Uzazi_solution_teddy
natoa huduma Kwa changamoto ya uzazii jinsia zote.
20/01/2023
Tumia kalenda ni mfumo mzurii Kwa AJILI ya kupanga uzaziii Ili kuepukaaa madharaaa mbaliii mbalii yanayotokea Kwa kuweka kitanzi au vipandikizii
20/01/2023
✅ Unaweza kutumia karenda K**a njia ya kupanga uzazi Ni njia salama Sana ukijua mzunguko wako ✅Njia salama Sana K**a mume wako anaelewa hasa Nini maana ya afya yako ya uzazi ✅Nzuri Sana mume wako akijua unatakiwa kuwa salama mbali na njia za kisasa za kuzuia mimba ✅K**a hujaolewa tumia hii njia Ni mapema Sana kwako kuanza kutumia ,vidonge ,njiti ,kitanzi n.k
18/01/2023
*MADHARA Ya P.I.D*
P.I.D ni ugonjwa hatari za kwa afya ya uzazi wa mwanamke.
Huweza kusababisha yafuatayo k**a itachelewa kutibiwa..
➡️ Kupata Ugumba(Kuto kushika mimba)
➡️Kansa ya shingo ya
kizazi
➡️Mirija ya uzazi kuziba
➡️Majeraha kwenye mirija ya uzazi
➡️Mimba kutoka Mara kwa mara
➡️Kuharibika afya ya akili.
➡️Kupoteza hamu ya tendo la ndoa.
➡️Kukosa kujiamini wakati wa tendo la ndoa
➡️ Kulegea kwa misuli ya uke na kupelekea uke kuwa mlaini sana hali itayopelekea uke uwe unapumua (kujambajamba) wakati wa tendo la ndoa.
17/01/2023
*Je mwanamke huambukizwaje P.I.D?*
Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kupata au kuambukizwa P.I.D. Njia hizo ni pamoja na
✅Kufanya ngono isiyo salama.
✅Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)
✅Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage)
✅Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango.
✅Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya P.I.D.
16/01/2023
*NI NINI P.I.D*
🦠Ni Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu *Pelvic Inflamatory Diseases* au kwa kifupi P.I.D, ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake na madhara yake ni makubwa.
Kwa kawaida maambukizi haya huhusisha *shingo ya uzazi (cervix)*
hali ambayo hujulikana k**a *cervicitis*
*nyama ya mfuko wa uzazi* (endometrium) ambayo kitaalamu huitwa *endometritis*
na *mirija ya uzazi* (fallopian tubes) hali ijulikanayo kitabibu k**a *salpingitis.*
11/01/2023
1:Hedhi zisizokuwa na mpangilio
2:Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya au ambao hauna harufu lakini mwingi mweupe
3:Tumbo kuuma chini ya kitovu
4:Maumivu ya kiuno hasa wakati wa hedhi ambayo husababishwa na kizazi kuharibu husukuma huo Uvimbe....wengi hupata maumivu makali Sana
5:Kutokwa na damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi
6:kukosa hamu ya tendo la ndoa
7:Tumbo kuuma chini ya kitovu
8: Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
✴️UVIMBE UMAPOKUWA MKUBWA HUSABABISHA DALILI ZIFUATAZO.
➡️Miguu kuvimba
➡️Kupungukiwa damu
➡️Haja kubwa kuwa ngumu
➡️Mkojo kubali kwenye kibofu cha mkojo
➡️Kukojoa mara KWA mara kwani Uvimbe ukandamiza kibofu cha mkojo
✴️JINSI FIBROIDS ZINAVYOWEZA KUZUIA KUPATA MTOTO
➡️ Fibroids zikikua Sana zinakandamiza mishipa ya kupitisha mayai kutoka kwenye ovari
➡️Uvimbe pia unazuia yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi... Hasa submucosal fibroids
➡️Pia Huzuia mfuko wa uzazi Kujaza kuaukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai
TUNAZO Dawa za kuyeyusha Uvimbe 100%
Tuwasiline kupitia WhatsApp au piga simu 0628934600
11/01/2023
Utakapopitia magumu rafiki wa kweli ni mtoto wako ndiye atakae lia na wewe, endelea kumuomba Mungu akupe wakufanana na wewe awe na upendo mkubwa kwako na akuheshimu na kukusikiliza... ombea uzao wa tumbo lako, ombea tumbo lako likatoe kilicho imara na bora kukuzidi wewe!! Mungu anasikia maombi yetu.
Offer inaelekea ukingoni jitaidi kuwahi kulipia.
Piga au whatsapp 📞 0628934600
11/01/2023
Kuna wanawake wengine tangu wazaliwe hawajui utamu ukoje, na wengine mwanzo huwa unakuwepo lakini baadaye unapotea...Ni ugonjwa jamani sio mawazo ya marejesho..karibu Kwa
Ushauri na tiba
Piga au whatsapp 📞 0628934600
11/01/2023
Uchafu Wa Aina hii Sio U.T.I
Unakuta mtu kaja INBOX anasema Ninatoka uchafu Mweupe, nina washwa sana nina UTI sugu🤣🤣.
Kutoka Uchafu wa Hivyo yaweza kuwa FUNGUS, Bacterial Vaginosis, PID au mchanganyiko kati ya hayo yote matatu
Kwa kueleza tu Rangi, harufu, hali ya kuwasha Dr anaweza Jua nini shida.
Je unasumbuliwa sana na kutoka uchafu Usioacha?? Umetumia dawa za kudumbukiza na kuchoma sindano lakin shida haiachi???
Njoo Tuzungumze uachane na Miuchafu na maharufu,na k**a Unatoa uchafu k**a Hivi,Uke unakuwa Hauna PH conducive kwa kupitisha mbegu na hivyo basi kupata mimba huwa ni changamoto sana.
06/01/2023
Ni muhimu mnoo…inakusaidia upate mimba kwa haraka lakin pia uwe na mimba yenye afya sanaa.
Inakufanyaa kuwa tofaut na wajawazito wengine
0628934600
03/01/2023
Watu wengi wanaohangaika kutafuta Mtoto kwa muda mrefu wanachangamoto ya infection kali kwenye via Vya Uzazi…jitibu upone kwanza infection la sivyo kushika mimba inakuwa ni changamoto..!
Nipigie nikusaidie haraka kabla Madhara hayajawa makubwa
22/12/2022
UVIMBE MAJI (PCOS)
polycystic ovarian syndrome (Pcos/)
🌱hivi ni vimbe vidogo vidogo kwenye mfuko wa mayai (vimbe maji) havijawa uvimbe kamili vikipimwa huonekana k**a malengelenge vinaweza kuwa vingi vingi vomekusanyana bado lakin havijawa Ovarian cyst tayri ambavyo ni uvimbe kwenye mfuko wa mayai ovaries.
🌱mwanamke mwenye tatizo hili ni anapitia ugumu wa kubeba ujauzito kwa wakati au unaweza kubeba ukaishia kupata miscarriage
🌱Na hivyo vyote source kubwa ya matatizo haya ni mvurugano wa hormones (Hormonal imbalance ) na infection k**a PID,fangasi na U.T.I
Nipigie tuongee Afya nikushauri vizur zaidi ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako
Karibuu
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Longuo
Moshi