Emmymvungi Business Page
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Emmymvungi Business Page, NYAMAGANA DISTRICT, Mwanza.
17/04/2019
▪ Uwezo wa kuuza bidhaa au huduma au ujuzi ni lazima kila mtu awe nao!.
▪Uzuri ni kwamba hata k**a hujui ni rahisi mno kujifunza..
❌Hakuna biashara isiyo na mauzo!!!..Ili kupata pesa lazima ujue jinsi ya kuuza bidhaa au huduma.
🤔Watu wengi wana mtazamo hasi kuhusu kuuza kiasi kwamba baadhi ya kampuni husema "hakuna kuuza" k**a njia ya kuwapata watu!!!!
🙅🏽🙅🏽♂Jamani mtu yeyote yule asikudanganye kuwa hakuna kuuza hapa duniani...
Shtukaaa🔥🔥🔥🔥
📌Kuuza kumegawanyika katika makundi
1⃣Kuuza bidhaa
2⃣kuuza huduma
3⃣kuuza muda
4⃣kuuza ujuzi
👉🏼 Alieajiriwa anauza ujuzi na muda kwa mwajiri..ndio maana lazima asubuhi awahi ofisin akae mpaka jioni muda wake kauza ofisin pamoja na ujuzi ataotumia katika hiyo ofisi.Mshahara wake ni malipo ya kuuza muda na ujuzi wake.
👉🏼Alie mfanyabiashara anauza bidhaa..Akiuza bidhaa atapata pesa k**a malipo.
👉🏼Anaefanya kazi za jamiii Anauza Huduma.Atawahudumia jamii yake.Mfano..mwenyekiti wa serikali za mitaa atahusika na jamii inayomzunguka.Atauza huduma ili kupata malipo(mshahara).
*Kila mtu anauza kitu,Kuuza hakuepukiki. Elewa hii itakusaidia mtu asikudanganye*
📌Na mtu asikudharau kabisa k**a wewe ni mfanya biashara na yeye ni muajiriwa ni sawa ni wauzaji wa vitu tofauti
👉🏼Muajiriwa asipoenda kazini hata k**a anaumwa sana mwezi mzima kampuni itamuandikia barua ya kumwambia apumzike bila malipo😉..atashauriwa achukue likizo bila malipo..kwa sababu kimsingi uwepo wake ofisin unatakiwa..
TO GET MONEY YOU MUST SELL!!!!!
SELLING SKILLS IS ESSENTIAL!!!!
*tafakari* *Chukua* *hatua*
# 20/4/19
06/10/2018
imagine handling a business
just using a smart phone, a business that makes you looking good, travelling around the world while making extra income
You wish to know more
Kindly
Text/call
0782207206
Jee Upo katika haya makundi???
1/ Umemaliza form 6 unatamani kuwa na kipato chako Japo huoni mtaji
2/ Umemaliza Chuo huoni mwelelekeo wa kupata Ajira
3/ Una ajira ila mshahara haukutani na mshahara mwingine
4/ Una Biashara ila faida hakidhi mahitaji yako
KARIBU JUMAMOS HII
15/9/18
GOLD CREST HOTEL
SAA 8 MCHANA
UPATE EXPERIENCE MPYA
call /text
0782207206
Kupata kadi yako
Habari mkazi wa Mwanza
Karibu officini kwetu
Ricky city mall
Nyuma ya Tausi fasion
Ujipatie mafunzo ya bidhaa na jinsi ya kutunza ngozi. Pia namna ya kutengeneza pesa
0782207206
21/05/2018
💃💥💄Hello kina Dada na kina mama.
Je, umechoshwa na hii hali.
👉1: kuwahi kuamka saa 11:30 upo barabani kwenda kazini huku umeacha mtoto kalala, kurudi usiku saa 2 mtoto kalala, kumuona hadi jpli
👉2: kufanya kazi under pressure ya boss huku kipato kidogo.
👉3: kwenda supermarket/ dukani na kuishia kununua vitu ambavyo una uwezo navyo huku ukiishia kusema natamani ningekuwa na pesa ninunue hiki.
👉4: Kuishia kusema ningekuwa na pesa ningempeleka mwanangu English medium
👉5: mshahara kabla haujatoka tayari umeisha maana madeni ni mengi.
👉6: kushindwa kutoka out na familia/ marafiki kwakuwa kipato hakiruhusu.
👉7:Je umekuwa ukifanya biashara au umeajiriwa lakini kila siku maisha yapo pale pale husongi mbele bali unarudi nyuma kimaendeleo.
K**a upo Dada/ mama k**a huyu nipo tayari kukuongoza/ kukuonyesha mpango mkakati mzuri ambao iwapo utaufuata ndani ya siku 90 utaweza kubadili kitu kwenye maisha yako.
