Health to wealth by mr suleiman
it's real health that's is real wealth
04/03/2020
HOMA YA INI
Dalili za Ugonjwa wa HOMA YA INI na Jinsi Unavyoambukizwa ( Ugonjwa huu ni hatari kuliko UKIMWI)
Homa ya Ini ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu.Virusi hivyo vinaitwa Hepatitis virus (vipo vya aina nne yani Hepatitis A, B, C na D) .ila B na C ndo hatari sana
Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini, mfano mate au jasho. Watu takriban 1,000,000 wanapoteza maisha duniani kote kutokana na ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis ).
Ugonjwa huu k**a haujatibiwa hutengeneza uvimbe katika ini na kusababisha kansa ya ini na baadaye Kifo.
JINSI UNAVYOAMBUKIZWA:
Katika maeneo hatari zaidi duniani, Virusi vya Hepatitis B (HBV) kwa kawaida husambazwa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kuzaliwa au kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine hususan nyakati za utotoni.
K**a ilivyo kwa Ukimwi, Virusi vya Homa ya Ini pia huambukizwa kwa njia ya kujamiiana, mate, jasho na mwingiliano wowote ule wa damu.
Njia kuu za maambukizi :
-Kujamiana bila kinga
-Kunyonyana ndimi 'denda'
-Mama mwenye ugonjwa kumwambukiza mtoto wakati wa kujifungua
-Kuchangia damu isiyo salama
-Kuchangia vitu vya ncha kali k**a sindano, wembe n.k
-Kuchangia miswaki
-kuchangia taulo na mwenye ugonjwa huo
-kubadilishana nguo au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho.
Tafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivyo ni hatari kuliko hata vya Ukimwi kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku saba. Virusi vya Ukimwi (VVU) havina uwezo wa kuishi nje ya mfumo wa damu hata kwa dakika moja.
Kutokana na usugu wa HBV, maana yake ni kwamba k**a kirusi kipo kwenye ngozi, kitaendelea kuwa hai kwa siku saba na katika kipindi hicho mtu anaweza kuambukizwa kwa njia ya damu au jasho.
Kwa wastani kirusi cha HBV kikishaingia mwilini, hupevuka ndani ya siku 75, hata hivyo upo uwezekano wa kupevuka kati ya siku 30 hadi 180. Ndani ya siku 30 mpaka 60, mtu mwenye HBV anaweza kugundulika ikiwa atapimwa.
Mtu mwenye Homa ya Ini ana wastani mdogo wa kuishi kuliko mwenye Ukimwi. Kwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya Virusi vya Homa ya Ini hufariki dunia haraka kuliko mwenye VVU.
DALILI ZA UGONJWA HUU:
Watu wengi hawaonyeshi dalili yoyote. Kwa maana hiyo mtu anaweza kuishi na HBV na kusababisha maambukizi kwa wengine bila kugundulika.
Hata hivyo, watu wengine husumbuliwa na homa kali na dalili ambazo hudumu kwa wiki kadhaa. Dalili hizo ni:
-Uchovu
-Kichefuchefu
-Mwili kuwa dhaifu
-Homa kali
-Kupoteza hamu ya kula
-Kupungua uzito
-Maumivu makali ya tumbo upande wa ini
-Macho na ngozi kuwa vya njano
-Mkojo mweusi
Kwa wagonjwa wengine, Virusi vya Hepatitis B hukua hadi kusababisha ini kuharibika kabisa (cirrhosis of the liver) au saratani ya ini (liver cancer)
KINGA:
-Chanjo
-Kutumia kinga wakati wa kujamiana
-Kuacha kuchangia vitu vya ncha kali k**a sindano, wembe n.k
-Kutochangia miswaki
-Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
-Kutochangia damu isiyo salama
KUNDI LIPI NI HATARI ZAIDI?
Asilimia 80-90 ya watoto wachanga ambao huambukizwa katika kipindi cha mwaka wa kwanza tangu kuzaliwa, Homa ya Ini hukua mpaka kufikia kuwa sugu na hatimaye kifo.
Asilimia 30-50 ambao huambukizwa kabla ya kufikisha umri wa miaka sita, Hepatitis B hukua mpaka kuwa sugu na baadaye ni kifo.
Asilimia 90 ya watu wazima wanaopata HBV, virusi hivyo hutoweka ndani ya miezi sita. Yaani uimara wa ini husababisha virusi hivyo kupotea.
Asilimia tano kushuka chini ya watu wazima wanaopata maambukizi ya HBV, virusi hivyo vya Hepatitis B kugeuka sugu na hatimaye kifo.
Asilimia 15-25 ya watu wazima ambao walipata maambukizi utotoni na hatimaye Hepatitis B kuwa sugu, hufariki dunia kutokana na matokeo ya ini kuharibika kabisa au kwa saratani ya ini.
TANZANIA IPO KUNDI HATARISHI
Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO), Kusini ya Jangwa la Sahara ndiyo eneo hatari zaidi. Tanzania ni moja ya nchi zilizopo katika eneo hilo. Kiwango cha hatari Kusini ya Jangwa la Sahara kinalingana na kile cha Mashariki ya Bara la Asia.
Ripoti hiyo inaonesha kuwa watu wengi walipata maambukizi nyakati za utotoni na kwamba kati ya asilimia tano mpaka 10 ni waathirika sugu
+255745949701
*TATIZO LA NGUVU ZA KIUME*
Nguvu za kiume ni nini?
