Robinson health care

Robinson health care

Share

Robinson health care, ipo kwaajili ya kusaidia watu wenye matatizo ya kiafya ili kuweza kuwafanya wawe na afya njema na wenye furaha.

05/06/2020
27/05/2020

Shirika la Afya duniani (WHO), linasema ili mtu awe na afya njema.
Kwasiku mtu anatakiwa atumie matunda aina 7
Pia kwa siku mtu anatakiwa atumie mboga mboga aina 7.
Na hivi vitu mtu anatakiwa atumie ganda, nyama na Mbegu yake.mfano parachichi inatakiwa kutumia ganda, nyama na Mbegu yake kwani inavirutubisho asilimia zaidi ya 60% lakin ukitumia nyama pekee ya parachichi utakuwa umetumia si zaidi ya asilimia 20% ya virutubisho, asilimia zingine utakuwa umetupa,
Sasa mfano kwa mtu ambae anatakiwa aweze kua na afya njema hasa kwa sisi.
1 chai k**a unaviazi nyumbn tumia chai isiwe na majani ya madukani maana yanakafeini ambayo ni sumu, tumia majani asilia, lakin pia chapati tumia ingawa sio kila sku na vyakula vingine ambavyo ni asilia havijawekewa sumu.
2 mchana nimuda wakula vyakula vile vigumu mfano ugali na vitu vingne mfano makande, lakin pia kila mulo usisahau kutumia matunda.
3 usku si muda wakula vyakula vigumu maana mwili unahitaji kupumzika unatakiwa kutumia vyakula laini, na wakati wa usiku hua nashauli Sana ndio muda wa kutumia matunda kwa wingi yataenda kufanya kazi vizur maana mwili tayr umepumzika.
Prepared.
By
Dr Musa.

23/05/2020

-Matatizo kwenye mishipa itumikayo kusafirisha damu mwilin.
-maradhi ya ngiri pamoja na upigaji punyeto kwa muda mrefu.
Na Leo nataka tuangalie namna suala la upigaji punyeto linavyo athiri nguvu za kiume.
Kabla hatujaangalia namna suala la upigaji punyeto linavyo maliza nguvu za kiume, ni vyema tukafahamu kwanza kuhusu mfumo wa nguvu za kiume

SAYANSI YA MFUMO WA NGUVU ZA KIUME IKOJE?.
Ili mwanaume awe na nguvu za kiume na endelee kuwa na nguvu za kiume na azilinde nguvu zake za kiume ni lazima ogani zote zinazo husika na mfumo na ziwe na ushirukiano thabiti na wenye afya.
Vile vile utagundua kuwa mambo makuu muhimu ni K**a yafuatayo:-
1:mishipa imara ya ubongo na yenye afya njema.
2: mishipa imara ya uti wa mgongo.
3: mishipa imara itumikayo kusafirisha damu mwilini .
4:mishipa ya uume iliyo imara na yenye afya njema.
5:mhusiano imara na wenye afya Kati ya mishipa ya fahamu iliyopo katika ubongo .
Mishipa ya kwenye uti wa mgongo pamoja na misuli na mishipa ya kwenye uume.

21/05/2020

BAADHI YA MADHARA YA KUPIGA PUNYETO.
Hisia hizi huanza kujitokeza pale mtu anapofikia wakati wa kubarehe. Hapa ndiyo wakati mgumu na mbaya kwa kijana hasa kwa asiyejitambua na asiye na usimamizi wa karibu wa wazazi au mlezi.
Muda huu kijana hutaman Sana kuwa na mpenzi au mke na akikosa ndipo kujiingiza kwenye swala la kujichua .
Na hii hupelekea madhara k**a haya:-
🔩punyeto hukufanya uwe dhaifu, inapoteza protini na kalsiam ndani ya mwili wako.
🔩huleta matatizo kwenye neva nyorojia ndani YA mwili na kupelekea matatizo ya macho kutokuona vizuri.
🔩ni moja ya kisababishi kikuu cha uhanithi (uume kushindwa kusimama).
🔩punyeto inaongeza aibu, inapunguza uwezo wa kujiamini.wengi waliozoea kujichua hata kutongoza kwao huwa ni kazi kubwa mno kiasi wengine huona bora kuendelea kujichua kuliko kutongoza mwanamke.
🔩punyeto inapelekea tatzo lingine kubwa zaidi nalo kuwahi kufika kileleni utakaposhiriki tendo na mwenzi wako.
🔩punyeto inapelekea kuathiri akili, maana yake kuwa teja wa punyeto na hivyo kupelekea mtu kuwa anatafuta picha za uchi kwaajili ya kutafuta hisia.
🔩punyeto hupelekea mtu amfikiria mtu ambaye hayupo karibu nae na hii ni mbaya Sana kisakorojia .
🔩 punyeto inapelekea mfadhaiko ( stress) kwenye akili na kwenye roho yako pia.
🔩 punyeto kusababisha ugonjwa wa kupoteza kumbukumbu, ni vigumu kuwa na akili ya utulivu na kumbukumbu vitu k**a tayari umeshakuwa teja wa punyeto.
Je ufanye nini ili kuacha punyeto au usishiriki mchezo huu mchafu?.
👉k**a muda na umri haukuruhusu kuwa na mke au mchumba basi Fanya yafuatayo:-
1:k**a bado unasoma kuwa bize na masomo na ujiepushe na makundi hatarishi.
2: jishughulishe na mazoezi ya viungo kila siku. Hii itachosha mwili wako na hivyo hautapata muda wakuuchosha tena zaidi kwa kujichua.
3:futa picha zote chafu iwe kwenye simu au computer yako na usitembelee blog au tovuti yeyote yenye picha hizo.
4:k**a tayari umeshao basi ni dhambi kubwa Sana kuendelea kupiga punyeto, utaishiwa nguvu na unaweza kukosa uwezo wakumpa ujauzito mkeo siku za usoni.
Kwamsaada zaidi usisite kupiga simu kutuma text usaidiwe.
Prepared by
Dr Musa.
Be blessed.

