Afya Na Maisha
Huduma Hii Ya Afya Na Maisha Ipo Masaa 24/7. Pia Tunatoa Ushauri wa Afya Kwa Mtu Mwenye Changamoto
20/05/2024
Ukavu wa Uke ni nini?
๐๐๐๐๐๐๐
๐ Ukavu wa uke ni dalili ya kawaida kwa wanawake wanaomaliza hedhi na labda kwa miaka mingi baadaye. Hata hivyo, ukame wa uke unaweza kutokea kwa umri wowote kwa sababu kadhaa. Ukavu wa uke ni matokeo ya viwango vya chini vya estrojeni.
๐Estrojeni ni homoni ya k**e ambayo huweka utando wa uke lubricated, nene, na elastic.Ukosefu wa unyevu ukeni huenda usiwe tatizo kwa baadhi, lakini unaweza kuathiri sana maisha ya ngono ya mwanamke kwa kusababisha maumivu na usumbufu wakati wa kujamiiana. Kwa bahati nzuri, kuna matibabu kadhaa tofauti yanayopatikana ili kupunguza dalili za ukavu wa uke.
Sababu
1: Sababu kuu ya kukauka kwa uke ni viwango vya chini vya estrojeni. Wanawake huanza kutoa estrojeni kidogo kadri wanavyokua. Hii husababisha mwisho wa hedhi wakati wa kipindi kinachoitwa perimenopause.
2:Hata hivyo, kukoma hedhi sio hali pekee inayosababisha kupungua kwa uzalishaji wa estrojeni. Sababu zingine ni pamoja na:
i) Kunyonyesha
ii)Uvutaji sigara
iii) Unyogovu
iv) Dhiki nyingi
V) Matatizo ya mfumo wa kinga, k**a vile ugonjwa wa Sjoฬgren
Vi) Utoaji mimba
Vii) Zoezi kali
Nini Madhara ya Ukavu Ukeni?
Kukauka kwa uke wako kunaweza kusababisha madhara k**a
โข kuhisi hali ya kuungua ndani ya uke
โข kukosa hamu ya tendo la ndoa
โข maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
โข kutokwa damu baada ya tendo kutokana na msuguano
โข Kuugua UTI kurahisi na kuwa
sugu
โข muwasho ukeni na
โข kuvimba kuta za uke.
Nawezaje Kuzuia Tatizo Hili
Kujitokeza Mara Kwa Mara
โข kunywa maji ya kutosha kila siku
โข usitumie sabuni wa marashi ukeni
โข ongea na mwenzi wako kuhusu tatizo ili akuvumilie wakati unatafuta tiba.
โข
WASILIANA NASI โ๏ธ 0659214411
20/05/2024
HII NI KIBOKO YA KINGA YA MWILI
๐(REFINED YUNZHI ESSENCE)
ZIJUE FAIDA ZAKE
1๏ธโฃ Huongeza Kinga ya Mwili,huwafaa zaidi watu wenye kinga ya chini ya Mwili
2๏ธโฃ Husawaidia sana Wanawake wenye uvimbe kwenye kizazi
3๏ธโฃ Husaidia Sana wagonjwa Wa Kansa wanaotumia Tiba ya miozi ya Chemotherapy kwani hupunguza athari za Mionzi na dawa za saratani kwa muhusika anayetumia 4๏ธโฃ Huimarisha Mwili kujikinga na vimelea vya saratani
5๏ธโฃ Hutatua Tatizo la PID na hormone Imbalance kwa wanawake
โญDALILI ZA HORMONE IMBALANCE KWA WANAWAKE
1. kukosa Hedhi Kabisa
2. Kutoka Hedhi zaidi ya siku 7 na chini ya siku 3
3. Kupata Hedhi mara mbili kwa Mwezi 4.
kutoka Hedhi nyingi sana au Mabonge ya Damu
5. Kutumia chini ya kitovu au kupata Hedhi inayouma sana
20/05/2024
DETOXILIVE ni Bidhaa BORA na ya ASILI iliyotokana na mchanganyiko wa MIMEA na MATUNDA mbali mbali ambavyo vimekua vikitumika kutibu Maradhi SUGU katika nchi mbalimbali Duniani
***Bidhaa HII ni Muhimu sana Kwa kila BINADAMU kutokana na kazi zake MEILINI na KATIKA organs K**a vile FIGO,INI ,MAPAFU,KONGOSHO,Ubongo
1) Inatoa sumu zote mwilini.