👉Nguvu za kiume ni muunganiko wa vipengele vingi ndani yake ikiwa ni pamoja na hamu ya mapenzi; kusimama kwa uume barabara; kuchelewa kufika kileleni kiasi cha kufurahia tendo la ndoa; uwezo wa kurudia tendo la ndoa; pumzi, wepesi na uchangamfu wa mwili katika kutenda tendo lenyewe.
*VISABABISHI VYA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*:
1. kujichua/punyeto
(ma********on);
2. kisukari,presha ya kupanda,presha ya kushuka.
3. uvutaji wa sigara
4.unywaji wa pombe
5.madawa ya kulevya
6.kufanya kazi kupita kiwango
7.kukosa muda wa kupumuzika,
8.matatizo ya kukosa usingizi na kuchelewa kulala usiku.
9. kutokunywa maji ya kutosha
10.kutofanya
mazoezi.
11.Kuto kula mlo kamili
12.Kukaa na magonjwa muda mrefu bila kupata Tina,. u.t.i, FUNGUS. N.k
*DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*
1.kuwai kufika kileleni mapema sekunde chache au baada ya kuugusa tu mlango wa uke
2.uume kuwahi kulegea
3.kuhisi harufu mbaya,kichefuchefu mara baada tu ya kumwaga mbegu za kiume
4.mwili kuchoka sana baada ya tendo la ndoa huambatana na usingizi mzito,
5.kuhisi maumivu makali kwenye korodani mara baada ya kumaliza tendo la ndoa,
6. kutokuwa na hamu ya tendo mara baada ya kuanza kufanya tendo.
7.kutokuwa na hisia za kimapenzi na mwenzi wako.
*MADHARA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*:
1.kupatwa na hofu kubwa nakuogopa kukutana na mwenzi wako kwa kuogopa kuaibika.
2. Inakupelekea kubugia madawa yoyote utakayosikia kuwa yanatibu tatizo badala yake kuliongeza maradufu.
3. Msongo wa mawazo ambao utapelekea upate magonjwa mengine hatarishi. K**a (BLOOD PRESSURE)
4. Kutokuwa na amani kwa ujumla katika maisha yako ya kimahusiano.
NIKUHAKIKISHIE KUWA TATIZO HILI LINATIBIKA Kabisa Wahi Upate tiba mapema kabla HALIJAWA sugu.
TUNA TIBA LISHE BORA AMBAZO ZITAENDA KUONDOA KABISA TATIZO ILO NDANI YA SIKU 15,.
Karibu What'sApp
+255745949701
ILI UPATE MWONGOZO KAMILI KUTOKA KWA MSHAURI WA AFYA.
16/02/2020
DALILI ZA UGONJWA WA PID
%Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au maziwa
%Kuwashwa sehemu za siri
%Uke kutoa harufu mbaya
%Maumivu ya tumbo chini ya kitovu
%Uke kuwa wa ulaini sana
%Maumivu wakati wa tendo la ndoa
%Kuvurugika Kwa hedhi
%Kutokwa majimaji ukeni kupita kiasi
%Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa
%Homa, uchovu,kizunguzungu na kukosa hamu ya kula
MADHARA YA PID
•Ugumba
•Kansa ya shingo ya kizazi
•Mirija ya uzazi kuziba
•Majeraha kwenye mirija ya uzazi
TIBA
Tumia kirutubisho cha FEMININE WASH ni ya maji ambayo utatumia kuoshea kwa bibi
Pia Ipo COMPLETE PHYTO-ENERGIZER hii ni ya vidonge kwa wale ambao wamepata madhara tayari mpka kwenye kizazi
kwa maelezo,ushauri na jinsi ya kuipata
Usisite kunitafuta WhatsApp 0745949701
au nipigie au tuma ujumbe
Nipo tayari kukuhudumia🙏🙏🙏
Hisia hizi huanza kujitokeza pale mtu anapofikia wakati wa kubarehe , Hapa ndiyo wakati mgumu na mbaya kwa kijana hasa kwa asiyejitambua na asiye na usimamizi wa karibu wa wazazi au walezi ama Kukosa Muongozo wa Namna Gani anapaswa ajitunze Kimwili na Kiakili Wakati akisubiri Muda Wake wa Kuwa na Mpenzi Rasmi .
Ni wakati huu ndipo mbegu za kiume (manii) huanza kuzalishwa katika mwili wa kijana wa kiume na kupelekea kuanza kuona hitaji la kuwa na mchumba au hata mke , Kutokana na maisha na tamaduni zetu wa afrika zilivyo hapo ndipo kijana huona hana namna zaidi ya kujichua pale anapokuwa hana mtu wa kujamiiana naye ili kupunguza hamu zake.
Kitendo hiki kimeathiri sehemu kubwa ya jamii.
Kupiga punyeto au kujichua ni kitendo ambacho huleta matatizo makubwa ya muda mrefu ambayo muathirika huchelewa sana kuyatambua au Kutokudhani ama Kuamini Kirahisi Kuwa Chanzo Chake Kinaweza Kuwa PUNYETO , Hivyo Kumuwia Vigumu Kuchukuwa hatua Kwa Haraka na Kumfanya aendelee na Kitendo hicho hata pale Madhara Yanapoonekana Wazi na Kwa Kiwango Kikubwa .