19/05/2020

Zaidi labda niseme kwamba ,nguvu za kiume ni kiwanda ni zaidi ya kiwanda tukichukulia kiwanda k**a mfano ni kwamba ndani yake kuna , umeme, maji, madawa, watu, mashine, mitambo n.k
Ikitokea kitu kimoja kukosekana mathalani umeme au wafanyakazi , wakagoma au kukakosekena madawa basi bidhaa inayotarajiwa kupatikana sokoni kwa hakika haitapatikana.
Vivyo hivyo nguvu za kiume mathalani ikitokea tezidume kitokufanya kazi vyema basi hapo mwanaume hataona nguvu za kuona nguvu za kiume, zitapungua au zitaisha kabisa .
-kwa hiyo upungufu wa nguvu za kiume ni upungufu au kasoro za kiutendaji wa viungo ndan ya mwili wa nwanaume . Mwanaume vyovyote anapaswa kutambua jambo hili na siyo kukurupuka kubugia dawa tu.
Lakin nini kinachosababisha viungo hivyo vishindwe kufanya kazi vizuri.
Kunamaradhi kadhaa, vyakula tunavyokula ,tabia na mtindo wa maisha vinavyoweza kupelekea viungo hivyo kitokufanya kazi vizuri.
Baadhi ya maradhi hayo na tabia hizo ni:
🔩 kujichua / punyeto.
🔩Kisukari
🔩presha ya kupanda na kushuka
🔩uvutaji wa sigara
🔩Unywaji wa pombe
🔩madawa ya kulevya
🔩kufanya kazi kupita kiasi na kukosa muda wa kupumzika
🔩kuyokunywa maji ya kutosha
🔩tatzo la kufunga choo hasa pale unapotumia nguvu nyingi kuskuma choo.
🔩Kitokufanya mazoezi
🔩uzito mkubwa/unene mkubwa
🔩Kuvimba kwa tezidume
🔩vyakula vya mafuta .
🔩 maumivu ya mgongo/kiuno
🔩madawa ya kemikali( dawa za hospital)
🔩kiharusi( stroke).

KOSA KUBWA WANALOFANYA WANAUME WENGI.
Wanaume wengi wanapnguliwa nguvu za kiume hukimbilia kutafuta dawa za kuongeza nguvu za kiume na siyo kutibu chanzo cha tatzo .
-hili ni kosa kubwa sana,Nikosa kubwa kubugia dawa za nguvu za kiume bila kujua tatzo na bila kujua dawa itaenda kutibu sehemu gani ya mwilini. Kwa hali hiyo utamaliza miaka 100 na hata miaka elfu moja na hautapona.
Upungufu wa nguvu za kiume ni lazima utibiwe kuanzia chanzo cha tatizo, mfano K**a ni tatizo la homoni lijulikane kwanza k**a ni tatizo la tezi lijulikane kwanza kabla ya yote.
-kosa lingind wanalofanya wanaume wengi ni kukimbilia dawa za kikemikali . Dawa hizi sio kwamba hazitibu tu chanzo cha tatizo Bali pia zina madhara mengi Sana kiafya pia.
Dawa hizi hufanya kazi ya kuulazimisha moyo kusukuma damukuma damu kuingia katika uume, kwa kua active nitric oxide, matokeo yake ni kwamba viungo ambavyo ni vigonjwa vitalazimika kufanya kazi huku vikiumwa na hatimaye vitadhoofika kabisa, k**a vile ambavyo wewe utalazimishwa kufanya kazi, utafanya siku ya kwanza ukiwa unaumwa ila kadri unavyozidi kufanya kazi mwili unazidi kuchoka zaidi.
Hiki ndicho hutokea, wahanga wengi ukikutana nao w atakuambia pindi natumia dawa za hospitali nwanzoni zilikuwa zinanisaidia ila kadri nilivyo kuwa naendelea kutumia nguvu zinazidi kuisha tu.
Ko Mimi k**a mtaalamu wa afya nipo kwaajili ya kusaidia watu k**a hawa sio kuwapa tu dawa Bali lazima tujue tatizo la kila mmoja maana sio wanaume wote wana tatizo moja kuhusu nguvu za kiume Bali wanatofautiana .
✏️Ushauli wa afya yako kwa ujumla .
👍tunakupa ushauri mpaka kuhusu nguvu za kiume .Tunakushauri juu ya afya yako kwa ujumla., tunakushari juu YA nini ule na nini usile , na vitu vingi pia.
@ Musa Joseph
Mtaalamu wa afya
0766017516.

