Sickle Cell Lifestyle Tanzania

Sickle Cell Lifestyle Tanzania

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Sickle Cell Lifestyle Tanzania, Health/Beauty, Mafiga, Morogoro.

Shujaa si tu kukaa nyumbani ukiomba mungu bali shujaa bora ni yule anae tambua uwepo wake katika jamii na kujiweka katika hali ya kusaidia mashujaa wenzake kwa hali yoyote iwe kwa kusambaza elimu au kutatua tatizo

26/04/2026

Today we officially introduce our artist under Sickle Cell Lifestyle Tz. Back Bizzo Now is on YouTube.

23/04/2026

Elimu kutoka kwa

25/01/2026

We will miss youπŸ₯Ή
Sickle Cell Lifestayle TZ inayo huzuni kwa kuondokewa na kiongozi wetu hodari Bi Mariam Kassim.
Mariam Kassim alikua Katibu na mratibu wa mambo yote yalio chini ya taasisi yetu. tunatoa pole kwa familia na wote walioguswa na msiba huu. πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ

18/01/2026

Kibango kimekaa 2026

18/05/2025

Hongera .janabi

24/09/2024

Tukiwa k**a Mashujaa tunao Jiamini Sisi tunakukaribisha wewe ujiunge nasi tufuraiye pamoja tucheze na tuimbe...

Tukutane Ununio Beach karibu na Dynasty

Photos from Sickle Cell Lifestyle Tanzania's post 24/07/2024

Misitu secondary school strong with confidence πŸ’ͺ

Photos from Sickle Cell Lifestyle Tanzania's post 22/07/2024

Bone and blood foundation pamoja na kitengo cha sickle cell watoa elimu juu ya ugonjwa wa sickle cell katika uwanja cha bandari (Temeke) siku ya jumamosi ya tarehe 20/julai /2024
Katika kiwanja hicho kulikuwa na mambo mengi ya kuelimisha pamoja na kuburudisha kulikuwa na jambo kubwa likiendelea ambalo ni Ufunguzi wa mashindano ya wazazi super cup msimu wa mwaka 2024 ambapo mgeni rasmi alikuwa waziri wa elimu wa sayansi na teknolojia Prof. Adolf Mkenda .
Lakini hakukua na jambo hilo tuu pia kulikwa na uchangiaji damu pamoja na upimaji wa ugonjwa wa sickle cell na utowaji wa elimu wa ugonjwa wa sickle cell ambapo vijana waliweza kujitokeza kwa wingi katika kuchangia damu na wazee pia waliweza kujitokeza katika kujua kwamba je wana vina saba vya sickle cell bila kuwaacha nyuma vijana ambao ndio nguvu kazi ya taifa.
Zoezi hio lilienda kikamilifu bila tatizo wala mashaka ambapo mpaka mwisho wa shughuli iyo zilipatikana damu 20 pamoja na watu walioweza kupima sickle cell ni watu 20 na 19 walikuwa ni AA na mmoja tuu ndio alikuwa na AS .sues

Photos from Sickle Cell Lifestyle Tanzania's post 22/07/2024
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Morogoro?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Mafiga
Morogoro
255