Imarika kiafya
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Imarika kiafya, Health/Beauty, soko kuu, Mpanda.
Tunatibu magonjwa mbalimbali kwa kutumia virutubisho lishe vilivyotengenezwa kwa teknolojia ya hali ya juu kutibu chanzo Cha ugonjwa na kuzuia kutokujirudia tena
13/05/2021
*MAMBO MUHIMU KATIKA SUALA ZIMA LA MBEGU ZA KIUME.*
1- UWINGI WA MBEGU ZA KIUME:
Mbegu za kiume katika kila tendo kamilifu moja linalofanywa zinatakiwa zisispungue milioni 200. Kiasi hiki huwezi kukijua kwa macho yako. Lakini ikiwa utatoa shahawa kidogo, kuna
uwezekano wa kuwa na mbegu za kiume chache. Ingawa sio mara zote utoapo shahawa chache basi humaanisha una mbegu chache. Mshindo dhaifu au kufika kileleni kirahisi rahisi ni mojawapo ya dalili ya kwamba mbegu
unazotoa sio nyingi, inaweza kuwa na maji mengi badala ya kuwa na mbegu nyingi.
2- UZITO WA MBEGU ZA KIUME NA UWEZO WA
KUCHELEWA KUYEYUKA
Shahawa/majimaji ya mbegu huwa na mbegu za kiume, na shahawa ni majimaji
yanayobeba mbegu za kiume, kazi ya shahawa ni kusafirisha kwa usalama mbegu za kiume mpaka kulifikia yai. Sasa ikiwa shahawa zitakuwa nyepesi (zinayeyuka haraka) basi maana yake kwa haraka sana baada ya kutoka uumeni shahawa na mbegu za kiume zinatengana, na hivyo kuathiri uwezo wa mbegu kusafiri haraka na kulifikia yai.
Mfano mdogo ni kwamba k**a ukishafanya
kitendo cha ndoa na kisha muda huohuo mbegu za kiume kuanza kuchuruzika kutoka nje ya uke hata k**a mwanamke amelala basi hiyo ni dalili mojawapo ya mbegu kuwa nyepesi na hivyo kuweza kuathiri uwezo wa kutungisha mimba. Kunaweza kuwa na matatizo mengine
ya uko kutoweza kushikilia vizuri mbegu za kiume pia, hiyo nayo inaweza kuwa sababu.
3- UWEZO WA KUOGELEA KWA KWENDA MBELE
Mbegu za kiume zenye afya bora zinakichwa kikubwa kilichochongoka na mkia mrefu unao anza mkubwa kichwani na kuishia mdogo kabisa mkiani, sifa hizi zinazipa mbegu uwezo wa wa kuogelea kwenda mbele katika mstari mnyoofu, ikiwa mbegu ya kiume itasafiri
katika mstari wa zigzig au maumboumbo basi inapoteza uwezo wa kufika haraka kuliwahi yai.
Hii ni kwa sababu zinachoka. Mbegu zinazoenda katika mstari mnyoofu zinawahi kufika kwa kuwa safari inakuwa fupi. Mfano mzuri ukisafiri na ndege toka Mwanza hadi Dar na Mwingine Asafiri na Train na mwingine na Bas utakuta wanafika muda tofauti na pia wanakuwa wamesafiri umbali tofauti kabisa. Ndivyo ilivyo kwa mbegu zinazoogelea kwa
mwendo wa nyoka na zile zinazoogelea kwa kwenda mbele moja kwa moja.
22/04/2021
UJUMBE MUHIMU SANA KWA WAGONJWA WA U.T.I SUGU NA FANGASI UKENI.
K**a wewe ni mgonjwa wa U.T.I sugu na fangasi ukeni ambaye umekuwa ukihangaika kwa muda mrefu sana bila ya kupata utatuzi wa uhakika,Basi naomba utumie dawa Bora ya asili FEMICARE CLEANSER kutokomeza tatizo hilo milele.
Femicare cleanser hufanya kazi K**a ifuatavyo:
**Huondoa harufu mbaya ukeni.
**Huondoa na kukinga utokwaji wa maji machafu ukeni.
**Huondoa na kukinga kupata vipele na na miwasho ukeni.
**Huzuia na kuua bacteria wabaya ukeni wanaosababisha matatizo kwa akina mama K**a ascherichia coli na candida albicans.
**Hufanya uke kuwa msafi na wenye harufu nzuri muda wote.
Femicare cleanser imewasaidia zaidi ya wanawake 280 waliotumia kutibu na kupona kabsa tatizo hilo.
