Afya Na Maisha

Afya Na Maisha

Share

Huduma Hii Ya Afya Na Maisha Ipo Masaa 24/7. Pia Tunatoa Ushauri wa Afya Kwa Mtu Mwenye Changamoto

20/05/2024

Ukavu wa Uke ni nini?
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

๐Ÿ‘‰ Ukavu wa uke ni dalili ya kawaida kwa wanawake wanaomaliza hedhi na labda kwa miaka mingi baadaye. Hata hivyo, ukame wa uke unaweza kutokea kwa umri wowote kwa sababu kadhaa. Ukavu wa uke ni matokeo ya viwango vya chini vya estrojeni.
๐Ÿ‘‰Estrojeni ni homoni ya k**e ambayo huweka utando wa uke lubricated, nene, na elastic.Ukosefu wa unyevu ukeni huenda usiwe tatizo kwa baadhi, lakini unaweza kuathiri sana maisha ya ngono ya mwanamke kwa kusababisha maumivu na usumbufu wakati wa kujamiiana. Kwa bahati nzuri, kuna matibabu kadhaa tofauti yanayopatikana ili kupunguza dalili za ukavu wa uke.
Sababu

1: Sababu kuu ya kukauka kwa uke ni viwango vya chini vya estrojeni. Wanawake huanza kutoa estrojeni kidogo kadri wanavyokua. Hii husababisha mwisho wa hedhi wakati wa kipindi kinachoitwa perimenopause.

2:Hata hivyo, kukoma hedhi sio hali pekee inayosababisha kupungua kwa uzalishaji wa estrojeni. Sababu zingine ni pamoja na:
i) Kunyonyesha
ii)Uvutaji sigara
iii) Unyogovu
iv) Dhiki nyingi
V) Matatizo ya mfumo wa kinga, k**a vile ugonjwa wa Sjoฬˆgren
Vi) Utoaji mimba
Vii) Zoezi kali

Nini Madhara ya Ukavu Ukeni?
Kukauka kwa uke wako kunaweza kusababisha madhara k**a
โ€ข kuhisi hali ya kuungua ndani ya uke
โ€ข kukosa hamu ya tendo la ndoa
โ€ข maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
โ€ข kutokwa damu baada ya tendo kutokana na msuguano
โ€ข Kuugua UTI kurahisi na kuwa
sugu
โ€ข muwasho ukeni na
โ€ข kuvimba kuta za uke.
Nawezaje Kuzuia Tatizo Hili
Kujitokeza Mara Kwa Mara
โ€ข kunywa maji ya kutosha kila siku
โ€ข usitumie sabuni wa marashi ukeni
โ€ข ongea na mwenzi wako kuhusu tatizo ili akuvumilie wakati unatafuta tiba.

โ€ข
WASILIANA NASI โ˜Ž๏ธ 0659214411

20/05/2024

HII NI KIBOKO YA KINGA YA MWILI

๐Ÿ„(REFINED YUNZHI ESSENCE)

ZIJUE FAIDA ZAKE
1๏ธโƒฃ Huongeza Kinga ya Mwili,huwafaa zaidi watu wenye kinga ya chini ya Mwili
2๏ธโƒฃ Husawaidia sana Wanawake wenye uvimbe kwenye kizazi
3๏ธโƒฃ Husaidia Sana wagonjwa Wa Kansa wanaotumia Tiba ya miozi ya Chemotherapy kwani hupunguza athari za Mionzi na dawa za saratani kwa muhusika anayetumia 4๏ธโƒฃ Huimarisha Mwili kujikinga na vimelea vya saratani
5๏ธโƒฃ Hutatua Tatizo la PID na hormone Imbalance kwa wanawake

โญ•DALILI ZA HORMONE IMBALANCE KWA WANAWAKE
1. kukosa Hedhi Kabisa
2. Kutoka Hedhi zaidi ya siku 7 na chini ya siku 3
3. Kupata Hedhi mara mbili kwa Mwezi 4.
kutoka Hedhi nyingi sana au Mabonge ya Damu
5. Kutumia chini ya kitovu au kupata Hedhi inayouma sana

20/05/2024

DETOXILIVE ni Bidhaa BORA na ya ASILI iliyotokana na mchanganyiko wa MIMEA na MATUNDA mbali mbali ambavyo vimekua vikitumika kutibu Maradhi SUGU katika nchi mbalimbali Duniani

***Bidhaa HII ni Muhimu sana Kwa kila BINADAMU kutokana na kazi zake MEILINI na KATIKA organs K**a vile FIGO,INI ,MAPAFU,KONGOSHO,Ubongo

1) Inatoa sumu zote mwilini.
2) Inaimarisha ubongo na kutunza kumbukumbu
3) Inaondoa madhara ya pombe kwa wanywaji na kulinda INI na FIGO
4) Inaondoa mafuta yaliyozidi mwilin, baada ya kula hutumiwa Kuzuia kuota vitambi,
5) Inaondoa sukari iliyozid mwilin Na ni nzuri kwa wenye shinikizo la damu (presha)
6) Inaleta usingizi Mzuri sana
7)Ina ondoa URIC ACID mwilini
8)Inaimarisha UTENDAJI KAZI MZURI na kuzuia madhara kwenye FIGO,INI,KONGOSHO,mapafu

9) Inazuia na kuondosha tatizo la MAWE KWENYE FIGO na KIBOFU cha mkojo

10) Inazuia kuganda Kwa mafuta Tumboni ambayo hupelekea Kitambi

11) NZURI Kwa wenye HOMA YA INI (hepatitis), pia husaidi kukukinga usipatwe na tatizo hilo.

KWA USHAURI NA MATIBABU WASILIANA NASI โ˜Ž๏ธ 0659214411

20/05/2024

Jinsi Ya Kuhesabu Siku Za Hatari Za Kushika Mimba

Naomba ieleweke kwamba wanawake wametofautiana kwa asilimia kubwa sana katika mzunguko wao wa hedhi(bleed), hivyo kwa utangulizi tu kuwa makini na jinsi unavyoanza hedhi ili iweze kukusaidia katika kuhesabu kwako siku za hatari. Na si kulinganisha siku ambayo labda ulianza sawa na rafiki yako.

Siku 1-16 ni mzunguko wa hedhi usiokuwa wa kawaida



Siku 2-18 ni mzunguko wa heshi usiokuwa wa kawaida



Siku 3-21 ni mzunguko wa hedhi usiokuwa wa kawaida



Siku 4-28 ni mzungunguko wa siku ambazo ni za kawaida

Siku 5-30 ni mzunguko wa siku ambazo ni za kawaida

Siku 6-32 ni mzunguko wa siku ambazo ni za kawaida



Siku 7-33 , 35, 40 au zaidi hizi sio siku za kawaida.

20/05/2024

๐—๐—˜ ๐—ช๐—”๐—๐—จ๐—” ๐—ก๐—œ๐—ก๐—œ ๐—ž๐—จ๐—›๐—จ๐—ฆ๐—จ ๐—ž๐—”๐— ๐—ฃ๐—จ๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—•๐—™ ๐—ฆ๐—จ๐— ๐—”?
๐ป๐‘œ๐‘›๐‘”๐‘’๐‘Ÿ๐‘Ž ๐พ๐‘ค๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘โ„Ž๐‘ข๐‘˜๐‘ข๐‘Ž ๐‘ข๐‘Ž๐‘š๐‘ข๐‘ง๐‘– ๐‘ค๐‘Ž ๐‘˜๐‘ข๐‘—๐‘–๐‘“๐‘ข๐‘›๐‘ง๐‘Ž ๐‘›๐‘Ž๐‘Ž๐‘š๐‘–๐‘›๐‘– โ„Ž๐‘ข๐‘ก๐‘Ž๐‘๐‘Ž๐‘˜๐‘– ๐‘˜๐‘Ž๐‘š๐‘Ž ๐‘ข๐‘™๐‘–๐‘ฃ๐‘ฆ๐‘œ.
๐„๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐š ๐ค๐ฎ๐ฌ๐จ๐ฆ๐š: ๐๐ˆ๐๐ˆ ๐Œ๐€๐€๐๐€ ๐˜๐€ ๐๐… ๐’๐”๐Œ๐€
Maana ya ๐๐…๐’๐ฎ๐ฆ๐š ๐ง๐ข: #๐ - ๐๐ซ๐ข๐ ๐ก๐ญ, #๐… - ๐…๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ซ๐ž, #๐’ - ๐’๐ฎ๐ฉ๐ž๐ซ๐ข๐จ๐ซ, #๐” - ๐”๐ง๐ข๐ช๐ฎ๐ž, #๐Œ - ๐ฆ๐š๐ง๐ฎ๐Ÿ๐š๐œ๐ญ๐ฎ๐ซ๐ž๐ซ ๐จ๐Ÿ #๐€ - ๐€๐ฆ๐ž๐ซ๐ข๐œ๐š.
๐‡๐ˆ๐’๐“๐Ž๐‘๐ˆ๐€ ๐˜๐€๐Š๐„ ๐Š๐–๐€ ๐”๐…๐”๐๐ˆ
๐Œ๐ง๐š๐ฆ๐จ ๐ฆ๐ฐ๐š๐ค๐š ๐Ÿ๐Ÿ—๐Ÿ—๐Ÿ‘ ๐›๐Ÿ๐ฌ๐ฎ๐ฆ๐š walianzia Hongkong {China} {k**a kampuni ya kuzalisha madawa} k**a kampuni ya kuzalisha madawa ya mifupa na viungo {bones & Joints}
๐Œ๐ง๐š๐ฆ๐จ ๐ฆ๐ฐ๐š๐ค๐š ๐Ÿ๐Ÿ—๐Ÿ—๐Ÿ“ - kampuni ilipanuka na kujifungua Marekani katika Jiji LA Gharama kuishi Los Angeles na kuweka kiwanda cha Kuzalisha Virutubisho Lishe {Food Supplement}
๐Œ๐ง๐š๐ฆ๐จ ๐ฆ๐ฐ๐š๐ค๐š ๐Ÿ๐ŸŽ๐ŸŽ๐ŸŽ: kampuni ilipewa Vibali na Vyeti Vya kutambua Ubora wao k**a :- G.M.P {Good Manufacturing Practice} na FDA {Food and Drugs Adminstration} na hapo baadae kampuni tena Ikaendelea Pata Vibali k**a G.L.P {Good Laboratory Practise } na Halal:- kibali cha utambuliz kwa jamii ya kiislamu na imani kuwa halali kwa matumiz.
#๐Ÿ๐ŸŽ๐ŸŽ๐Ÿ’ - Kwa mara ya kwanza waliweza kufungua tawi lao ๐€๐Ÿ๐ซ๐ข๐ค๐š ๐ฒ๐š ๐Œ๐š๐ ๐ก๐š๐ซ๐ข๐›๐ข katika nchi ya Benin.
#๐Ÿ๐ŸŽ๐Ÿ๐Ÿ - Kampuni ilisogea hadi Afrika Mashariki nchi jirani ya Kenya
#๐Ÿ๐ŸŽ๐Ÿ๐Ÿ - Waliingia ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š na kusajiliwa kisheria na kufanikiwa kupata kibali cha ๐“๐…๐ƒ๐€, ๐ฆ๐š๐ค๐š๐จ ๐ฆ๐š๐ค๐ฎ๐ฎ ๐ฒ๐š ๐“๐€๐๐™๐€๐๐ˆ๐€ ๐ฒ๐š๐ค๐จ ๐ƒ๐š๐ซ ๐ž๐ฌ ๐’๐š๐ฅ๐š๐š๐ฆ ๐ž๐ง๐ž๐จ ๐ฅ๐š ๐Œ๐‹๐ˆ๐Œ๐€๐๐ˆ ๐‚๐ˆ๐“๐˜ ambapo walinunua jengo LA ghorofa.
#๐Ÿ๐ŸŽ๐Ÿ๐Ÿ‘ - Waliweza kuingia ๐”๐ ๐š๐ง๐๐š, ๐๐ข๐ ๐ž๐ซ๐ข๐š, ๐™๐š๐ฆ๐›๐ข๐š na wanaendelea kupanua masoko yao katika nchi zingine za Africa.
Mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka 2018 BFSUMA Africa, walikuwa na wanachama au wasambazaji wasio pungua 100,000 na sasa ni zaidi.
๐—ก๐—•: ๐—•๐—ณ ๐—ฆ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐—ป๐—ฑ๐—ถ๐—ผ ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ผ๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ณ๐—ถ๐˜๐—ถ, ๐—บ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ, ๐—ธ๐˜‚๐˜‡๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—บ๐—ฏ๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฏ๐—ถ๐—ฑ๐—ต๐—ฎ๐—ฎ ๐—ฎ๐˜€๐—ถ๐—น๐—ถ ๐˜‡๐—ฎ ๐˜๐—ต๐—ฎ๐—บ๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐˜ƒ๐—ถ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ผ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ถ๐—ณ๐—ฎ ๐—ท๐˜‚๐˜‚ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐—ฒ๐—ธ๐—ป๐—ผ๐—น๐—ผ๐—ท๐—ถ๐—ฎ ๐Ÿฑ ๐—ฏ๐—ผ๐—ฟ๐—ฎ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐˜€๐—ฎ๐˜€๐—ฎ ๐˜‡๐—ถ๐˜‡๐—ถ๐˜‡๐—ผ๐—ต๐˜‚๐˜€๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ ๐—ธ๐—ฒ๐—บ๐—ถ๐—ธ๐—ฎ๐—น๐—ถ ๐˜†๐—ฒ๐˜†๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—ถ๐—น๐—ฒ.

Piga 0659214411 kwa Maelezo zaiidi

17/05/2024
16/05/2024

MWANAMKE AFYA PACKAGE

Hii Ni tiba Mahususi Katika Mfumo wa Afya ya Mwanamke

Haswa! Kwa Wenye Changamoto Ya U.T.I na U.T.I Sugu Wenye P I D ,Hormonal Imbalance, Tiba Hii pia Huondoa Mchirizi Na Makunyanzi Kwa Mwanamke

Unaweza Kuchukua Full Package Au Unaweza Chukua Package yenye Kutubu U T I tu! Au P I D Tu!

Piga Simu Hii kupata Msaada Na Ushauri zaiidi +255 659 214 411 Whatsapp 0659214411

07/09/2022

MWANAUME KAMILI kumbuka kutumia virutubisho vinavyoboresha sifa ya kuitwa mwanaume kamili

HII PACKAGE INAMALIZA CHANGAMOTO ZIFUATAZO
-MWANAUME KUA NA UWEZO KURUDIA TENDO VIZURI
-KUONGEZA IDADI YA MBEGU
-KUSIMAMISHA UUME VIZURI
-KUBORESHA MZUNGUKO WA DAMU
-KUIMALISHA MISULI
-KUPATA HAMU YAKUFANYA TENDO
-KUTOFIKA MAPEMA KILELENI

KWA WANAWAKE
-KUKUPATIA UTE UTE WAKUTOSHA NA KUWA NA UTELEZI MWINGI
-KUKUPATIA HAMU YA TENDO
-KUBALANCE HORMONE KWENYE MWILI
-KUONDOA MAUMIVU WAKATI WA TENDO

NB: KUMBUKA HIZI SIO DAWA NI VIRUTUBISHO

Call 0659214411

07/09/2022

MWANAMKE PACKAGE
Package Pekee Ambayo ina Virutubisho Vya Aina nne Mahususi Kwa Afya Ya Mwanamke

GHARAMA ZA PACKAGE NI 356000/=

PACKAGE HII INA TIBU
- U.T.I Na Fangasi
-P.I.D
-Homornal Imbalance

Huondoa
-Mchirizi, Makunyanzi na Vipele
-Harufu Mbaya Ukeni
-Miwasho na vidonda Sehemu za siri
-Uvimbe kwenye kizazi
-Maumivu ya kiuno na Mgongo

Husaidia
-Wasio pata hedhi au hedhi kupitiliza na wanao pata hedhi bila mpangilio
-Husaidia Kwa Wasiopata Ujauzito
-Husaidia Afya ya viungo na mifupa
-kupunguza kasi ya Uzee
-Kuleta Hamu ya tendo la ndoa

WASILIANA NASI

0755 422 638 Au 0659 214 411

WhatsApp https://wa.me/message/5IX2QJWVBGCOE1

29/08/2022

NJIA YA KUPONA BAWASIRI BILA KUFANYIWA UPASUAJI NI MOJA TU!, YAANI WASILIANA NA NASI LEO KWANI SULUHISHO NI UKWELI NA UHAKIKA!

HAKUNA BAWASIRI INAYOTUSHINDA NA HATA IKIWA KUBWA SANA LAZIMA UTAPEWA USHAURI MZURI WA KITAALAMU WA NAMNA YA KUFANYA ILI KUONDOKANA NA CHANGAMOTO YAKO KABISA KWA NJIA SAFI NA SALAMA(Refferal).

โœ”๏ธWENGI WANAENDELEA KUFURAHIA HUDUMA HII LAKINI HATA WEWE BADO HAUJACHELEWA KABISA.

โœ…ILI KUPATA SULUHISHO HILI LA BAWASIRI YAKO, FANYA HIVI๐Ÿ‘‡

NIPIGIE ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

PIGA: 0659214411 Au 0786372002

au

WHATSAPP: 0659214411

27/08/2022

CHANZO CHA BAWASIRI
โž– Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
โž– Tatizo sugu la kuharisha
โž– Ujauzito
โž– Uzito wa mwili kupita kiasi
โž– Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
โž– Kupata haja kubwa ngumu
โž– Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
โž– Kunywa pombe
โž– Kula sana nyama nyekundu
โž– Vidonda vya tumbo
โž– Ngiri(Chango/Hernia
โž– Kula sana pilipili
โž– Kunyanyua vitu vizito

DALILI ZA BAWASIRI
โž– Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
โž– Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
โž– Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
โž– Kupata kinyesi chenye damu
โž– Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
โž– kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
โž– Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
โž– Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
โž– Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)

MADHARA YA BAWASIRI
โž– Upungufu wa damu mwilini
โž–Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
โž– Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
โž– Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
โž– Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
โž– Kupata tatizo la kisaikolojia
โž– Kutopata ujauzito
โž– Mimba kuharibika

KINGA YA BAWASIRI
Bawasiri ni ugonjwa unaoweza kujiepusha nao usiupate au usijirudie baada ya kupata tiba baadhi ya kinga hizo ni;
~kubadili mtindo wa maisha epuka vyakula vyenye sukari au wanga kwa wingi, k**a tulivyo zoea ugali au ubwabwa mwingi kuliko mboga za majani, vyakula vya kusindikwa na soda vyakula hivi nichanzo cha uzito kupitakiasi na hivyo kutudhuru kiafya
~kunywa majimengi ya kutosha
~tumia vyakula vya asili zaidi kula matunda na mboga za majani
~pendelea kufanya mazoezi ya mwili

TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}
Costrelax /novel ni tiba asili ambayo itakuondolea tatizo mojakwamoja pasipo kwenda kufanyiwa upasuaji au kukata kinyama kinachotokeza nje (bawasiri). Doze yake, Na gharama yake inatengemea Na ukubwa wa tatizo, kwa msaada zaidi Zungumza nasi kwa whatsapp link kwenye bio
-

16/08/2022

โค๏ธโค๏ธ UBARIKIWE UZAZI WA K**E NA WAKIUME๐Ÿคฑ๐Ÿฅฐ

Huu mwaka ni zamu yako! Amka, usikate tamaa!๐Ÿ™๐Ÿพ๐Ÿ™๐Ÿพ

Mwanamke ni mama, baraka hii ikakutembelee mpendwa wangu!๐Ÿ™๐Ÿพ๐Ÿ™๐Ÿพ

๐—ฉ๐—ฌ๐—”๐—ก๐—ญ๐—ข ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐— ๐—ž๐—˜ ๐—ž๐—จ๐—ฆ๐—›๐—œ๐—ก๐——๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐—จ๐—๐—”๐—จ๐—ญ๐—œ๐—ง๐—ข:

Tafiti zilizotolewa na shirika la afya duniani linasema katika kila familia sita, familia moja inakutana na tatizo la ugumba au utasa, Baadhi ya sababu zinazosababisha ugumba ama utasa kwa wanawake ni:

๐Ÿ‘‰๐ŸพKushindwa kupevusha yai(40% ya wanawake)
๐Ÿ‘‰๐ŸพMaambukizi sugu k**a PID
๐Ÿ‘‰๐ŸพMvurugiko wa homoni
๐Ÿ‘‰๐ŸพUvimbe/majimaji/kuziba katika mirija ya kupitisha mayai
๐Ÿ‘‰๐ŸพMayai kudhoofika kabla ya umri(POI)
๐Ÿ‘‰๐ŸพMagonjwa au vimbe mf fibroids, cancer, kisukari,
๐Ÿ‘‰๐ŸพMatatizo katika tezi za shingo(hyperthyroidism)
๐Ÿ‘‰๐ŸพMakovu katika mji wa uzazi labda kutokana na utoaji mimba katika njia zisizosalama
๐Ÿ‘‰๐ŸพKulegea au kuziba kwa shingo ya uzazi
๐Ÿ‘‰๐ŸพUzito kupita kiasi
๐Ÿ‘‰๐ŸพUnywaji pombe au uvutaji wa sigara
๐Ÿ‘‰๐ŸพMagonjwa sugu katika mfumo wa upumuaji ambayo huathiri ubora wa mayai, mzunguko wa damu

Je, una tatizo gani? Tuambie, tunaweza kuwa sehemu ya suluhisho kwako!๐Ÿ™๐Ÿพ๐Ÿ™๐Ÿพ

KWA TIBA NA USHAURI WASILIANA NA MTAALAMU WETU WA AFYA

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Mwanza

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00