Aevajo Health Care
Tunatoa elimu na tiba Kwa changamoto za kiafya ikiwemo vidonda vya tumbo, mifupa & maungio n.k.
22/02/2023
ππππππππππ ππ ππππππ ,(πππππππ πππππππππ π©Ίπ).
Call π π²
πMvurugiko wa homoni za mwanamke ni kitendo cha kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapo pata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika. Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya 80%
ππππππ πππ πππππππππ ππ ππππππ
βΊοΈUwepo wa sumu mwilini
βΊοΈUnbalanced Lifestyle (mfumo mbovu wa maisha).
βΊοΈUmri ukienda sana Kukoma kwa hedhi
βΊοΈUzito mkubwa.
βΊοΈMabadiliko ya mazingira
βΊοΈMsongo wa mawazo
βΊοΈUpungufu wa lishe mwilini.
βΊοΈMatumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango.
βΊοΈUtoaji wa mimba
βΊοΈOngezeko la homoni ya Androgen (Kuota ndevu, sauti k**a mwanaume)
ππππππ ππ πππππππππ ππ ππππππ
βΆοΈUke kuwa mkavu
βΆοΈMaumivu wakati wa tendo la ndoa
βΆοΈMaumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi.
βΆοΈUpungufu wa hamu ya tendo la ndoa.
βΆοΈMabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja).
βΆοΈKukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi.
βΆοΈUchovu wa mara kwa mara.
βΆοΈHoma za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara.
βΆοΈMzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula.
βΆοΈOngezeko la tumbo na nyama uzembe.
βΆοΈKuharibika kwa ngozi (chunusi, vipeleβ¦ n.k).
βΆοΈKupata hedhi wakati wa ujauzito
βΆοΈMwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi.
βΆοΈMaumivu ya kichwa mara kwa mara.
πππππππ ππ πππππππππ ππ ππππππ
β‘οΈKupatwa na maambukizi ukeni mara kwa mara
β‘οΈKutoshika ujauzito kwa muda mrefu
β‘οΈMimba kuharibika mara kwa mara
β‘οΈKukosa mtoto au Ugumba.
β‘οΈMaumivu wakati wa tendo la ndoa.
β‘οΈKuwa na tabia na maumbile ya kiume
β‘οΈUTI (Urinary Tract Infection) ya mara kwa mara.
β‘οΈKuziba kwa mirija ya uzazi.
β‘οΈkupatwa na saratani ya kizazi
β‘οΈUvimbe kwenye kizazi mwanamke (Fibroids and ovariancysts).
πππππππππ/πππππππ
β‘οΈWanawake wengi baada ya kujifahamu kuwa homoni zao haziko sawa huenda
mahospitalini ambako hupewa madawa (bioidentical or synthetic hormones) na
wengine hufanyiwa hormone replacement therapy.
β‘οΈTiba hii huandaliwa kwa ajili ya kuzifanya homoni zifanye kazi zake k**a kawaida.
Lakini hupelekea madhara k**a: Kuongeza uwezekano wa shinikizo la damu,Madhara katika mfumo wa uzazi,Saratani na mengineyo.
β‘οΈMvurugiko wa homoni unasababishwa na upungufu wa lishe, msongo wa mawazo, na uwepo wa sumu mwilini. Sumu zikizidi mwilini mwanamke huzeeka kabla ya wakati na kupatwa na changamoto mbalimbali za kiafya ikiwemo; vimbe zinazo jipachika kwenye uzazi wa mwanamke, vidonda vya tumbo, n.k.
πNamna nzuri yakutibu tatizo la homoni ni kutumia virutubisho lishe ,,ππππππ πππππAπππ ππππ & ππππππππ ππππππ ππππππ.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mwanza