona kabsa*
*● Inasaidia oxygen na virutubisho kusambazwa kwa urahisi /Huzuia KUSINYAA KWA MISHIPA YA DAMU*
*● Huongeza ufanisi wa mwili kuweza kujiponya wenyewe*
*● Huondoa mafuta ya Lehemu( Cholestral)kwenye kuta za mishipa ya damu*
*● Huongeza ufanisi wa macho kuona vizuri*
*● Huzuia kuganda kwa damu*
*● Huondoa maumivu ya miguu yanayotokana na kuziba kwa mishipa midogo.*
*● Huimarisha mfumo wa Neva ...*
*● NZURI KWA WASIOPATA USINGIZI *
*● Nzuri kwa wenye MAUMIVU YA KICHWA MARA KWA MARA*
*TUNAPATIKANA*
*Arusha*
*Dar es salaam,*
*Mwanza ,*
*Dodoma,*
*Mbeya *
*Morogoro na nk*
*Tunafanya delivery maali ulipo inakufukia bila shaka kabisa Tupigie kwa namba zetu*
*...*
Tumia Njia hizi zikupe Msaada wa kuondoa Tatizo la Choo Kigumu na Bawasiri
_____________________
Ongeza ulaji wa nyuzinyuzi: Nyuzinyuzi husaidia kuboresha utumbo na kusaidia kupitisha kinyesi vizuri. Chanzo kizuri cha nyuzinyuzi ni matunda, mboga za majani, nafaka nzima, na mbegu. Kujumuisha vyakula hivi katika lishe yako kunaweza kusaidia kuleta Urahisi kwenye choo na kusaidia kupunguza Maumivu
Kunywa maji ya kutosha: Unywaji wa maji mengi husaidia kudumisha unyevu katika kinyesi, hivyo kufanya iwe rahisi kupita. Jaribu kunywa angalau lita nane za maji kila siku. Maji ya joto au ya uvuguvugu yanaweza kuwa na faida zaidi katika kuchochea utumbo.
Tumia mafuta ya mboga: Mafuta ya mboga k**a vile mafuta ya zeituni, mafuta ya alizeti, au mafuta ya mlozi yanaweza kusaidia kurahisisha kusukuma kinyesi. Unaweza kuchanganya kijiko kimoja cha mafuta haya katika chakula chako au kunywa glasi ya maji iliyochanganywa na mafuta kabla ya kulala.
Jumuisha vyanzo vya probiotiki: Probiotiki ni bakteria wazuri ambao husaidia kudumisha afya ya utumbo. Unaweza kuchukua virutubishi vya probiotiki au kujumuisha vyakula vyenye probiotiki kwenye lishe yako, k**a vile mtindi, jogurti ya asili, au kimchi. Probiotiki inaweza kusaidia kuboresha utendaji wa utumbo na kupunguza tatizo la choo kigumu.
Fanya mazoezi: Mazoezi ya kimwili husaidia kuchochea utumbo na kuboresha umeng'enyaji wa chakula. Jitahidi kufanya mazoezi mara kwa mara k**a vile kutembea, kukimbia, au kuogelea ili kusaidia kupunguza tatizo la choo kigumu Nipigie 0677048031 au 0764151332
Kuna dada amekuja analia inbox et kashang'oa meno 4
Kila jino ameng'oa kwa elfu 10
Jumla elfu 40
Jamanii😭😭😭😭
JE UNASUBIRIWA NA CHANGAMOTO ZIFUATAZO
1.KUTOKA HARUFU MDOMONI
2.MENO KUOZA
3.MENO KUTOBOKA
4.KAMA UKIPIGA MSWAKI BADALA YA KUTEMA MATE INATOKA DAMU
5.UNAKOSA AMANI NA FURAHA KWASABABU YA MAUMIVU YA MENO
POLE KWA WALIONG'OA MENO, NA KWA WALE WALIOKUWA WANAWAZA KUNG'OA MENO KARIBU KWA SURUHISHO LA KUDUMU BILA KUNG'OA JINO
karibu sana tukuhudumie call/WhatsApp 0677048031
28/04/2023
NGUVU ZA KIUME
TUELEWESHANE KWANZA MAANA HALISI YA NENO UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Upungufu wa Nguvu za Kiume ni hali ya kushindwa kufanya mapenzi kikamililifu au kushindwa kusimamisha vizuri shughuli ya tendo la ndoa huhusisha akili, homoni, neva, misuli, hisia na mirija ya damu.
