Afya,Elimu na Tiba
K**a wewe ni mama unaesumbuka na masuala ya uzazi bila kupata mafanikio,page hii ndio siruhisho lako tupigie kwa 0675564301 kupata huduma zetu,
22/08/2021
UUME KUSINYAA KABLA YA TENDO
________________________________
Kwa sasa kumekua na tatizo kubwa kwa wanaume wengi kushindwa kushiriki tendo wawapo na wake au wapenzi wao,hii inatokana na mfumo wa maisha yetu kwa sasa ambapo kumekua na mambo mengi yanayopelekea tatizo hilo k**a vile
(1)kujichua kwa mda mrefu.
(2)ulaji mbovu
(3) mrundikano wa mafuta kwenye mishipa ya damu
(4)stress za mda mrefu
(5)kutokufanya mazoezi nk.
Sababu chache kati ya nyingi nilizotaja ndio common kwa wanaume wengi ,kinachowaponza wengi katika tatizo hill nikwamba mwanaume hua anatabia ya kutojikubali kua anatatizo au kujitafutia matibabu mpaka atakapoona yamemfika shingoni matokeo yake unakuja kupata wakati mgumu sana katika kurejea hali yake, hii imekua nik**a asilia kwetu wanaume ndiomaana hata katika upimaji maambukizi hua niwabishi sana.
Idadi ya wanaume wengi wamekata tamaa kabisa kutokana na kujaribu kupata huduma bila muongozo uliosahihi ,matokeo yake wanapoteza pesa nyingi sana bila mafanikio lakini pia kuogopa fedheha yakua huenda wanajianika, naomba tufahamu kua nguvu za kiume hazitibiwi k**a ambavo unatibu jeraha nguvu za kiume zinatakiwa kutibiwa chanzo chake kwanza .
Imetokea kasumba yawanaume wengi kukimbilia kuuliza bei za madawa tu nakununua bila kujua dawa hiyo k**a inauwezo wakupambana na chanzo cha tatizo lake au laa ,matokeo yake kumekua na kelele nyingi za watu kuitwa matapeli huku mitandaoni kwa sababu wengi wanaonunua madawa tu kwa kuona imeandikwa niyanguvu za kiume hua hawaponi , narudia tena hua hawaponi,na hapa chanzo ni wagonjwa wenyewe hua hawapendi kutoa maelezo wanapoulizwa ili wapate tiba iliosahihi,matokeo yake huona unapomuuliza maswali yakitaalamu nisawa nakumsanifu kwasababu tayari hua wamepoteza kujiamini, chanzo cha pili niwauzaji wadawa hizo wengi wao wametazama zaidi pesa kuliko kumuelimisha mteja kwanza ,
Nibora uikose pesa ya mteja kuliko kumuhudumia kisha baadae akaja kukuita tapeli huku,mfano mtu anafanya punyeto usipomuelimisha madhara ya ponyeto akaacha kwanza nisawa na bure ata ukimpa dawa maana atatumia huku anaendelea kufanya nyeto kwa sababu hukumuelimisha,au anauzito mkubwa usipomsaidia akapungiza mafuta kwanza dawa zako nibure kabisa , naomba hapa wahanga na wauzaji wa dawa za tatizo hili kuangalia utu nakuthaminiana kwanza ili kila mmoja apate kile anachokisitahili, na wagonjwa mnatakiwa muwe watu wenyekuikubali elimu maana tatizo la nguvu za kiume haliponi k**a malaria linahitaji mda ili kupata mafanikio ya uhakika
NIKIPI CHANZO CHA UUME KUTOKUSIMAMA PINDI MWANAUME ANAPOKUA NA MWENZA LAKINI AKIWA MWENYEWE TU UUME UNASIMAMA BILA TATIZO?