Mfano : Wapo hadi Baadhi ya Watu Wazima ambao Wamo Ndani Ya Ndoa Lakini Wako Tayari Kuacha Wake Zao Vitandani , Jikoni na Kutafuta Sehemu Za Falagha Majumbani Mwao na Kuanza Kujichua , Aidha Kwa Kujihisi Raha Zaidi Kwenye PUNYETO , Kuhofia Kufanya tendo la Ndoa Kwa Uume Kulegea Wakati wa Tendo au Kutafuta Njia za Ziada za Kumtosheleza Mwenza Kutokana na Kushindwa Kudumu Muda Mrefu Katika tendo.
Yapo Madhara Mengi Sana Kiafya Ya Mwili Kwa Wanaume na Pia Kwa Afya ya akili , Isipokuwa Kwa Leo Wacha tuyatazame haya Machache Kwa Lengo la Kutoa Mwanga Kuhusu Tatizo hili na Jinsi ya Kukabiliana Nalo.
“Kwa Uchache tu – Hebu Tuangalie Madhara 20 Yafuatayo ambayo ni matokeo ya kujichua ( PUNYETO ) kwa mwanaume:
1. Punyeto hukufanya uwe dhaifu Kimwili ( Kukosa Nguvu na Kuwa Goigoi/Legelege ) , Kwa Sababu Inapoteza protini na kalsiamu ndani ya mwili wako Kwa Wingi Kutokana na Kitendo Hicho Kutumia Nguvu Kubwa na Kufanyika Mara Kwa Mara – K**a Kweli ni Muhanga wa Hili Tatizo , Utakubalina na Mimi Kuwa Msisimko Wake Unatofauti Kubwa na Ule wa Mwanamke na hivyo Kutengeneza Kiwango Kikubwa Cha Manii Kuliko anachoweza Kutoa Mwanaume akiwa na Mwanamke.
2. Huleta matatizo kwenye neva nyurolojia ndani ya mwili na kupelekea matatizo ya macho kutokuona vizuri – Hii ni Kutokana na Kitendo hiki Kutumia Kiwango Kikubwa Cha Hisia Zinazotokana na Mishipa ya Fahamu Ili Kupata Picha ya Tendo ambalo Kiuhalisia Halipo ili Kutengeneza Mazingira ya Urahisi wa Kufanikisha tendo.
3. Ni moja ya kisababishi kikuu cha uhanithi ( Uume kushindwa kusimama) Kutokana na Kuathiri Misuli ya Uume , Tishu za Tezi Dume , Neva na Muundo wa Mishipa ya Damu Kwenye Uume Kutokana na Mkak**ao Wa Mikono Wakati wa Kujichua .
4. Ni rahisi kuwa mtumwa wa Kujichua (teja) unaweza kujaribu mara 1 tu na tayari ukawa teja wa jambo hilo kila mara , Kwa Sababu ni Njia Rahisi ya Kupipatia Utamu , Isiyo na Ghalama , Muda , Wala Hiyari Ya Mtu Mwingine …. Ukiamua tu .. Unajipa Raha.
6. Husababisha mfadhaiko (stress) kwenye akili na kwenye roho yako pia – Licha ya Kujichua Lakini Umuhimu wa Mwenza Unabaki Pale Pale – Shida Inakuwa Kupata Mwenza K**a Yule ambaye atafanya Yale Yale ambayo Unayafanya Naye Kwa Hisia ( Unaweza Kumpata Unayetamani Kuwa Naye na Asiwe na Uwezo Wa Kufanya Unachowaza Kwenye PUNYETO.
7. Huleta matatizo ya Kisaikolojia , Hukusababishia majonzi na huzuni na kukufanya kujilaumu nafsi mara baada ya kumaliza Kujichua – Ni Jambo la Kipuuzi , Linalo fedhehesha Likijulikana , Unatamani Kuliacha Lakini Kila Ukijizuia Usifanye Limeshakuwa tatizo .
8. Punyeto haifanyiki kirahisi, unahitaji akili yako iwaze au itazame picha mbaya au chafu au kumfikiria kimapenzi mtu asiyekuwepo hapo ulipo . Hili ni jambo baya zaidi kwa afya kwani picha hizo hazikuondoki haraka kichwani mwako tofauti na ukishiriki tendo la ndoa na binadamu mwenzio moja kwa moja , Hali Inayoathili Heshima Yako Kwa Kukodolea Hovyo Wanawake Macho Barabarani ili Upate Picha Mpya ya Kwenda Kuifanya na Ukiipata Utajipa Kibarua Cha Kuondoka Nayo Mpaka Unapofanyia.
9. Punyeto inakupelekea kufanya makutano haramu Kwa Kuwa hiyo hamu yako ya kutaka kujichua kila mara itakupelekea kuanza kutafuta vijarida au picha za ngono jambo ambalo ni baya zaidi kwa afya yako ya mwili na roho ( Unakuwa Mtumwa wa Mambo Machafu / Mfuasi Kamili wa Shetani ) Kwa Kushiriki Kikamilifu Mambo Ya Kikahaba Yaliyoshindikana Kwa Kiwango Kinachoongezeka Kila Kukicha.
