Tuongee afya ya INI na FIGO
Natoa elimu na ushauri kwa changamoto ya INI na FIGO, pia tunasaidia kuondokana na changamoto hizo
14/11/2022
TIBA NA USHAURI PIGA 0692-100-274
Je! Unajua detoxilive caps inagusa maisha ya kila siku na kila mmoja ...?*
Products hii inawalenga watu hawa 👇
⭕️MTU AMBAYE ANASHIDA YA KUONDOA SUMU MWILINI.
(Hapa kila mtu hataki sumu mwilini mwake)
⭕️MTU MWENYE SHIDA YA INI.
Hapa bora kuondolewa tumbo la chakula utaishi ila sio ini lipate shida
Sasa products hii inafanya kazi vizuri sana
⭕️MTU MWENTE SHIDA YA MAFUTA KUJAA KWENYE MISHIPA YA DAMU. n.k.
Hapa hakuna anayetaka pressure wala sukari
⭕️MWENYE SHIDA YA GOUT
Hapa hakuna anayetaka shida ya uric acid mwilini mwake
Hii products inaondolea mbali kabisaa shida hizi
⭕️MWENYE SHIDA YA KUPUNGUZA KITAMBI
Hii products inasifa hizo za kuchoma mafuta mabaya na kukuacha uko safi
⭕️MTUMIAJI SIGARA NA POMBE KWA UWINGI
Hii huwasaidia watu wenye shida ya ulevi na hupelekea kupata shida za figo na ini
Mlevi sana atumie hii anajisikia vizuri na kupunguza Ulevi wake.
⭕️MTU MWENYE SHIDA YA KUSAHAU NA KUTOPATA USINGIZI MZURI/KWA WAKATI
Hii Husaidia mtu mwenye shida za KUSAHAU kutokana na mzunguko hafifu wa damu chakula kwenye ubongo
⭕️MTU MWENYE SHIDA YA NGOZI
Kutokana na uwezo wake wa kuondoa sumu mwilini basi hukuacha na ngozi nyororo
⭕️KWA WATU WENYE SHIDA YA UZAZI HUFANYA KAZI KUMALIZA TATIZO HUSIKA KWA JINSIA ZOTE.
UNAWEZA FIKA OFISINI KWETU KWA KUPIGA SIMU/Whatsapp 0692-100-274
12/11/2022
UGONJWA WA HOMA YA INI ( HEPATITIS B)
Hepatitis B ni maambukizo ya aitwaye (HBV) kwenye maini.
Kwa watu wengine ugonjwa huu huweza kuchukua zaidi ya miezi 6 (chronic).
huu ukichukua muda mrefu unaweza kuleta madhara ya kufeli kwa , kansa ya ini au hali ambayo itaacha makovu ya kudumu kwenye maini.
Watu wengi wanaougua ugonjwa huu hupona kabisa. Kuna chanjo ya kusaidia kuzuia lakini hakuna tiba pale ambapo tayari utakuwa umeambukizwa virusi wa B , njia mbadala ni kutumia virutubisho lishe vitakavyo kusaidia kuweza kupambana na virus wa .
Habari njema ni kwamba tunalo suluhisho la changamoto yako ..na tunakusaidia uweze kuondokana nayo ndani ya siku 100 tuu..
Na tumeandaa darasa la WhatsApp bure ambapo tutawaelekeza njia sahihi ya kuondokana na changamoto ya Homa ya ini kwa kutumia mchanganyiko wa vyakula mbalimbali ( virutubisho lishe )
Wasiliana nasi 0692-100-274 kwa tiba na ushauri piga / WhatsApp
Tutumie ujumbe tukuunge kwenye group 0692-100-274
🤝Ukishaambukizwa yafaa kuchukua tahadhari za kusaidia kutowaambukiza watu wengine.
Tupo Dar es salaam na mikoani pia..
09/11/2022
STAGES OF LIVER DISEASE
09/11/2022
FANYA VIPIMO KUJUA AFYA YAKO LEO...