______________________________________
Naomba tutambue kua mwili nik**a mtambo hivyo ili ufanye kazi lazima utegemeane kati ya kifaa kimoja nakingine, hivyo ndivyo ulivyo mwili wa mwanadamu katika utendaji, ili uume usimame vyema unategemea connection iliokamilika ili mishipa midogo midogo ya damu inayozunguka uume ijazwe damu yakutosha ndipo uume usimame vyema.Hivyo basi jambo lolote litakaloweza kuathili mzunguko wa damu katika mwiliwako lazima lipelekee gari yako kuzima kabisa.
Vipo vitu vingi ambavyo vinaweza kupekea uume kushindwa kupokea damu ipasavyo hasa mgonjwa k**a vile kisukari, pamoja na yale yanayosababishwa na msongo wa mawazo,lakini pia matatizo ya kujichua hupelekea mishipa ya uume kufa nakushindwa kupokea damu,pili kujichua hupelekea muhusika kuathilika kisaikolojia maana akiri yake hua tegemezi kiasi kwamba hawezi kufanya tendo bila meditation ambayo amezowea kufanya mfano kutazama picha chafu,au video za ngono ,hivyo vyote hupelekea apoteze uwezo wa kushiriki akiwa kawaida maana mwili mifumo yake inayohusika na utoaji taarifa ili mwili upokee umeme ambao utaruhusu ubongo ushushe damu ya kutosha kwenye uume ili usimame vyema hua inakua haina uwezo wakufanya kazi tena.hivyo endapo unatatizo hili hakikisha unatambua chanzo cha mzunguko wako wa damu kua mbovu nakulitatu ndipo utibiwe
Ikumbukwe kua sio kila mwanaume anahitaji kutibiwa kwa madawa kunawatu wanahitaji mazoezi tu na wakapona ,lakini pia kunawengine wanahitaji matibabu ya kisaikolojia tu nawakapona kabisa.
Hivyo basi kabla ya dawa yoyote kutumika katika tatizo lako hakikisha umejilidhisha kua tatizo lako linahitaji dawa .na k**a hujajitambua waone wataalamu wakusaidie
Mwisho ulaji nijambo lakuzingatia sana kwa mwanaume kwani endapo ulaji utakua haufuati utaratibu utakua unajaza sana sukari na mafuta kwenye mishipa ya damu kitu ambacho nihatari sana kwenye mfumo wa uzazi wa mwanaume ,pia mazoezi nimuhimu sana kwani husaidia mwili kuyeyusha mafuta mwilini nakusaidia mzunguko wa damu,nakuimalisha misuri.
Huenda ukawa nimuhanga ambae unahitaji kujinasua katika majanga haya usisite wala kuogopa karibu tuzungumze 0623266967 ntakupatia suruhisho.
21/08/2021
HUDUMA YA MACHO IMEREJEA TENA ,JE UMEPIMA NAKUTAMBUA TATIZO LAKO ? KARIBU SASA UPATE MATIBABU KWA KUTUMIA MASHINE ZETU ZENYE UFANISI MKUBWA KATIKA TIBA YA MACHO .
_______________________________
Endapo umekua ukihangaika na changamoto za macho kwa mda mrefu usihangaike kufanya operation suruhisho lipo , piga 0675564301, 0623266967, kupata huduma popote ulipo, au fika ofisini ubungo plaza
Kumbuka matibabu yetu ni kwa mfumo mzuri wa kisasa kabisa ambapo wagonjwa wetu wanaweza kupata matibabu popote walipo .
20/07/2021
UMETESEKA NA MATATIZO YA MACHO KWA MDA MREFU BILA KUPATA SURUHISHO? 0675564301
_________________________________
K**a wewe nimhanga wa matatizo ya macho karibu nikuhudumie na kukupatia suruhisho la ugonjwa wako, niandikie apo chini au njoo inbox ,pia waweza nipigia kwa 0675564301.
Matibabu yanapatikana kwa Uhakika kwa kutumia machine za kutibu macho na dawa pia endapo mgonjwa atakua na upungufu wa madini yanayomfanya asione ,usiteseke tena nipigie nikuhudumie/ whatsapp 0675564301 /fika ofisini ubungo plaza kwa huduma zaidi
Moja yamatatizo tunayoshughulika nayo nipamoja na (1) mtoto wa jicho
(2)kutokuona mbali/karibu
(2)kutokuona wakati wa usiku tu
(3)Tatizo lakuona giza kwa watumiaji wa vifaa vya electronic, mfano computer, na cm
(4)macho kutoa machozi.