Femicare cleanser inakufanya kuwa huru Zaidi muda wote unapokuwa na Mpenzi wako.
K**a unahitaji femicare cleanser utaipata kwa Ofa ya shilingi elfu 35000,ndani ya mwezi huu mtakatifu wa Ramadhan.Baada ya mwezi huu kuisha itakugharimu shilingi elfu 45000.
Ili usipitwe na OFA hii hakikisha unaweka order yako Sasa hivi kwa kupiga simu:0743845486/0625260705,Pia unaruhusiwa kulipa kidogo kidogo kwa awamu tatu tu.
NB:Ni bidhaa Bora ya asili isiyo na kemikali Wala madhara yoyote kwa mtumiaji.
21/04/2021
JINSI YA KUYAFANYA MENO YA NJANO YAWE MEUPE NA IMARA BILA KUTUMIA DAWA ZENYE KEMIKALI.
Zipo sababu nyingi zinazopelekea meno kubadilika rangi na kuwa ya njano,mfano wa visababishi hivyo Ni:
**Uvutaji wa sigara.
**Kutosafisha meno kwa muda mrefu sana.
Wapo watu wengi waliokata tamaa kwakuwa wametumia gharama kubwa katika kutafuta dawa za kuyafanya meno yao yawe meupe K**a ilivyokuwa awali.
Leo nimeona nitoe ujumbe huu wa kuyafanya meno ya njano kuwa meupe na imara ndani ya siku saba tu kwa kutumia dawa Bora ya asili Dr.Ts Toothpaste.Dawa hii imesaidia watu Zaidi ya 250 naamini hata wewe K**a utaitumia utakusiadia kwa kuyafanya meno yako yawe meupe na imara daima.
Faida za kutumia Dr.Ts Toothpaste K**a zifuatazo:
**Inasafisha na kung'arisha meno.
**Inaondoa harufu mbaya kinywani.
**Inaondoa maumivu ya jino na kuvimba fizi.
**Inaondoa hali ya fizi kutoa damu wakati wa kupiga mswaki.
**Inaimarisha meno na kuzuia meno kuoza.
**Inauwa vijidudu vinavyoshambulia kinywa.
K**a utatumia dawa hii ya asili Dr.Ts Toothpaste itakufanya kuwa huru zaidi muda wote unapozungumza na watu.
Pia nitakupatia ushauri bure wa namna ya kusafisha kinywa chako vizuri.
Wasiliana nami kwa kupiga simu/ WhatsApp: 0743845486/0625260705.
18/04/2021
Piga 0743845486
12/04/2021
06/04/2021
*ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP(DAKTARI WA NGOZI)*
{PRODUCT FROM U.S.A}
*0% chemical*
Ni sabuni ya mitishamba iliyotengenezwa kwa viambata asilia k**a vifuatavyo
*INGREDIENTS (VIAMBATA)*
1.....Wild honey (asali mwitu)
2....Green Tea (mchai çhai)
3.... Grape fruit (mbegu za zabibu)
4.Lisa
*KAZI MUHIMU*
1.Hupambana na mzee na kuondoa makunyanzi
2.Hufanya ngozi kuwa na unyevu unyevu na muinekano nadhifu
3.Huondoa mapunye,chunusi,na mafuta yaliyozidi kwenye ngozi.
4.Inavuta uchafu uliopo ndani ya ngozi,pamoja na uchafu unaosababisha chunusi na mapele.
5..inaomdoa *madoa/makovu* kwenye ngozi
6..Inaondoa seli za ngozi zilizokufa hivyo kufanya ngozi iwe laini na nyororo
7...Inazibua(inafungua) njia za jasho kwenye vinyweleo hivyo kudhibiti tatizo la harufu mbaya ya mwili
8...Inatibu vidonda vya kuungua, jeraha, na vidonda vya kisukari
9..Inaua vijidudu (bacteria) wa kinywa,fangasi,upele na mapunye
10..Inatumika k**a mafuta ya kupaka pia.
11..Inatunza ngozi ya mtoto mdogo
Order: 0743 845 486
:0625 260 705
SHARE KWA WATU MBALI MBALI UWEZE KUWASAIDIA wenye Matatizo
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Soko Kuu
Mpanda