MShauri wa afya
Tunatoa ushauri wa afya & Tiba kwa magonjwa mbali mbali. Piga sim no 0769229559
0684600587
0747586111
18/09/2022
+255747586111 Habari..!
*🌹Haya Ndio Mambo Yanayochangia usishike Ujauzito..*
Leo nitazungumzia dalili kuu sita ambazo ni viashiria vya mwanamke kua mgumba au anaelekea kwenye ugumba(kukosa kupata mtoto).
1. Kupata hedhi inayobadilika badilika.
2. Kuacha Kuona Siku Zako ghafla.
K**a hujafikia menopause(kipindi mwanamke anakoma kupata hedhi yake ya kawaida kutokana na umri),au sio Mjamzito na hutumiii njia ya uzazi wa mpango zinazosababisha kubadilika kwa hedhi na
Ukaona hedhi yako imekata ghafla maana yake ni kwamba haupevushi mayai ambapo itakuwa ngumu sana kwako kubeba ujauzito.
3. Kutokwa na damu nyingi, nzito ma yenye mabonge k**a vipande vya maini.
Hii huashiria tatizo la hormonal imbalance, uvimbe au maambukizi
4. Maumivu wakati wa tendo la ndoa yanayo ambatana na uchafu
5. Kupata Maumivu makali chini ya kitovu
6. Kukosa hamu ya tendo la Ndoa kabisa na kuhisi ukavu ukeni
7. Kupata dalilobzote za ujauzito ihali sio mjamzito
Hizo ni baadhi ya dalili Mbaya kwa mwanamke ambaye anatamani kupata mtoto +255747586111
18/09/2022
+255747586111
15/09/2022
🌹Habari...!
••
▪️PID inasababisha ugumba sawa yaani kadri unavyoumwa zaidi au changamoto uliyonayo inazidi kuwa sugu ndivyo hatari ya kuwa mgumba na kupelekea madhara mengine makubwa zaidi
Unaweza ukawa na makovu kwenye mirija ya uzazi kiasi kwamba yai la mwanamke na mbegu za mwanamme vikashindwa kukutana.
▪️Kupata kansa ya shingo ya kizazi
PID ikiwa sugu inatoa nafasi au inapelekea mtu huyu Kupata Tatizo ya kansa ya shingo ya kizazi ambayo sasa ataondolewa kizazi ama tatizo inaweza kumpelekea kifo kabisa
▪️Mimba kutungwa nje ya mfuko wa uzazi (Ectopic pregnancy)
Mimba kujishikiza mahari pasipo sahihi tofauti na mfuko wa Mimba Ni ishu kubwa au Ni risk ya kiafya na inahitaji uangalizi mkubwa wa kidaktari ili kuzuia uvujaji damu na hatimaye kupelekea kifo kwa mama
▪️ Kupata majeraha/Makovu kwenye mirija ya uzazi
Majeraha kwenye mirija inatoa nafasi kubwa Sana ya Mimba kuharibika au kuporomoka Mara kwa Mara kwasababu mfumo wako uzazi hauko salama
▪️ Mirija ya uzazi kuziba (salpingitis)
*Bila tiba*, Kuna madhara makubwa Sana yanayoweza kutokea endapo utakuwa na tatizo la kuziba kwa mirija ya uzazi kuugua Mara moja salpingitis kunaongeza ugumba kwa mwanamke kwa asilimia 15 na madhara mengineyo makubwa zaidi
*Tambua PID sio kitu Cha kukaa nacho kukivumilia Chukua hatua mapema....* kwa mawasiliano +255747586111
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Mwanza