Achieve better health results
Aiming to eliminate health complications originating from the core root of the problem.
24/01/2023
💮Gusa maisha ya ndugu, jamaa, rafiki au mzazi kumpa taarifa hizi.
💮Karibu nikuelimishe🙂
24/01/2023
💮Seli kwenye mwili wa binadamu ndio kitu muhimu maana ndio zinazopelekea shughuli zote za mwilini kufanya kazi ipasavyo. Kufeli kwa seli husika husababisha kuharibika na kufa kwa kiungo husika mwilini.
💮Double Stemcell huhuisha na kuongeza kuzaliwa kwa seli ndani ya mwili na kuweza kusaidia viungo vyote kufanya kazi vizuri bila Kufeli.
24/01/2023
💮Karibuni...
💯ORGANIC & PERFORMANCE.
24/01/2023
STROKE AU KIHARUSI NI NINI?
°
Ni hali ya mwili kupoteza uwezo wake wa kufanya kazi upande mmoja aidha kulia au kushoto na kwa kiwango kidogo unashindwa kufanya kazi kiunoni kushuka chini. Stroke inatokea pale ubongo unapokosa damu ya kutosha na hewa safi ya oxygen na virutubisho muhimu ambapo hupelekea cells za ubongo kufa kwa haraka.
~
SABABU ZA STROKE.
1. Upande mmoja wa uso kushika ganzi
2. Kushindwa kuongea au kupata tabu ya kuongea.
3. Kushindwa kuielewa au kupata tabu ya kuielewa
4. Mdomo kwenda pembeni
5. Mkono au mguu wa upande mmoja kuwa mzito au kushindwa kuunyanyua
6.Maumivu makali ya kichwa
7. Kizunguzungu pamoja na kutapika 8. Kushindwa kuona vizuri
°
SABABU ZA STROKE
1.Kuziba kwa mishipa ya damu kichwani kwa sababu mbalimbali ikiwemo na kuganda kwa damu
2. Kupasuka kwa mishipa ya damu kichwani na kupelekea damu ishindwe kufika katika ubongo
~
MAMBO YANAYOPELEKEA KUTOKEA KWA STROKE
1. Uzito uliopitiliza au kuzidi
2. Tatizo la presha ya kupanda
3. Lehemu(cholesterol) mbaya kwenye mishipa ya damu(mafuta yasiyoyeyuka)
4. Unywaji wa pombe uliopitiliza
5. Utumiaji wa dawa kwa kipindi kirefu
6. Kukaa bila kufanya mazoezi au kutojishughulisha.
°
Hayo ni baadhi tu ya mambo ambayo hupelekea aidha kuziba au kupasuka kwa mishipa ya damu kichwani au kupata stroke na hii kuziba ya damu ndio iko kwa Kiasi kikubwa ndio maana watu pressure lakini wanapata stroke.
~
USHAURI KWA MGONJWA WA STROKE.
Bidhaa zetu za Stemcell ni suluhisho kwa ugonjwa huu, huimarisha afya yako na tatizo hili utalisahau kabisa.
Kazi kubwa ya bidhaa yetu inaenda kuzalisha seli mpya mwilini ambapo chanzo kikubwa cha magonjwa mengi ni kutokana na uharibifu wa seli.
Kwa ushauri au maelezo zaidi Piga 0719211561.
24/01/2023
HEBU TEGA SIKIO,
💧Katika mwili wa binadamu kila sehemu au kila kiungo kina seli shina ambazo zina jukumu fulani kwa mfano katika ngozi kuna seli ambazo zina jukumu la kutengeneza na kurekebisha ngozi wakati wote endapo ikiwa imeharibiwa n. k.
💧Kuanzia umri wa miaka 25 na zaidi utengenezaji wa seli shina hupungua mwilini ambapo hali hii inaweza kusababisha kupata magonjwa hatarishi.
💧Kwa hiyo matumizi ya bidhaa za seli shina( DOUBLE STEMCELL ) husaidia kuzidisha na kuimarisha seli shina zako hivyo kuongeza kasi ya Uponyaji wa magonjwa na kusaidia mwili kuwa na afya njema wakati wote.