10. Punyeto inapelekea tatizo lingine kubwa zaidi nalo ni Kuwahi Kufika Kileleni ambalo Kitaalam Linaitwa PREMATURE EJ*******ON , Tatizo hili Litakufanya Utakaposhiriki tendo la ndoa na mwenza wako Ndani Ya Muda Mfupi Sana Unakuwa Umeshamaliza hamu Yako – hii itakuletea Shida Kwenye mahusiano yako wewe mwenyewe na hata kwa mwenza wako.
11. Punyeto inapunguza Wingi wa Mbegu ( reduces your s***m count ) na Kusababisha Tatizo la LOW S***M COUNT na matokeo yake Mwanaume hataweza Kumpa mwanamke ujauzito. Hili la kuwa na mbegu chache ndilo chanzo kikuu cha Ugumba Kwa Wanaume na Kwa Kiwango Kikubwa Linatokana na matokeo ya kupiga punyeto mara kwa mara.
12. Inasababisha Migogoro Katika Ndoa Nyingi Sana Bila Watu Kujuwa – Kimaadili Kabisa punyeto au kujichua ni jambo baya, unamuwaza fulani na kujikuta Ukishiriki naye tendo la ndoa peke yako. Hii inapunguza thamani yako na nidhamu kwa wengine. Unaweza kuwa mzuri kwenye maeneo mengine mengi lakini utaishia kuwa na matatizo k**a hutaiacha tabia hii haraka na Hii inasababisha Kushindwa Kutulia na Mke Uliyenaye.
13. Punyeto inapoteza muda wako na kukufanya mtu usiye na faida – Unaweza Vitu ambavyo Havikusaidii Kimaisha , Unashughulika Zaidi na Kuwa Ngono Badala Ya Mambo Ya Maendeleo .
14. Kutokana na Raha ya kujichua haibaki akilini kwa kipindi kirefu k**a vile Ukishiriki tendo la ndoa kwa na mtu halisi , Unasababisha Tatizo la Kuwa na Wapenzi Wengi Kuliko akili Ya Mwanaume Ilivyo Kawaida na Inakupa hamu za Mara Kwa Mara za Kufanya tendo na Uwezo Haupo Unaishia Kujikuta Ukiweka Kimoja tu Chali , Na Kesho au Siku hiyo hiyo Unataka tena ( Umalaya ).
15. Punyeto husababisha ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu, ni vigumu kuwa na akili ya utulivu na kukumbuka vitu k**a tayari umeshakuwa teja wa punyeto.
16. Kujichua siyo suluhisho la mwisho la hitaji lako, yaani hutaona kuridhika katika kitendo hicho, kadri unavyofanya ndivyo unavyoendelea kuhitaji zaidi na zaidi mpaka mwisho unakuwa hanithi kabisa bila kujitambua.
17. Inasimama K**a Mbadala wa Mapenzi na Kufanya Ushindwe Kuona Thamani Ya Uliyenaye na Kufanya Usiogope Maamuzi Ya Kuachana – Punyeto haina faida yoyote kwenye maisha yako ya kimapenzi, huihitaji kwa ajili ya chochote.
18. Punyeto inaongeza aibu, inapunguza uwezo wa kujiamini. Wengi waliozoea kujichua hata kutongoza kwao huwa ni kazi kubwa mno kiasi wengine huona bora kuendelea kujichua kuliko kutongoza mwanamke.
19. Utapoteza hamu ya kushiriki tendo la ndoa kirahisi zaidi k**a utaendelea kujichua na Kufanya Uume Ushindwe Kusimama au Kusimama Akiwa Legelege , Hata Wakati Wa Tendo Unaweza Mtu Mwingine huku Uko na Mwingine.
20. Inaongeza Uwezekano wa Kufanya Mapenzi Kinyume na Maumbile Kutokana na Kuwaza Sana Njia Ya Kawaida , Mpaka Hisia Zinakosekana Kutokana na Kufikilia Kitu Kimoja Kwa Muda Mrefu – Punyeto huchochea mapenzi ya jinsia moja hasa mashuleni, vyuoni na kwenye mahoteli na mwishowe hupelekea kusambaa kwa magonjwa mengi ya zinaa.
21. Punyeto inamaliza nguvu za kiume, k**a unapenda kujichua basi sahau kuwa na nguvu za kiume. Upungufu wa nguvu za kiume ni janga la kitaifa miaka ya sasa lakini chanzo kikuu ni vijana wengi wa kiume kuanza kujichua tangu wakiwa mashuleni.
Je ufanye nini ili kuacha punyeto au usishiriki mchezo huu mchafu?
K**a muda na umri haukuruhusu kuwa na mke au mchumba, basi fanya yafuatayo:
•K**a bado unasoma kuwa bize na masomo na ujiepushe na makundi hatarishi.
•Jishughulishe na mazoezi ya viungo kila siku. Hii itauchosha mwili wako na hivyo hutapata muda tena wa kujichosha zaidi kwa kujichua kwani tayari utakuwa na uwezo wa kupata usingizi mtulivu sababu ya mazoezi.
•Epuka vyakula vyenye mafuta mengi.
•Usipende kukaa muda mrefu peke yako au kujitengaa na watu pia usikae muda mrefu kitandani hasa hasubuhi wakati wa kuamka.
•Usikae muda mrefu maeneo k**a ya bafuni au chooni.