(5)maumivu makali ya macho.
(6)kukosa uwezo wa kuona kwa watu wenye umri mkubwa(wazee).Nk.
06/07/2021
HAUPATI SIKU ZAKO AU ZIMEVURUGIKA MALA BAADA YA KUTUMIA UZAZI WA MPANGO ? USIOGOPE LIPO SURUHISHO KUPITIA KITUO CHETU,TUPO DAR_UBUNGO PLAZA AU PIGA 0623266967,0675564301 KWA MAELEZO NA USHAULI BURE KABISA.
______________________________
Angalizo usiweke number kwenyecoment kuepuka usumbufu, soma uelewe kabla haujauliza swali, na mwisho mgonjwa anaehitaji ufafanuzi usiandike comments,au sms ya kawaida piga cm uulize maswali ya moja kwa moja utajibiwa, karibu tukuhudumie.
29/05/2021
JINSI YA KUTATUA TATIZO LA UGUMBA NDANI YA SIKU 35 TU.
______________________________________
K**a wewe ni mwanamke uliehangaika na tatizo la kutokushika mimba kwa kipindi kirefu bila ya kuona mafanikio basi ninahabari njema kwako.nimekuandalia darasa bure kabisa kwa siku7 La jinsi yakutatua tatizo hill ndani ya siku 35 tu
Kujiunga na darasa unatakiwa kutuma ujumbe wako whatsapp moja kwa moja kwa 0675564301 , Wasio na whatsapp unatakiwa kupiga moja kwa moja number hiyo usitume sms.wala usiandike number zako kwenyecomment sitohusika na usumbufu utakaojitokeza endapo utafanya ivo.
Ndani ya darasa tutajifunza mambo mbali mbali pia k**a vile.
(1)Jinsi ya kutatua matatizo ya hormone.
(2)Jinsi ya kutatua matatizo ya period
(3) Madhara yakukosa siku za mwezi sababu ya uzazi wa mpango.
(4,) Jinsi ya kutibu kabisa maambukizi ya p.i.d,u.t.i, fungus nk.
(5) Jinsi yakuzibua mirija na kutibu vivimbe bila kufanyiwa upasuaji.
(6)Chanzo na njia ya kuzuia kuzuia kuingia period bila ukomo.
Wahi kabla ya group kujaa..
Ni Mimi mwenyekujali mafanikio yako
Benny .J___0675564301
___________________________
16/05/2021
JINSI YA KUTIBU MATATIZO YA PERIOD KWA KUTUMIA FORMULA YA (D.U.C)
____________________________
K**a wewe nimwanamke unaesumbuliwa na matatizo mbali mbali ya hedhi na umehangaika kutafuta suruhu bila mafanikio ninahabari njema kwako.
Nimekuandalia darasa la Siku 2 bure kwa njia ya Whatsapp kupitia 0675564301 ambapo ntazungumzia matatizo mbalimbali ya period k**a vile .
(1)kupata damu ya hedhi bila ukomo
(2)kuvurugika kwa mpangilio wa hedhi
(3)Maumivu makali wakati wa hedhi
(4)kutokwa harufu mbaya ukeni na miwasho.
(5)kukosa hedhi kabisa.
Mwisho ntatoa suruhisho jinsi yakujikinga pamoja na matibabu yake kwa kutumia formula yetu.
Jinsi yakujiunga tuma neno mama kwenda whatsapp number 0675564301, au gusa kitufe cha message apo chini na uniandikie tatizo lako moja kwa moja endapl utakua huna whatsapp,/piga cm moja kwa moja 0623266967.