19/05/2020

SOMO KUHUSU TATIZO LA NGUVU ZA KIUME
Leo katika siku hizi za sayansi na technolojia tatzo la kupungua nguvu za kiume limekuwa kubwa Sana, siyo Tanzania tu bali duniani kote hapo zamani tatizo hili lilikuwa la wazee zaidi , lakin leo jambo hili limerudi kwa vijana utakuta kijana miaka 18-25 ana tatizo la nguvu za kiume, na anavyofanya tendo la ndoa sawa na mzee mwenye miaka 90.
Atakuambia nafika mapema kileleni ndani ya dakika mbili tu au nikimaliza tendo la ndoa raudi ya kwanza siwezi kurudia tena mpaka kesho yake .
Kwa bahati nzuri matatizo mengi ya nguvu za kiume yanatibika lakin iwapo tu matibabu sahihi (yanayoanza kwenye chanzo cha tatizo yatapatikana).
Kupungua nguvu za kiume siyo ugonjwa ni dalili ya ugonjwa k**a sababu zake ndani ya mwili.
Sababu hizo ni nyingi mno ni zaidi ya 100. Anatakiwa dakitari mtaalamu aliyebobea katika :-
✍️uzazi
✍️mifumo ya mkojo
✍️anayelijua vizuri figo ndani na nje.
✍️ini na figo

Na inatakiwa dawa iende kutibu chanzo cha tatzo.
Jambo mhimu analopaswa mwanaume yeyote kufahamu ni kwamba, kupungua nguvu za kiume siyo ugonjwa ni dalili ya ugonjwa.
Sentensi hii ina maana gani?.
Twende pamoja.
NGUVU ZA KIUME NI NINI
Nguvu za kiume ni jina la jumla lenye vipengele vingi ndani yake ikiwa ni pamoja na -
✏️hamu ya mapenzi
✏️kusismama kwa uume barabara
✏️kuchelewa kufika kileleni kiasi cha kufurahia tendo la ndoa.
✏️uwezo wa kurudia tendo la ndoa kwa wakati mwafaka.
✏️pumzi .
✏️wepesi na uchangamfu wa mwili katika kutenda tendo lenyewe.
👉kuna watu huwa hawajitambui k**a wanatatizo la kuishiwa nguvu za kiume na hatimaye tatzo linakuwa kubwa , ukweli ni kwamba :
📚k**a unakosa hamu ya tendo la ndoa una tatzo la kuishiwa nguvu za kiume.
📚k**a uume hausimami barabara , unaupungufu wa nguvu za kiume
📚k**a uume wako hulegea muda mfupi tu baada ya kuingia ukeni, unatatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
📚k**a unafika kileleni muda mfupi tu baada kuingia ukeni, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
📚k**a unashindwa kufika kileleni una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
📚k**a unaskia maumivu wakati uume unaposimama, unatatzo la kuishiwa nguvu za kiume.
📚k**a unashindwa kutoa mbegu (shahawa) una tatzo la kuishiwa nguvu za kiume.
K**a matatizo hayo yatakutokea, fahamu YA kwamba unaupungufu wa nguvu za kiume
Basi ni muda wa wew kuchukua maamzi ya matibabu kabla tatizo halijawa kubwa ( chelewa chelewa utakuta mwana si wako.)
Ni viungo gani mwilini vinavyohusika kufanya kazi za nguvu za kiume.
Nguvu za kiume ni tukio pana Sana lenye kuhusisha viungo na vitu vingi ndani ya mwili .
Kuna zaidi ya viungo na vitu mbalimbali zaidi ya mwili wa nwanaume vinavyohusika na nguvu za kiume ambapo viungo hivi pia hufanya kazi zingine za mwili.
Baadhi ya viungo hivyo ni.
✍️ubongo
✍️moyo
✍️mishipa ya neva
✍️mirija iliyomo ndani ya uume
✍️figo
✍️homoni ya test stone
✍️uti wa mgongo
✍️eneo la chini YA mgongo(kiuno)
✍️eneo la nyonga
Nini maana ya kupungua nguvu za kiume.
Unapopungua nguvu zakiume , k**a nilivyosema hapo awali, ina maana ndani ya mwili wako kuna baadhi ya vitu katika vitu nilivyovitaja hapo juu havifanyi kazi vizuri jinsi ipasavyo.
Yawezakuwa figo au ini haifanyi kazi vizuri ,upungufu huo unaweza huo unaweza kuwa ni:-
1 kukosa hamu ya mapenzi
2uume kusimama kwa uregevu
3kuwahi kufika kileleni
4kuchelewa Sana kufika kileleni.
5kushindwa kurudia tendo
6kuchoka Sana baada ya tendo

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mwanza?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Mwanza
00000