05/11/2022
KAZI YA INI MWILINI
1. Ini lina kazi ya uchujaji wa sumu, inachuja sumu kwenye damu ambayo huingia kwa njia ya vyakula, vinywaji (bila kusahau vinywaji vikali), hewa tunayovuta, sigara, pamoja na dawa tunazotumia.
2. Vile vile, hutoa nyongo ambayo kazi yake kubwa ni kusaga mafuta na protini kutoka kwenye chakula tulacho.
3. Pia, ini hukibadilisha chakula na kufanya tupate nguvu mwilini.
Hivyo basi, tunahitaji kulilinda ini ili liweze kufanya kazi yake ya uondaji wa sumu na kusaga mafuta na protini k**a ilivyokusudiwa.
Mara nyingi imeonekana kwa mtu mwenye shida ya ini kuwa akijisikia uchovu mara kwa mara hata k**a hajafanya kazi za kuchosha.
Hii tutokea kwa kuwa ini limezidiwa na haliwezi kufanya kazi yake ya kuhakikisha mwili unapata nguvu.
05/11/2022
FANYA VIPIMO KUJUA AFYA YAKO...
JIEPUSHE NA MAAMBUKIZI MENGINE KUSAMBAA MWILINI..
WAHI TIBA EPUKA MADHARA
05/11/2022
Hepatitis C.
K**a ilivyo kwa A na B, ugonjwa huu husababishwa na aina nyingine ya kirusi aitwaye (HCV).
Ni vigumu kwa kinga za mwili kuuondoa ugonjwa huu, hivyo ugonjwa huu mara nyingi huwa ni wa muda mrefu (chronic).
Watu wengi wanaopatwa na hepatitis C, wanashindwa kuuondoa kwa kinga zao za mwili. Baada ya muda mrefu, ugonjwa huo huharibu kabisa maini na kusababisha yashindwe kabisa kufanya kazi. Kitu kibaya ni kwamba virusi hawa wakiingia mwilini, hakuna dalili zo zote za awali zitakazojitokeza.
Kirusi wa hepatitis C hana uhusiano kabisa na virusi wengine wanaosababisha homa ya ini, k**a # hepatitis_virus_A au .
Uwepo wa virusi wa mwilini huzishtua kinga za mwili zianze kufanya kazi na hivyo uvimbe hutokea. Baada ya mudai, uvimbe huu huweza kujenga makovu ( ). Maini yakisha fikia kuwa na yanaweza kushindwa kufanya kazi zake inavyopaswa hali inayoweza kupelekea madhara makubwa na hata kifo. Na, maini yenye yanaweza kupata kwa urahisi zaidi.
05/11/2022
DALILI ZA ( )
Fanya vipimo Mara kwa Mara kujua afya yako
04/11/2022
JIKINGE NA MATATIZO /MAGONJWA YA FIGO ..
LINDA AFYA YAKO
03/11/2022
Homa kali ya ini ni nini?
ni kuvimba kwa ini. Kitendo cha ini kuvimba ghafla ndio huitwa Homa kali ya Ini.
Sababu zinazofahamika zaidi za ini kuvimba ghafla ni maambukizi ya virusi vya homa ya ini aina A na E na ni katika matukio machache sana vya homa ya Ini B na C.
Aina fulani za dawa za matibabu ambazo zina sumu zinaweza pia kusababisha homa Kali ya ini. Mara nyingi inaweza kupona bila hata madhara makubwa au kuhitaji matibabu lakini katika matukio machache huweza kusababisha kushindwa kufanya kazi na wakati mwingine kifo.
CHUKUA HATUA
03/11/2022
na kazi zake...
Wasiliana naei kwa ushauri na tiba 0692100274
Ni Kiungo Muhimu Sana Ndani Ya Miili Yetu, Hufanya Kazi Zaidi Ya 500 ;
Moja Ya Kazi Ni Kuchuja Na Kuondoa Sumu Kutoka Kwenye Damu.
Kutokana Na Sababu Mbalimbali K**a Iliyopita Kiasi, Kwenye Damu Au ;
Ini Hupata Shida Na Kuvimba Na Kushindwa Kufanya Kazi Vizuri
LINDA INI LAKO KWAAJILI YA YAKO..
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mwanza