Dawa Ya Fangasi Sugu
Jinsi ya kutibu changamoto ya Fangasi na uzazi
08/07/2022
Dawa ya kukuza urefu na upana wa maumbile na nguvu za kiume bila madhara kwa siku 14 Namna ya kuongeza maumbile bila madhara toka conclusive herbal clinic LINK YA GROUP LA WANAUME https://chat.whatsapp.com/Fr2VSThZTZbEJJ7E8qEDbqAU PIGA SIMU...
10/03/2022
U.T.I ninini? kwanini ikutese na kwanini umekubali vijidudu vidogo vikutese ?
Mazoea ya kutumia majani ya mchai chai yatakusaidia kutupilia mbali UTI
🙂NIMETESEKA SANA NIFANYE NINI ?
1.chukua majani 5-7 ya mchai chai ,majani 5 ya mparachichi ,majani 5 ya mstaferi na kipande Cha alovera chenye urefu wa inch 3 yaani kidole 1 Kisha weka robo kikombe Cha majani ya mwarobaini Kisha yachemshe kwa pamoja katika maji ya lota 1 au 1 na nusu kwa dakika 20 .
Kinywa robo kikombe asubuhi na robo kikombe jioni kabla ya kula
2.Tumia matunda asubuhi hasa nanasi na ndizi
3.kunywa maji ya kutosha angalau glass 6 kwa siku
⁉️Safisha vyoo na mabafu kwa sabuni ,Acha kila maandazi na chapati namikate na sembe kwani vyakula hivi hichocheaukuaji wa wadudu .
JIUNGE NA DARASA LA FANGASI NA UTI BUTE kwa kubonyeza link hapa chini
https://chat.whatsapp.com/DjXsGFtTjgI40rcADM6S3P
CNC
09/03/2022
Hedhi inatoka bila kukoma ? unatumia vidonge lakini mwisho inatoka tu ? Unaziba na nguo inatoka tu ? unakunywa dawa za kurekebisha vichocheo vya k**e lakini inatoka tu ? Unavaa ped lakini inatoka tu K**a mama alie jifungua ?
Pole na hongera Sana maana huwenda leo ndio siku ya kuwekwa huru ,ujumbe huu usiupuuzie maana Mungu ameamua kukuonyesha malango wa kutokea changamoto yako .
CNC tumekuwa tukitibu watu wa jinsia ya k**e wenye changamoto za kukosa watoto na kutokwa na hedhi kuliko kawaida . Nimekutana na wamama ambao kwa mwezi wanaingia wiki 3 lakini sasa wapo huru kabisa .
Wewe unasubiri nini ? Unanunua vifutio hadi lini ? Utaendelea kubaki katika magomvi na mwenzi wako sababu hapati haja yake hadi lini ?
Dakika 5 tu za kupiga simu kwa daktari zaweza okoa ndoa na afya yako .
0742300459
Au
WhatsApp +255742300459
07/03/2022
Vidonda vya tumbo ninini ? bawasiri na mshipa wa ngiri ni nini ? Mbona watu wanapona tu ?
Nimesikitika Sana kusikia mtu flani amefariki kwasababu ya bawasiri au vidonda vya tumbo na siwezi laumu maana huwenda yalikuwa mapeni ya Mungu iwe hivyo
Lakini usikubali kukaa na hayo matatizo maana ni hatari Sana na haijalishi umepitia na kuteswa na madaktari wangapi ,amua kutibiwa tena ,weka bajeti ya afya yako tena uone namna Mungu atakavyo badilisha historia ya afya yako . Kwani sisi tunakusaidia hadi utakapopona ,hatukuuzii dawa .
Pengine umehangaika Sana namna ya kupona ,msaada wa pekeekwako ni kuongea na daktari Osward kwa MAELEZO ya kina zaidi
0742300459
04/03/2022
Kitabu kinaelezea Siri ya mafanikio ya KIMWILI na KIROHO .
Je,unahitaji kufanikiwa? Je ,unahitaji umuone Mungu katika maisha yako ? Je,unahitaji KUSHINDA zaidi na kubadilisha maisha duni ya wazazi wako ?
Kitabu hiki kidogo unaweza kukisoma kupitia simu yako na unaweza kipata mahali popote ulipo kwa gharama nafuu Sana .