2) Inaimarisha ubongo na kutunza kumbukumbu
3) Inaondoa madhara ya pombe kwa wanywaji na kulinda INI na FIGO
4) Inaondoa mafuta yaliyozidi mwilin, baada ya kula hutumiwa Kuzuia kuota vitambi,
5) Inaondoa sukari iliyozid mwilin Na ni nzuri kwa wenye shinikizo la damu (presha)
6) Inaleta usingizi Mzuri sana
7)Ina ondoa URIC ACID mwilini
8)Inaimarisha UTENDAJI KAZI MZURI na kuzuia madhara kwenye FIGO,INI,KONGOSHO,mapafu
9) Inazuia na kuondosha tatizo la MAWE KWENYE FIGO na KIBOFU cha mkojo
10) Inazuia kuganda Kwa mafuta Tumboni ambayo hupelekea Kitambi
11) NZURI Kwa wenye HOMA YA INI (hepatitis), pia husaidi kukukinga usipatwe na tatizo hilo.
KWA USHAURI NA MATIBABU WASILIANA NASI โ๏ธ 0659214411
20/05/2024
Jinsi Ya Kuhesabu Siku Za Hatari Za Kushika Mimba
Naomba ieleweke kwamba wanawake wametofautiana kwa asilimia kubwa sana katika mzunguko wao wa hedhi(bleed), hivyo kwa utangulizi tu kuwa makini na jinsi unavyoanza hedhi ili iweze kukusaidia katika kuhesabu kwako siku za hatari. Na si kulinganisha siku ambayo labda ulianza sawa na rafiki yako.
Siku 1-16 ni mzunguko wa hedhi usiokuwa wa kawaida
Siku 2-18 ni mzunguko wa heshi usiokuwa wa kawaida
Siku 3-21 ni mzunguko wa hedhi usiokuwa wa kawaida
Siku 4-28 ni mzungunguko wa siku ambazo ni za kawaida
Siku 5-30 ni mzunguko wa siku ambazo ni za kawaida
Siku 6-32 ni mzunguko wa siku ambazo ni za kawaida
Siku 7-33 , 35, 40 au zaidi hizi sio siku za kawaida.
20/05/2024
๐๐ ๐ช๐๐๐จ๐ ๐ก๐๐ก๐ ๐๐จ๐๐จ๐ฆ๐จ ๐๐๐ ๐ฃ๐จ๐ก๐ ๐ฌ๐ ๐๐ ๐ฆ๐จ๐ ๐?
๐ป๐๐๐๐๐๐ ๐พ๐ค๐ ๐๐ข๐โ๐ข๐๐ข๐ ๐ข๐๐๐ข๐ง๐ ๐ค๐ ๐๐ข๐๐๐๐ข๐๐ง๐ ๐๐๐๐๐๐๐ โ๐ข๐ก๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐ข๐๐๐ฃ๐ฆ๐.
๐๐ง๐๐๐ฅ๐๐ ๐ค๐ฎ๐ฌ๐จ๐ฆ๐: ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐
๐๐๐๐
Maana ya ๐๐
๐๐ฎ๐ฆ๐ ๐ง๐ข: #๐ - ๐๐ซ๐ข๐ ๐ก๐ญ, #๐
- ๐
๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ซ๐, #๐ - ๐๐ฎ๐ฉ๐๐ซ๐ข๐จ๐ซ, #๐ - ๐๐ง๐ข๐ช๐ฎ๐, #๐ - ๐ฆ๐๐ง๐ฎ๐๐๐๐ญ๐ฎ๐ซ๐๐ซ ๐จ๐ #๐ - ๐๐ฆ๐๐ซ๐ข๐๐.
๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐
๐๐๐
๐๐ง๐๐ฆ๐จ ๐ฆ๐ฐ๐๐ค๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐ฌ๐ฎ๐ฆ๐ walianzia Hongkong {China} {k**a kampuni ya kuzalisha madawa} k**a kampuni ya kuzalisha madawa ya mifupa na viungo {bones & Joints}
๐๐ง๐๐ฆ๐จ ๐ฆ๐ฐ๐๐ค๐ ๐๐๐๐ - kampuni ilipanuka na kujifungua Marekani katika Jiji LA Gharama kuishi Los Angeles na kuweka kiwanda cha Kuzalisha Virutubisho Lishe {Food Supplement}
๐๐ง๐๐ฆ๐จ ๐ฆ๐ฐ๐๐ค๐ ๐๐๐๐: kampuni ilipewa Vibali na Vyeti Vya kutambua Ubora wao k**a :- G.M.P {Good Manufacturing Practice} na FDA {Food and Drugs Adminstration} na hapo baadae kampuni tena Ikaendelea Pata Vibali k**a G.L.P {Good Laboratory Practise } na Halal:- kibali cha utambuliz kwa jamii ya kiislamu na imani kuwa halali kwa matumiz.
#๐๐๐๐ - Kwa mara ya kwanza waliweza kufungua tawi lao ๐๐๐ซ๐ข๐ค๐ ๐ฒ๐ ๐๐๐ ๐ก๐๐ซ๐ข๐๐ข katika nchi ya Benin.
#๐๐๐๐ - Kampuni ilisogea hadi Afrika Mashariki nchi jirani ya Kenya
#๐๐๐๐ - Waliingia ๐๐๐ง๐ณ๐๐ง๐ข๐ na kusajiliwa kisheria na kufanikiwa kupata kibali cha ๐๐
๐๐, ๐ฆ๐๐ค๐๐จ ๐ฆ๐๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ฒ๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐ฒ๐๐ค๐จ ๐๐๐ซ ๐๐ฌ ๐๐๐ฅ๐๐๐ฆ ๐๐ง๐๐จ ๐ฅ๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ambapo walinunua jengo LA ghorofa.
#๐๐๐๐ - Waliweza kuingia ๐๐ ๐๐ง๐๐, ๐๐ข๐ ๐๐ซ๐ข๐, ๐๐๐ฆ๐๐ข๐ na wanaendelea kupanua masoko yao katika nchi zingine za Africa.
Mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka 2018 BFSUMA Africa, walikuwa na wanachama au wasambazaji wasio pungua 100,000 na sasa ni zaidi.
๐ก๐: ๐๐ณ ๐ฆ๐๐บ๐ฎ ๐ป๐ฑ๐ถ๐ผ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ๐ผ๐ผ๐ป๐ด๐ผ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ ๐๐๐ฎ๐ณ๐ถ๐๐ถ, ๐บ๐ฎ๐ฎ๐ฏ๐ฎ๐ฟ๐ฎ, ๐ธ๐๐๐ฎ๐น๐ถ๐๐ต๐ถ๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐ธ๐๐๐ฎ๐บ๐ฏ๐ฎ๐๐ฎ ๐ฏ๐ถ๐ฑ๐ต๐ฎ๐ฎ ๐ฎ๐๐ถ๐น๐ถ ๐๐ฎ ๐๐ต๐ฎ๐บ๐ฎ๐ป๐ถ ๐ป๐ฎ ๐๐ถ๐๐ฎ๐ป๐ด๐ผ ๐๐๐ฎ ๐ธ๐ถ๐บ๐ฎ๐๐ฎ๐ถ๐ณ๐ฎ ๐ท๐๐ ๐ป๐ฎ ๐บ๐ฎ๐๐๐บ๐ถ๐๐ถ ๐๐ฎ ๐๐ฒ๐ธ๐ป๐ผ๐น๐ผ๐ท๐ถ๐ฎ ๐ฑ ๐ฏ๐ผ๐ฟ๐ฎ ๐๐ฎ ๐ธ๐ถ๐๐ฎ๐๐ฎ ๐๐ถ๐๐ถ๐๐ผ๐ต๐๐๐ถ๐๐ต๐ฎ ๐ธ๐ฒ๐บ๐ถ๐ธ๐ฎ๐น๐ถ ๐๐ฒ๐๐ผ๐๐ฒ ๐ถ๐น๐ฒ.
