BF SUMA Quality Health Products
BF SUMA Company, Tunauza bidhaa bora za kiafya.
NB:
Tunatibu kwa kutumia bidhaa lishe kuanzia chanzo na matokeo kwa ujumla siyo tu matokeo yenyewe, na bidhaa zetu zinapatikana popote Tanzania kwa bei nafuu sana.
16/11/2022
Bidhaa tiba zetu ni bora sana kiafya, hutengenezwa kwa mimea na matunda pasipo kemikali. Bidhaa zetu utengenezwa kwa kutumia teknolojia 5 zinazofanya bidhaa tiba hizo kuwa bora na zenye matokeo chanya kwa watumiaji. Na kwa kweli ubora huo umekuwa ukijidhihirisha pale ambapo mtumiaji anatupa mrejesho ulio chanya.
Bidhaa tiba hizo ni kwa mtu yeyote na rika zote pia kwa aliye na changamoto kiafya na hasiye na changamoto kiafya anashauriwa kutumia maana kwa aliye na changamoto anapata tiba lakini pia kwa hasiye na changamoto kinga yake ya mwili uimarishwa na mwili kuwa katika uhalisia wake. Pengine huwa ni vigumu kwa mda mwingine kuzitambua changamoto zingine za kiafya ( changamoto afya za kimya kimya ) ambapo kuja kugundua ni miaka kadhaa kupita ambapo changamoto hiyo inakuwa imefikia hatua ya mbali sana (ukomavu au usugu).
Hivyo basi pindi unapozitumia bidhaa hizo ukuepusha mbali na maambukizi mbalimbali. Yawezekana unaweza kusema ya kwmba hunatatizo lolote kiafya kitu ambacho siyo cha kweli. Kwa sababu mara nyingi changamoto hizo za kiafya tunazipata kutokana na hali ya maisha ya kisasa au maisha ya leo kulingana na kipindi tulichopo ( Digital period). Kwa mfano;
●Matumizi makubwa na mengi ya mafuta ya kupikia.
●Matumizi makubwa ya chumvi tena mbichi (ambayo haijapikwa).
●Matumizi makubwa ya sukari tena mbichi ( ambayo haijapikwa).
●Kazi zinazomlazimu mtu kukaa kwa mda mrefu ( madereva, maofisini n,k).
●Ulaji mbaya.( unbalanced diet).
●Kutokufanya mazoezi.
●Mazingira yetu ya kila siku (air, land, water & noise pollution, uchangiaji wa baadhi ya vitu k**a vyoo. Mfano vyoo vya kukalia ni moja ya sababu za tatizo la bawasili).
●Changamoto za kimaisha ( msongo wa mawazo).
●Ajali ( gari, pikipiki, n,k).
●Maisha ya kisasa ( digital life or advancement of technology)
>Matumizi ya simu, TV ( vifaa hivyo vinatoa mionzo hisiyo salama sana kiafya, mavazi, make up n,k).
>Matumizi ya dawa( zilizotengenezwa kwa kemikali).
>Vifaa vya kisasa vya kimatibabu( Ultrasound, x-ray, chemotherapy n,k). Hivyo basi ni vigumu kusema huna tatizo kiafya.
Tuna bidhaa tiba zifuatazo;
◇ Za mifupa na maungio.
◇Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
◇Mfumo wa damu.
◇Mfumo wa uzazi kwa mwanaume.
◇Kwa matumizi ya kawaida( sabuni, mafuta, dawa ya meno)
18/09/2022
Hii ni bidhaa tiba isiyo na kemikali wala madhara kwa mtumiaji. Inatatua changamoto za wanawake kwa kushambuliwa ukeni na katika via vya uzazi. Inapendekezwa itumiwe na wanawake mara kwa mara ili kuwa kinga na changamoto hizo. Bidhaa hii hutatua changamoto zifuatazo;
●Hutokwaji harufu mbaya ukeni.
●Hutokwaji wa majimaji machafu ukeni.
●Kupata miwasho ukeni.
● Kwa wanaoshambuliwa na bakteria wabaya ukeni.
●Kwa wanaotokwa na maji maji wakati wote.
☆ Hizo zote ni dalili za P.I.D( Maambukizi kwenye via vya uzazi wa mwanamke). P.I.D isipotibiwa inasababisha ugumba na kupoteza uwezo wa kujiamini.
Wengi wamekuwa wakishambuliwa na tatizo la P.I.D na U.T.I sugu, pengine umetumia dawa au njia mbalimbali na kwa mda mrefu pasipo matokeo mazuri. SASA HII FEMICARE NI SALAMA KWA MTUMIAJI NA NI BORA SANA KUTATUA TATIZO HILO.
ATAKAMA HUJAPATWA NA TATIZO LA P.I.D au U.T.I, NI VYEMA SANA KUTUMIA FEMICARE KWA ULINZI NA AFYA BORA KWAKO MWANAMKE.
