Bfsuma helth & Natural Product
Tunajishughulisha na uuzaji na usambazaji wa Dawa mbali mbali ambazo hutibu magonjwa sugu k**a;kisuk
06/05/2020
Mwanamke K**a una matatizo yaliyoorodheshwa hapo chini kwenye picha hujachelewa suluhisho lako lipo kwetu wasiliana nasi uweze kupata tiba ya uhakika juu ya tatizo lako la uzazi 0768032262
06/05/2020
0768032262.
UGONJWA WA KUTOKUPATA CHOO NA BAWASIRI
WATU wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba.
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!! ~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na Inje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe. ~ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika k**a piles. ~tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50
AINA ZA BAWASIRI ~Kuna Aina mbili za bawasiri (A) BAWASIRI YA NDANI
~Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
~Aina hii imegawanyika katika madaraja manne (1)DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahali pale panapohusika (2)DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja na kurudi yenyewe ndani baada ya kujisaidia. (3)DARAJA LA TATU :hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe. (4)DARAJA LA NNE :hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi (B)BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS
CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
° KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE.
°KUHARISHA KWA MUDA MREFU
TATIZO LA KUTOPATA CHOO.
°MATATIZO YA UMRI.
°KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
UZITO KUPITA KIASI.
°MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU.
DALILI ZA BAWASIRI. √ Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa. .
06/05/2020
K**A UNA TATIZO LA MIFUPA NA MAUNGIO (JOINTS) SULUHISHO LIPO WASILIANA NASI UPATE TIBA
call/sms/ tukuhudumie 👇👇
0768032262
06/05/2020
ZIJUE FAIDA 9 ZA FEMICARE
1⃣huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaoshare vyoo
2⃣inatibu Fangasi sugu ukeni, na U.T.I sugu
3⃣Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D
4⃣huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika
5⃣Inafanya uke kuwa msafi na mkavu muda wote.
6⃣Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika.
7⃣Inakaza misuli ya uke uliolegea na kuwa tight.
8⃣Inaondoa maumivu ya tumbo chini ya kitovu. (chango)
9⃣ inaondoa michubuko ukeni,..piga no 0768032262/whatsapp
06/05/2020
Wasiliana nasi tukupatie tiba k**a una tatizo la P.I.D 0768032262
06/05/2020
TATIZO LA VIDONDA VYA TUMBO LIMEKUWA GUMZO KWA WATU WENGI SANA DUNIANI BFSUMA TUMEKUJA NA SULUHISHO LA TATIZO HILO JIPATIE DOZI YA DAWA HIZI ZA VIDONDA VYA TUMBO KWA BEI NAFUU KABISAA NA UHAKIKA INAPONYA KWA 100% NA WENGI WAMETUMIA WAKAPONA KABISAA TUNAPATIKANA MWANZA PIA NA MIKOA MINGINE TUNATUMA PIGA/WHATSAPP/SMS👉0768032262
06/05/2020
K**a una tatizo la Upungufu wa nguvu za kiume suluhisho lako hili hapa sasa👇Hii dawa unatumia ndani ya mwezi mmoja na tatizo lako linaisha kabisaa kumbuka mwanaume nguvu za kiume ili uheshimike kwenye ndoa yako k**a una tatizo hilo wahi sasa tukupatie dawa
Piga/whatsapp 0768032262
06/05/2020
Wanawake wenye matatizo haya naomba uwasiliane na Mtaalamu ukupatie dawa hii ni nzuri sana hususani kwa wenye matatizo ya uzazi homo kuvurugika mara unaingia 12 mwezi ujao tarehe 20 hii ni hatari sana wahi sasa dawa ipo Tunapatikana Mwanza wasiliana nasi 0768032262
26/04/2020
Dawa za vidonda vya tumbo zinatakiwa zitumike pale panapohitajika tu, siyo maisha yako yote.
Kwa kawaida dawa za hospitali mara nyingi huja na maudhi mbalimbali kwa kuwa ni dawa ambazo zimetengenezwa kwa kemikali.
Dawa pekee ambazo ni rahisi na za uhakika na hazina madhara ni dawa asili.
Changamoto kubwa kwa hapa nchini ni kuwa huduma hii ya tiba asili bado haijapata wataalamu wengi waliobobea wa kutoa bidhaa bora na zenye kufanyiwa utafiti wa kutosha na zenye kiwango cha kimataifa.
Vidonda vya tumbo ni nini?
Ni kuharibika kwa ukuta wa tumbo la chakula na sehemu ya mwanzo ya utumbo mwembamba. Kuna aina kuu mbili za vidonda vya tumbo
1. Gastric ulcers-hivi hutokea kwenye mfuko wa tumbo la chakula.
2. Duodenal ulcers-hivi hutokea sehemu ya mwanzo ya utumbo mwembamba.
Chanzo cha vidonda vya tumbo ni kuongezeka kwa asidi kwenye tumbo la chakula.
Dalili za vidonda
Baadhi ya dalili za vidonda vya tumbo njaa kupita kiasi hasa usiku, tumbo kuwaka moto sehemu ya juu kwenye chembe, tumbo kujaa gesi, kuhisi kichefu chefu na kuharisha kutokana na kubagua vyakula.
Tiba asili ya vidonda vya tumbo
Mawasiliano whatsapp;0768032262
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Nyerere Road Mwanza
Mwanza