💧Wengi wameona mabadiliko makubwa katika siku za mwanzo wanapotumia bidhaa zetu za DOUBLE STEMCELL . Hii ni bidhaa bora sana kwa wale wenye magonjwa k**a;
°Kisukari /Diabetes mellitus.
°Saratani / cancer aina zote.
°Kiharusi/Stroke
°Siko seli/Sickle cell.
°Arthritis.
°Fibroids.
°Ovarian cysts /uvimbe kwenye kizazi.
°HIV/AIDS/ CD4 count.
°Matatizo ya uti wa mgongo.
°Vidonda vya tumbo/ Stomach Ulcers.
°Mirija ya uzazi kuziba kwa wanawake.
°Asthma /Pumu/Allergies.
°High blood pressure / hypertension.
°Matatizo ya moyo.
°Matatizo ya Figo na ini.
°Matatizo ya macho/Pressure ya macho.
°Matatizo ya uzazi kwa wanawake na wanaume.
°Kukosa hamu ya tendo la ndoa,
pamoja na magonjwa mengine zaidi ya 200.
24/01/2023
💮NJIA RAFIKI NA SALAMA YA KUONDOKANA NA TATIZO LOLOTE.
💮NATURAL 💯
24/01/2023
Uhalisia wa uhai ndani ya satchet moja. 💮
Asubuhi na jioni💮
Ladha na harufu ya kushawishi pia💮
24/01/2023
VIDONDA VYA TUMBO NI NINI?
-
Ni kuharibika kwa ukuta wa tumbo la chakula na sehemu ya mwanzo ya utumbo mwembamba. Kuna aina kuu mbili za vidonda vya tumbo.
1. Gastric Ulcers: hutokea kwenye mfumo wa tumbo la chakula.
2. Duodenal Ulcers : hutokea kwenye sehemu ya mwanzo ya utumbo mwembamba.
-
CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO
-
1. Bacteria waitwao Helicobacter Pylori(H. Pylori)
2. Matumizi ya dawa za kupunguza maumivu k**a aspirin (NSAIDs), (Advil, Aleve na zingine)
3. Kuwa na mawazo mengi
4. Kula vyakula vinavyozalisha acid kwa wingi
5. Kunywa pombe na vinywaji vikali
6. Uvutaji wa sigara
7. Kutokula mlo kwa mpangilio.
-
DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
-
1. Kupata maumivu ya tumbo yanayokuwa k**a ya moto (kuunguza) baada na kabla ya kula.
2. Kupatwa na kiungulia karibu na chembe ya moyo.
3. Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa.
4. Kichefuchefu na kutapika (yawezekana kutapika damu).
5. Kupata haja kubwa ya rangi ya kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana, pia haja ya kuchanganyikana na damu.
6. Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito.
7. Kushindwa kupumua vizuri
-
USHAURI
Tumia bidhaa ya stemcell ni suluhisho kwa tatizo hili maana huondoa chanzo na ugonjwa na sio kutuliza maumivu tu. Bidhaa yetu ni 100% natural (isiyo na kemikali) na 100% HALAL ambayo humponya mtu na kuimarisha afya yake.
0719211561.
24/01/2023
As time goes we get easy solutions to harsh problems. Phtyo stemcell has been made more cheaper for everyone to afford in their homes.😊
24/01/2023
Phyto stemcell inaondoa tatizo lolote kwenye kizazi e. g
Mirija kujaa maji na kuvimba
Uvimbe(fibroids) na tatizo lolote lile linalohusiana na afya ya uzazi.
31/12/2022
📌 STEMCELL THERAPY is a HEALING REVOLUTION.
📌When it comes to protecting your HEALTH, as well as your family's HEALTH, the choices are really QUIET SIMPLE.
1. You can choose the agenda of our current pharmaceutical culture such as medications, surgeries, etc.
OR.
2. You can choose to ADOPT a mind-set prevention and be proactive in your steps when it comes to the essential area of your HEALTH.
THE CHOICE IS ENTIRELY YOURS.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Mwanza