Piga 0659214411 kwa Maelezo zaiidi
17/05/2024
16/05/2024
MWANAMKE AFYA PACKAGE
Hii Ni tiba Mahususi Katika Mfumo wa Afya ya Mwanamke
Haswa! Kwa Wenye Changamoto Ya U.T.I na U.T.I Sugu Wenye P I D ,Hormonal Imbalance, Tiba Hii pia Huondoa Mchirizi Na Makunyanzi Kwa Mwanamke
Unaweza Kuchukua Full Package Au Unaweza Chukua Package yenye Kutubu U T I tu! Au P I D Tu!
Piga Simu Hii kupata Msaada Na Ushauri zaiidi +255 659 214 411 Whatsapp 0659214411
MWANAUME KAMILI kumbuka kutumia virutubisho vinavyoboresha sifa ya kuitwa mwanaume kamili
HII PACKAGE INAMALIZA CHANGAMOTO ZIFUATAZO
-MWANAUME KUA NA UWEZO KURUDIA TENDO VIZURI
-KUONGEZA IDADI YA MBEGU
-KUSIMAMISHA UUME VIZURI
-KUBORESHA MZUNGUKO WA DAMU
-KUIMALISHA MISULI
-KUPATA HAMU YAKUFANYA TENDO
-KUTOFIKA MAPEMA KILELENI
KWA WANAWAKE
-KUKUPATIA UTE UTE WAKUTOSHA NA KUWA NA UTELEZI MWINGI
-KUKUPATIA HAMU YA TENDO
-KUBALANCE HORMONE KWENYE MWILI
-KUONDOA MAUMIVU WAKATI WA TENDO
NB: KUMBUKA HIZI SIO DAWA NI VIRUTUBISHO
Call 0659214411
MWANAMKE PACKAGE
Package Pekee Ambayo ina Virutubisho Vya Aina nne Mahususi Kwa Afya Ya Mwanamke
GHARAMA ZA PACKAGE NI 356000/=
PACKAGE HII INA TIBU
- U.T.I Na Fangasi
-P.I.D
-Homornal Imbalance
Huondoa
-Mchirizi, Makunyanzi na Vipele
-Harufu Mbaya Ukeni
-Miwasho na vidonda Sehemu za siri
-Uvimbe kwenye kizazi
-Maumivu ya kiuno na Mgongo
Husaidia
-Wasio pata hedhi au hedhi kupitiliza na wanao pata hedhi bila mpangilio
-Husaidia Kwa Wasiopata Ujauzito
-Husaidia Afya ya viungo na mifupa
-kupunguza kasi ya Uzee
-Kuleta Hamu ya tendo la ndoa
WASILIANA NASI
0755 422 638 Au 0659 214 411
WhatsApp https://wa.me/message/5IX2QJWVBGCOE1
NJIA YA KUPONA BAWASIRI BILA KUFANYIWA UPASUAJI NI MOJA TU!, YAANI WASILIANA NA NASI LEO KWANI SULUHISHO NI UKWELI NA UHAKIKA!
HAKUNA BAWASIRI INAYOTUSHINDA NA HATA IKIWA KUBWA SANA LAZIMA UTAPEWA USHAURI MZURI WA KITAALAMU WA NAMNA YA KUFANYA ILI KUONDOKANA NA CHANGAMOTO YAKO KABISA KWA NJIA SAFI NA SALAMA(Refferal).
โ๏ธWENGI WANAENDELEA KUFURAHIA HUDUMA HII LAKINI HATA WEWE BADO HAUJACHELEWA KABISA.