CHANZO CHA TATIZO
✍️Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
✍️Kuvuta sigala na unywaji wa pombe
✍️Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
✍️Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
✍️Kisukari
✍️Kuwa na mawazo na wasiwasi
✍️Matumizi ya madawa mbalimbali ya kutuliza maumiv
✍️Umri hasa wazee
✍️Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili
✍️Kuwa na tatizo la kibofu
✍️Tabia za kujichua kwa mda mrefu
✍️Kutopata usingizi kamili
✍️Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine
DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
✍️Kuwahi kufika kileleni
✍️Kukosa hamu ya mapenzi
✍️Kushindwa kurudia tendo la ndoa
✍️Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha
✍️Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji
✍️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo
✍️Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)
✍️Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji
DOZI ZETU ZITAKUSAIDIA;
👉Kuondoa tatizo la Kuwahi kufika kileleni
👉Kuongeza uzalishaji wa mbegu za kiume
👉Kuondoa tatizo la Homon Imbalance
👉Kuzuia maumivu ya korodani na Korodani kupanda juu
👉Kuimarisha na Kuongeza nguvu katika mirija ya uume
👉Kuupa Msuli wa Pelvic nguvu
👉Kuepusha uume Kusinyaa katikati ya mchezo
👉Kuzalisha mbegu Zenye ubora na kuzuia Ugumba/Utasa
👉Kusafisha kibofu Cha Mojo
👉Kuzuia na kutibu maambukizi kwenye Uzazi, maumivu ya mgongo na tumbo kwa mwanaume
👉Kuzuia Korodani kuvimba au kusinyaa
NDIO MAANA TUMEWEKA BIDHAA ZINAZOGUSA KILA ENEO, KWANI LENGO LETU NI KUMALIZA CHIMBUKO AU MZIZI WA TATIZO.
Piga 0677 611 780 764151332
08/03/2023
SABABU ZA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
+255764151332
Hii ni hali inayompata mtu kukosa hamu kabisa ya kushiriki kitendo chochote kinachohusiana na kufanya tendo landoa au bunyeto. Hali hii kitaalamu hufahamika k**a hypoactive sexual desire disorder (HSDD). Pia kuna watu wengine wanakuwa na hisia chache kuhusu kitendo hiki. Hali hii huwapata wanaume na wanawake. Sababu za kukosa kabisa hamu ya tendo la ndoa ama hamu kuwa ndogo, sababu zao wote hufanana.
Sababu za kutokea kwa hali mbili hizi:
1.Mumivu wakati wa tendo la ndoa
2.Matumizi ya baadhi ya madawa ya arthritis, saratani, kisukari, presha ya kupanda, maradhi ya moyo na maradhi ya mfumo wa fahamu
3.Namna ya mtu anavyoishi kwa mfao unywaji wa pombe kupitiliza
4.K**a mtu alifanyiwa upasuaji maeneo ya nyeti k**a matiti, kwenye uke
5.Uchovu
6.Matatizo katika homoni
7.Afya ya akili
8.Kuwa na msongo wa mawazo
9.Kutokujiamini
10.Mahusiano yasiyo mazuri na mwenza
+255764151332
08/03/2023
*GOITA NI NINI NA TIBA ZAKE NI ZIPI* ......Huu ni uvimbe usio wa kawaida katika kikoromeo(Thyroid Gland) ambao hutokea mbele ya shingo)
2. Dalili za upungufu wa madini joto mwilini (Goita)
i. Uvimbe mbele ya shingo
ii. Mama wajawazito kuharibu mimba
iii. Kudumaa mwili na akili
iv. Mtoto kufia tumboni
v. Kuzaliwa mtoto njiti (uzito pungufu au premature)
vi. Kutetemeka na kuwa na wasiwasi.
vii. Macho kutoka nje
3. Sababu za kupata upungufu wa madini joto mwilini.
i. Kupungua kwa IODINE katika chakula
ii. Lishe duni
4. Jinsi ya kuzuia upungufu wa madini joto mwilini
i. Kutumia chumvi yenye Iodine (ayodini) hasa ile ya baharini
ii. Kutumia vyakula vyenye Iodine(ayodini) kwa wingi k**a vile dagaa, maziwa nk.
iii. Kutoa elimu ya afya kwa jamii kuhusu umuhimu wa lishe bora na
iv. Kumpeleka mgonjwa hospitali iwapo ameshaanza dalili
5. Matibabu ya upungufu wa madini joto mwilini
i. Mgonjwa ataagiziwa dawa ya Iodine na daktari
ii. Tumia dawa k**a utakavyoagizwa na
iii. Operesheni itakayofanyika k**a tezi imekuwa kubwa na athari zake zimeonekana
Tuwasiliane namba *0764151332*
kwa matibu mazuri .
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Morogoro