WhatsApp 0742300459
Dr.Osward
04/03/2022
FANGASI HUMSHAMBULIA MTU APENDAE KULA NAFAKA ZILIZO KOBOLEWA
Chapati ,maandazi ,mikate,biskuit na ugari wa sembe haya yote ni mataputapu ya chakula na hii hupelekea mtu kujikuta anashambuliwa na fangasi Sana na hawawezi ondoka mwilini kwasababu ya uwepo wa chakula chao katika mwili wako .
✍️Panya anatuzidi akili ? kwanini ukoboe nafaka ? na tabia hii imewafanya wanawake wengi Sana kitokwa na harufu mbaya sehemu za Siri na kitokwa na UCHAFU mwingi K**a maziwa mgando 😢Wanatumia dawa ila wanapata unafuu tu kwa muda
Wanaume imewafanya kuonekana hawawezi kuwahudumia wake zao vizuri mwisho magomvi hutokea katika nyumba !
K**a wewe ni mgonja wa Fangasi na unahangaika namna ya kupata tiba ya uhakika ,ushauri wangu wa bure kwako leo ni kubadili mtindo wa maisha kupitia chakula .
By Dr.Osward
WhatsApp/simu 0742300459
Fangasi wa miguuni ,Fangasi wa sehemu za Siri ,Fangasi wa kucha ,hawa wote wanatibika kwa dawa na kuzingatia mfumo wa chakula na kuondoa visababishi
https://chat.whatsapp.com/DjXsGFtTjgI40rcADM6S3P
03/03/2022
SUKARI NYINGI MWILINI HUPELEKEA FANGASI KUKUA KWA KASI.
K**a wewe ni mgonjwa wa Fangasi ,bila kujali Fangasi wako wanakushambulia maeneo gani ,basi hakikisha unazingatia Jambo hili kuwa Fangasi wanapenda kuishi sehemu ambayo kuna sukari nyingi .
✍️hivyo jitahidi Sana kuchunga matumizi yako ya sukari ambayo unaiweka katika chai au uji .maana sukari nyingi mwilini ni adui mkubwa wa afya .
✍️Hapa nazungumzia sukari rahisi ambayo huuzwa madukani na sukari zinazowekwa katika bidhaa za lambalamba mfano JoJo au p**i na sukari ambayo huwekwa ndani ya soda au juisi za kopo .
🤷Ukifanikiwa kuweza kuzuia matumizi ya sukari yatokanayo na bidhaa hizi Basi utakuwa upo katika sehemu nzuri Sana ya kuwafanya Fangasi wako wakuache kabisa na utaishi kwa amani
Dr.Osward(CNC)
02/03/2022
UNYEVU NYEVU HUSABABISHA FANGASI .
Changamoto ya Fangasi imekuwa ikiwatesa wanaume na wanawake walio wwngi Sana na watu hujaribu kutumia dawa tofauti tofauti ili kuondoa miwasho ya Fangasi katika sehemu zao za Siri au katika mikono au katika kucha au miguuni au mapaja.
Njia moja wapo ya kwanza ya kupambana na Fangasi licha ya kutumia dawa ,ni kuondoa vyanzo vya tatizo . Fangasi wanapenda sehemu ambapo wanaweza kaa na kuzaliana vizuri K**a ilivyo kwa binadamu kuwa binadamu anapenda kuishi maeneo ambayo yatamsaidia kufanya shughuli za maendeleo ya kiuchumi
Kuziacha sehemu za Siri zikiwa nyevunyevu ni hatari Sana Sana na fangus wanaweza kukishambulia hadi wakaingia katika damu na madhara huwa makubwa Sana .
👉Hakikisha unakausha nguo za ndani pale unapo zifua ,hakikisha unaanika juani nguo zako za ndani .
👉Hakikisha unakausha mwili wako kwa taulo safi baada ya kuoga na epuka kuvaa soksi mbichi au viati vibichi . Usizoee kuvaa nguo za ndani kwa muda mrefu.
Dr.Osward
01/03/2022
Ushauri wa namna ya kutibu changamoto ya fangasi .
👇👇
Darasa la Fangasi WhatsApp Group Invite
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Nyegezi
Mwanza