•Usipende kujishikashika na mkono wako sehemu zako za siri wakati wowote.
•Futa picha zozote chafu iwe kwenye simu au computer yako na usitembelee blog au tovuti yoyote yenye picha hizo, k**a upo kwenye magroup ya namna hiyo kwenye mitandao ya kijamii basi jiondowe haraka iwezekanavyo.
•K**a tayari umeshaoa basi ni dhambi kubwa sana kuendelea kupiga punyeto, utaishiwa nguvu na unaweza kukosa kumpa ujauzito mkeo siku za usoni.
06/02/2020
MAMBO 6 YANAYOPUNGUZA NGUVU ZA KIUME NA HAM YA TENDO LA NDOA.
Asilimia kubwa ya watu wote wanazaliwa wakiwa sawa yaani wakiwa wamekamilika mifumo yao ya uzazi ikiwa sawa katika hatua za ukiaji hapo ndipo mifumo hupata au hudhoofika kutokana na sababu mbalimbali za kimaisha. Kuna ambao wanazaliwa wakiwa na tatizo hilo na hao wapo wachache sana k**a asilimia 5% tu kati ya watu wote. Na hili tatizo limekuwa kubwa kipindi hiki ndo maana wazee wa zamani walikuwa na wake wengi kwa sababu hata mwanamke alilidhia mme wake kuoa maana aliona k**a atapata mda wa kupumzika maana mwanamke hana uwezo wa kuhimili mwanaume aliekamili. Sasa wanaume wa siku hizi anashindwa kumlidhisha mke mmoja ataweza wake wawili au watatu kweli?.
Kuna sababu ambazo mtu anafanya au kuzipitia zinazosababisha nguvu kupungua au kuwa chini ya kiwango ambacho angestahili k**a angejua cha kufanya. K**a utakapomaliza kusoma ukawa na maswali au unataka ushauri piga 0745949701
1. Mtindo wa maisha
Mtindo wa maisha umebadilika sana haswa kwenye vyakula tunavyokula, mazoezi na vinjwaji kutokana na sababu mbali mbali
a) vyakula
Vyakula vingi hulimwa kwa kutumia mbolea zenye kemikali, zinahifadhiwa kwa kutumia madawa makali na hata vinavyopikwa ambapo hupunguza virutubisho vilivyomo ndani yake tunakula chakula lakini kinakuwa kiko chini ya kiwango mwili unashindwa kufanya kazi yake ipasavyo kwa sababu mwili unapata virutubisho kidogo au unakuta hamna ndo maana magonjwa yamekuwa mengi miili haina nguvu hata ya kawaida ukilinganisha na watu wa zamani. Unakuta mwanaume anashindia chipsi na soda au siku nzima au mara nyingi ndo chakula chake sasa hapo utatoa wapi bao 3 au 5 kwa haraka k**a siyo kubipu tu. Kwa sababu hizo kemikali haziondoki hivi hivi huacha madhara mkubwa mwilin ambayo hautayaona haraka haraka.
b) mazoezi
Watu siku hizi hata kufanya mazoezi imekuwa shida mtu anaweza kukaa zaidi ya masaa 4 mpaka 8 au 12 amekaa tu sehem moja ambapo huathili mzunguko wa damu ambao ndo husambaza virutubisho sehem mbali mbali ambapo sehem ambayo damu haifiki vizuri hata virutubisho vitafika kidogo na kufanya sehem hio kufanya kazi chini ya kiwango. Na hapa nazungumzia wanaofanya kazi wakiwa wamekaa mda mlefu au wanaolala mda mlefu. Mazoezi siyo mpaka ukimbie hata kutembea unafanya damu kufika sehem mbali mbali kwa wakati mwafaka.
c) vinjwaji
Siku hizi kumekuwa na vinjwaji vya aina mbali mbali vya kiwandani na vinavyohusisha sukari au ngano ambavyo vyote husababisha mafuta mengi mwilini na kuzoofisha mzunguko wa damu. Sijaona umuhim wowote wa kunywa soda kwa binadamu yoyote labda anaepandisha sukari mwilin ikiwa chini zaidi ya kuongeza mafuta mwilin kwani sukari ambayo itakuwa haijatumika mwilini hugeuzwa na mwili kuwa mafuta na kuhifadhiwa mwilin hii haitaondoka hivi hivi. Zaman hayakuwepo ndo maana walikuwa vizuri sana. Hivi ulishawahi kuangalia wanywaji wa pombe hizi kali au za viwandani hata akiwa mwembamba kakitambi hakakosi zinakemikali zinazosababisha hilo.