09/05/2021
TIBA YA MATATIZO YA UZAZI ,PAMOJA NA MAAMBUKIZI KWA KINAMAMA NDANI YA MDA MFUPI 0675564301
________________________________________
K**a we nimwanamke unaehangaika kukabiliana changamoto mbalimbali za uzazi na umekosa suruhisho karibu tukupatie habari njema kuhusu tatizo lako ,tumebobea katika tiba za uzazi kwa kinamama nahatujawahi kushindwa , piga 0675564301 kupata ushauli bure juu ya tatizo lako .Pia tunadawa za uzazi na maambukizi mbali mbali kwa kinamama na zenyematokeo yauhakika kwa matatizo k**a vile
(1)Kushindwa kushika mimba .
(2)Maumivu wakati wa hedhi.
(3)maambukizi k**a vile p.i.d, u.t.i, fungus
(4) Vivimbe kwenye kizazi.
(5)Kuziba kwa mirija ya uzazi
(6)kurekebisha hormone
(7)kusafisha kizazi na kuondoa harufu mbaya ukeni.
Tupo dar ubungo plaza, na mikoani pia huduma zinafika kwa wagonjwa waliotayari kupata huduma zetu
Piga cm au whatsapp 0675564301
27/04/2021
NAWASAIDIA MADEREVA WA MAGARI WANAOENDESHA KWA MDA MREFU KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ZAO KIAFYA .
______________________________________
K**a wewe ni dereva wa magari ya masafa marefu na unakabiliwa na changamoto mbali mbali kiafya kutokana na kukaa kwa mda mrefu bila mafanikio ninahabari njema kwako.
Nimeandaa darasa maalumu bure kupitia whatsapp kwaaajiri yakuwasaidia kutatua changamoto hizo kwa kutumia mikanda maalumu yakimatibabu itakayo msaidia dereva kua salama zaidi hata akiwa safarini, hii itamsaidia kuepukana matumizi yadawa zakupunguza maumivu na kuongeza nguvu ambazo nihatari zaidi kwa afya yake.kujiunga bonyeza kitufe cha whatsapp apo chini kwenye picha kisha andika neno dereva ntakuunga darasani bure kabisa.
Matatizo machache kati ya mengi ambayo tutazungumzia nipamoja na
(1)Maumivu ya kiuno na uti wa mgongo
(2)miguu kuvimba na kuwaka moto
(3)matatizo ya ganzi mwilini
(4)pressure ya kupanda
(5)stress ambayo hupelekea maumivu ya kichwa na uchovu wa macho
(6)kupata kisukari kiurahisi
(7)kupungua kwa uwezo wa mwanaume kindoa hali ambayo husababishwa na kufa kwa misuri (pelvic muscles) kutokana na kukaa kwa mda mrefu.
(8)kupata kitambi ambacho sio rahisi kukiondoa.
Jiunge mapema kabla ya group kujaa,
Ni Mimi mwenyekujali mafanikio yako
Benny .J__0623266967
26/04/2021
JINSI YA KUTIBU MATATIZO YA VIUNGO (JOINTS) BILA MAUMIVU NDANI YA MDA MFUPI ,0623266967,whatsapp__0675564301
______________________________________
K**a wewe nimoja ya watu ambao wamehangaika na changamoto za viungo kwa kwa kipindi kirefu bila kupata mafanikio yoyote basi ninahabari njema kwako.
Nimekuandalia darasa whatsapp kwa siku2 bure ambapo nitafundisha namna yakutibu kabisa changamoto hii kwa kutumia mikanda tiba, kujiunga na darasa fungua link kwenye picha apo chini kisha andika neno joint ntakuunga moja kwa moja pia waweza kuja whatsapp kwa 0675564301 ,au kwa kupiga 0623266967.
Wahi kabla ya nafasi kujaa,pia naomba namba zisiandikwe kwenye comments kuepusha usumbufu kwa number yako isipokua k**a unaugonjwa wowote unaokusumbua uliza apo chini ntakujibu.
Ni Mimi mwenyekujali mafanikio yako
Benny J.0623266967
__________________________
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Libelt
Mwanza