NB:
KINGA NI BORA KULIKO TIBA.
WhatsApp/ call 0676649237
11/09/2022
FAHAMU KUHUSU P.I.D (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)
Mawasiliano
📲+255676649237
Haya NI maambukizi ya bacteria wabaya kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke. Maambukizi haya hupelekea uharibifu mkubwa kwenye mfuko WA uzazi, mayai, mirija ya uzazi au sehemu nyingine za uzazi wa mwanamke, pia ni chanzo cha ugumba
DALILI ZA MAAMBUKIZI KWENYE MFUMO WA UZAZI WA MWANAMKE (P.I.D)
🦪 maumivu makali ya nyonga, tumbo au chini ya kitovu
🦪 kutoka maji maji yasiyo ya kawaida yenye harufu mbaya
🦪 kutoka maji maji yasiyo ya kawaida baada ya kufanya tendo la ndoa au baada ya kuingia hedhi
🦪 maumivu makali wakati wa kufanya tendo la ndoa
🦪Homa Kali
🦪 maumivu kipindi cha kukojoa, kukojoa mara kwa mara, kukojoa kwa shida
🦪 maumivu makali chini ya kitovu, kichefuchefu, kutapika, Homa kali kupita Kiasi
🦪 kutoka na uchafu sehemu za Siri WA rangi ya (cream) maziwa mtindi, kijani au mweupe unaoambatana na harufu Kali
MADHARA YA P.I.D
🍇 kupata ugumba na kupata utasa
🍇kukosa kujiamini
🍇mimba kutoka
🍇Kuharibu mfumo wa uzaziMADHARA YA P.I.D
🍇 kupata ugumba na kupata utasa
🍇kukosa kujiamini
🍇mimba kutoka
🍇Kuharibu mfumo wa uzazi
🍇kuvurugika kwa homon na ndo hapo MTU huanza kupata hedhi isiyo na mpangilio
🍇Kati ya wanawake 10 walioathiriwa na P.I.D, mmoja anakuwa tasa sababu P.I.D hupelekea makovu kwenye mirija ya uzazi
🍇kitokufurahia tendo la ndoa
Suluhisho thabiti
IPO program maalum kwajili yako mwanadada/mwanamama uliesumbuka na P.I.D hata kupoteza matumaini kabisa ya kupona, hii NI kuponyesha majeraha na bacteria wabaya na kusaidia kutengeneza mayai ya uzazi yaliyobora Zaid, hivyo kumsaidia mwanamke kupata mtoto.
30/08/2022
Maisha ya binadamu yamebafilika kwa kiasi kikubwa kutokana na mabadiliko ya kidunia, upelekea changamoto za kiafya. Hivyo badi kampuni ya BF SUMA imeamua kutoa huduma ili kutatua changamoto za kiafya, kwa kuboresha viwango vya afya zetu kwa kutumia bidhaa bora za afya ambazo huchakatwa kiasili bila kemikali na hazina madhara hasi kwa mtumiaji. Inaweza kutumika kutibu na kuongeza kinga ya mwili, inamaanisha inaweza kutumika na wagonjwa na wale ambao sio wagonjwa bila athari yoyote mbaya kwao. Kizuri zaidi, tunakabiliana na matatizo ya kiafya kwa kuanza na chanzo cha tatizo kisha matokeo kwa kutumia bidhaa zetu bora za lishe ambazo zimetengenezwa kiasili hazina kemikali hata kidogo, Tunatoa ushauri na bidhaa. Zifuatazo ni bidhaa zetu;
◇ Bidhaa za lishe kwa mifupa na maungio.
◇ Bidhaa za lishe kwa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.
◇ Bidhaa za lishe kwa mfumo wa mzunguko wa damu.
◇ Bidhaa za lishe kwa mfumo wa uzazi wa wanaume.
◇ Bidhaa za watoto.
◇ Bidhaa za matumizi ya kawaida ya maisha. Kwa mfano, sabuni, mafuta, dawa za meno, femicare, vifaa vya kuchujia maji ya kunywa n,k.
BF SUMA Quality Health Products
BF SUMA Company, Tunauza bidhaa bora za kiafya.
NB:
Tunatibu kwa kutumia bidhaa lishe kuanzia chanzo na matokeo kwa ujumla siyo tu matokeo yenyewe, na bidhaa zetu zinapatikana popote Tanzania kwa bei nafuu sana.
28/08/2022
ANATIC SOAP, Sabuni bora sana kwa ngozi
Inaondoa machunusi, vipele, mabaka, kuzuia harufu mbaya, kulinda ngozi dhidi ya fangasi, kulainisha na kung'arisha ngozi, kuondoa mikunjo ya kwenhe ngozi. Haina madhara kwa maana haijatengenezwa kwa kemikali yoyote pia inatumkwa na rika zote.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Mwanza
16/11/2022