2. Punyeto na kuangalia video na picha za ngono ( # # #)
Jaman mambo ya siku hizi ni hatari sana sijui ni seme ni teknologia au utandawazi jaman.
a) punyeto
Punyeto hudhoofisha mishipa inayoingiza damu na kutoa damu kwenye uume. Ifahamike kwenye uume kunamishipa aina mbili inayoingiza damu na inayotoa damu. Tatizo linakuja kwa hii inayoingiza damu kwani inapoingiza damu hutanuka zaidi ya k**a mara 10 ilivyo kawaida na kuufanya uume usimame k**a msumali na pia kuibana mishipa inayotoa damu kwenye uume isitoe haraka haraka sasa kwa mtu ambae amefanya hivyo anazoofisha mishipa hio na kuifanya kutanuka kidogo au kutanuka huku ikiwa haina nguvu k**a zaman hapo ndo utakuta mwanaume mzima uume unakuwa mdogo k**a mtoto mdogo ukiwa umesinyaa kwa sababu mishipa inaludi ndani, hata akimaliza bao la kwanza uume bao la pili uume unasimama lege lege mishipa haina nguvu haiwezi kuibana mishipa inayotoa damu kwenye uume ili iizuie isitoe haraka ndo mtu unakuta bao la pili shida hata akipata uume unakuwa lege lege na hawezi style mbali mbali inabaki 1 tu.
b) kuangalia video na picha za ngono ( # # #)
hii ndo hatari maana inakuhalibu kiakili zaidi yaani kisaikolojia mtu anaona sehem za sili za mwenza wake k**a sehem zingine za mwili tu. Wakati mwingine anapomaliza bao la kwanza hapo mwanamke anamuona k**a mwanaume ham hamna tena mwanamke anahangaika weeeeee hakuna au mpaka mtu aanze kuvuta taswila za picha au video za # # # hapo ndo kwa mbali uume utash*tuka na hapo akichelewa kidogo uume unalala hapo ni mpaka maombi tena. Kuna mwingine atakuambia haina madhara maana hakuna paripoandikwa naomba ufikile mbali sisi tunaamini sana kilichoandikwa na wazungu au kusema na wao leo hii wamehamasisha kwa uzazi wa mpango unajua kilichotokea ujeruman nguvu kazi imeeisha wazee wamekuwa wengi kuliko vijana, vijana waliopo wanawaambia wazae tena watoto wengi hawataki kwa sababu kampeni za kuzaa kwa uzazi wa mpango uwewaingia kuwabadilisha inakuwa ngum mpaka wanatoa motisha wazae sana. Na sisi wanataka tupunguze kuzaa ko hata hayo mavideo na picha za ngono zinamfanya kushindwa kuzaa sasa wewe bao moja ni sekunde huwezi tena utapenda kufanya tendo la ndoa kwa mda mlefu tena.
3. Shuguli za kila siku
Hapa nazungumzia kazi ambayo unaifanga kila siku kuna watu wanafanya kazi ambayo anaweza kukaa kuanzia masaa 4 mpaka 8 au 12 hajainuka sasa hapo lazima ujue sehem zingine za mwili damu haifiki vizuri mzunguko unakuwa hafifu na pia cha kufaham hapo damu ndo inasafilisha virutubisho (madin na vitamin) sehem zote za mwili unapokuwa umekaa Kwa mda mlefu unasababisha baadhi ya sehem kutopata virutubisho vya kutosha na kuufanya mwili usifanye kazi vizuri na haswa mfumo wa uzazi ndo unakuwa umeukalia utatumia madawa weeee lakin utaona tatizo lipo tu kwa sababu zikishapa kuwa dhaifu ili kuludisha kawaida haihitajiki madawa, wala mazoezi tu ni lishe ambayo itaenda kuilisha vyakutosha na kuifanya ifanye kazi yenyewe.
4. Msongo wa mawazo (stress)
Hili ndo tatizo ambalo ni kubwa na humtokea mtu bila kupenda yawezekana ni msongo wamawazo ya kazini, maisha, mahusiano au biashara pia kitu chochote tu. Hili linasababisha matatizo makubwa sana na ndo tatizo linalosababisha vifo vingi duniani na kusababisha magonjwa mengi k**a presha, kisukari na hata stroko. Ukiona umeingia kwenye tatizo hili fanya juu chini uwahi kujikwamua nalo na pia hakikisha unafanya mazoezi na kuufanya mzunguko wa damu upo sawa mda wote iwezekanavyo maana unaweza kuingia kwenye matatizo zaidi ya hilo na yakakugalimu maisha yako.
5. Magonjwa mbali mbali ambayo siyo ya kuambukizwa.
Hapa nazungumzia presha, kisukari, kupooza, hormon imbalance na hata uzito nakitambi ambapo haya yote husababisha mtu nguvu za kiume zipungue k**a siyo kuisha kabisa k**a haujapata tatizo hilo na unahisi nguvu za kiume kapime kwanza hospitalin iliyokaribu yako na k**a unatatizo hilo miongoni mwa hayo na mengine ambayo sijayataja naomba unapoenda kushugulikia tatizo la nguvu za kiume usiende na kutegemea matokeo haraka haraka k**a mtu ambae hana tatizo hilo inabidi k**a ni lishe (virutubisho) uache kuvitumia baada ta kuvitumia kwa miezi 3 mpaka 6 mfulilizo hapo ndo utajua havifanyi kazi wengine wanataka ndani ya siku kidogo awe sawa k**a wengine hapana siyo hivo simaanishi hauwezi kupata matokeo lakin kunauwezekano ukachelewa kuona matokeo kwani hata tatizo lako halikutokea gafla lilianza taratibu hata kuondoa linaondoka taratibu kuwa mvumolivu.
6. Hormon imbalance
Hili tatizo wengi hawalifaham sana kwa upande wa mwanaume wanaona k**a ni matatizo ya wanawake hili hata mwanaume linatokeoa ambapo vichocheo vya kiume hupungua ambavyo ndo vinafanya uume usimame vizuri na kwa mda mwafaka na hata uzazilishaji wa mbegu za kiume uwe vizuri kwa ujumla hormon ndo zinaratibu shuguli za uzazi kwa mwanaume bila hizo kuwa sawa hamna kitu. Zinaweza zikapungua harafu zinaongezeka za k**e hapo ndo matatizo yanapokuwa mabaya zaidi kwani utakuta mwanaume inafika hatua nafanya mambo ya wanawake. Hilo tatizo kupata suluhisho la hospitalin la kudum ni vigum sana. Mara nyingi hutatuliwa na lishe tu.
MWISHO
asilimia 75% ya matatizo ya nguvu za kiume hayahitaji madawa ya hospitalin au madawa ya kiunyeji zaidi ya lishe (virutubisho) tena vinavyohusika na mfumo huo. Ifahamike lishe hizo siyo dawa zinakusaidia kuimalisha sehem ambazo zilipatatizo kutokana na sababu za k**a hizo nilizozitaja hapo na baada ya kuludi kawaida inakutaka kulekebisha pale ulipokuwa unakosea ili uendelee kuwa vizuri zaidi labda uendelee kuzitumia k**a hautaweza kuacha au kulekebisha kile kilichosababisha tatizo hilo maana hii ni lishe wanatumia watu wazima na ambao wanamatatizo.
Baadhi ya lishe ni k**a
/7
Kuna mambo ya msingi kuzingatia kabla haujanza kutumia kwa mtu mwenye shida ya nguvu za kiume, k**a umri wako, kazi yako, mda wa tatizo lako, hali ya tatizolako kwa sasa.
Kwa ambao watataka kuongea na mimi kwa ushauri zaidi au kupata lishe hio piga
0745949701
06/02/2020
famine wash kwa akina mama wanaosumbuliwa na fangasi,u.t.i.miwasho sehemu za siri
FEMININE WASH
Hii huwa inafahamika k**a mkombozi wa wanawake kwa maambukizi ya sehemu za siri.
Imeandaliwa maalum kwa ajili ya wanawake
Imetengenezwa kwa vyakula,mimea na madini na viua sumu mwilini.
Inamadini yanayohuisha uke na kuwa na ulinzi asilia,inaviua sumu vinavyozuia uke kuzeeka(mashavu),uke uliolegea,
Ina mafuta mazuri yanaitwa *essential oil* kwa ajili ya kufanya uke urudishe mnato wake wa asili.
Kazi zake ni hizi hapa👇🏼👇🏼
FEMININEWASH
-Huondoa harufu mbaya ukeni
-Huondoa bacteria wabaya na kuzuia U.T.I
-Huondoa fangasi na miwasho ukeni
-Hurudisha size nzuri ya uke
-Huondoa maji maji yatokayo ukeni yenye Harufu mbaya
-Huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Hufanya mwanamke kujiamini muda wote
-Huzibua mirija ya uzazi hivyo kusaidia wenye shida ya kutoshika mimba
-Humkinga mwanamke na maambukizi mabaya hasa u.t.i kwenye vyoo,kemikali za swimming pool, maambukizi Mabaya kutoka kwa mwanaume.n.k
Mwisho kabisa napenda kushauri wanawake wote uwe unaumwa au huumwi hii supplement ni vizuri kuwa nayo ndani itakusaidia kwenye mazingira usiotegemea
utaipata kwa sh 45000/= tu kwa watu kumi wa mwanzo
# Asanteni kwa kufuatilia ukurasa wangu wa Afya, share ujumbe huu uwafikie watu wengi.
Wasiliana nami +25545949701
KWA NINI KUMEKUWA NA ONGEZEKO KUBWA LA TATIZO LA UVIMBE KATIKA MFUKO WA UZAZI (FIBROIDS) LINALOAMBATANA NA MADHARA MAKUBWA KWA WASICHANA NA AKINA MAMA
✍🏻Kwa mujibu wa jarida la New England Journal of Medicine, kila mwaka zaidi ya wanawake 200,000 wanafanyiwa upasuaji wa kuondoa kizazi chote (hysterectomy) kutokana na tatizo hili la fibroids.
FIBROIDS NI NINI?
✍🏻Fibroids ni uvimbe usio wa saratani ambao hujitokeza kwenye kuta za mfuko wa mimba, uitwao uterusi, uvimbe huu husababisha kubadilika kwa shape na size ya kizazi na pia dalili zingine mbaya.
Wanawake wengi huanza kupata maumivu makali wakati wa hedhi kutokana na uwepo wa uvimbe kwenye kizazi(fibroids.
VIASHIRIA VYA TATIZO LA UVIMBE KWENYE MFUKO WA UZAZI
👉Kupata Hedhi inayochukua siku nyingi kuanzia 7 na zaidi
👉Hedhi nzito
👉Kujiskia umeshiba mda mwingi
👉Maumivu ya nyonga
👉Kupata mkojo mara kwa mara na kushindwa kutoa mkojo wote kwenye kibofu.
👉Kukosa choo kwa muda mrefu au kupata choo kigumu
👉Kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa
👉Maumivu chini ya mgongo na kwenye miguu.
👉Madhara mablimbali ya uzazi k**a ugumba na mimba kutoka.
SABABU ZINAZOPELEKEA ONGEZEKO LA UVIMBE KWENYE KIZAZI
➡Kurithi kwa mama au dada
➡Umri: uvimbe kwenye kizazi (fibroids) hutokea zaidi kwa wanawake kuanzia miaka 35 mpaka 40.
➡Lishe: matumizi ya vyakula vya wanga na sukari kupita kiasi huongeza hatari ya kupata fibroids
➡Uzito mkubwa na kitambi: wanawake wenye uzito mkubwa na kitambi wako kwenye hatari zaidi ya kupata fibroids .
➡Shinikio kubwa la damu
➡Matumizi ya njia za kupanga uzazi: k**a vidonge huongeza ukuaji wa fibroids kwani vidonge hivi huweza kupandisha homoni ya estrogen kwa wingi
➡Kubalehe mapema
➡Wenye matatizo ya tezi ya Thairodi
MADHARA YA FIBROIDS
👉Mimba kutoka/kutoshika mimba kabisa
👉Mimba kutunga nje ya kizazi
👉Kupata hedhi nzito na kwa muda mrefu, hadi siku 7 na zaidi, zaidi ya mara moja kwenye mzunguko mmoja
👉Kupata mkojo mara kwa mara
👉Maumivu wakati wa tendo la ndoa
👉Ugumba
HATUA 6 ZA KUEPUKA NA KUTIBU UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS)
➡Epuka vyakula vyote vinavyoongeza ukubwa wa tatizo k**a:
👉Vyakula vyenye mafuta mabaya na vilivyosindikwa
👉Maziwa yaliyosindikwa na kuhifadhiwa kwenye makopo
👉Matumizi ya sukari kwa wingi
👉Wanga iliyokobolewa sana
👉Pombe na vinywaji vyenye caffeine
➡Kula kwa wingi vyakula vya kukusaidia kutibu na kupunguza makali ya uvimbe k**a:
👉Vyakula vilivyoandaliwa pasipo matumizi ya kemikali (organic foods)
👉Mbogamboga za kijani
👉Vyakula vyenye Beta carotene kwa wingi na madini ya chuma
➡Jaribu kutumia baadhi ya virutubisho kwa ajili ya kupungeza ukubwa wa uvimbe.
👉Mafuta ya samaki(fish oil) kusaidia kupunguza mcharuko kwenye mwili na hivo kusaidia kuondoa uvimbe kwenye kizazi
👉Pata vyakula vyenye Vitamin B complex ili kurekebisha kiwango cha homoni ya estrogen kwenye mwili na hivo kupunguza ukuaji wa uvimbe
➡Kunywa chai/kahawa tiba (herbal tea/coffee) husaidia kubalansi homoni zako na hivo kusaidia katika kutibu/kuzuia uvimbe.
➡Jiepushe na mzingira hatarishi yenye sumu ambayo huchangia kukua kwa uvimbe kwenye kizazi (fibroids) kwa kuharibu mpangilio wa homoni.
➡Fanya mazoezi ya kutosha walau mara 3 kwa week yatasaidia kuzuia kutokea kwa uvimbe kwenye kizazi. Mazoezi hurekebisha presha ya damu, kuimarisha kinga, na kubalansi homoni zako
âš K**a hutoweza hatua hizo, wasiliana nasi kupata mjumuiko wa vitu hivi, kwa matibabu ya FIBROIDS.
Contact: WhatsApp/Call +255 745949701
05/02/2020
MADHARA YA REHEMU (CHOLESTEROL) MWILINI.
KWANZA KABISA NI MUHIMU TUKAJUA KUWA KUNA AINA NYINGI ZA CHOLESTEROL (REHEMU) .
LAKINI NAOMBA NIONGELEE AINA MBILI TU .
1. REHEMU MBAYA (LOW DENSITY LIPOPROTEIN)
2.REHEMU NZURI (HIGH DENSITY LIPOPROTEIN).
REHEMU MBAYA HUFANYA KAZI YA KUBEBA MAFUTA NA KUYAPELEKA KWENYE MISHIPA YA DAMU K**A UNAVYO ONA KATIKA HUO MCHORO.HIVYO KUSABABISHA KIPENYO CHA MISHIPA YA DAMU K**A ILE INAYO UPATIA MOYO DAMU KIWE KIDOGO NA KUPELEKEA KU0NGEZEKA KWA PRESHA KATIKA HIYO MISHIPA. HALI AMBAYO HUFANYA MISULI YA MOYO IKOSE HEWA PAMOJA NA VIRUTUBISHO MUHIMU.NA HIVYO KUPELEKEA MAUMIVU MAKALI YA MOYO AMBAYO HUITWA KITAALAM (ANGINA).
HALI HII PIA HUFANYA MOYO USHINDWE KUFANYA KAZI YAKE VIZURI.
ANGALIA HIYO PICHA HAPO CHINI AMBAYO INAONYESHA MAUMIVU YA MOYO (ANGINA).
REHEMU NZURI (HDL) HUFANYA KAZI YA KUPUNGUZA MAFUTA KWENYE MISHIPA YA DAMU .HIVYO KUPUNGUZA MADHARA YA REHEMU MBAYA .NADHANI MPAKA HAPO UMEELEWA KWANINI INAITWA GOOD CHOLESTEROL.
TIBA BORA NI CHOREDUZ inakwenda kuungaza rehemu yote
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Kirumba
Mwanza
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |
| Sunday | 09:00 - 17:00 |