Tafadhali tuma ujumbe wa JINA NA NIPO TAYARI kwenye namba
0782 207 206
Upate mafunzo bure
Ufanye kazi kwa bidii ili kutengeneza kipato chako.
NB: Natamani kukutana na mama/dada mwenye nia na anayeweza kujiongoza baada ya mafunzo.
07/09/2017
Mwanza Mwanza Mwanza....!
Ngozi ni kiungo muhimu sana katika mwili wa binadamu pia ni kiungo pekee ambacho binadamu ana uhakika wa kuzeeka nacho...
Hivyo ni muhimu sana kutunza ngozi zetu ili zitutunze.
Ungana nami kwenye darasa la kujifunza jinsi ya kutunza ngozi zetu hasa ngozi ya USO
Darasa litaendeshwa na mtaalam wa ngozi(Skincare expert)Leila kutoka Dar es salaam
Siku-Jumamosi tar 9/9/2017
Muda-saa 8:00 mchana
Mahali-Gold crest hotel
Hakuna kiingilio
Karibu fika na ndugu,jamaa na marafiki
Call/text
Kupata huduma
#0782207206 #
Hellooo!!!
Naitwa Emiliana Mvungi
Ninafanya biashara ya mtandao na kampuni ya Oriflame kwa muda wangu wa ziada .
Oriflame ni kampuni ya bidhaa asilia kutoka nchini Sweden.
Je unafahamu 9% Consultant analipwa 150,000/=tsh 12% manager level 1 analipwa 250,000/=tsh 15% Manager level 2 wa Oriflame anapata kwa mwezi #400,000tshs
18% Manager wa Oriflame anapata kwa mwezi
21% Senior Manager wa Oriflame anapata kwa mwezi #1,200,000tshs
Director wa Oriflame anapata kwa mwezi #1,400,000tshs na nyongeza ya pesa taslimu k**a pongezi #1000$ cash award
A Senior gold director wa Oriflame anapata kwa mwezi #3,000,000tshs na #3000$ cash award
:
:
:
:
A Senior Diamond Director wa Oriflame anapata kwa mwezi #6,000,000tshs na #8000$cash award
...Na list inaendelea
Labda uko hapo na tumaini lako ni Ajira pekee hata umetafuta muda Mrefu bila kupata unasononeka leo nikupe moyo unaweza kuamua kuwa mfanyabiashara.
Labda uko na ajira lakini ina manyanyaso,masimango na pesa isiokidhi haja zako.Unaweza kufanya biashara kwa muda wa ziada na ukatengeneza kipato cha ziada.
K**a upo tayari kuthubutu wasiliana nami kwa kutuma ujumbe na kusema NIKO TAYARI KUTHUBUTU kwa whatsapp 0782207206
Habari Marafiki zangu wa Shinyanga
Karibuni sana kesho Jumapili
Tar 13/7/2017
Hapoo Jengo la Ccm ilipokuw NSSF
Zamani
Tutakuwa na semina ya ujasiriamali
Na Afya ya Ngozi
Njoo ujifunze namna ya kuwa na kipato cha ziada kwa kutumia mtaji mdogo
Hakuna kiingilio
Atakayewahi atapata zawadi
Weka no yako hapa nikupigie kwa maelezo zaidi
Au nipigie/nitumie ujumbe whats up
#0782207206 #
Habari marafiki
Naomba mnisaidie kulike hii page yangu
Tutakuwa tunajifunza mambo mbali mbali ya
Ujasiriamali na Afya ya Ngozi.
Karibuni
25/06/2017
Kwa Afya ya ngozi yako
Karibu ujipatie bidhaa salama
Kuendana na umri wako na aina yako ya ngozi
Kwa mawasiliano au order
#+255 782 207 206 #
Karibu sana Ntumwa Michael
31/05/2017
Ukiamua inawezekana
Muamini Mungu
Fanya kazi.kwa bidiii
Mafanikio.hayana proffesion
Mafanikio.hayahitaji uwe na level flan ya Elimu ndio.ufanikiwe
Kinachotakiwa . Ni
Kufanya kazi kwa bidiii
Kutokukata tamaaa
Kutulia sehemu moja au.kwa maana nyingine jipe muda na kile unachokifanya jipe time limit
Mfano by 2years niwe nimefika sehemu flan
Hapo.utafanikiwa mana utakuwa ushajua changamoto na muelekeo wa mafanikio yako
Usiwe mtu wa kukurupuka au ile bendera fuata upepo leo upo hapa kesho pale kabla hujaelewa unachokifanya tayari umehama unapoteza muda na miaka inasogea na mwisho unajikatia tamaa.
Mwisho.nawapongeza hawa marafiki kwa kutulia na kujifunza na leo wamefikia hii Hatua. Hongereni sana.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Telephone
Website
Address
NYAMAGANA DISTRICT
Mwanza
255