โ
ILI KUPATA SULUHISHO HILI LA BAWASIRI YAKO, FANYA HIVI๐
NIPIGIE ๐๐
PIGA: 0659214411 Au 0786372002
au
WHATSAPP: 0659214411
CHANZO CHA BAWASIRI
โ Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
โ Tatizo sugu la kuharisha
โ Ujauzito
โ Uzito wa mwili kupita kiasi
โ Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
โ Kupata haja kubwa ngumu
โ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
โ Kunywa pombe
โ Kula sana nyama nyekundu
โ Vidonda vya tumbo
โ Ngiri(Chango/Hernia
โ Kula sana pilipili
โ Kunyanyua vitu vizito
DALILI ZA BAWASIRI
โ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
โ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
โ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
โ Kupata kinyesi chenye damu
โ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
โ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
โ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
โ Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
โ Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)
MADHARA YA BAWASIRI
โ Upungufu wa damu mwilini
โKutokwa na kinyesi bila kujitambua
โ Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
โ Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
โ Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
โ Kupata tatizo la kisaikolojia
โ Kutopata ujauzito
โ Mimba kuharibika
KINGA YA BAWASIRI
Bawasiri ni ugonjwa unaoweza kujiepusha nao usiupate au usijirudie baada ya kupata tiba baadhi ya kinga hizo ni;
~kubadili mtindo wa maisha epuka vyakula vyenye sukari au wanga kwa wingi, k**a tulivyo zoea ugali au ubwabwa mwingi kuliko mboga za majani, vyakula vya kusindikwa na soda vyakula hivi nichanzo cha uzito kupitakiasi na hivyo kutudhuru kiafya
~kunywa majimengi ya kutosha
~tumia vyakula vya asili zaidi kula matunda na mboga za majani
~pendelea kufanya mazoezi ya mwili
TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}
Costrelax /novel ni tiba asili ambayo itakuondolea tatizo mojakwamoja pasipo kwenda kufanyiwa upasuaji au kukata kinyama kinachotokeza nje (bawasiri). Doze yake, Na gharama yake inatengemea Na ukubwa wa tatizo, kwa msaada zaidi Zungumza nasi kwa whatsapp link kwenye bio
-
โค๏ธโค๏ธ UBARIKIWE UZAZI WA K**E NA WAKIUME๐คฑ๐ฅฐ
Huu mwaka ni zamu yako! Amka, usikate tamaa!๐๐พ๐๐พ
Mwanamke ni mama, baraka hii ikakutembelee mpendwa wangu!๐๐พ๐๐พ
๐ฉ๐ฌ๐๐ก๐ญ๐ข ๐ฉ๐ฌ๐ ๐ ๐ช๐๐ก๐๐ ๐๐ ๐๐จ๐ฆ๐๐๐ก๐๐ช๐ ๐๐จ๐ฃ๐๐ง๐ ๐จ๐๐๐จ๐ญ๐๐ง๐ข:
Tafiti zilizotolewa na shirika la afya duniani linasema katika kila familia sita, familia moja inakutana na tatizo la ugumba au utasa, Baadhi ya sababu zinazosababisha ugumba ama utasa kwa wanawake ni:
๐๐พKushindwa kupevusha yai(40% ya wanawake)
๐๐พMaambukizi sugu k**a PID
๐๐พMvurugiko wa homoni
๐๐พUvimbe/majimaji/kuziba katika mirija ya kupitisha mayai
๐๐พMayai kudhoofika kabla ya umri(POI)
๐๐พMagonjwa au vimbe mf fibroids, cancer, kisukari,
๐๐พMatatizo katika tezi za shingo(hyperthyroidism)
๐๐พMakovu katika mji wa uzazi labda kutokana na utoaji mimba katika njia zisizosalama
๐๐พKulegea au kuziba kwa shingo ya uzazi
๐๐พUzito kupita kiasi
๐๐พUnywaji pombe au uvutaji wa sigara
๐๐พMagonjwa sugu katika mfumo wa upumuaji ambayo huathiri ubora wa mayai, mzunguko wa damu
Je, una tatizo gani? Tuambie, tunaweza kuwa sehemu ya suluhisho kwako!๐๐พ๐๐พ
KWA TIBA NA USHAURI WASILIANA NA MTAALAMU WETU WA AFYA
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Mwanza
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |