Arapha Na Afya Bora
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Arapha Na Afya Bora, Health/Beauty, Mwanza.
01/12/2019
*KIUNGULIA*
Kiungulia dalili inayotokana na kiasi kikubwa cha tindikali ilioko tumboni kurudi juu katika mpira wa kwanza wa chakula (esophagus)
*Dalili zingine*
▪Chakula kurudishwa mdomoni.
▪Ugumu kumeza chakula na vimiminika
Dalili zingine zaweza tokea k**a;
▪Kikohozi
▪Maumivu kifuani
▪Magonjwa ya meno
▪Koo kavu au sauti ya ukakasi
▪Maradhi ya masikio
*Vipimo*
▪kamera maalum kuangalia hali ya koo (endoscopy)
▪Picha za kifua nk
*Matibabu Yasio ya Dawa.*
🔸punguza uzito
🔸kuacha kutumia pombe, juisi kali k**a za machungwa, tomato sosi, chocolate, kahawa,
🔸kula posheni ndogo ndogo za chakula badala ya lumbesa kwa wakati mmoja
🔸kulaa saa 3 kabla ya kwenda kulala
🔸tumia mto wakati wa kulala
*Matibabu ya Dawa.*
🔸dawa za kupunguza uzalishaji wa tindi kali (ppi na H2 antagonists)
🔸dawa za kupunguza ukali wa tindi kali (anti acids)
🔸dawa za kusaidia kuondoa chakula tumboni kwa wakati.
*Matibabu Ya Virutubisho.*
☕CONSTIRELAX SOLUTION.
*Upasuaji*
Kuna madhara yanayosababishwa na tindikali yanaweza lazimisha kufanya upasuaji daktari wa tumbo _gastroenterologist_ ndio atatoa tahmini.
29/11/2019
29/11/2019
Kwa matatizo ya
call
+255 687161612
FANGASI NA U.T.I SUGU SASA BAAASI!!! Je wewe ni mwanamke na unahangaika na matatizo yafuatayo
1:Fangasi sehemu za siri
2:U.T.I isiyoisha
3:Muwasho sehemu za siri
4:Kutokwa na uchafu sehemu za siri
5:HARUFU MBAYA
Hali hii inakera sana kwa wanawake wengi na wengi hawajui wafanye nini kutatua matatizo haya kwani njia nyingi zitumiwazo kutatua matatizo haya hazisaidii
Pole sana mwanamke leo nitakujuza kwa ninitatatizo haya hutokea na dawa take ya kujikinga ni nini?
KWA NINI MATATIZO HAYA HUTOKEA??
Inasemekana kwamba kati ya wanawake 100 wanawake 95 wana matatizo haya niliyoyaorothesha hapo juu kwa hiyo wewe mwanamke ninaeongea na wewe matatizo haya sio aibu ni kawaida kwa akina mama
Kwa kitaalamu matatizo haya huitwa VAGINITIS, ambayo huambatana na ukuaji usiokuwa wa kawaida wa bacteria na fangasi sehemu za siri za mama -KWA NINI UKUAJI WA BACTERIA NA FANGASI USIOKUWA WA KAWAIDA???
Kawaida sehemu za siri za mwanamke(ukeni) kuna viumbe vinaishi(bacteria na fangasi)ambao hawana madhara na kazi yake kubwa ni kuulinda uke na bacteria na fangasi wenye madhara kwa hiyo huwa k**a askari -Sasa ili hawa viumba(fangasi na bacteria wasiona madhara) waweze kuishi vyema wanahitaji mazingira rafiki ya kuishi k**a vile hewa ya kutosha ,joto kiasi n.k -Sasa kutokana na matumizi ya pedi za nylon,uvaaji wa skinny jeans, kukaa sana kwenye viti kwa wanawake wa maofisini, kutokufanya mazoezi hawa bacteria walinzi hufa, hali hii husaidia bacteria wabaya kuzaliana kwa kasi sana sehemu za siri za mama(ukeni) hivyo mwanamke ataanza kuhisi hali ya kukera sehemu za siri, k**a muwasho -Pia matumizi mabaya antibiotics huua hawa bacteria walinzi, -Bacteria na fangasi walinzi wanapokufa uke wa mama unakosa mlinzi hivyo mama anapotumia public toilets(vyoo vya jumuia),anapofanya tendon la ndoa ni rahisi kuambukizwa bacteria na fangasi wabaya kwa sababu ukeni kwake hakuna.mlinzi tena.
TUMIA FEMICARE FEMININE CLEAN NJIA SALAMA YA KUJITIBU NA KUJIKINGA KABISAA
Hii ni lotion maalum ambayo mwanamke hutumia kujisafishia sehemu za siri(ukeni) -Ni ya asili, haina madhara na hutumika maalumu kwa Kusafisha sehemu za siri na mutibu kabisa tatizo hili
maelezo zaidi piga number +255687161612
BAWASIRI(MGOLO)INATIBIKA BILA UPASUAJI [,PIGA AU WATSUP #+255687161612
KWANZA UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA, ~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!! ~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe
# # # *CHANZO CHA TATIZO*
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO (CHOO KIGUMU)
👉MATATIZO YA UMRI
√UZAZI-MIMBA NA KIPINDI CHA KUJIFUNGUA 👉UZITO KUPITA KIASI 👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
# # # DALILI ZA BAWASIRI 👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa 👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia 👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa 👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo 👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana *MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI*
👉kupata upungufu wa damu (anemia) 👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo 👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume.
👉kuathirika kisaikolojia 👉kukosa morali ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
👉Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya UTUMBOCANCER) kwa sababu kile kinyama kinakaa K**a kidonda.,, # # # *TIBA NA KINGA YA BAWASIRI YA UHAKIKA* *(NOVEL DE PILE)*🤞🤞 √NOVEL DE PILE NI BIDHAA YA ASILI INAYOSAIDIA KUPONYESHA BAWASIRI,
IMETENGENEZWA KWA VIAMBATA VYA ASILI AMBAVYO NI JAMII YA MALIMAO NA MACHUNGWA (CITRUS FRUITS) √INAONDOA PRESHA KUBWA KWENYE MISHIPA YA DAMU YA SEHEMU YA HAJA KUBWA
,,HIVYO BAWASIRI INAPOTEA KABISAAAAA,,, √HUONDOA MAUMIVU MAKALI NDANI YA MUDA MFUPI SANA,
HUKATA DAMU INAYOTOKA HARAKA,
Piga AU WATSUP #+255687161612 kupata huduma na ushauri.
HAINA KEMIKALI IMETHIBITISHWA NA TFDA,HALAL,GMP NK....
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Mwanza